Siri Nzito ya Azimio la Arusha, Ugomvi wa Kambona na Nyerere Yafichuka

  Рет қаралды 63,351

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Subscribe / uwazi1
Kuna mambo mengi yalitokea hapo nyuma kabla na baada ya Uhuru ambayo ndani yake kuna mengi yakujifunza kwa Nchi yetu mashuhuri Tanzania, ikwemo Historia ya Nchi Yetu kwani ni Vizuri kujua tulikotoka na jinsi ambavyo wazee wetu walipambana kuhakikisha Uhuru wa Nchi yetu unapatikana.
Miongoni mwa Majina Yaliotikisa wakati wa enzi za Tanu sambamba na wakati wa harakati za kutafuta Uhuru , ingawa wote tunajivunia jitihada za Baba yetu wa Taifa Hayati Mwl Julius Nyerere lakini ni vizuri pia kutambua mchango kwa wazee wetu wengine ingawa hatuwezi kulinganisha na jinsi Baba wa Taifa alivyopigania Nchi hii.
Tunakukutanisha na Mzee lwanyantika Masha ambaye amefunguka kila kitu.
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 76
@musakihama5480
@musakihama5480 6 жыл бұрын
nilitamani Sana kuujua ubora wa Nyerere na kambona mtangazaji umenitoa kwenye focus.
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 3 жыл бұрын
Hongera sana dada kwa kipindi hiki, hivi ndivyo vipindi tunavyotaka
@kayzarbalama6214
@kayzarbalama6214 6 жыл бұрын
Hongera kwa Mzee wetu. Ila kwa huyu Host hapana
@cosmaskamugisha5918
@cosmaskamugisha5918 Жыл бұрын
Good history let every one love our country CCM keep peace for lever
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 4 жыл бұрын
Dr Mohamed said ,anafundisha sana mambo hayo na mimi humfuatilia sana makala zake you tube,hajawahi sema Nyerere aliibadilisha TAA kuwa chama cha siasa kazi yake ni kumlaumu na kuzigeuza juhudi zionekane za kidini.Hapa tuna shuhuda aliye wahi afanya kazi na wakati huo,amjibu sasa prof hapa.
@sillasokew6045
@sillasokew6045 6 жыл бұрын
naamini watu kama huyu Prof. bado wapo wengi tu hapa tz historia ya nchi ingeandikwa ila ifundishwe na iishi katika mioyo ya wananchi. viva prof viva mtangazaji
@jafetyamosi4898
@jafetyamosi4898 6 жыл бұрын
niwakina nani hao
@hajiharun3587
@hajiharun3587 6 жыл бұрын
Historian yetu inakanyagwa sana, poleni wazee wote mliopoteza Maisha na kufilisika kwa ajili ya Uhuru hewa mlioupigania ktk Nchi hii.
@lawmarcusmwakagenda355
@lawmarcusmwakagenda355 6 жыл бұрын
Ufike wakati historia Kama hii itumike mashuleni. Ile ya ukoloni na kutawaliwa na utumwa ibaki kwenye vitabu library maana kizazi chetu kinaathirika na historia hii na kujisikia inferior sana kulinganisha na kizazi cha waliotutawala na kututumikisha
@nehemiajoshua1408
@nehemiajoshua1408 6 жыл бұрын
Law Marcus Mwakagenda kweli
@babumrisha
@babumrisha 3 жыл бұрын
vyovyote vile, but I think kina Kambona walikua na hoja ya msingi....tanzania ya leo imetokana na siasa za ajabu-ajabu za kijamaa. Look at our fellow Kenyans, Zimbabwean, Zambians, Ghanaians, Nigerians etc...
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 15 күн бұрын
Ujamaa kama Nyerere alivyo uandika ndiyo nadharia bora (tenable) ya Serikali Kwenye falsafa zingine kitaaluma. Kwa vipimo vyovyote, Tanzania ni bora kuliko nchi nyingi duniani.
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Histori ya Tanganyika ,
@kfastak
@kfastak 6 жыл бұрын
Vijiji vya ujamaa .. hatar sana
@mussasaimon2012
@mussasaimon2012 5 жыл бұрын
Dada ongeza juhud
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 жыл бұрын
Kambona was for multi party politics nyerere refused and kambona fled to UK mzee is not sincere
@111dudi
@111dudi 2 жыл бұрын
Nyerere hakutaka mtu yeyote Ainue kichwa.Azimio la Arusha liliua nchi, nyerere aipotoka na lenyewe likafa
@izzi198
@izzi198 6 жыл бұрын
Huyu dada kazingua, you can't interrupt mtu akiwa anazngumza listen first then utajua your next question.
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Kambona mungu amrehemu sana,
@chabakakilumanga2206
@chabakakilumanga2206 6 жыл бұрын
Hongera binti you have a bright future ahead of you.
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 5 жыл бұрын
Huyu mwandishi yuko vizuri sana na ndiyo maana yeye ndiye aliyemhoji mavazi sio kosa lake tuanzie huko kwenye familia zetu na kwenye Imani zetu.... Chamsingi aongezee tu Juhudi
@mwanawetumwagora6283
@mwanawetumwagora6283 6 жыл бұрын
Nikweli wana historia wa Tanzania hawaelezei viongozi wengine from primary to sec. Ninyerere tu anaelezewa kamavile yeye ndiye mpigagitaa yeye ndo mwimbaji, yy ndo mchezaji
@dinocastico8495
@dinocastico8495 4 жыл бұрын
Naikumbuka hadithi ya mtu wa kale ndani yetu.. na hapa nimemfikiria mtikila, huku kuogopa wafu kwakuamini mizimu hubaki hai ndio itazidi kutuondolea maana halisi ya kujuwa history halisi. Leo watu hawajuwi waasisi wa chama cha TAA. Wala TANU. Aliye stahili azungumzwe ndio history haita badili rangi za bendera ya nchi ila itatufanya tujuwe wajibu wake katika taifa lake. Tukianza kwa uwongo hakika tutamalizia katika ukweli. Lkn kwakuwa iko hivyo kwa killa nchi tufundisheni tu ila ikifika kipindi cha maswali na mjibu😊😊
@MrKhatibu
@MrKhatibu 6 жыл бұрын
Siku nyengine unapokwenda kuwahoji watu wazima ujue kuvaa nguo za heshima
@jisamjose2184
@jisamjose2184 6 жыл бұрын
Maalim mombo na mirangi ya mdomo ka kahaba linamtege mzee
@MrKhatibu
@MrKhatibu 6 жыл бұрын
Jisam José sojakuelewa
@wisdomkyando5165
@wisdomkyando5165 6 жыл бұрын
kwani kavaa nn cha ajabu
@bensonmaselle2372
@bensonmaselle2372 6 жыл бұрын
sawa kabisa
@bensonmaselle2372
@bensonmaselle2372 6 жыл бұрын
we huoni ama! ni vazi la heshima hilo?
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 6 жыл бұрын
Mtangazaji ovyoooo
@manungda9955
@manungda9955 3 жыл бұрын
Wewe dada please mwaechie Mzee aeleze historia kwa utulifu unamzonga na maswali yako
@azorysallah9304
@azorysallah9304 5 жыл бұрын
Channel makini,,mrembo ni mzuriii sanaa bright in mind as well
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
So unprofessional and under-qualified to interview such a person; there is a substantial intellectual gap between the interviewer and interviewee. Global TV, can you do better to prep your staff? Are they trained Journalists? If so, how come they cannot even ask follow up questions? What a waste of an opportunity? Too scripted!
@bogohe
@bogohe 6 жыл бұрын
Poor Journalist indeed- Please hire qualified journalists- what a missed opportunity!
@Julitha12
@Julitha12 5 жыл бұрын
Global 📺, Please don't repeat again to waste this Opportunity.
@frenkmatei7992
@frenkmatei7992 6 жыл бұрын
Pamoja
@isacksteven755
@isacksteven755 6 жыл бұрын
Nikweli huyu ndie the hero of social justice aliona mbali, aliona mengi, wapo wakumubadili lakin nyerer atabaki kuwa nyerer
@kenanmalindisa6430
@kenanmalindisa6430 5 жыл бұрын
huyu mzee ana mambo mengi ya kuzungumza, sema sasa huyu mtangazaji ndo mpuuz...anakera balaa
@danyrichojoro4004
@danyrichojoro4004 6 жыл бұрын
Kipindi kilikuwa kizuri ila mtangazaji amekiaribu. Ametukosesha point za msingi..mwandish maswali yake hayakuwa na utaratibu..amekuwa akimuondoa mzee masha kwenye truck.. Hasa kwenye habar ya Kambona na Nyerere
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
Thank, felt the same way; she missed the opportunity to get more info from such a golden source,
@clarauisso4044
@clarauisso4044 6 жыл бұрын
Danyr ich Ojoro
@jacksonmeshack6582
@jacksonmeshack6582 6 жыл бұрын
Huy Dada siyo kipaji chake amegushi coz anatok nje ya mada husika jamani
@ferdinandmakore5002
@ferdinandmakore5002 7 ай бұрын
Host ameharibu hii interview muhimu kwa historia ya Taifa. Intervation yake was unnecessary.
@ibrahimerasto2888
@ibrahimerasto2888 6 жыл бұрын
Amen
@petermwalubinga9921
@petermwalubinga9921 4 жыл бұрын
mlimhoji mzee kwa muda mfupi na kutunyima uwezekano wa tusiowaandishi wa habari kuyajua mengi yanayozunguka mgogogoro wa Hayati Mwl Nyerere na Hayati Kambona ni vyema mkaweka muendelezo wa mahojiano yote
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 6 жыл бұрын
HUYU DADA ANAHITAJI SHULE ZAIDI YA KUHOJI MTU,SABABU KWANZA HAANGALII NA UMRI WAMTU, AKIJANGE VIPI KATIKA KUHOJI.SASA UNAMUULIZA BABU YAKO,HUKU UNAMMINYIA PUA! HII SI HESHIMA KABISA
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
Amepoteza nafasi kubwa ya kuelimisha watazamaji na unna kwa ujumla kwa kutojua namna ya kuuliza maswali na kuunganisha points zaidi kwa kuuliza follow up questions. Hmm!
@gabrielmzomkunda4881
@gabrielmzomkunda4881 5 жыл бұрын
Huyo host hafahi kabisa
@bernadobaran6178
@bernadobaran6178 6 жыл бұрын
dada yuko vizuri kwa kuhoji...hongera sasa!
@alihamad6046
@alihamad6046 6 жыл бұрын
Mm sifuatilii hay mahojiano naangalia huuu mdomo wa huyu mtangazaji nimeupenda sanaaa😀😀😀😀
@ignasmwamwenda3154
@ignasmwamwenda3154 6 жыл бұрын
Hawa ni hazina kuu ya Taifa. Tunapo kuwa tunawahoji, tutumie mafundi wa kuhoji maana macho mengi hutegemea asali kutoka kwao. Nashauri mahojiano yarudiwe na watangazaji makini.
@bensonmaselle2372
@bensonmaselle2372 6 жыл бұрын
uko sahihi kabisa
@conradmwingira684
@conradmwingira684 Жыл бұрын
So unprofessional journerlist
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 4 жыл бұрын
Kuna wazee wengi wazamani waliojiunga kwenye hii taa wengi Sana tena mikoan wakina Mzee fundikira, Yule babu watabora ndi ana historia zote mpaka Nyerere kumkaribisha tabora wakina azizi Ally mtuy nakaka take Mzee saksi fatilien wale wazee wakina mkapa WA juzi Tu hawo wazee hamna hata mmoja anae takes wala vyeo hawana ni mafukarakupindukua Baba wataifa kama aliwafunika vile hawatajwi mpaka Kesho hata historia hawa po
@mussaharun7257
@mussaharun7257 6 жыл бұрын
Dkt Shika tu ndo unamuweza dada, hujajipanga kwenye siasa.
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
she is hopeless! Just wasted a golden opportunity to educate the public.
@kibilawazebanga7455
@kibilawazebanga7455 6 жыл бұрын
Mmh watu wengine km hamjui theory za interview msikoment. Taratibu za interview zinamtaka mtangazaji anapomhoji mtu, amchukulie km wanalingana ndiyo atamhoji vizuri, sasa wanaomkosoa huyu dada naona hawajui science ya interview
@emmanuelbonifas3517
@emmanuelbonifas3517 6 жыл бұрын
usione kusita kuongea hvy mzee akuzoea kuona mavazi ya ajabu kama hayo vaa mavazi kulingana na yule unaeenda kukutana nae
@fintanmkesha4338
@fintanmkesha4338 6 жыл бұрын
We dada hujasomea uandishi wa habar
@shumsum7833
@shumsum7833 6 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri ila Huyu msichana hafai kwa nafasi hii
@akwilinaphilbert1320
@akwilinaphilbert1320 6 жыл бұрын
poor dressing code to you Dada..Mzee wetu huyo
@idrissannacho5612
@idrissannacho5612 6 жыл бұрын
Inasikitisha nchi haina historia
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
Hata waulizaji hawajui wanauliza nini na wafuatilie na swali gani.
@josephharri9015
@josephharri9015 6 жыл бұрын
wivu unatusumbua sn watz
@yonaboaz4109
@yonaboaz4109 6 жыл бұрын
unatumia lugha za kihuni hata kwa wazee? mfano unaposema unaweza ukafunguka mzee
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
Amepoteza nafasi nzuri ya kufundisha taifa.
@hugowilfredlukoo4971
@hugowilfredlukoo4971 6 жыл бұрын
kufunguka siyo lugha ya kihuni yuko sahihi
@jamesmashauri8315
@jamesmashauri8315 6 жыл бұрын
Muulizwaji naona amevumlia xana kwa sababu n mtu mkubwa na muhimu kwenye nchi,ila huyu dada nadhan anahtji elimu zaid
@joelnaja9935
@joelnaja9935 6 жыл бұрын
huyu mdada aisee apewe msaada wa nguo make naona mshahara hautoshi kununulia mavazi,kanunulia rangi za midomo na kucha,kasahau mavazi
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 4 жыл бұрын
Huyu Mzee haelezi. Vizuri kama anafukia matuta. Mimi simuelewi kabisa Yule Mzee wa tabora anaeleza open alihojiwa ntampata huyu babu kama smenti na mchangaa hanacho
@salehlofy4251
@salehlofy4251 6 жыл бұрын
waislam tu ndo wanajistiri ujue...
@msetimarwa1438
@msetimarwa1438 3 жыл бұрын
Mtangazaji anarukiarukia matukio kabla Mzee Masha hajamaliza hoja anayoielezea! . Nlimatamani nifahamu kisa cha mtafaruki kati ya JKN na Kambona ila mtangazaji kamvuruga Masha na akaniondolea usikivu kabisa. Mtangazaji anazungumza kwa kupasapasa macho kama vile anaongea na boyfriend wake!
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,4 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 1,8 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3 МЛН
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 102 М.
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
Tanganyika Independent (1961)
3:14
British Pathé
Рет қаралды 176 М.
Hotuba ya Rais Magufuli katika Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere
1:40:35
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,4 МЛН