Mfalme Nero: Katili aliyewaua Paulo na Petro Mitume wa Yesu Kristo; Adhabu ya vifo vyao Inatisha

  Рет қаралды 83,091

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Mfalme Nero wa himaya ya Rumi historia yake ni nini? Maisha yake kwa ujumla yalikuwaje? Kwanini matendo yake mengi yamemwekwa katika vitabu vya historia na kuonekana kama ni matendo ya kiovu yasiyo na utu. Nikukaribishe katika makala hii ili nipate kukujuza kwa undani kuhusu mtawala huyu wa Kirumi na kuhusika kwake na vifo vya mitume Paulo na Petro ikiwemo kuuwa wakristo wengi. Tega sikio lako;

Пікірлер: 246
@selbub3064
@selbub3064 Жыл бұрын
Jina la yesu kristo lihidimiwe milele amina
@annointamani3285
@annointamani3285 Жыл бұрын
Woow safi sana kaka Sky, Yani hapa ume wafanya walio wengi wanao amini habari ya Yesu na wokovu ni Mambo ya kuaminika tu, Sasa waanze kuamini zaidi kupitia story kama hizi ambazo ni tofaut kabisa na Biblie, Kwakweli Hongeren sana #SimulizinaSauti# tuko pamoja sanaa 💪
@noelyjonh1607
@noelyjonh1607 Жыл бұрын
Pamoja kaka nakwelewaga sana tangu radio free
@zaburi2386
@zaburi2386 Жыл бұрын
Hata Muhammad ni stor tu maana alishindwa kumponya hata kipofu imeandka Quran 80:1
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Kiponya anaeponya ni mungu sio nabii nabii hua anaomba mungu ndo anaponya huko kuponya kama ndio utume bas waganganao ni mitume jamanii miujiza hata shetani anawezafanya
@hancevalence4936
@hancevalence4936 Жыл бұрын
@@mustafamsatimuhenga253 hiyo ya waganga sio miujiza, miujiza hutufanya tumpende Mungu bila mipaka, ni Yesu peke yake kupitia watumish wak manabii na mitume na yeyote anayeamin anaweza kutumika, hyo ya waganga siyo na haimpi Mungu utukufu, uponyagi wa Mungu unaokoa wa waganga unaangamiza
@user-py2pb2ks7v
@user-py2pb2ks7v 9 ай бұрын
ACHA. WALIOPOKEA WOKOVU. WAAMINI. MIMI NIMEOKOKA.
@neemambotola1139
@neemambotola1139 Жыл бұрын
Karibuni tumpokee yesu mioyoni mwetu ..ni wa kweli kabisa.
@jeromejuma6110
@jeromejuma6110 Жыл бұрын
Tuzidishie zingine maana hii carn yet tunapotoka sana bilakujuwa ila kwahili wenyebusara tutajuwa mengi Asante mungu akuzidishie
@user-sh1rj6pe5k
@user-sh1rj6pe5k 4 ай бұрын
Nimekukubali msimlizi kwa dondoo hii nzuri
@samsonnyasilu268
@samsonnyasilu268 3 ай бұрын
Ubarikiwe na mungu baba kwa elimu hii Amina
@therezapetro5725
@therezapetro5725 Жыл бұрын
God bless you..! Stori kama hizi zinatujenga ki imani. Kam wakristo wenzetu walipitia mateso makubwa namna hiyo na wakaweza kustahimili sisi wakristo wa nyakati hizi hatuna cha kusingizia. hii neema tuliyopewa na Mungu tusipoitumia vizuri tuna cha kujibu siku ya hukumu.
@edwardoscar8829
@edwardoscar8829 Жыл бұрын
Ooooouuuullp
@edwardoscar8829
@edwardoscar8829 Жыл бұрын
Y
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 Жыл бұрын
Kwa kipindi hiki cha utandawazi hakuna mtu wakukuzui kuimani. Lakini kwa kipindi hiki, dunia imetekwa na shetani vibaya sana. Na ni vigumu kuliona hilo. Je umeshajiuliza hii dunia ingekuwa na ushabiki Mkubwa wa masuala ya soka kuliko kwenda kanisani kumwabudu Mungu? Dunia ya leo imetekwa na anasa kuliko kumwabudu mungu. Tuma uhuru wa kuabudi lakini tumeendelea kuwa mbali zaidi na Mungu. Tumetekwa na anasa za kila aina. Starehe. Masuala ya familia. mitandao n.k.. TAFAKARI
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 Жыл бұрын
Napenda Sana hii chanel walah
@bryson0772
@bryson0772 Жыл бұрын
Dah vifo vya mitume vimeniuma sana moyo unauma eeh Mungu nipe muongozo mwema ktk kukuabudu na kukusujudu ww tu
@vansclassic2131
@vansclassic2131 Жыл бұрын
My jesus!! Mungu awabariki SNA! Sns huwa mi siamini mastory brow naomini uwepo Wa mungu kwenye Bible so!!!
@nanyamasheilah5695
@nanyamasheilah5695 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana imani yangu isitingizike ikiwa hii ndio ukristo basi nami nife hivi🙏🙏🙏🙏
@user-dq9bf5qy6n
@user-dq9bf5qy6n Жыл бұрын
Amen 🙏 Mungu azidi kukulinda utukufu wa Mungu ukawe juu yako Amen 🙏🙏
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 4 ай бұрын
Ukiacha mihemko ukifuatilia kwa makin dola ya rumi na roma zilikuwa dola ambazo zilifanya ukatili na mauwaji mengi pengine hazikutofautiana sana na dola ya mongolian
@user-jo1cx4zo1i
@user-jo1cx4zo1i 6 ай бұрын
Bigap sana kaka sky upo vzr kweli unajuwa
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
#Sky huwa nakukubali Sana kiufupi makala zako huwa nizakweli kabisa,kiufupi unajua sana nakubali sana Wakristo wamepitia mateso zaidi ya miaka 200, Enzi hizo kulikua na wakristo WA kweli tangu kanisa la Kwanza la Efeso , ukienda Roma mpaka Leo kuna sehem inaitwa katacot Yani makaburi ndo ilikua sehem pekee salam ya Ibada, ILA nakuomba siku ukipata nafasi mtafite bishop ngonyani, mwanathiologia naimani watu watapenda
@shabanabdul8979
@shabanabdul8979 Жыл бұрын
Sina tabiya yakoment ubarikiwe
@KiT.KaT.Cute.
@KiT.KaT.Cute. Жыл бұрын
Tunashundwa kumuamini Mungu kwa hiyari, wenzetu wa kale waliteswa vibaya kwa ajili ya kuhubiri injili
@gervasshepi6351
@gervasshepi6351 Ай бұрын
Hongera sana kwa simulizi hili
@PethiasSiwila01
@PethiasSiwila01 2 ай бұрын
ubarikiwe sana! nimejifunza kitu
@gazaomar677
@gazaomar677 Жыл бұрын
Lakini ni story nzuri Sana brother congratulations
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana sky
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 Жыл бұрын
Yesu hakufa msalabani alikufa kwenye mti ( nguzo ) wa mateso.
@user-sh6te4qn7x
@user-sh6te4qn7x 4 ай бұрын
mambo ya mfalme Nero ni katiri lakin injiri ilihubiriwa
@maganyarobert7008
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@user-xc7dj5jy9j
@user-xc7dj5jy9j Жыл бұрын
Safi sana kaka Sky, if i can receive notifications on such stories like this will be great.
@monicapaul8480
@monicapaul8480 Жыл бұрын
Hongera,kazi nzuri sana
@raymondngamilo9226
@raymondngamilo9226 Жыл бұрын
🎉🎉 inayofuata iwe ya mfalme constantine
@entertainmentforum1772
@entertainmentforum1772 Жыл бұрын
Safi sana sky... Tuletee story ya mwanamuziki wa marekani 2Pac kuna kitu kinachanganya watu hawajui kama 2Pac alikufa ama alifake kifo zake... Please tuletee hii story tunajua uko vizuri sana kutuelezea.... Please
@user-nt3xr1he8o
@user-nt3xr1he8o 10 ай бұрын
Haitusaidii hii ya nn jifunze ukuu wa Mungu si ya walimwengu hawana mbingu
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 3 ай бұрын
​@@user-nt3xr1he8oUmenena 🙏🏻🙏🏻 tujifunze kuhusu neno la Mungu sio historia ya maisha ya wanadamu
@thisboyisgreat
@thisboyisgreat Жыл бұрын
Hongela bro
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 11 ай бұрын
Stor ya kussmuwa kbisa hii voice ktoka kwa frack bundala
@taynburhanialeey3148
@taynburhanialeey3148 Жыл бұрын
Pauolo hajawai kukutana na Yesu maana Petro alikua mwanafunzi wa Yesu wakati Yesu anahubiri Injili Paulo alikua hajazaliwa paulo alipata utume kwenye ndoto Paulo kaja baada ya miaka 500 kupita
@frankmushi8892
@frankmushi8892 Жыл бұрын
Nakubali sanaaa
@hellenrichard187
@hellenrichard187 Жыл бұрын
Hii nzuri sana
@javanwatson6675
@javanwatson6675 Жыл бұрын
KAZI NZURI SANA, MKO DEEP 🔥🔥
@josephinematemba5100
@josephinematemba5100 Жыл бұрын
Tuletee historia ya mfalme Costantino
@shepherdizotarimo8227
@shepherdizotarimo8227 Жыл бұрын
Hongera bro tuletee histori ya huyo mfalme aliyeukubali ukristo
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Dah story nzuri sana sns yani uwa sijuti taftatafta kama hizi zinapendeza kwakweli
@simbamnyama2589
@simbamnyama2589 Жыл бұрын
Very deep.. Hapa umetatua maswali mengi sana.. Sababu hatukujua walienda wapi na hata viongozi wa dini wengi hawajui haya ko inakua ngumu kumuaminisha mtu bila maelezo yaliyonyooka.. Thanks brother
@catherineswai5900
@catherineswai5900 Жыл бұрын
Unasomaga bible au kwenda kanisani ?.
@simbamnyama2589
@simbamnyama2589 Жыл бұрын
@@catherineswai5900 najua theology kwa ufasaha.. Ko usilete ujuaji.. Hiz habari ni ngeni kwa almost 95 percent ya watu.
@catherineswai5900
@catherineswai5900 Жыл бұрын
Oooooh 😮😮😮😮
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 10 ай бұрын
WEWE NDIO HUJUI HII STORY 90% IPO KWENYE BIBLIA
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 3 ай бұрын
​@@catherineswai5900Hizi taarifa hazipo kwenye Bible mpendwa, bali kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila mtume utajua alifanya nini na alikufia wapi na wapi 🙏🏻🙏🏻
@MNexNexI
@MNexNexI 2 ай бұрын
Good
@godcompeter9844
@godcompeter9844 Жыл бұрын
Sky your a mean of genius
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 Жыл бұрын
Nc San br
@bongonews6542
@bongonews6542 Жыл бұрын
Unaeleza vzr bt unaconfuse ukatorik na din ya kikiristo ýa kwanza ukatorik ni din ya kikristo iliyoachanganyika na upagan wa roma na ilianzishwa na constantine baada ya kuamn ukristo
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 28 күн бұрын
Acha bangi
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 Жыл бұрын
Mimi naomba kuuliza hivi kwanini kila picha ni wazungu mnaweka hamjui kwamba sisi tulimjua MUNGU kabla yao?
@woah.africa99
@woah.africa99 10 күн бұрын
Hata mzungu hana na bee ukae ukijua mitume wote ni wa mashariki ya kati
@woah.africa99
@woah.africa99 10 күн бұрын
Hao sio mitume Paulo na petro ni wafuasi mtume ni na be isa as ) ila wazungu walimpinga mmungu kwa kubadilisha kila kiti na wapagani na rome walikaa kuibadilisha injili
@jumakataka81
@jumakataka81 Жыл бұрын
Amina ❤
@missp1814
@missp1814 Жыл бұрын
Aisee Sky hongera..story zako zinavutia siku zoteee sijawahi kosa
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
@tecratzmwakyambomwakyambo7243 Жыл бұрын
Yaani unamueelewa
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Yupo vzr kwakweli
@supershopdubaifalis6249
@supershopdubaifalis6249 Жыл бұрын
Sns no1
@yohana1242
@yohana1242 Ай бұрын
Najiuliza san kuhusu Paulo utume kapewa na nani wakati yeye alikua akiupinga ukristo na wakati yesu kashaend mbinguni ndo akaanza Kuwa mtume na yesu akawa mungu wake😢
@titus_maridhia
@titus_maridhia Жыл бұрын
Shukrani. Mengine hatuwez kuyapata kwenye Biblia
@washingtonv199
@washingtonv199 Жыл бұрын
Naomba kujua tofauti ya kaisari na mfalme
@zaburi2386
@zaburi2386 Жыл бұрын
Kaisari ni jina la mtu ufalme ni cheo
@therezapetro5725
@therezapetro5725 Жыл бұрын
@@zaburi2386 siyo kweli .kaisari siyo jina ni cheo ambacho wafalme wa kirumi ndivyo walivyokuwa wakiitwa hivyo. Ni sawa na farao kwa misri ya kale wafalme wote wa misri ya kale ndo walikuwa na cheo cha u farao.
@benedictbalelekalunde4140
@benedictbalelekalunde4140 Жыл бұрын
@@therezapetro5725 sidhan
@atonemusicstudio9155
@atonemusicstudio9155 Жыл бұрын
Amen
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Naam.
@dazicharoodazicharoo
@dazicharoodazicharoo Жыл бұрын
Tuko pamoja kaka🔥🔥🔥
@saiddimarley8445
@saiddimarley8445 3 ай бұрын
Alafu kitu chakushangaza wale ambao waliuwa wanafunzi wa Yesu nakumpinga Yesu warumi.Ndo wakubwa wakanisa la katolik.Kuliko watu wakwao na Yesu ndo wamiliki dini lakatoliki imekuwa tofuti wazungu ambao sio wayahudi ndo wanamiliki kanisa.Kuna siri kubwa hapo.Kutawaliwa na wapinga Cristo wakiwadanganya yakwamba wao ndowanamjua Yesu.
@lazaromakungu3499
@lazaromakungu3499 Ай бұрын
hii story ipo poa sana.....kwa wanao penda pia anaweza aka tafuta movie inaitwa QUO VADIS inaelezea story hii pia
@bonbuggatTV
@bonbuggatTV Жыл бұрын
Hapo sijaelewa mwanzon BK na YESU kristu.. unasemaje kabla ya YESU then unamwongelea YESU...
@ichicarodan6931
@ichicarodan6931 Жыл бұрын
Baada ya kristo Ndio BK Kabla ya kristo Ndio KB
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
ISSA BIN MARYAM ISA R.A🤲
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 Жыл бұрын
ISSA ndo Nani? Ana husiana vipi na hii habari?
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
@@anastaziamathias8861 Issa kamtafute ndio nani unaweza Google pia utapata jibu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
shida ya kuwapa vijana madalaka makubwa huku wamekosa hekima na busara wanajiona wao ndio dunia yao
@samsonhumbe8220
@samsonhumbe8220 Жыл бұрын
Historia ni nzuri, ula yafaa makala hii ungetia kitabu chake ingefaa zaidi. Yote kwa yote ubarikiwe na Bwana Yesu, nakushukuru sana..
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 3 ай бұрын
​@@samsonhumbe8220Kitabu kipo mpendwa kinaitwa Historia ya Watakatifu cha kanisa katoliki, Kila mwanafunzi wa Yesu anayo Historia yake pia na hatima yake
@timotheojumal894
@timotheojumal894 Жыл бұрын
Itafika wakati kwa wote wanadhiaki kifo cha Yesu kristo, watajua kumbe kulikuwa na siri yenye mafanikio kwa kila Binadamu katika kumtii Mwenyezi Mungu maana hata Qurani inathibisha kuwa kristo Alikufa na wale wanaomfuata Yesu( Issa Bin mariam) watakuwa juu mpaka siku ya kiama, [Surah Âl-`Imrân: 55] { إِذۡ قَالَ ٱللَّهُ يَٰعِيسَىٰٓ إِنِّي مُتَوَفِّيكَ وَرَافِعُكَ إِلَيَّ وَمُطَهِّرُكَ مِنَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَجَاعِلُ ٱلَّذِينَ ٱتَّبَعُوكَ فَوۡقَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓاْ إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلۡقِيَٰمَةِۖ ثُمَّ إِلَيَّ مَرۡجِعُكُمۡ فَأَحۡكُمُ بَيۡنَكُمۡ فِيمَا كُنتُمۡ فِيهِ تَخۡتَلِفُونَ } Ali Muhsin Al-Barwani: Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana. Hata mimi nitahubir kama maandiko yanavyosema kama Mitume walivyoweza Kuhubiri mpaka umauti ukawakuta, lakn katika yote sitasahau Upendo kwa kila mtu sitachukia mtu kwasababu yuko kinyume na kile ninachokiamini.
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Wanao mfuata yesu wanasari kwenye kanisa au misikiti? Maana yeye alikua akifundisha na kufanya ibada kwenye misikiti sasa wanaofuata mafundisho ya yesu ni wpi? Wale wanaosema yesu ndiomungu au sisi tunaosema yesu ni nabii wamubgu na kafundisha waisrael wamuabudie mungu na kumsujudia? Wepi wanamfuata yesu?
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Alaf pia naomba msaada unijuze hivi kanisagan ambalo makaomakuuyakevau lilianzishwa islael
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Haraf ujue kua hio qur an tukufu iliteremshwa kwa mihamad ambae wachrist hamumuamini kua ni nabii wa mungu nyie mnamuamini paulo ndii mtume wa mungu pia ilishuka kukiwa tayari watu waneshaazisha ucristo yesu baada ya kuondoka kwaiyo qur an nikweli imefundisha namna ya kuwaambia watu namna ya kuwafundishawadu dini na wakikataa usiwavunjie nyumbazao uwaache nikweli amani ni nzuri
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Ila wewe unaonekana ni msomi mungu atakuongoza wengine hua wanatukana tu hovyo wewe unasomaga vitabu
@timotheojumal894
@timotheojumal894 Жыл бұрын
@@mustafamsatimuhenga253 makao makuu ya kanisa Aliko Yesu kristo huko ndio yaliko makao makuu Maana mwanzirishi ni Yeye mwenyewe hata kipindi yuko Duniani Aliyatamka Maneno ya kuanzisha kanisa Akiwa Israeli,
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 8 ай бұрын
Utasikia israeli sio wakristo uezi watenganisha yesu myahudi jamani
@ElibarikiLevava
@ElibarikiLevava Ай бұрын
Bk au after christ kuzaliwa
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 Жыл бұрын
Yesu (Nabii Issa A.S),,hakuwahi kuwa na Mitume,,,bali alikua na wanafunzi,,,huyo Paulo na wenzake sio Mitume na wote waliowaandaa watu wawe wakristo Hilo jambo lilikua niutashiwao nasio maagizo ya Mungu kuwafanya watu wawe wakristo.
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
Mitume Nini kama siyo akili finyu
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 Жыл бұрын
Ndo maana huwa nawaambia Waislam huyo lssa sio Yesu huyu tunaemzungumzia Sisi Yesu alikuwa na mitume 12 nini maana ya mitume? Mitume ni watu wanaotumwa sasa Yesu aliwatuma mitume wake wakaihubili injili Huyu Yesu tunaemjua Sisi ndiye Kristo yaani anaitwa Yesu Kristo hapo ndipo Neno ukristo lilipozaliwa Sisi ni wafuasi wa Kristo hivyo Sisi ni wakristo na Dini Yetu ndipo ukaanza kuitwa dini ya kikristo na ukristo Umeanza kabla ya uislamu nikimaanisha Yesu alikuja kabla ya Muhammad nadhani umeelewa nini maana ya ukristo
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
Lete usibitisho
@fettymarijani2415
@fettymarijani2415 7 ай бұрын
Petro aliuwawa na warumi, na kaburi lake limewekwa mnara mrefu pale ltaly na Paulo pia aliuwawa alishikwa ugoni.
@yustinodavidmillungu4585
@yustinodavidmillungu4585 17 күн бұрын
Hacha uongo, ugon ulimuona
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 9 ай бұрын
Anakuja mjinga mmoja anakuambia Israeli sio ardhi ya wayahudi
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv Жыл бұрын
Yawezekana hata mwana marundi wa mwanza alikuwa mtume maana alinyongwa na hakufa
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
Nyiyi maingia motoni hakuna mtume akija bila kutajwa kila mtume mana bee huwa wanatajiana ktk vitabu kuna mitme wengi ila sio kuja tu
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Duh 🙄!
@androidamanimmollel6662
@androidamanimmollel6662 5 ай бұрын
Huyu mtangazaji anaitwa nani
@victormbekomize8154
@victormbekomize8154 Жыл бұрын
Hayo ndio maajabu ya kitabu kitakatifu cha BIBLIA
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Kitabu kitakatifu biblia? Wakorintho 1:25
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 3 ай бұрын
Hizi story hazipo kwenye Bible mpendwa bali ni kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 Жыл бұрын
Jna nilitaka kuomba utupachikie story baada ya kurudia rudia sana za miezi 5 iliyopita
@lordgardmtui1748
@lordgardmtui1748 Жыл бұрын
Tunatamani kusikia historian ya wafuasi wa yesu mmoja mmoja
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 3 ай бұрын
Tafuta kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila kitu kuhusu mtume alikufaje na wapi alikufia na nini hatima yake
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 Жыл бұрын
Katika kuhubiri kwake petro hakufika roma hivyo hakufia roma.
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 28 күн бұрын
Alikufa Roma na kaburi lake lipo hadi leo pale Vatican.. ndipo ilipojengwa kanisa la mtakatifu petro..l
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv Жыл бұрын
Ila uarabuni tu ndy hao mitume walishindw a kuhubiri injili
@dimitrimugravech
@dimitrimugravech Жыл бұрын
Acha dhihaka Kwan Mohammad alienda roma or European
@jameswisdomtz8580
@jameswisdomtz8580 Жыл бұрын
Hii makala imenigusa sana kabisa😒😒😒
@gazaomar677
@gazaomar677 Жыл бұрын
Don't trust the story but u can trust the book yesu ambae Ni mtume wa mungu hajawai kufa ao kuzikwa
@irenegudluck1214
@irenegudluck1214 Жыл бұрын
We nae embu tutokee hapa 🙄
@hopechidera
@hopechidera Жыл бұрын
Kwendra huko ww nguruwe ndo panadol yenu...
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
We Shetani siku zote anaepinga kifo cha Yesu hufananishwa na Shetani , maana unaonekana kama mkosa akili, na punguani amini nakwambia bila Yesu kufa hii Amani uliyonayo Leo usingekua nayo
@user-pj8ed9kn6g
@user-pj8ed9kn6g Жыл бұрын
​@@francisjoseph1074 🙄🙄🤣Pole
@gazaomar677
@gazaomar677 Жыл бұрын
Yesu akiwa amekufa inamana sio mungu kutokana mungu hawezi kufa izosifa zakufa mungu hana sifa Kama izo zaku uwawa nawatu aliyo umba
@abuluqmanal-athay8223
@abuluqmanal-athay8223 Жыл бұрын
Try to go back to research... To confirm how Paulo becomes a real in Jesus propagation.
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 Жыл бұрын
Kanisa la Roma ukifatilia huwez salii viongoz wake walikiw makatili sna na Bado Wana part za unyonyaji mpka leoo
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
Wambie wale kwanza ni fremason ila kumkinga kwa uongo wao wa dini kumsingizia yesu kwanza waguasi wa yesu si mitume mitume walio shushiwa vitabu paulo alizidisha maneno
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
@@gh7naa hapana si kweli halafu kanisa Katoliki haliendani na dola la rumi ndio maana Mitume waliuwawa na himaya ya rumi Ila kanisa lilikueepo rumi fatilia ma papa wa Katoliki utagundua Mtume Petro alikuwa ppa wa kwanza wa Roman Catholic
@catherinechifebe5800
@catherinechifebe5800 Жыл бұрын
UELEWA NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU ROHO MTAKATIFU...HII HADITHI INATAJA UKATILI WA KAISARI NERO....MPAGANI NA WEWE UNACHANGANYA NA KANISA KATOLIKI....LOH WALIMU WANAKAZI
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 28 күн бұрын
Acha upumbavu wa akili...Elewa kuwa dola ya rumi ni kitu kingine na kanisa katoliki ni kitu kingine...warumi waliuwa wakristo ..na wakristo waliouwawa ni wakristo wakatoliki...maana ndilo kanisa lililokuwepo... Makanisa yote ya kiprotestant unayoyaona leo yaliibuka karne ya kumi na tano .waanzilishi wa makanisa haya walikuwa ni wakatoliki. Mfano padre martini Luther ndiye mwanzilishi wa kanisa la. Lutherani..huyu aliasi kanisa katoliki na kufunguwa kanisa lake ...ukija kwa kanisa la Anglicana hili nalo lilianzishwa na mfalme Henry wa nane wa uingereza ..huyu alikuwa ni mkristo mkatoliki na mtawala wa uingereza.. kuanzia wakati huo kupitia makanisa haya ndipo yakazaliwa madhehebu mengi ya kikristo...ndiyo haya unayo yaona leo...
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Issa RA alizaliwa Bethlehem, kwa nini kule isiwe ndio makao makuu ya Rom,,badala yake yapo 🇮🇹,,why
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
Tatizo lenu nyie mbwa mnakariri na hamtumii akili
@zaburi2386
@zaburi2386 Жыл бұрын
Pamoja na yote hayo Bado waislam hawatak kumkiri YESU
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Kumkili yesu kua ndio mungu?
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Km hujui imani za watu bora ujifunze au uulize km hujui bora unyamaze,,hakuna dini inayompenda na kutukuza mitume yake kama islam,,,unajua Issa R.A.ametajwa mara ngapi kwenye quraan,,?Islam follow issa kuliko unavyomfollow ww
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
@@mustafamsatimuhenga253 hajui asemalo huyo
@wardw3022
@wardw3022 Жыл бұрын
Waislam tunajuwa Isa bin Mariam na ni Nabii kama manabii walotagulia kama Ibrahim Musa Ismail na wengineo
@allykomsonde7813
@allykomsonde7813 Жыл бұрын
Niru alimhasi kijana wakiume namkimfanya mkewe nabado roma hadileo ndio taifa lenye kiongozi wadini ya kikrito inayo biga upatu watu waingiliane kinyume namaumbile je unataka muislamu gani afuate uovu kamahuo jitafakari kwahili
@user-py2pb2ks7v
@user-py2pb2ks7v 9 ай бұрын
WEWE UNAYESIMULIA UMEOKOKA ?
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 28 күн бұрын
Ni mkristo..ila siyo mfuasi wa makanisa ya watu binafsi.
@faridithomas4859
@faridithomas4859 Жыл бұрын
Paulo hakuwa mtume, wanatheolojia wanathibitisha hivyo!! Huyo jamaa ndio aliyekuja kuvuruga mafundisho ya Yesu
@lydiarugemalira9182
@lydiarugemalira9182 Жыл бұрын
Kivip kaka
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
Mbona unapotosha Kaka Yani unatumia Quran kumkosoa Paul? Acha hizo stori pelekeni msikitini
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
Kama hujui Paulo ndiye aliyeinarisha zaidi Ukristo baada ya kupokea maono kutoka Kwa YESU
@faridithomas4859
@faridithomas4859 Жыл бұрын
@@audifansisafari5587 eti kupokea maono toka kwa yesu🤣🤣 Binadamu atampaje ufunuo binadamu mwenzake!?? Zinduka wewe acha kuwa mjinga Fuatilia kauli za wanatheolojia wakubwa kumhusi mshenzi Paulo na si vijimaneno vya watu wajinga mfano wako
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
@@faridithomas4859 we ndezi kweli YESU ni Mungu kweli na mtu kweli,
@thisboyisgreat
@thisboyisgreat Жыл бұрын
Sijawahi kusikia kiundan kanisani kuhusu yesu na watumishi wake
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Utasikia mitume wa yesu ila hapo kwa paulo ndio usiamini paulo hakua mtume wa yesu na sio mueslael hakuwai kutana na yesu na pia uchrist na pia soma biblia utagundua yesu hakua mchristo
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
@@mustafamsatimuhenga253 Yesu hawezi kua mkristo sababu yeye ndio Kristo wafuasi wake ndo wakristo, sababu wanamfuata tumia akili kabla hujaropoka na sio kukaririshwa
@user-pj8ed9kn6g
@user-pj8ed9kn6g Жыл бұрын
​@@francisjoseph1074 hahaha sasa kama yesu ndo Kristo acha uongo yesu hakuwa Kristo wapi umeona waisrail ni wakirst kama ukristo umetokea huko roma
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Hahaha sasa yesu kama nikweli hakua mchristo bas alikua muumini wa dinigani? Ili nanyi muifuate mimi situkani napenda kujifunza na swali jengine ni je huko alipotokea yesu islael kuna makao makuu ya kanisagani kamakweli ucchristo unamausiano na yesu
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Matendo 22 28 poulo ni mrumi yesu hakua na mwanafunzi mrumi huyu poul ndio alishirikiana na petro na kuanzisha uchristo na kanisa la kwanza lipo rom italiy ndo kanisa lakwanza na ndiokubwa dunianzima yesu hakuwai kuingia kanisani yesu alikua akifubdisha na kufanya ibada kwenye miskiti hukokwao tusome vitabu ili tuelewe tusimezeshwe imani bila maandiko
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Жыл бұрын
Achaneni na haya matangopori ndugu zangu nendeni kwa Imani Mcimbwa mpate kuijua asili yenu Muumba wa kweli Kristo wa kweli alikuwa mweusi historia yenye kueleweka bila maswali .... SnS najua mnatupenda il stori za dini na historia nyingi ni matangopori tunapewa Kama hujanielewa pita hutaki kudadisi pita comment yangu sina muda wa kubishana ukweli muutafute wenyewe mpime ya kubeba
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
We nae toa ukichaa wako, hapa Asili ya MTU ni MTU mweupe MTU mweusi production ya generatio Tu, Ndomana hata MTU mweusi akikutana kimwili na MTU mweupe lazima mtoto atoke Mweupe, Kwa asilimia kubawa, kama unabisha Nenda kaoe Mzungu, mchina mhindi mwarabu , uone kama utazaa mtoto mweusi
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Labda nikutoe udish kichwani kwani waisraeli ni weusi au weupe ukijua ndio umjue Yesu achana na uo upofu
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Жыл бұрын
@@jacksonngusi4122 and who can produce all color 😳
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Жыл бұрын
@@jacksonngusi4122 huasilia wa historia hauendani na waIsrael wa sasa bali na watu weusi... Yesu ni mweupe uko sahihi but Kristo wa kweli ni mweusi
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Жыл бұрын
@@francisjoseph1074 mtu ni mweusi binadam ni mweupe...swali la kujiuliza nikupe ni mtu au binadamu anaweza kutoa rangi zote? Asili inasema mtu wa kwanza ni mweusi binadamu walipatikana baada ya malaika walioanguka kuzaliana na watu weusi ndo rangi nyingine zikaja Alafu ukitoa haja sio unanitukana mimi kichaa toa hoja yako kwa heshima kama kweli unaheshimu unachokiabudu
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 57 МЛН
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 18 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 97 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 25 МЛН
Nog eens vier eeuwen (als je durft)
55:17
SURF ict-coöperatie
Рет қаралды 14 М.
The Truth Behind the Emergence of Islam - Jay Smith
2:27:40
FOCLOnline
Рет қаралды 1,9 МЛН
育児6年目の韓国人父が娘と遊ぶ方法4 #shorts
0:11
ミョリムMyorimu
Рет қаралды 20 МЛН
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 3,2 МЛН