Vita Vya Kagera 1977 1978 Sehemu Ya Pili

  Рет қаралды 1,997,323

SIMU. Tv

SIMU. Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 580
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 6 ай бұрын
Wanaoangalia 2024 like ❤❤
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 ай бұрын
Tunaoangalia 2024 tujuane kwa like 😊😊😊
@muhirefiston83
@muhirefiston83 7 ай бұрын
Niko hapa mwazangu
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 ай бұрын
@@muhirefiston83 karibu
@oscarakyoo4641
@oscarakyoo4641 7 ай бұрын
niko hapa
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 ай бұрын
@@oscarakyoo4641 karibu osca
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 6 ай бұрын
@@oscarakyoo4641 karibu
@rahabunyamsenda5064
@rahabunyamsenda5064 3 жыл бұрын
2021 tu like hapa. Nimependa sana mwalimu nyerere alivyo sema..nguvu ya kumpiga tunayo, sababu tunayo na Nia tunayo ni maneno mazuri sana ya kutia moyo na kuleta ushindi
@nyambirotrueinformation7500
@nyambirotrueinformation7500 3 жыл бұрын
Wanaoangalia 2021 kama mimi like zenu tujuane
@nyzerjnl7960
@nyzerjnl7960 4 жыл бұрын
Wanao angalia 2020 kama mm niwaone like
@langatemmanuel7359
@langatemmanuel7359 4 жыл бұрын
Nko hapa mkenya
@sebastiannikolaus5318
@sebastiannikolaus5318 4 жыл бұрын
Nzr
@abdunuruwilliam5380
@abdunuruwilliam5380 4 жыл бұрын
🇹🇿
@williammavugosodi322
@williammavugosodi322 4 жыл бұрын
niko hapa rwandanese
@sasboy6255
@sasboy6255 4 жыл бұрын
Tupo
@elimondvoiceboy7383
@elimondvoiceboy7383 3 жыл бұрын
Wanao angalia 2021 kama mimi gonga like apa
@seifhamad9817
@seifhamad9817 4 жыл бұрын
2020 tu like hapa
@kelvingrison7039
@kelvingrison7039 4 жыл бұрын
Watu hawa wengine wapo hai mpaka mda huu wanaish maisha magumu sana, serikali ifike hatua iwakumbuke hawa wazee wetu walioikomboa Tanzania kutoka kwa nyemela Nduli Amin
@williamnathan4630
@williamnathan4630 4 жыл бұрын
kelvin Grison Ni kweli, lakini walishatumika wakatupiliwa mbali
@alexandrea4403
@alexandrea4403 7 жыл бұрын
Daaaaah! baba yangu alikuwepo kwenye hii vita mungu akulaze mahali pema Amina...
@tedynicholaus4003
@tedynicholaus4003 6 жыл бұрын
Alex Andrea zpp
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 6 жыл бұрын
Pole sana ila tambua katusaidia wote MUNGU amuweke pema alitutea wote na nchi yake pole sana ndgu ila jivunie kua na mzazi alokomboa nchi
@kisayekapama8401
@kisayekapama8401 6 жыл бұрын
Alex Andrea sorry
@rajabmartojr3302
@rajabmartojr3302 5 жыл бұрын
Alex Andrea pole kaka
@hamisijmussa6983
@hamisijmussa6983 5 жыл бұрын
Wapumzike kwa amani wazazi wetu..
@chaulachaulaya5259
@chaulachaulaya5259 4 жыл бұрын
Nipo naitazama video hii November 2019, itaishi milele. Ahsanta kwa wanajeshi wetu na wote walioandaa makala hii...
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Mwalimu Nyerere heshima yake itasimuliwa vizazi vyote. Big Salute.
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 5 жыл бұрын
Babu yangu alipambana vikar kwenye hii vita Allah ampe kauli xabit 😭😭🤲🤲huko aliko pia amuepuxhie adhabu zakaburi Amiin
@hosearioner3637
@hosearioner3637 3 жыл бұрын
Much love from kenya...uzalendo ulidhirika katika hii vita vilivyo.
@isaacmwaipopo
@isaacmwaipopo 4 жыл бұрын
Kama wewe ni mzalendo, usipite hapa bila kugonga like. Nimerudi toka Ulaya sababu naipenda Tanzania. Ndo mana wakati natoka Tanzania kwenda ulaya nilibeba DVD za hotuba ya Mwalimu Nyerere ili niuendeleze uzalendo.
@eliahmunna1482
@eliahmunna1482 3 жыл бұрын
Kweli nimeamini ushirikiano na umoja wa watanzania ni wasiku nyingi sana na ndiyo maana tunaushi kwa amani bila kujali ukabila
@annamusembi9885
@annamusembi9885 4 жыл бұрын
They were true heroes I salute you. I am a Kenyan
@isssidd9565
@isssidd9565 7 жыл бұрын
polen sana kwa kutuangaikia ss tuish katika maixha mazuri tunawashukuru jaman
@lubinzamnundulu9485
@lubinzamnundulu9485 6 жыл бұрын
Danilodi
@lucyagustino4200
@lucyagustino4200 3 жыл бұрын
Jomon
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 4 жыл бұрын
Hiki ni kipindi pekee ambacho kiwango cha uzalendo kilikuwa cha hali ya juu sana, Hongereni sana mliojitoa kulitetea Taifa letu, Mungu azipumzishe kwa Amani roho za mashujaa waliopoteza maisha katika kipindi hiki kigumu, Mungu ibariki Tanzania na Jeshi letu la ulinzi la wananchi.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 17 күн бұрын
Exactly!
@hafidhikasimu7436
@hafidhikasimu7436 Күн бұрын
Nikuona hii clip ya vita ya kagera wallah namkumbuka Marehem baba yangu mungu amlaza pahala pema amin😢
@venancenkuwi768
@venancenkuwi768 5 жыл бұрын
Tanzania itajengwa na wenye moyo na sio wazalendo wa siku hizi!!! Mungu ibariki Tanzania
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 4 жыл бұрын
Wanao angalia mpaka muda huu rarehe 14/8/2020 agonge like😍😍
@adamssaid4392
@adamssaid4392 4 жыл бұрын
Mimi naiangalia video hii leo tarehe 17/8/2020 najifunza mengi na kuona inatupasa kulinda Sana amani tusidanganywe na akina tundu lisu wao wanasehem ya kukimbilia
@neemamliga539
@neemamliga539 7 жыл бұрын
My daddy fought on this war too en he's still alive!! May z soul of those who dieD in z war REST IN PEACE
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Neema Mliga hongera sana Mshukuru Mungu kila unapokumbuka.
@damianmakala2913
@damianmakala2913 6 жыл бұрын
Neema Mliga even my dad fought in this war and still a live till now
@simonchihongwe8489
@simonchihongwe8489 5 жыл бұрын
Neema Mliga
@oscarbundalla6352
@oscarbundalla6352 5 жыл бұрын
Amen
@williamnathan4630
@williamnathan4630 4 жыл бұрын
Kipindi Hicho nilikuwa na umri wa miaka 8 Std One, my Daddy was a soldier but did not go there ,walibaki Kama Askari wa Akiba. Nakumbuka baadhi ya watoto wenzetu enzi zile wakati wa kwenda kuwapokea , hawakuwaona baba zao. May their soul rest in peace!
@joelnassari105
@joelnassari105 6 жыл бұрын
Naipenda sana Nchi Yangu Tanzania...Mwenyenzi Mungu awape nguvu wafiwa na awapokee wote waliotangulia mbele za haki wakiipigania Nchi yetu na kutokana na vita hii ambayo iliturudisha nyuma sana kiuchumi kama Taifa la Tanzania..
@mohdkley7366
@mohdkley7366 7 жыл бұрын
Naahidi hatutoitupa nchi yetu tutaipigania Kwa kila hali mimi nipo Zanzibar mungu atusaidie
@mamadoudiaw9231
@mamadoudiaw9231 5 жыл бұрын
3toyou
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Amiiin
@patrickpondamali5615
@patrickpondamali5615 5 жыл бұрын
Mungu awalaze pema wailopigania nchiyetu na, waliobak wasaminiwe,
@shaabans.marijani9659
@shaabans.marijani9659 5 жыл бұрын
1978 only i was still very young with two years,i was born in 1976 so when the war was fighting I didn't have any to copy because of youngest.
@anithashembilu7732
@anithashembilu7732 5 жыл бұрын
Tumetoka mbali. Rais wetu na wale wote walioipigania nchi yetu, ninawaombea na kuwakumbuka daima. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@bigmanyamafilmproduction5890
@bigmanyamafilmproduction5890 3 жыл бұрын
Ni sura zenye utayali najikuta nasisimka mwili kwa uzarendo huu usio wa kinafki.heshima kwao
@rajmatola8611
@rajmatola8611 4 жыл бұрын
Amakwel nyerere ni simba wa afrka naipenda nchi yangu
@saitotilucumay594
@saitotilucumay594 7 жыл бұрын
for sure they was done a very very big work God blessed them wherever theyare
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 жыл бұрын
Rip babu ulipoteza maisha kwenye iyo vita ingawa nilisimuliwa mana sikuzaliwa
@junlabsupplier1932
@junlabsupplier1932 5 жыл бұрын
jojo _linkiss Abiny pole
@khadijaidrisa6575
@khadijaidrisa6575 4 жыл бұрын
jojo _linkiss Abiny pichazaekx
@nyahingapeter8835
@nyahingapeter8835 4 жыл бұрын
Pole
@obasinatha2400
@obasinatha2400 4 жыл бұрын
Polee
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
babu yangu alipigana kwenye hii vita, mungu aipumzishe roho za mashujaa wetu pema peponi, walijotoa muhanga ili tuishi maisha ya Amani kwenye Ardhi yetu, nakupenda Tanzania hawa walikuwa wazalendo wa kweli
@majanimshana6006
@majanimshana6006 7 жыл бұрын
pole ndugu yangu yesu akuongoze
@kilimoapp413
@kilimoapp413 6 жыл бұрын
mungu awalinde xana
@saidimpologomyi382
@saidimpologomyi382 4 жыл бұрын
Babu yangu ALLY SAIDI alikuwa katika hili kundi la mashujaa,ALLAH akuwekee wepesi katika makazi yako ya milele
@faridmwinyi9462
@faridmwinyi9462 2 жыл бұрын
Ameen❤
@chrisbee7876
@chrisbee7876 6 жыл бұрын
ukiangalia unagundua wengi walikua vijina hapo lazima tujue sikuzote sisi vijana niwatu tutakao jenga nchi yetu kwakumpa ushirikiano raisi wetu viva Tanzania
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 3 жыл бұрын
💪
@RoseMary-hp5bz
@RoseMary-hp5bz 8 жыл бұрын
naipenda Tanzanian nchi yangu,,r,i,p,wote mlotanglia mbele za haki😥, mungu ibarki Tz to Africa
@evetaerasmi5468
@evetaerasmi5468 7 жыл бұрын
Rose Mary o
@majanimshana6006
@majanimshana6006 7 жыл бұрын
Eveta Erasmi
@mkaliibrahimwololoyayeasha3542
@mkaliibrahimwololoyayeasha3542 7 жыл бұрын
Rose Mary pmj
@mwaikomolegren7021
@mwaikomolegren7021 6 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mwl hayati baba wa taiga mahali pema peponi Amina
@user-so8rs3md1g
@user-so8rs3md1g 7 ай бұрын
Jmn​@@mwaikomolegren7021
@petermwantole9433
@petermwantole9433 4 жыл бұрын
kweli huu ulikua uzalendo wa hali juu,,hongereni wote mlioshiriki vita hii,,na pumzikeni kwa amani mliotangulia mbele ya haki...
@aridiyahya8049
@aridiyahya8049 5 жыл бұрын
Kuna watu kati ya hawa sasahiv wanaenda maofisini kuudumiwa wanaikutu mijitu iko kwenye kiti cha kuzunguka full ac afu yanadharau na kuwacheleweshea huduma.
@marthasumaye6017
@marthasumaye6017 4 жыл бұрын
Mmojawapo babangu anaishi ntumba ya miti
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 4 жыл бұрын
Inauma
@samuelimori5711
@samuelimori5711 4 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana nikiangalia picha hizi. Nawakumbuka wenzangu waliotangulia mbele ya haki. Namshukuru Mungu aliyenihifadhi na kunirudisha salama.
@bigmanyamafilmproduction5890
@bigmanyamafilmproduction5890 3 жыл бұрын
Pole sana mzarendo wa kweli
@mdunguupdates4779
@mdunguupdates4779 3 жыл бұрын
Wanaoangalia 2021 like hapa
@johnwangare3024
@johnwangare3024 4 жыл бұрын
Babaangu bwana mwamed wangare kashiriki vita hivi kwanzia daraja la kagera mpaka mtukula na babaangu mkubwa chalesi wangare wote Mungu awarehem nakueapa panapo stahiki 😭
@josephabel2503
@josephabel2503 7 жыл бұрын
I see the spirit of the nation, mungu awape amani mliotangulia mbele za haki
@ZakeoVitus
@ZakeoVitus 9 ай бұрын
Uzalendo huu ni ujenzi wa Tanzania ambayo Leo tunajivuni Mungu bariki Tanzania hope kubwa ipo kwakuwa tuko kwenye nchi ambayo walio ipigania walituaminisha
@tabumasumbuko2909
@tabumasumbuko2909 3 жыл бұрын
Hongereni sana wapambanaji wetu kwa kutukomboa hii kazi ilikua ngumu
@ivanmarcela1209
@ivanmarcela1209 7 жыл бұрын
mungu ibaliki tz mungu wabaliki wote walioshiriki kuikomboa tz amina
@hinetadacres2618
@hinetadacres2618 7 жыл бұрын
eeh mungu wapumzishe mahala pema pepon mashujaa wetu waliotutangulia
@starboyisack1001
@starboyisack1001 7 жыл бұрын
Mungu barik jesh letu TANZANIA
@fredmwaijande9411
@fredmwaijande9411 2 жыл бұрын
Naipenda sana Tanzania nafarijika kuitwa mtanzania love sana Tanzania
@rizikizakaria8044
@rizikizakaria8044 2 жыл бұрын
Hawa watu wengine bado wapo hai ila wanamaisha magum sana selikali ifike hatua muwakumbke jamn msikalie tu kula bata na familia zenu.
@vedastosama4548
@vedastosama4548 7 жыл бұрын
Majemedari wetu walifanya kazi ngumu kwa ajili ya kuikomboa nchi yetu kutoka kwa gaidi iddiamini Dada Mwenyezi Mungu awape pumziko la amani wanajeshi wetu waliotufanya tuwe salama mpaka Leo
@meshackmoyo7397
@meshackmoyo7397 6 жыл бұрын
Ndotuige mifano hii jamani lakini nashangaa saizi tuna windana wenyewe kwa wenyewe tens kwasraa kar jaman inaumalakin
@rajabumwongozo9817
@rajabumwongozo9817 4 жыл бұрын
Baba yngu Kama angelikufa vtani Mimi nisinge kuepo nashkuru mung baba alrudi Dalia ingawa kwasasa nimarehem mung amlaze mahalapema pepon aaamin
@maulidrehani
@maulidrehani 7 жыл бұрын
mungu awapumzishe kwa amani hakika they fought for our country
@issahamisi4066
@issahamisi4066 3 жыл бұрын
Kama unaangalia 2021 double tap apo chini wanajeshi wetu wanafanya leo hii tunakula raha duniani full aman kwa msaada wa mwenyezi mungu .Julius kambarage nyerere💪
@mussapally115
@mussapally115 3 жыл бұрын
Naangalia 2021
@mpandaboy2279
@mpandaboy2279 4 жыл бұрын
Hii video imenipa hamasa kubwa kuitetea na kuisemea nchi yangu kwa mema popote nilipo.... Hakika hii vita ilituletea heshima kubwa vilevile ilisababisha hasara kubwa.. Nahakika bila hii vita na zile za ukombozi za kusaidia mataifa mengne yapate uhuru leo hii TZ ingekua ni moja ya developed countries kama SA,,,Mungu awalaze mahali pema wote waliopigania Taifa hili na awalinde wote ambao bado wapo hai🙏🇹🇿
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 3 жыл бұрын
👏
@vicentzamberiwarioba6468
@vicentzamberiwarioba6468 4 жыл бұрын
2020 mungu awabaliki kwa kazi mzr hatuna cha kuwalipa
@chrizantuspantaleo6928
@chrizantuspantaleo6928 2 жыл бұрын
I love you TANZANIA
@mangulaevarist7007
@mangulaevarist7007 3 жыл бұрын
2021 tujuane hapa
@abdulkalim2033
@abdulkalim2033 7 жыл бұрын
Hawa wanajeshi wengine wapo mpaka sasa na awakusaminiwa mchango wao kitika Taifa hili
@richardmabusi3557
@richardmabusi3557 7 жыл бұрын
hassan sasbai
@petervalentino271
@petervalentino271 5 жыл бұрын
Mungu ilinde Tanzania hatutaki yajirudie hayo. Ingawaje wakichokoza hatuwaachi!!!
@khameiskibabu4469
@khameiskibabu4469 4 жыл бұрын
Yaan hapo unaaga nymbn kma ukipta nafx kurudi ni maajaliwa tn.Mungu aziweke roho za walio tangulia mbele ya haki mahali pema peponi.Amin
@BarikiTheonesti
@BarikiTheonesti 23 күн бұрын
Nawapongeza sana waliojitokeza kulitetea taifa la TANZANIA Asanteni sana
@BarikiTheonesti
@BarikiTheonesti 23 күн бұрын
@xideblacktz
@xideblacktz 2 жыл бұрын
Thanks our soldiers I salute father nyerere
@chuchuthedonbling5038
@chuchuthedonbling5038 8 жыл бұрын
Am proud to be tanzanian
@bravoblueivy5774
@bravoblueivy5774 7 жыл бұрын
YAKOBO masia
@bravoblueivy5774
@bravoblueivy5774 7 жыл бұрын
yakobo masiai
@whmbuilder
@whmbuilder 7 жыл бұрын
Bravo BlueIvy
@isacksamwel1769
@isacksamwel1769 5 жыл бұрын
Chuchu Thedon bling yeah, it is good to be a patriot.
@patrickkessy3912
@patrickkessy3912 7 жыл бұрын
Je ingekuwa ni miaka hii tungeonesha uzalendo kama huu .....jibu langu mimi ni hapana uzalendo na nchi haupo tena kwa sababu ya ufisadi uliokithir na unaozdi kuwakandamiza wananchi
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 5 жыл бұрын
Naapa naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakulinda mpaka kufa
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 3 жыл бұрын
Wow..!!😍
@scotubetz340
@scotubetz340 3 жыл бұрын
Hadi nimesisimka naipenda nchi yangu
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 8 ай бұрын
Nimemkumbuka baba yangu, R I P kwa kupambania taifa ila serikali haijawahi kumuangalia kwa upande wa pili mpaka anatoka duniani tarehe 7/1/2017, rest in peace my father
@jandaboytzz4794
@jandaboytzz4794 4 жыл бұрын
Tanzania💗💗 na wish mpka ningekuwa mmojaWapo ktk hao Vijana
@aminajackson8119
@aminajackson8119 4 жыл бұрын
Siku hizi tunapenda tuvae gwanda tuonekane wanajeshi lkn duu Mungu atusaidie tumebaki masharobaro tuu uhalisia haupo
@leodgandunguru1695
@leodgandunguru1695 5 жыл бұрын
I like more watching this than football's
@wazirihakimu4642
@wazirihakimu4642 3 жыл бұрын
Mziki
@joelrugano6517
@joelrugano6517 5 жыл бұрын
Tulilelewa katika umoja,mshikamano. Kipindi hicho tulikuwa na wanasiasa wa kweli na siyo kama sasa ambapo wanasiasa wetu wako kimasilahi zaidi.
@neemaruttaiwa6202
@neemaruttaiwa6202 5 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mzee wetu umetufanya mkoa wetu Kagera kuwa huru
@jennipherray7001
@jennipherray7001 3 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania I love you my country
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 5 жыл бұрын
Daaah inafikia muda inabidi ujitolee kwa hali na mali kuhakikisha unailinda nchi yako, haikuwa rahisi kujitoa hawa leo hii tunaishi vizur sana.
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 4 жыл бұрын
Hawa jamaa ni majembe
@bogalechtafari378
@bogalechtafari378 4 жыл бұрын
Asante kwa vijana waliojitoa wakati huo, lakini yote ilitokana na msimamo na kujiamini kwa kiongozi wetu Mwalimu JK.
@matokeoroberty9138
@matokeoroberty9138 5 жыл бұрын
Japo mimi ni mkenya ila Tanzania iko imara kwenye jeshi
@mercynganga1273
@mercynganga1273 4 жыл бұрын
nagonga like kwa ajili ya wazo lako iaseeh..
@jonathanigustafu5258
@jonathanigustafu5258 4 жыл бұрын
Ni kwel kabisa matokeo
@michaelelias5042
@michaelelias5042 4 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@jerryjerry857
@jerryjerry857 3 жыл бұрын
@@michaelelias5042 Vxsxvvv
@samsonzacharia2329
@samsonzacharia2329 3 жыл бұрын
Tanzania haijawahi kuingia vitani ikashindwa kamwe. Mungu atusaidie
@superone9550
@superone9550 6 жыл бұрын
daa,I love your Tanzania
@taofiqconscious7408
@taofiqconscious7408 5 жыл бұрын
Mungu aibaliki tanzania kwamaana walimwaga damu kwaajili yakuikomboa tanzania hakikalani kwao nyelele. alemaha pema peponi Amin
@matokeombugano1324
@matokeombugano1324 7 жыл бұрын
sijui kama hawa vijana wangeweza hii shughuri...hawa team kiba na dimond
@fistonkyuing9888
@fistonkyuing9888 5 жыл бұрын
Labda wangeweza kuimba nyegeza na muvumo wa radi
@joharimaunga6127
@joharimaunga6127 5 жыл бұрын
kabisaa Allah awape pumzko mashujaa wetu kizaz cha leoo ni team kiba mond zar na wema
@racheldauson9471
@racheldauson9471 4 жыл бұрын
Ndomana Kila nikiwa njiani kwenda ug Nashua kuwaombea pale makaburi ya mashujaa aamen
@nicomwasaga1368
@nicomwasaga1368 4 жыл бұрын
Hahahahahahahahah hahahahahahahahahahahahaha
@jacquelinemabula2519
@jacquelinemabula2519 7 жыл бұрын
mwalimu hakuwaacha watz jaman mwalimu Mungu akupe pumziko la milele na wengine wote walio poteza maisha
@barikiswila8483
@barikiswila8483 6 жыл бұрын
jacqueline mabula
@aliraster9723
@aliraster9723 6 жыл бұрын
jacquel,ine mabula
@mariamushafii4775
@mariamushafii4775 7 жыл бұрын
mungu akupe mapumziko mema mwalim j k nyerere amini
@annazablon8406
@annazablon8406 4 жыл бұрын
Baba yangu alipigana vita japo 2006 ndo kafariki apumzike kwa amani .... amen
@majidypapeny1780
@majidypapeny1780 4 жыл бұрын
mungu amlaze mahali pema peponi
@ziadamkinga5254
@ziadamkinga5254 5 жыл бұрын
Kwakweli wenzetu waliumia kwa ajili yetu, hatuna bud kuumia kwa ajili yao
@shijamalole2153
@shijamalole2153 7 жыл бұрын
walipingana kwa ajili yetu amen
@doricaclemence2258
@doricaclemence2258 4 жыл бұрын
2020 mwingine
@benitoxavery1802
@benitoxavery1802 5 жыл бұрын
I love the spirit!
@saidmanjanjagara55
@saidmanjanjagara55 3 жыл бұрын
Wakati huo nchi ilikuwa na umoja na upendo, japo watu walikuwa maskini lkn walikuwa na mapenzi kwa nchi yao! Sasa tofauti, viongozi wanadhani wao ni first class! Tunabaguana kivyama na kubambikizia wapinzani kesi nzito! Sasa si wamoja tena!
@shukuruilomo768
@shukuruilomo768 5 жыл бұрын
Dah poleni sana ukweli mlifanya kazi kubwa sana one love Tanzania
@godlivergift8754
@godlivergift8754 11 ай бұрын
Mungu alitutoa mbali
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 4 жыл бұрын
Mungu awape nguvu our heroes mlio hai na walaze mahali pema peponi waliopoteza maisha.
@mackeykonji5175
@mackeykonji5175 7 жыл бұрын
hakuna kizaz cha kufananishwa na Mwl Nyerere..... Wanajesh wa sasa hawana tofaut na wazaman TATIZO niviongozi wetu
@damianmakala2913
@damianmakala2913 6 жыл бұрын
Mackey Konji kweli
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Tofaut ya sasa depo adi uonge
@jandaboytzz2755
@jandaboytzz2755 2 жыл бұрын
Roho Inaniuma Sana Watanzania Wenzetu hao Mjue Walikua Na Famlia Zao😢😢
@elisamehecharles5432
@elisamehecharles5432 6 жыл бұрын
ogaaah! ukimsikiliza msimuliaji ndo unaamini siku hzi hatuna watangazaji kabsa
@johnimarko5646
@johnimarko5646 4 жыл бұрын
Mungu aibarki afrka mungu aibarki tanzania
@onesmosimon2720
@onesmosimon2720 4 жыл бұрын
Aliye sikia kidumu chama cha mapinduzi agonge like na wapinzani najua kunakitu mmegundua apo
@user-jx6fi2et3p
@user-jx6fi2et3p 8 күн бұрын
Hawa ndiye madhalim wakubwa na Leo hawapo Tena na wengine waliyo hai hawajiwezi Tena wali uwa waislam wengi Uganda Mwenye zi MUNGU azidi kuwa angamiza insha'ALLAH
@lameckmichaelmagazi6345
@lameckmichaelmagazi6345 3 жыл бұрын
Wanaoangalia 2021 acha like hapa
@coolwaveac7659
@coolwaveac7659 4 жыл бұрын
MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amina🙏🙏
@sirilimichaelpamojasana2033
@sirilimichaelpamojasana2033 5 жыл бұрын
watu wa zamani wanaupendo sanajaman mungu awabariki
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Mama na baba angu walinihadisia ichi kipindi kwao kilikuwa kigumu sana yani sikifikiria hi storia niliopewa na wazazi wangu hakika vita sio kitu cha mchezo
@Baraka-hb2hb
@Baraka-hb2hb 9 ай бұрын
MAJOR-GENERAL JOH BUTLER WALDEN, MAY YOUR SOUL AND THE SOULS OF ALL THE FAITHFUL DEPARTED, THROUGHTHE MERCY OF +GOD+ REST IN ETERNAL PEACE WITH HIS ANGELS AND SAINTS ETERNALLY. AMEN 🙏😇😔😓❤👌👍👏
@amanimoisan6380
@amanimoisan6380 6 жыл бұрын
Were mwenyezi mungu wakumbuke wapiganaji wote waliopigania Tanzania
@hasbunallahwaaneemal3180
@hasbunallahwaaneemal3180 4 жыл бұрын
I love u💛💚🖤💙🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@africandarling6925
@africandarling6925 6 жыл бұрын
Tanzania tuige uhuu umoja wa kweli na upendo
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 4 жыл бұрын
Nilikuja kuzaliwa miaka 10 baadae....Kwakweli kama si hawa wakulungwa kupambana huenda hata nisingezaliwa.....kule kule kagera ndo hometown
@faridmwinyi9462
@faridmwinyi9462 2 жыл бұрын
😂😂😂😂kwakweli
@deusfelix9500
@deusfelix9500 4 жыл бұрын
I love you Tanzania
@mosesfrancis3946
@mosesfrancis3946 2 жыл бұрын
Asanteni sana wote mliochangia ushindi huo.
Shujaa aliyelala chumba cha Idi Amin wa Uganda  aeleza mazito
12:25
Mwananchi Digital
Рет қаралды 131 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 23 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 37 МЛН
My daughter is creative when it comes to eating food #funny #comedy #cute #baby#smart girl
00:17
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Battles from film - Tankist - (Dir Alexander Efremov 2020)
24:36
ThundeRMomenTWar
Рет қаралды 450 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 23 МЛН