2021 tu like hapa. Nimependa sana mwalimu nyerere alivyo sema..nguvu ya kumpiga tunayo, sababu tunayo na Nia tunayo ni maneno mazuri sana ya kutia moyo na kuleta ushindi
@nyambirotrueinformation75003 жыл бұрын
Wanaoangalia 2021 kama mimi like zenu tujuane
@nyzerjnl79604 жыл бұрын
Wanao angalia 2020 kama mm niwaone like
@langatemmanuel73594 жыл бұрын
Nko hapa mkenya
@sebastiannikolaus53184 жыл бұрын
Nzr
@abdunuruwilliam53804 жыл бұрын
🇹🇿
@williammavugosodi3224 жыл бұрын
niko hapa rwandanese
@sasboy62554 жыл бұрын
Tupo
@elimondvoiceboy73833 жыл бұрын
Wanao angalia 2021 kama mimi gonga like apa
@seifhamad98174 жыл бұрын
2020 tu like hapa
@kelvingrison70394 жыл бұрын
Watu hawa wengine wapo hai mpaka mda huu wanaish maisha magumu sana, serikali ifike hatua iwakumbuke hawa wazee wetu walioikomboa Tanzania kutoka kwa nyemela Nduli Amin
@williamnathan46304 жыл бұрын
kelvin Grison Ni kweli, lakini walishatumika wakatupiliwa mbali
@alexandrea44037 жыл бұрын
Daaaaah! baba yangu alikuwepo kwenye hii vita mungu akulaze mahali pema Amina...
@tedynicholaus40036 жыл бұрын
Alex Andrea zpp
@stanslausmteme84556 жыл бұрын
Pole sana ila tambua katusaidia wote MUNGU amuweke pema alitutea wote na nchi yake pole sana ndgu ila jivunie kua na mzazi alokomboa nchi
@kisayekapama84016 жыл бұрын
Alex Andrea sorry
@rajabmartojr33025 жыл бұрын
Alex Andrea pole kaka
@hamisijmussa69835 жыл бұрын
Wapumzike kwa amani wazazi wetu..
@chaulachaulaya52594 жыл бұрын
Nipo naitazama video hii November 2019, itaishi milele. Ahsanta kwa wanajeshi wetu na wote walioandaa makala hii...
@mpelienock6 жыл бұрын
Mwalimu Nyerere heshima yake itasimuliwa vizazi vyote. Big Salute.
@rahmaoman51225 жыл бұрын
Babu yangu alipambana vikar kwenye hii vita Allah ampe kauli xabit 😭😭🤲🤲huko aliko pia amuepuxhie adhabu zakaburi Amiin
@hosearioner36373 жыл бұрын
Much love from kenya...uzalendo ulidhirika katika hii vita vilivyo.
@isaacmwaipopo4 жыл бұрын
Kama wewe ni mzalendo, usipite hapa bila kugonga like. Nimerudi toka Ulaya sababu naipenda Tanzania. Ndo mana wakati natoka Tanzania kwenda ulaya nilibeba DVD za hotuba ya Mwalimu Nyerere ili niuendeleze uzalendo.
@eliahmunna14823 жыл бұрын
Kweli nimeamini ushirikiano na umoja wa watanzania ni wasiku nyingi sana na ndiyo maana tunaushi kwa amani bila kujali ukabila
@annamusembi98854 жыл бұрын
They were true heroes I salute you. I am a Kenyan
@isssidd95657 жыл бұрын
polen sana kwa kutuangaikia ss tuish katika maixha mazuri tunawashukuru jaman
@lubinzamnundulu94856 жыл бұрын
Danilodi
@lucyagustino42003 жыл бұрын
Jomon
@felixmagulu61424 жыл бұрын
Hiki ni kipindi pekee ambacho kiwango cha uzalendo kilikuwa cha hali ya juu sana, Hongereni sana mliojitoa kulitetea Taifa letu, Mungu azipumzishe kwa Amani roho za mashujaa waliopoteza maisha katika kipindi hiki kigumu, Mungu ibariki Tanzania na Jeshi letu la ulinzi la wananchi.
@jumakapilima729517 күн бұрын
Exactly!
@hafidhikasimu7436Күн бұрын
Nikuona hii clip ya vita ya kagera wallah namkumbuka Marehem baba yangu mungu amlaza pahala pema amin😢
@venancenkuwi7685 жыл бұрын
Tanzania itajengwa na wenye moyo na sio wazalendo wa siku hizi!!! Mungu ibariki Tanzania
@mutalemwagabrie97914 жыл бұрын
Wanao angalia mpaka muda huu rarehe 14/8/2020 agonge like😍😍
@adamssaid43924 жыл бұрын
Mimi naiangalia video hii leo tarehe 17/8/2020 najifunza mengi na kuona inatupasa kulinda Sana amani tusidanganywe na akina tundu lisu wao wanasehem ya kukimbilia
@neemamliga5397 жыл бұрын
My daddy fought on this war too en he's still alive!! May z soul of those who dieD in z war REST IN PEACE
@mpelienock6 жыл бұрын
Neema Mliga hongera sana Mshukuru Mungu kila unapokumbuka.
@damianmakala29136 жыл бұрын
Neema Mliga even my dad fought in this war and still a live till now
@simonchihongwe84895 жыл бұрын
Neema Mliga
@oscarbundalla63525 жыл бұрын
Amen
@williamnathan46304 жыл бұрын
Kipindi Hicho nilikuwa na umri wa miaka 8 Std One, my Daddy was a soldier but did not go there ,walibaki Kama Askari wa Akiba. Nakumbuka baadhi ya watoto wenzetu enzi zile wakati wa kwenda kuwapokea , hawakuwaona baba zao. May their soul rest in peace!
@joelnassari1056 жыл бұрын
Naipenda sana Nchi Yangu Tanzania...Mwenyenzi Mungu awape nguvu wafiwa na awapokee wote waliotangulia mbele za haki wakiipigania Nchi yetu na kutokana na vita hii ambayo iliturudisha nyuma sana kiuchumi kama Taifa la Tanzania..
@mohdkley73667 жыл бұрын
Naahidi hatutoitupa nchi yetu tutaipigania Kwa kila hali mimi nipo Zanzibar mungu atusaidie
@mamadoudiaw92315 жыл бұрын
3toyou
@oman77103 жыл бұрын
Amiiin
@patrickpondamali56155 жыл бұрын
Mungu awalaze pema wailopigania nchiyetu na, waliobak wasaminiwe,
@shaabans.marijani96595 жыл бұрын
1978 only i was still very young with two years,i was born in 1976 so when the war was fighting I didn't have any to copy because of youngest.
@anithashembilu77325 жыл бұрын
Tumetoka mbali. Rais wetu na wale wote walioipigania nchi yetu, ninawaombea na kuwakumbuka daima. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@bigmanyamafilmproduction58903 жыл бұрын
Ni sura zenye utayali najikuta nasisimka mwili kwa uzarendo huu usio wa kinafki.heshima kwao
@rajmatola86114 жыл бұрын
Amakwel nyerere ni simba wa afrka naipenda nchi yangu
@saitotilucumay5947 жыл бұрын
for sure they was done a very very big work God blessed them wherever theyare
@jojo_linkissabiny52385 жыл бұрын
Rip babu ulipoteza maisha kwenye iyo vita ingawa nilisimuliwa mana sikuzaliwa
@junlabsupplier19325 жыл бұрын
jojo _linkiss Abiny pole
@khadijaidrisa65754 жыл бұрын
jojo _linkiss Abiny pichazaekx
@nyahingapeter88354 жыл бұрын
Pole
@obasinatha24004 жыл бұрын
Polee
@tracyjustice16007 жыл бұрын
babu yangu alipigana kwenye hii vita, mungu aipumzishe roho za mashujaa wetu pema peponi, walijotoa muhanga ili tuishi maisha ya Amani kwenye Ardhi yetu, nakupenda Tanzania hawa walikuwa wazalendo wa kweli
@majanimshana60067 жыл бұрын
pole ndugu yangu yesu akuongoze
@kilimoapp4136 жыл бұрын
mungu awalinde xana
@saidimpologomyi3824 жыл бұрын
Babu yangu ALLY SAIDI alikuwa katika hili kundi la mashujaa,ALLAH akuwekee wepesi katika makazi yako ya milele
@faridmwinyi94622 жыл бұрын
Ameen❤
@chrisbee78766 жыл бұрын
ukiangalia unagundua wengi walikua vijina hapo lazima tujue sikuzote sisi vijana niwatu tutakao jenga nchi yetu kwakumpa ushirikiano raisi wetu viva Tanzania
@khadijarajab83833 жыл бұрын
💪
@RoseMary-hp5bz8 жыл бұрын
naipenda Tanzanian nchi yangu,,r,i,p,wote mlotanglia mbele za haki😥, mungu ibarki Tz to Africa
@evetaerasmi54687 жыл бұрын
Rose Mary o
@majanimshana60067 жыл бұрын
Eveta Erasmi
@mkaliibrahimwololoyayeasha35427 жыл бұрын
Rose Mary pmj
@mwaikomolegren70216 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mwl hayati baba wa taiga mahali pema peponi Amina
@user-so8rs3md1g7 ай бұрын
Jmn@@mwaikomolegren7021
@petermwantole94334 жыл бұрын
kweli huu ulikua uzalendo wa hali juu,,hongereni wote mlioshiriki vita hii,,na pumzikeni kwa amani mliotangulia mbele ya haki...
@aridiyahya80495 жыл бұрын
Kuna watu kati ya hawa sasahiv wanaenda maofisini kuudumiwa wanaikutu mijitu iko kwenye kiti cha kuzunguka full ac afu yanadharau na kuwacheleweshea huduma.
@marthasumaye60174 жыл бұрын
Mmojawapo babangu anaishi ntumba ya miti
@rebeccampeta66504 жыл бұрын
Inauma
@samuelimori57114 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana nikiangalia picha hizi. Nawakumbuka wenzangu waliotangulia mbele ya haki. Namshukuru Mungu aliyenihifadhi na kunirudisha salama.
@bigmanyamafilmproduction58903 жыл бұрын
Pole sana mzarendo wa kweli
@mdunguupdates47793 жыл бұрын
Wanaoangalia 2021 like hapa
@johnwangare30244 жыл бұрын
Babaangu bwana mwamed wangare kashiriki vita hivi kwanzia daraja la kagera mpaka mtukula na babaangu mkubwa chalesi wangare wote Mungu awarehem nakueapa panapo stahiki 😭
@josephabel25037 жыл бұрын
I see the spirit of the nation, mungu awape amani mliotangulia mbele za haki
@ZakeoVitus9 ай бұрын
Uzalendo huu ni ujenzi wa Tanzania ambayo Leo tunajivuni Mungu bariki Tanzania hope kubwa ipo kwakuwa tuko kwenye nchi ambayo walio ipigania walituaminisha
@tabumasumbuko29093 жыл бұрын
Hongereni sana wapambanaji wetu kwa kutukomboa hii kazi ilikua ngumu
@ivanmarcela12097 жыл бұрын
mungu ibaliki tz mungu wabaliki wote walioshiriki kuikomboa tz amina
@hinetadacres26187 жыл бұрын
eeh mungu wapumzishe mahala pema pepon mashujaa wetu waliotutangulia
@starboyisack10017 жыл бұрын
Mungu barik jesh letu TANZANIA
@fredmwaijande94112 жыл бұрын
Naipenda sana Tanzania nafarijika kuitwa mtanzania love sana Tanzania
@rizikizakaria80442 жыл бұрын
Hawa watu wengine bado wapo hai ila wanamaisha magum sana selikali ifike hatua muwakumbke jamn msikalie tu kula bata na familia zenu.
@vedastosama45487 жыл бұрын
Majemedari wetu walifanya kazi ngumu kwa ajili ya kuikomboa nchi yetu kutoka kwa gaidi iddiamini Dada Mwenyezi Mungu awape pumziko la amani wanajeshi wetu waliotufanya tuwe salama mpaka Leo
@meshackmoyo73976 жыл бұрын
Ndotuige mifano hii jamani lakini nashangaa saizi tuna windana wenyewe kwa wenyewe tens kwasraa kar jaman inaumalakin
@rajabumwongozo98174 жыл бұрын
Baba yngu Kama angelikufa vtani Mimi nisinge kuepo nashkuru mung baba alrudi Dalia ingawa kwasasa nimarehem mung amlaze mahalapema pepon aaamin
@maulidrehani7 жыл бұрын
mungu awapumzishe kwa amani hakika they fought for our country
@issahamisi40663 жыл бұрын
Kama unaangalia 2021 double tap apo chini wanajeshi wetu wanafanya leo hii tunakula raha duniani full aman kwa msaada wa mwenyezi mungu .Julius kambarage nyerere💪
@mussapally1153 жыл бұрын
Naangalia 2021
@mpandaboy22794 жыл бұрын
Hii video imenipa hamasa kubwa kuitetea na kuisemea nchi yangu kwa mema popote nilipo.... Hakika hii vita ilituletea heshima kubwa vilevile ilisababisha hasara kubwa.. Nahakika bila hii vita na zile za ukombozi za kusaidia mataifa mengne yapate uhuru leo hii TZ ingekua ni moja ya developed countries kama SA,,,Mungu awalaze mahali pema wote waliopigania Taifa hili na awalinde wote ambao bado wapo hai🙏🇹🇿
@khadijarajab83833 жыл бұрын
👏
@vicentzamberiwarioba64684 жыл бұрын
2020 mungu awabaliki kwa kazi mzr hatuna cha kuwalipa
@chrizantuspantaleo69282 жыл бұрын
I love you TANZANIA
@mangulaevarist70073 жыл бұрын
2021 tujuane hapa
@abdulkalim20337 жыл бұрын
Hawa wanajeshi wengine wapo mpaka sasa na awakusaminiwa mchango wao kitika Taifa hili
@richardmabusi35577 жыл бұрын
hassan sasbai
@petervalentino2715 жыл бұрын
Mungu ilinde Tanzania hatutaki yajirudie hayo. Ingawaje wakichokoza hatuwaachi!!!
@khameiskibabu44694 жыл бұрын
Yaan hapo unaaga nymbn kma ukipta nafx kurudi ni maajaliwa tn.Mungu aziweke roho za walio tangulia mbele ya haki mahali pema peponi.Amin
@BarikiTheonesti23 күн бұрын
Nawapongeza sana waliojitokeza kulitetea taifa la TANZANIA Asanteni sana
@BarikiTheonesti23 күн бұрын
❤
@xideblacktz2 жыл бұрын
Thanks our soldiers I salute father nyerere
@chuchuthedonbling50388 жыл бұрын
Am proud to be tanzanian
@bravoblueivy57747 жыл бұрын
YAKOBO masia
@bravoblueivy57747 жыл бұрын
yakobo masiai
@whmbuilder7 жыл бұрын
Bravo BlueIvy
@isacksamwel17695 жыл бұрын
Chuchu Thedon bling yeah, it is good to be a patriot.
@patrickkessy39127 жыл бұрын
Je ingekuwa ni miaka hii tungeonesha uzalendo kama huu .....jibu langu mimi ni hapana uzalendo na nchi haupo tena kwa sababu ya ufisadi uliokithir na unaozdi kuwakandamiza wananchi
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA5 жыл бұрын
Naapa naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakulinda mpaka kufa
@donardmsomi84513 жыл бұрын
Wow..!!😍
@scotubetz3403 жыл бұрын
Hadi nimesisimka naipenda nchi yangu
@mustaphawelder70228 ай бұрын
Nimemkumbuka baba yangu, R I P kwa kupambania taifa ila serikali haijawahi kumuangalia kwa upande wa pili mpaka anatoka duniani tarehe 7/1/2017, rest in peace my father
@jandaboytzz47944 жыл бұрын
Tanzania💗💗 na wish mpka ningekuwa mmojaWapo ktk hao Vijana
@aminajackson81194 жыл бұрын
Siku hizi tunapenda tuvae gwanda tuonekane wanajeshi lkn duu Mungu atusaidie tumebaki masharobaro tuu uhalisia haupo
@leodgandunguru16955 жыл бұрын
I like more watching this than football's
@wazirihakimu46423 жыл бұрын
Mziki
@joelrugano65175 жыл бұрын
Tulilelewa katika umoja,mshikamano. Kipindi hicho tulikuwa na wanasiasa wa kweli na siyo kama sasa ambapo wanasiasa wetu wako kimasilahi zaidi.
@neemaruttaiwa62025 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mzee wetu umetufanya mkoa wetu Kagera kuwa huru
@jennipherray70013 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania I love you my country
@ameirzapy13185 жыл бұрын
Daaah inafikia muda inabidi ujitolee kwa hali na mali kuhakikisha unailinda nchi yako, haikuwa rahisi kujitoa hawa leo hii tunaishi vizur sana.
@anastaziuscyriacus54154 жыл бұрын
Hawa jamaa ni majembe
@bogalechtafari3784 жыл бұрын
Asante kwa vijana waliojitoa wakati huo, lakini yote ilitokana na msimamo na kujiamini kwa kiongozi wetu Mwalimu JK.
@matokeoroberty91385 жыл бұрын
Japo mimi ni mkenya ila Tanzania iko imara kwenye jeshi
@mercynganga12734 жыл бұрын
nagonga like kwa ajili ya wazo lako iaseeh..
@jonathanigustafu52584 жыл бұрын
Ni kwel kabisa matokeo
@michaelelias50424 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@jerryjerry8573 жыл бұрын
@@michaelelias5042 Vxsxvvv
@samsonzacharia23293 жыл бұрын
Tanzania haijawahi kuingia vitani ikashindwa kamwe. Mungu atusaidie
@superone95506 жыл бұрын
daa,I love your Tanzania
@taofiqconscious74085 жыл бұрын
Mungu aibaliki tanzania kwamaana walimwaga damu kwaajili yakuikomboa tanzania hakikalani kwao nyelele. alemaha pema peponi Amin
@matokeombugano13247 жыл бұрын
sijui kama hawa vijana wangeweza hii shughuri...hawa team kiba na dimond
@fistonkyuing98885 жыл бұрын
Labda wangeweza kuimba nyegeza na muvumo wa radi
@joharimaunga61275 жыл бұрын
kabisaa Allah awape pumzko mashujaa wetu kizaz cha leoo ni team kiba mond zar na wema
@racheldauson94714 жыл бұрын
Ndomana Kila nikiwa njiani kwenda ug Nashua kuwaombea pale makaburi ya mashujaa aamen
@nicomwasaga13684 жыл бұрын
Hahahahahahahahah hahahahahahahahahahahahaha
@jacquelinemabula25197 жыл бұрын
mwalimu hakuwaacha watz jaman mwalimu Mungu akupe pumziko la milele na wengine wote walio poteza maisha
@barikiswila84836 жыл бұрын
jacqueline mabula
@aliraster97236 жыл бұрын
jacquel,ine mabula
@mariamushafii47757 жыл бұрын
mungu akupe mapumziko mema mwalim j k nyerere amini
@annazablon84064 жыл бұрын
Baba yangu alipigana vita japo 2006 ndo kafariki apumzike kwa amani .... amen
@majidypapeny17804 жыл бұрын
mungu amlaze mahali pema peponi
@ziadamkinga52545 жыл бұрын
Kwakweli wenzetu waliumia kwa ajili yetu, hatuna bud kuumia kwa ajili yao
@shijamalole21537 жыл бұрын
walipingana kwa ajili yetu amen
@doricaclemence22584 жыл бұрын
2020 mwingine
@benitoxavery18025 жыл бұрын
I love the spirit!
@saidmanjanjagara553 жыл бұрын
Wakati huo nchi ilikuwa na umoja na upendo, japo watu walikuwa maskini lkn walikuwa na mapenzi kwa nchi yao! Sasa tofauti, viongozi wanadhani wao ni first class! Tunabaguana kivyama na kubambikizia wapinzani kesi nzito! Sasa si wamoja tena!
@shukuruilomo7685 жыл бұрын
Dah poleni sana ukweli mlifanya kazi kubwa sana one love Tanzania
@godlivergift875411 ай бұрын
Mungu alitutoa mbali
@clementhiddi14864 жыл бұрын
Mungu awape nguvu our heroes mlio hai na walaze mahali pema peponi waliopoteza maisha.
@mackeykonji51757 жыл бұрын
hakuna kizaz cha kufananishwa na Mwl Nyerere..... Wanajesh wa sasa hawana tofaut na wazaman TATIZO niviongozi wetu
@damianmakala29136 жыл бұрын
Mackey Konji kweli
@priscasiame91795 жыл бұрын
Tofaut ya sasa depo adi uonge
@jandaboytzz27552 жыл бұрын
Roho Inaniuma Sana Watanzania Wenzetu hao Mjue Walikua Na Famlia Zao😢😢
@elisamehecharles54326 жыл бұрын
ogaaah! ukimsikiliza msimuliaji ndo unaamini siku hzi hatuna watangazaji kabsa
@johnimarko56464 жыл бұрын
Mungu aibarki afrka mungu aibarki tanzania
@onesmosimon27204 жыл бұрын
Aliye sikia kidumu chama cha mapinduzi agonge like na wapinzani najua kunakitu mmegundua apo
@user-jx6fi2et3p8 күн бұрын
Hawa ndiye madhalim wakubwa na Leo hawapo Tena na wengine waliyo hai hawajiwezi Tena wali uwa waislam wengi Uganda Mwenye zi MUNGU azidi kuwa angamiza insha'ALLAH
@lameckmichaelmagazi63453 жыл бұрын
Wanaoangalia 2021 acha like hapa
@coolwaveac76594 жыл бұрын
MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amina🙏🙏
@sirilimichaelpamojasana20335 жыл бұрын
watu wa zamani wanaupendo sanajaman mungu awabariki
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Mama na baba angu walinihadisia ichi kipindi kwao kilikuwa kigumu sana yani sikifikiria hi storia niliopewa na wazazi wangu hakika vita sio kitu cha mchezo
@Baraka-hb2hb9 ай бұрын
MAJOR-GENERAL JOH BUTLER WALDEN, MAY YOUR SOUL AND THE SOULS OF ALL THE FAITHFUL DEPARTED, THROUGHTHE MERCY OF +GOD+ REST IN ETERNAL PEACE WITH HIS ANGELS AND SAINTS ETERNALLY. AMEN 🙏😇😔😓❤👌👍👏
@amanimoisan63806 жыл бұрын
Were mwenyezi mungu wakumbuke wapiganaji wote waliopigania Tanzania
@hasbunallahwaaneemal31804 жыл бұрын
I love u💛💚🖤💙🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@africandarling69256 жыл бұрын
Tanzania tuige uhuu umoja wa kweli na upendo
@anastaziuscyriacus54154 жыл бұрын
Nilikuja kuzaliwa miaka 10 baadae....Kwakweli kama si hawa wakulungwa kupambana huenda hata nisingezaliwa.....kule kule kagera ndo hometown