@@MartinGao-pq3edsababugani mkewake alifichiwa sehem alikuwepo?
@claudiajames20037 ай бұрын
Lala salama Rais wetu ,upo mioyoni mwetu!
@BlandinaMassawe7 ай бұрын
Bora zaidi aliwakumbuka baba zake wa kiroho akaombewa na kupakwa mafuta matakatifu
@kanankirannko61746 ай бұрын
Sio kila kicheko kinamaanisha furaha ,mi namwelewa,ambacho sijapenda no kumnyima MTU Uhuru Wa kuamua apiposema apelekwe nyumbani mngempeleka japo nayo haiko sawa sana labda wangeita familia Kwa siku hiyo awaage maana watu wengi wakikaribia kufa wanajuaga
@OmaryTambi6 ай бұрын
Baba mabeyo una utulivu wa kutosha god bless you
@awadhrajabu14037 ай бұрын
Kikubwa Unachosema Ujue Mbele Yake Nyuma Yako Unafata Ulie Hai Kama Unaongea Kama Burudani Kwake Tutaludi Pesa Nami Zitabaki
@HafsaAbdallah-kp2wb7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭haya mambo c ya kucheka baba mabeyo
@rukundorwiza522329 күн бұрын
Ana sababu kubuwa ya kucheka awo kufurahi
@HafsaAbdallah-kp2wb7 ай бұрын
😭😭😭😭 baba unatuchoma sana moyo 😭😭😭😭moyo wangu unaniuma sana hakuna siku nitakayokuja msahau magufuli 😢😢😢
@komuhsengo97967 күн бұрын
Pole Mkuu, ulisimama vema , good CDF EVER BEEN
@stellajorojick96637 ай бұрын
Kwa nini wananchi hawakuhusishwa kubwa anaumwa tungemuombea
@hassansemwali847018 күн бұрын
mkuu wetu wama jesh mstaafu uko vizur tuna kuombe uishi maisha marefu kwa faida ya nchi yetu
@GodfreySiegfried7 ай бұрын
Mabeo nakukubar sana
@mrumadeogratias3982Ай бұрын
Aisee
@NaifaAron-jf8nv7 ай бұрын
Hakuna ukwel hapo sis sio watoto
@dominickjohn112812 күн бұрын
Wew mwenye ukweli tupe ukweli sasa!!
@consomatogaudence1367 ай бұрын
Mh😭
@RahimuHassan-r9n2 ай бұрын
Mmmmmh hayani kazi mmeifanya tumeona tumeskia hongeren
@iddmrimi60145 ай бұрын
Innah lillah wainnah Rajiun mwenyezi mungu amlaze mahali Pema Peponiiii aminiiiiiii! Pia mwenyezi mungu ampe Makazi mema aminiiiiiii! JPMAGUFULI TUPO PAMOJA INSHALLAH!
@qalbi81987 ай бұрын
Kipi kinachekesha hapo sasa 😢
@EmmanuelLupoja4 ай бұрын
Damu nzito kuliko maji ipo ck
@TickoAlex2 ай бұрын
Kuna watu wako hivyo,jambo gumu wanacheka hata furaha wanacheka,wala musihukumu.ninae mdogo wangu akichukia kabisaa kabisaa anaongea huku anacheka lkn hapo ujuwe kama una husika kaanae mbali
@rukundorwiza522329 күн бұрын
@@TickoAlex wewe buwege sana
@ashamakwaiya87496 ай бұрын
Ishi unachekeshwa na nini masikini mwwnzio alikuwa kwwnye sakalimauti ,unajuwa ni wakati mgumu mno mtu roho inapotaka kutoka??? Daaaa namachungu kama nimemzaaa
@agnesspaul186612 күн бұрын
Ukweli wote Mungu anao ila kila chenye mwanzo kina mwisho
@EliyaJoseph-pb9xm6 ай бұрын
Sina uhakika na hizi stor munazotupa
@suzannakasaka39396 ай бұрын
jamani kuna siri nzito kwa kifo cha rais wetu
@Gracemima7 ай бұрын
Na mbona hamukushirikisha mkewe wakati wa siku zake za mwisho? Watu waliotakiwa kuwa karibu naye ni familia yake, mkewe na watoto wake. Mabeyo hukumufanyia haki haki, kwa kukataa kumurudisha nyumbani kuwa karibu na familia yake. Hamukumutendea haki kwa kutoita familia yake na kukata roho bila kuiaga familia yake. Wakumualifu wa kwanza alikuwa ni mkewe na watoto wake, pengine alikuwa na maagizo ya mwisho kwa mkewe. Mulimufanyia vibaya sana Hayati Magufuli. Habari hizi zinasikitisha sana. Mabeyo kucheka cheka watanzania wengi umewauthi.
@JuliethRajabu-ct2fq5 ай бұрын
Watayalipia tu kwa wakati mtimilifu na kwa utimilifu
@marymgimwa5 ай бұрын
Daaah...yaaaan
@MalikiaRecho2 ай бұрын
Mungu anawaona iko cku
@mongogwelaanthony6867Ай бұрын
Kama ni kweli alikwambia umludishe nyumbani ukakataa ulimkosea na taifa letu likawa limehujumiwa, lakini wazee wetu wanatwambia mlimsaliti raisi wetu, ndo maana akafa, ila mungu si kipofu pia mungu sio kiziwi na mungu hachelewi kujibu, kabla kizazi hiki hakijaisha tutajua, kuwaliza wananchi wote watanzania ni dhambi kubwa sana
@emanuelandedela7901Ай бұрын
Nimewaza Sana mkewe
@JLXNINEJNINE5 ай бұрын
Sawa kabisa generally uko sawa
@pastorlazarosamwelkilala5795Ай бұрын
Sawa sawa katiba inasema
@MaryEnyasi6 ай бұрын
Ahaaa
@agnesspaul186612 күн бұрын
Mungu yupo
@ayubusanga1915Ай бұрын
Mabeyo me nakuelwa sana
@devotakihwelo4842Ай бұрын
Daddy, My super hero, continue resting in peace Darling...
Inavutia kumsikiliza former cdf ukweli alisimamia vema tukio zima
@ThomasMsuya-m3d3 күн бұрын
Vita alivipiga Apumzike salama Baba
@HidayaMwakilema7 ай бұрын
Tulikupenda zaidi baba mungu alivyuna chake
@RoseBura4 күн бұрын
Tunakushukuru kwa kutulindia inchi yetu ukuwa na tamaa na urais
@BahatiDaniel-om1hs7 ай бұрын
Síoni ukweli wowote hapo, nikama munatuchora bas
@IssaMabula-b3d7 күн бұрын
😢😢😢amahakika ameacha pengo
@MaguguStore7 күн бұрын
Mungetuambia na sisi tungemuombea angepona
@cantonaiddy604210 күн бұрын
Maisha mazuri Mzee wetu naona miguu inacheza 😂😂😂
@MoïseMumberekakonyeАй бұрын
Pole pole wa tanzania wote
@hussenimgalula5634Ай бұрын
Baba wa Hekima venance mabeyo
@swalehemusa4546Ай бұрын
Huu ni upuuzi na ujinga na ushenzi ila hakuna atakayebakia hai wote njia yetu ni moja
@tabithalimo2399Ай бұрын
😢😢😢😢 rest in peace 🙏
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Jamaa anamsimamo sana, namkubali Mabeyo.
@godwineliya4686Ай бұрын
Kwann hamkutoa Taarifa Kwa Wananchi wake Ili wamuombee . Hilo ni kosa kubwa
@patrickkalengela712518 күн бұрын
Hapa Kazi tu, au Kazi Iendelee. namkumbuka Mguguli Shujaa wa Afrika 18:14
@AsteriaMontgomery18 күн бұрын
Anacheka kabisaa km starehe
@MaguguStore7 күн бұрын
Huyuuu jamaaas mmmmh uwezo wake wa kuwaza ni mdogo
@ernestsereli85597 ай бұрын
Mwenyez mungu ailaze roho ya jpm Mahal pemaa
@BeniusYona3 күн бұрын
Mulichangia kumumuliza
@stevenkuhanwa7819Ай бұрын
KWELI huwa inaishi ndani ya MOYO wa kila mmoja na ni ya kudumu pia! Mwili, nafsi na roho ni uwanja wa uovu, uchafu na kuugua!
@JosephSiwavula4 күн бұрын
Malip nihapaha
@HuzzeinMohammedАй бұрын
Mabeya for president
@marymgimwa5 ай бұрын
Bora ungemrudisha akatunzwe na watoto wake na mkewe❤
@EmanuelWillson-jy1fq14 күн бұрын
Laiti mngelijua yapasayo kufanya mngelipenda amani, hakika mmeongea vizur kwetu kujisafisha serikali, ila kila goti litapigwa mbele za muumba hapo yupo hakimu wa haki, mambo ya wazi na siri yote yatakuwa wazi. Siku zinakuja kwenu hakuna asubuhi.
@MasungaAka7 ай бұрын
😢
@femidayahaya92932 ай бұрын
mctuelezee tena haya mambo mnatuzidishia tu maumivu...
@GodfreySiegfried7 ай бұрын
Mungu akubarik kamanda ni ujasir mkubwa Sana bila wewe ulikuwa patashika
@EmmanuelLupoja4 ай бұрын
Mungu yupo😭😭
@joemwenyewe8404Ай бұрын
Huyo ndio Rais aliokuwa kioo cha Bara la Afrika Mashariki.Mungu ampee pumziko la amani
@shijakashita991516 күн бұрын
What are exactly laughing for...!? Anyway MUNGU atalipa kama kuna kitu nyuma ya kifo cha our beloved president😢
@hassansemwali847018 күн бұрын
mbele ya magufuli nyuma yake tuta fata ubaya utalipwa na mungu na wema utalipwa namungu
@RoseChipasula4 ай бұрын
Jaman sakichek Chanin aponixhe leee ama😮
@maelezokitabwire8855Ай бұрын
Mungu afariji jamaa na wanzania wte kwa jumla
@BakariMkwitiАй бұрын
Mungu ndo anajuwa wote safari ni moja na kila mmoja atapitia njia yake lakini sehem tunayo enda ni moja ata upitia njia ndefu vipi hiyo sehem utafika tu
@MalaikaHome-b6rАй бұрын
Jpm 4 afrika
@MariamOmary-s1t7 ай бұрын
Msinamowako umesaidia sana mungu akusimamie
@MalikiaRecho2 ай бұрын
Sasa kinacho kuchekesha ni nin mbona sion pakucheka
@femidayahaya92932 ай бұрын
sasa mbona unatuelezea alafu unacheka..yan kipi chakuchekesha hapo mkuu
@HamisMghuna-fj3vz7 ай бұрын
Yetu masikio,cheo n dhamana,tulio chini,hasa Latra,na ma police watishia,faini 250000,wakat latra n 100000 je hii n kuangamiza raia wa Tanganyika, serkali,haina huruma,dua,zetu Mungu atawazibu,cheo n dhamana,,mungu awazibu,,kama alivyo muazibu, FARAO wa na kiburi sana kama FARAO, FIRAUN,,
@ChristopherWise-b3x22 күн бұрын
Kwanini umecheka!!!! Duh cna coment
@RoseMbwawa5 ай бұрын
Mhm Pumzi nilioshusha hatali maumivu makali sana moyoni 😢😢
@manenoramadhan1432Ай бұрын
Hii laaana itawakumba tu na ndioo hii inatokea sasa
@imanikubwa2896Ай бұрын
Ila kumbe kulikuwa na mazingira ya makusudi kabisa ,angalia anavyochekacheka
@Iddi-xw7vwАй бұрын
kateseka baba
@AminaChaula6 ай бұрын
Mapigo ametuzidia sana kụlingana na matendo tunayoyafanya bila kụfikiria kabla ya kutenda
@rosetsuhha73127 ай бұрын
Bas hamkutangaza siku hiyo hiyo maan hayo yote mfanye ndani masaa manne huo ni uongo si 2najua alikufa week mbili kabla yakumtangaza😢
@RoseChipasula4 ай бұрын
Upumzike kwaaman baba😂😂😂😂😂
@kwizeraelly92617 ай бұрын
Du!Mungu ajuaye yote ANAJUA uchungu nilioupata mpaka nikaombea kumbe naomba mtu aliyekwisha lala mauti😂😂
@BahatiMnyeti-m2rАй бұрын
Sioni pointi yoyo hapo
@SadickMduda2 күн бұрын
59😅
@FadhilMjiji5 ай бұрын
A 2:41
@JuliethRajabu-ct2fq5 ай бұрын
Huna chakuchekesha katika hili
@domitinalaurent99172 ай бұрын
Mungu anawaona😂 ndomaana yanawakuta leo damu nzito kuliko maji waloweka waloshiliki mtakufa woteee bulianii anko wangu kipenzii
@Am-vo5cu19 күн бұрын
Wacha uongo Mabeyo.
@egfridmkoba476729 күн бұрын
Nadhani neno 'Amiri Jeshi' halikuwahi kupata mvumo hadi mwaka 1978 tulipoingia vita vya Kagera. Hapo ndipo tulilisikia neno hili zaidi. Amiri (Amir) ni mkuu, na kuna mkuu mmoja tu. Sasa kwa nini Rais tumwite Amiri Jeshi Mkuu wakati hatuna wala hatujawahi kusikia au kuona Amiri Jeshi mwingine zaidi ya Rais? BAKITA mwasemaje?
@SAIDIMUKSIN-iy2opАй бұрын
Marais wote africa wanachagua wa. Wakuu wamajeshi wakaribu kabisa lakn magu apa alikosea kbs
@kulwastima3993Ай бұрын
Mbona hmktaka kcema mapema mlificha
@PeterAndwer5 ай бұрын
Kuna kipi kinacho chekesha ap broo
@JLXNINEJNINE5 ай бұрын
Ndio kuicheki katiba
@himidmkuya73817 ай бұрын
mkuu wa majeshi huijuikatiba inasemaje daa heri usingelihojiwa naingia hasira unacheka nini sasa
@AnastaziaSebastianАй бұрын
Yani hata sijaelewa mabeyo ukicheka unamaanisha nini?
@ponsianomwakisunga8996 ай бұрын
Yaaan we mabeyo ndo mnafk kabsa
@muhammednassor35696 ай бұрын
Mabeyo ni mwenye busara na hekima
@aubreychuma5449Ай бұрын
😢😭😭😭
@mudhihirugara88457 ай бұрын
Mtu ana mke anawatoto anamama ana nduguzake wirete mliwafukuza wasiwepo namlinzi wake na alipokwambia niperekenyumbani ukakaidi mka apishana naherehe yakumuapisha raisi ikafanyika eeeemagufuri pumzika kila aliyehusika nakifochake mwenyezimungu ampe ugonjwa wakensa yakoo