SIRI NZITO YA KIFO CHA MAGUFULI ALISEMA WAMBIENI MADAKTARI WANIACHE TU NIKAFIE NYUMBANI"

  Рет қаралды 210,944

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 138
@JoshuaKaora
@JoshuaKaora 6 ай бұрын
Magufuli is hero in Africa who stood on right.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
Nyinyi mlimuua M,mungu atawalipa hapa hapa
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed Ай бұрын
Una uhakika na unalolisema?
@pastorlazarosamwelkilala5795
@pastorlazarosamwelkilala5795 Ай бұрын
Huyu ni mkuu wa majeshi
@pastorlazarosamwelkilala5795
@pastorlazarosamwelkilala5795 Ай бұрын
Safi sana mkuu wa majeshi mstafu
@rukundorwiza5223
@rukundorwiza5223 29 күн бұрын
​@@MartinGao-pq3edsababugani mkewake alifichiwa sehem alikuwepo?
@claudiajames2003
@claudiajames2003 7 ай бұрын
Lala salama Rais wetu ,upo mioyoni mwetu!
@BlandinaMassawe
@BlandinaMassawe 7 ай бұрын
Bora zaidi aliwakumbuka baba zake wa kiroho akaombewa na kupakwa mafuta matakatifu
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 6 ай бұрын
Sio kila kicheko kinamaanisha furaha ,mi namwelewa,ambacho sijapenda no kumnyima MTU Uhuru Wa kuamua apiposema apelekwe nyumbani mngempeleka japo nayo haiko sawa sana labda wangeita familia Kwa siku hiyo awaage maana watu wengi wakikaribia kufa wanajuaga
@OmaryTambi
@OmaryTambi 6 ай бұрын
Baba mabeyo una utulivu wa kutosha god bless you
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 7 ай бұрын
Kikubwa Unachosema Ujue Mbele Yake Nyuma Yako Unafata Ulie Hai Kama Unaongea Kama Burudani Kwake Tutaludi Pesa Nami Zitabaki
@HafsaAbdallah-kp2wb
@HafsaAbdallah-kp2wb 7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭haya mambo c ya kucheka baba mabeyo
@rukundorwiza5223
@rukundorwiza5223 29 күн бұрын
Ana sababu kubuwa ya kucheka awo kufurahi
@HafsaAbdallah-kp2wb
@HafsaAbdallah-kp2wb 7 ай бұрын
😭😭😭😭 baba unatuchoma sana moyo 😭😭😭😭moyo wangu unaniuma sana hakuna siku nitakayokuja msahau magufuli 😢😢😢
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 7 күн бұрын
Pole Mkuu, ulisimama vema , good CDF EVER BEEN
@stellajorojick9663
@stellajorojick9663 7 ай бұрын
Kwa nini wananchi hawakuhusishwa kubwa anaumwa tungemuombea
@hassansemwali8470
@hassansemwali8470 18 күн бұрын
mkuu wetu wama jesh mstaafu uko vizur tuna kuombe uishi maisha marefu kwa faida ya nchi yetu
@GodfreySiegfried
@GodfreySiegfried 7 ай бұрын
Mabeo nakukubar sana
@mrumadeogratias3982
@mrumadeogratias3982 Ай бұрын
Aisee
@NaifaAron-jf8nv
@NaifaAron-jf8nv 7 ай бұрын
Hakuna ukwel hapo sis sio watoto
@dominickjohn1128
@dominickjohn1128 12 күн бұрын
Wew mwenye ukweli tupe ukweli sasa!!
@consomatogaudence136
@consomatogaudence136 7 ай бұрын
Mh😭
@RahimuHassan-r9n
@RahimuHassan-r9n 2 ай бұрын
Mmmmmh hayani kazi mmeifanya tumeona tumeskia hongeren
@iddmrimi6014
@iddmrimi6014 5 ай бұрын
Innah lillah wainnah Rajiun mwenyezi mungu amlaze mahali Pema Peponiiii aminiiiiiii! Pia mwenyezi mungu ampe Makazi mema aminiiiiiii! JPMAGUFULI TUPO PAMOJA INSHALLAH!
@qalbi8198
@qalbi8198 7 ай бұрын
Kipi kinachekesha hapo sasa 😢
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 4 ай бұрын
Damu nzito kuliko maji ipo ck
@TickoAlex
@TickoAlex 2 ай бұрын
Kuna watu wako hivyo,jambo gumu wanacheka hata furaha wanacheka,wala musihukumu.ninae mdogo wangu akichukia kabisaa kabisaa anaongea huku anacheka lkn hapo ujuwe kama una husika kaanae mbali
@rukundorwiza5223
@rukundorwiza5223 29 күн бұрын
​@@TickoAlex wewe buwege sana
@ashamakwaiya8749
@ashamakwaiya8749 6 ай бұрын
Ishi unachekeshwa na nini masikini mwwnzio alikuwa kwwnye sakalimauti ,unajuwa ni wakati mgumu mno mtu roho inapotaka kutoka??? Daaaa namachungu kama nimemzaaa
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 12 күн бұрын
Ukweli wote Mungu anao ila kila chenye mwanzo kina mwisho
@EliyaJoseph-pb9xm
@EliyaJoseph-pb9xm 6 ай бұрын
Sina uhakika na hizi stor munazotupa
@suzannakasaka3939
@suzannakasaka3939 6 ай бұрын
jamani kuna siri nzito kwa kifo cha rais wetu
@Gracemima
@Gracemima 7 ай бұрын
Na mbona hamukushirikisha mkewe wakati wa siku zake za mwisho? Watu waliotakiwa kuwa karibu naye ni familia yake, mkewe na watoto wake. Mabeyo hukumufanyia haki haki, kwa kukataa kumurudisha nyumbani kuwa karibu na familia yake. Hamukumutendea haki kwa kutoita familia yake na kukata roho bila kuiaga familia yake. Wakumualifu wa kwanza alikuwa ni mkewe na watoto wake, pengine alikuwa na maagizo ya mwisho kwa mkewe. Mulimufanyia vibaya sana Hayati Magufuli. Habari hizi zinasikitisha sana. Mabeyo kucheka cheka watanzania wengi umewauthi.
@JuliethRajabu-ct2fq
@JuliethRajabu-ct2fq 5 ай бұрын
Watayalipia tu kwa wakati mtimilifu na kwa utimilifu
@marymgimwa
@marymgimwa 5 ай бұрын
Daaah...yaaaan
@MalikiaRecho
@MalikiaRecho 2 ай бұрын
Mungu anawaona iko cku
@mongogwelaanthony6867
@mongogwelaanthony6867 Ай бұрын
Kama ni kweli alikwambia umludishe nyumbani ukakataa ulimkosea na taifa letu likawa limehujumiwa, lakini wazee wetu wanatwambia mlimsaliti raisi wetu, ndo maana akafa, ila mungu si kipofu pia mungu sio kiziwi na mungu hachelewi kujibu, kabla kizazi hiki hakijaisha tutajua, kuwaliza wananchi wote watanzania ni dhambi kubwa sana
@emanuelandedela7901
@emanuelandedela7901 Ай бұрын
Nimewaza Sana mkewe
@JLXNINEJNINE
@JLXNINEJNINE 5 ай бұрын
Sawa kabisa generally uko sawa
@pastorlazarosamwelkilala5795
@pastorlazarosamwelkilala5795 Ай бұрын
Sawa sawa katiba inasema
@MaryEnyasi
@MaryEnyasi 6 ай бұрын
Ahaaa
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 12 күн бұрын
Mungu yupo
@ayubusanga1915
@ayubusanga1915 Ай бұрын
Mabeyo me nakuelwa sana
@devotakihwelo4842
@devotakihwelo4842 Ай бұрын
Daddy, My super hero, continue resting in peace Darling...
@TryNdite
@TryNdite 13 күн бұрын
Taarifa huyo, inastua,inaaikitisha, inatukumbusha machungu,Mungu anajua yote.
@MudySamila
@MudySamila Ай бұрын
Tutakukumbuka daima mungu akupe kibar na mbinguni
@MaguguStore
@MaguguStore 7 күн бұрын
Ulikataa maelekezo kweliii
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 7 күн бұрын
Inavutia kumsikiliza former cdf ukweli alisimamia vema tukio zima
@ThomasMsuya-m3d
@ThomasMsuya-m3d 3 күн бұрын
Vita alivipiga Apumzike salama Baba
@HidayaMwakilema
@HidayaMwakilema 7 ай бұрын
Tulikupenda zaidi baba mungu alivyuna chake
@RoseBura
@RoseBura 4 күн бұрын
Tunakushukuru kwa kutulindia inchi yetu ukuwa na tamaa na urais
@BahatiDaniel-om1hs
@BahatiDaniel-om1hs 7 ай бұрын
Síoni ukweli wowote hapo, nikama munatuchora bas
@IssaMabula-b3d
@IssaMabula-b3d 7 күн бұрын
😢😢😢amahakika ameacha pengo
@MaguguStore
@MaguguStore 7 күн бұрын
Mungetuambia na sisi tungemuombea angepona
@cantonaiddy6042
@cantonaiddy6042 10 күн бұрын
Maisha mazuri Mzee wetu naona miguu inacheza 😂😂😂
@MoïseMumberekakonye
@MoïseMumberekakonye Ай бұрын
Pole pole wa tanzania wote
@hussenimgalula5634
@hussenimgalula5634 Ай бұрын
Baba wa Hekima venance mabeyo
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Ай бұрын
Huu ni upuuzi na ujinga na ushenzi ila hakuna atakayebakia hai wote njia yetu ni moja
@tabithalimo2399
@tabithalimo2399 Ай бұрын
😢😢😢😢 rest in peace 🙏
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
Jamaa anamsimamo sana, namkubali Mabeyo.
@godwineliya4686
@godwineliya4686 Ай бұрын
Kwann hamkutoa Taarifa Kwa Wananchi wake Ili wamuombee . Hilo ni kosa kubwa
@patrickkalengela7125
@patrickkalengela7125 18 күн бұрын
Hapa Kazi tu, au Kazi Iendelee. namkumbuka Mguguli Shujaa wa Afrika 18:14
@AsteriaMontgomery
@AsteriaMontgomery 18 күн бұрын
Anacheka kabisaa km starehe
@MaguguStore
@MaguguStore 7 күн бұрын
Huyuuu jamaaas mmmmh uwezo wake wa kuwaza ni mdogo
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 7 ай бұрын
Mwenyez mungu ailaze roho ya jpm Mahal pemaa
@BeniusYona
@BeniusYona 3 күн бұрын
Mulichangia kumumuliza
@stevenkuhanwa7819
@stevenkuhanwa7819 Ай бұрын
KWELI huwa inaishi ndani ya MOYO wa kila mmoja na ni ya kudumu pia! Mwili, nafsi na roho ni uwanja wa uovu, uchafu na kuugua!
@JosephSiwavula
@JosephSiwavula 4 күн бұрын
Malip nihapaha
@HuzzeinMohammed
@HuzzeinMohammed Ай бұрын
Mabeya for president
@marymgimwa
@marymgimwa 5 ай бұрын
Bora ungemrudisha akatunzwe na watoto wake na mkewe❤
@EmanuelWillson-jy1fq
@EmanuelWillson-jy1fq 14 күн бұрын
Laiti mngelijua yapasayo kufanya mngelipenda amani, hakika mmeongea vizur kwetu kujisafisha serikali, ila kila goti litapigwa mbele za muumba hapo yupo hakimu wa haki, mambo ya wazi na siri yote yatakuwa wazi. Siku zinakuja kwenu hakuna asubuhi.
@MasungaAka
@MasungaAka 7 ай бұрын
😢
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 2 ай бұрын
mctuelezee tena haya mambo mnatuzidishia tu maumivu...
@GodfreySiegfried
@GodfreySiegfried 7 ай бұрын
Mungu akubarik kamanda ni ujasir mkubwa Sana bila wewe ulikuwa patashika
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 4 ай бұрын
Mungu yupo😭😭
@joemwenyewe8404
@joemwenyewe8404 Ай бұрын
Huyo ndio Rais aliokuwa kioo cha Bara la Afrika Mashariki.Mungu ampee pumziko la amani
@shijakashita9915
@shijakashita9915 16 күн бұрын
What are exactly laughing for...!? Anyway MUNGU atalipa kama kuna kitu nyuma ya kifo cha our beloved president😢
@hassansemwali8470
@hassansemwali8470 18 күн бұрын
mbele ya magufuli nyuma yake tuta fata ubaya utalipwa na mungu na wema utalipwa namungu
@RoseChipasula
@RoseChipasula 4 ай бұрын
Jaman sakichek Chanin aponixhe leee ama😮
@maelezokitabwire8855
@maelezokitabwire8855 Ай бұрын
Mungu afariji jamaa na wanzania wte kwa jumla
@BakariMkwiti
@BakariMkwiti Ай бұрын
Mungu ndo anajuwa wote safari ni moja na kila mmoja atapitia njia yake lakini sehem tunayo enda ni moja ata upitia njia ndefu vipi hiyo sehem utafika tu
@MalaikaHome-b6r
@MalaikaHome-b6r Ай бұрын
Jpm 4 afrika
@MariamOmary-s1t
@MariamOmary-s1t 7 ай бұрын
Msinamowako umesaidia sana mungu akusimamie
@MalikiaRecho
@MalikiaRecho 2 ай бұрын
Sasa kinacho kuchekesha ni nin mbona sion pakucheka
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 2 ай бұрын
sasa mbona unatuelezea alafu unacheka..yan kipi chakuchekesha hapo mkuu
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 7 ай бұрын
Yetu masikio,cheo n dhamana,tulio chini,hasa Latra,na ma police watishia,faini 250000,wakat latra n 100000 je hii n kuangamiza raia wa Tanganyika, serkali,haina huruma,dua,zetu Mungu atawazibu,cheo n dhamana,,mungu awazibu,,kama alivyo muazibu, FARAO wa na kiburi sana kama FARAO, FIRAUN,,
@ChristopherWise-b3x
@ChristopherWise-b3x 22 күн бұрын
Kwanini umecheka!!!! Duh cna coment
@RoseMbwawa
@RoseMbwawa 5 ай бұрын
Mhm Pumzi nilioshusha hatali maumivu makali sana moyoni 😢😢
@manenoramadhan1432
@manenoramadhan1432 Ай бұрын
Hii laaana itawakumba tu na ndioo hii inatokea sasa
@imanikubwa2896
@imanikubwa2896 Ай бұрын
Ila kumbe kulikuwa na mazingira ya makusudi kabisa ,angalia anavyochekacheka
@Iddi-xw7vw
@Iddi-xw7vw Ай бұрын
kateseka baba
@AminaChaula
@AminaChaula 6 ай бұрын
Mapigo ametuzidia sana kụlingana na matendo tunayoyafanya bila kụfikiria kabla ya kutenda
@rosetsuhha7312
@rosetsuhha7312 7 ай бұрын
Bas hamkutangaza siku hiyo hiyo maan hayo yote mfanye ndani masaa manne huo ni uongo si 2najua alikufa week mbili kabla yakumtangaza😢
@RoseChipasula
@RoseChipasula 4 ай бұрын
Upumzike kwaaman baba😂😂😂😂😂
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 7 ай бұрын
Du!Mungu ajuaye yote ANAJUA uchungu nilioupata mpaka nikaombea kumbe naomba mtu aliyekwisha lala mauti😂😂
@BahatiMnyeti-m2r
@BahatiMnyeti-m2r Ай бұрын
Sioni pointi yoyo hapo
@SadickMduda
@SadickMduda 2 күн бұрын
59😅
@FadhilMjiji
@FadhilMjiji 5 ай бұрын
A 2:41
@JuliethRajabu-ct2fq
@JuliethRajabu-ct2fq 5 ай бұрын
Huna chakuchekesha katika hili
@domitinalaurent9917
@domitinalaurent9917 2 ай бұрын
Mungu anawaona😂 ndomaana yanawakuta leo damu nzito kuliko maji waloweka waloshiliki mtakufa woteee bulianii anko wangu kipenzii
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 19 күн бұрын
Wacha uongo Mabeyo.
@egfridmkoba4767
@egfridmkoba4767 29 күн бұрын
Nadhani neno 'Amiri Jeshi' halikuwahi kupata mvumo hadi mwaka 1978 tulipoingia vita vya Kagera. Hapo ndipo tulilisikia neno hili zaidi. Amiri (Amir) ni mkuu, na kuna mkuu mmoja tu. Sasa kwa nini Rais tumwite Amiri Jeshi Mkuu wakati hatuna wala hatujawahi kusikia au kuona Amiri Jeshi mwingine zaidi ya Rais? BAKITA mwasemaje?
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op Ай бұрын
Marais wote africa wanachagua wa. Wakuu wamajeshi wakaribu kabisa lakn magu apa alikosea kbs
@kulwastima3993
@kulwastima3993 Ай бұрын
Mbona hmktaka kcema mapema mlificha
@PeterAndwer
@PeterAndwer 5 ай бұрын
Kuna kipi kinacho chekesha ap broo
@JLXNINEJNINE
@JLXNINEJNINE 5 ай бұрын
Ndio kuicheki katiba
@himidmkuya7381
@himidmkuya7381 7 ай бұрын
mkuu wa majeshi huijuikatiba inasemaje daa heri usingelihojiwa naingia hasira unacheka nini sasa
@AnastaziaSebastian
@AnastaziaSebastian Ай бұрын
Yani hata sijaelewa mabeyo ukicheka unamaanisha nini?
@ponsianomwakisunga899
@ponsianomwakisunga899 6 ай бұрын
Yaaan we mabeyo ndo mnafk kabsa
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 6 ай бұрын
Mabeyo ni mwenye busara na hekima
@aubreychuma5449
@aubreychuma5449 Ай бұрын
😢😭😭😭
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 7 ай бұрын
Mtu ana mke anawatoto anamama ana nduguzake wirete mliwafukuza wasiwepo namlinzi wake na alipokwambia niperekenyumbani ukakaidi mka apishana naherehe yakumuapisha raisi ikafanyika eeeemagufuri pumzika kila aliyehusika nakifochake mwenyezimungu ampe ugonjwa wakensa yakoo
@chrifordcostantine8422
@chrifordcostantine8422 4 ай бұрын
Sasa unacheka nini hapo ☹️☹️☹️😡😡
@ElinaAlfred
@ElinaAlfred Ай бұрын
😅😊
@babaexodus7606
@babaexodus7606 7 ай бұрын
rara sarama Baba tunakumbuka
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,2 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 58 МЛН
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 669 М.
MkAPA alijitabiria kifo ?Maneno ya mwisho mbele ya Rais Magufuli
11:38
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН