KUHUSU KIFO MANENO YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI | MANENO MAZITO KWA KIJAZI
Пікірлер: 748
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Mlio muuwa magufuli,machozi ya WATANZANA wanyonge 😭 😭😭😭 na Africa kwa ujumla imewalaani wote waliousika na kifo chake JPM wetu make bado tunamlilia tu sana, naamini hanna Amani miyoni mwenu,
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Nawao watakufa tena vibaya
@williumjackob83612 жыл бұрын
Hakika hatutaacha kumlilia kwamwe na mungu awape adhab isiyo na mwisho
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Unao ushahidi au unakurupuka
@amanmyolo5359 Жыл бұрын
Mungu anawaona na hawana amani na mungu wameachana njia wenyewe kwa wenyewe mungu ni mwema
@kaniki-o3c10 ай бұрын
Sasa walanchi wamefulahi na wanakula tuu nchi inasikitisha😭😭😭
@omarymalema87393 жыл бұрын
Umetuacha njia panda mpendwa baba yetu tutakukumbuka kila siku kwa mema uliyo tutendea Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen
@peterchristopher35553 жыл бұрын
Aaaà
@theo-xc3rz3 жыл бұрын
Huna doa baba pumzika kwa amani mwenyez mungu atawaadhibu mmoja mmja walioamua kutuzimia shujaa wetu wew ni kiongoz bado hadi sahv sjaoona wakukufikia.Baba we pumzk me napitia tu speech zako naon bdo unaongz nchi
@anesiusrweikiza48503 жыл бұрын
Kifo ni fumbo kubwa sana,Mwenyezi Mungu tusaidie tuvuke salama kwenye hii dunia tunamuombea jpm apokelewe kwa amani huko mbinguni😭😭
Nawaomba Watanzania WOTE jueni Kama vile Rais Magufuli alivyo waambia jueni Raìs Magufuli aliweza kuwatendea mambo mengi mema, sio kwa ajili ya uwezo wake, bali kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Mkisahau Mwenyezi Mungu mtadidimia. Rais wenu amewaachia mfano mzuri wa vile kuendelea, mkianza kuwasikiza Wazungu mtapotea. Poleni familia na nyinyi nyote
@aairraahseif56483 жыл бұрын
It'is true,wakumbuke hilo sana
@meryanmwailakale6703 жыл бұрын
Watanzania baadhi wanafurahia sasa yabaadae hawajui, pumzika kwa AMANI Raisi wa wanyonge kazi umeifanya
@vumilialeonardi1093 жыл бұрын
Kweri Rais magufuri uliamua kutufia watanzania
@skyonlinetv83013 жыл бұрын
Tangu umeondoka 🤦♂️🤦♂️🤦♂️ mambo yapo ovyo cnaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@dianamahendekamahendeka13442 жыл бұрын
Dar nashindwa niangalieje naishia kulia maana hapa ulikua umebajiwa na siku chache sana 😭😭😭😭😭😭😭
@amanimwidowe46323 жыл бұрын
NI ngumu kuelewa hata kuamini kumbe hata msiba wa kijazi ulikuwa hata huumwi Nini kimeingia hapa kati kati rais wangu hii Dunia iniambie bas wapi inatupeleka angalau nijue maana imetubeba basi iniambie inamaana Mungu ndy alikupenda Zaid magu 😭😭😭😭 Mungu huna hasira wewe unajua mengi kuliko tujuavyo Pumzika kwa Amani Magufuli.
@juliethhope72813 жыл бұрын
Naumiaaaaa jmn 😭😭😭
@juliethhope72813 жыл бұрын
Amen
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Kila tuonapo video zake JPM 😭😭😭😭 ni uchungu tu kwetu Watanzania,Ila nanyi mtakufa tu wote wasaliti wa MAGUFULI,izo vitu za Tz aliyowazuia kuyanyakuwa mkifa mzikwe nazo msijemkaziacha nyuma mwendapo kaburini,
@esterchananji26573 жыл бұрын
Tangu magufuli afariki cjackia tena viongozi wanakufa,,cjui kulikuwa na nn kipindi hicho...!!
@geofreybilasho7213 жыл бұрын
Vip bado hujaskia Msiba wa Waziri Wa Ulinzi
@augustinejohnnyakatoma85912 жыл бұрын
Kidogo inashangaza
@SimonKitaly11 ай бұрын
Ee Mungu tunakuomba utuangalizie nafsi ingine yenye ujasir na kukutaja wewe kwa hofu km mzee wetu magufuli ktk stoo yako ya mbinguni yenye nafs hai.
@DottRoBroc3 жыл бұрын
Mimi ni mtu wa Kiitaliano. Nilimsoma Magufuli, mwanasiasa niliyemthamini kwa malalamiko yake dhidi ya ufanisi wa visodo. Alikuwa rais mzuri na jasiri, mtu mwaminifu ambaye alikuwa amepunguza mshahara wake (kutoka $ 15,000 hadi $ 4,000) alitetea masilahi ya watu. Nilithamini pia msimamo wake juu ya covid na dhidi ya chanjo hatari. Nadhani walimuua ingawaje alikufa rasmi na shida za moyo. Nakubali juu ya Magufulification ya Afrika! Kwa hivyo, heshima kamili kwa Magufuli ambaye kwangu atabaki hai milele kwa uaminifu wake.
@evelynebwire76842 жыл бұрын
Naungana na wewe upo sahihi
@mwanzashinyanga80603 жыл бұрын
kweli kizuri hakidumu daah 🙏🙏🙏
@rhodahleopord25813 жыл бұрын
kweli😭😭😭
@annerafaela4073 жыл бұрын
Nikama ndoto naota, kama nawaona wapiga pesa wanavyosherekea
@ميومةتنزانيا3 жыл бұрын
acha tu nawao ila wakubuke kuwa wataziacha tu zina mwisho
@juliethhope72813 жыл бұрын
Jmniii kamfata rafik yake.alimpenda sana mwenzie..inaumiza mno jmn😷😭😭😭
@abelahadi18383 жыл бұрын
Bwana tusaidie watanzania tunapita katika wakati mgumu sana ulitupatia ndg.yetu kipenzi ndg.Dr john Joseph pombe magufuli kuwa rais wa taifa hili teule la Tanzania lkn ghafla sana tukiwa tunamhitaji zaidi ndipo nawe umeamua kumtwaa ,Bwana ulitoa na umetwaa jina lako libarikiwe hakika wewe ni mungu hatuna cha kusema Amen.....
@geofreymfumbilwa26593 жыл бұрын
L
@geofreymfumbilwa26593 жыл бұрын
L
@ZuhuraAmiri-u1uАй бұрын
H
@annanasimiyu72893 жыл бұрын
Nasikia INAUMA sana story ya sumu jamani ikiwa nikweli mbona wanadamu kupanga mabaya hivi kumuuwa mtu mzuri hivi INAUMA aki 😭😭😭 Kweli ukitenda mazuri una wanaokupenda na maadaui pia wamo ikiwa YESU KRISTO ALITENDA MEMA YOTE WA KARIBU YAKE MWANAFUNZI WAKE TU MMOJA AKAONA WIVU NAKUPANGA NJAMA HADI KUMUUWA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU 😭😭😭 HIVI MEMA YOTE ALITENDA RAIS WENU TANZANIA AKI ALISTAHILI KUMTENDEA HIVI HADI KIFO KWELI IKIWA WAKO WALIO TENDA MAOVU HAYA MIONGONI MWA WAPEDWA WA RAIS MZURI HIVI MUNGU AWASAMEE AKI NA MUNGU AMPUMZISHE SALAMA BABA MAGUFULI NENDA SALAMA BABA WA TAIFA LA TZ MEMA HAYA YOTE NA MATENDO YAKO YOTE YAKUTANGULIE MBELE YA KITI CHA ENZI MBINGUNI 🙏🙏
@mwanaidimbaga85533 жыл бұрын
amina
@eginesschapaulinge12703 жыл бұрын
Amen
@juliethhope72813 жыл бұрын
😷😷😷😭😭😭😭😭
@delvinemoraa42483 жыл бұрын
Amen 🙏 🕊️
@claudmwachia24393 жыл бұрын
Amen
@elijahgichumbi99713 жыл бұрын
RIP Baba mpenzi Rais Magufuli. Wamekuondoa. Watajua tayari ulitunywesha maadili mema. Watajua mawazo yako tutayapeleka mbele.
@aishaarusha8946 ай бұрын
We naye nani alie muondoa mungu mwenyewe kamuitaji
@elijahgichumbi99716 ай бұрын
@@aishaarusha894 hatutabishana aisee
@furahabeatrice20573 жыл бұрын
Pumzika kwa amani daima, tulikupenda sana baba. Ulale salama, MUNGU akupe pumziko njema ya milele 😭😭😭😭
@BishikwaboFranck11 ай бұрын
Le président John Pombe Magufuli a marqué toute l'Afrique en général,et en particulier la Tanzanie,pays qu'il a dirigé pendant plus ou moins cinq à six ans
@abdulbora39613 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭ewe mwenyezi mungu nakuomba mpokee babaetu magufuli kwenye uzima wa milele amin.lala salama baba🙏🙏
@mariamuhussein14073 жыл бұрын
Pumzka salama raisi wetu tulikupenda Sana Ila mwenyeezmungu amekupenda Zaid mungu akjlaze mahali pema peponiii
@rashidymhina8242 жыл бұрын
Tanzania tunakumis Sana baba yetu. Kila nikisikia sauti yako ninafarijika. Rest in peace MAGUFULI.
@matridafamatwi87812 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@jairosjulius9447 Жыл бұрын
P
@rosenelima86183 жыл бұрын
Rip shujaa wa Africa,😭😭😭😭mungu akulaze mahala pema raisi mpendwa😭😭😭😭😭😭😭
@tausimgasa43223 жыл бұрын
Jmn, mlio baki ebu mjifunze kupitia magu, hekima na busara, mnapopata, madalaka ya kuongoza basi fateni nyayo zake ili vizaz vinavyo bak viishi kwa Aman pia Tanzania yetu iwe Salama.
@gersonmsoffe58173 жыл бұрын
Haufananishwi na chochote uncle magu tunakuombea upumzk kwa Aman!!! Mama samiha suluh nakuomb uwe mfano kwetu cc watanzania ukafanye alo yafanya hayati doctor john pombe mahuful
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Physical appearance yake hapo bado anaonyesha Hana uchangamfu wa siku zote,Mungu alimjua toka tumboni mama yake
@alimdoe83073 жыл бұрын
R.I.P,Jpm!! Hakika nchi imeumia sana!! Sasa hivi tuko na makamu wako,haya!!
@williamkirway46203 жыл бұрын
Ukweli,uvumilivu,ukarimu,unyenyekevu ni vipaji kutoka kwa mungu,havifundishwi shuleni,bali vyote vya toka Kwa mungu tuvipokee Kwa furaha kwani hata mazuri mbona twashukuru,hata magumu na mabaya tusimchukie mungu,bali tumshukuru.
@CharityNdongole-o7m10 ай бұрын
Tumekukumbuka sana
@lucymumbimuriithi14163 жыл бұрын
😭😭😭😭😭huyu prezo alikuwa shujaaa RIP
@uwasemaureenangel4773 жыл бұрын
RIP magufuri. Hatutokusahau kamwe. Wewe urikuwa shujaa na mukakamavu pia na mapenzi kwa Tanzania.
@lydianyamoma38663 жыл бұрын
😭😭😭pumzika baba umelala magufuli Mungu akulipe sawasawa na matendo yako, usamehewe dhambi za sirini na hadharani 🙏
@rahmanguzo92702 жыл бұрын
Rahma
@rahmanguzo92702 жыл бұрын
Rahma
@trissateddy99092 жыл бұрын
May your soul Continue to resting in eternal life...🙏🙏😔😭😭😭😭
@georgeavelin8153 жыл бұрын
Raisi anaimani Kuliko Hata baba Paroko Hapo Anaonyesha Anashangaa Shangaa tu
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuweke mahala pema peponi aaamin,na Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, aamina, Nilikupenda zaidi ya Sana
@veronicalucumay2611 ай бұрын
baba ulemtanguliza Mungu uliyekuwa unamsikiliza kila mmojaaa ulijalii utu kuliko chochote 😢tutakukumbukaaa kilaaa mara
@marthagwelino18973 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana rais wetu
@ZainabEras Жыл бұрын
Nasema wapi...daah. Asee uyu mwamba aendelee2 kupumzika kwa amani......maadui apo wanasuka 2 mipango
@iminzaiminza58133 жыл бұрын
Hakuna president aliyekuwa akisema ukweli Na kumcha Mungu kama wewe Mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭I can't stop my tears😭😭😭😭🇰🇪😭😭😭
Baba magufuli baba umetacha nimeumia mimi baba namuomba mwenyezi mungu akuweke mahala pema
@jessicastephano59743 жыл бұрын
Rais John pombe magufuli. Shujaa wetu mtoto wa Africa mpambanaji asie teteleka pumzika kwa Amani Baba yangu mpendwa nilikupenda sana,
@ustzhadilimuhamadi30283 жыл бұрын
Amen mungu amlaze mapema
@jacklinjosam55662 жыл бұрын
Dah kamaunaishi vile, ila wewenishujaatuuu halitapingikahilo, rest in peace our Dady
@MjumaBunga11 ай бұрын
Uncle magu jamani katuacha wanyonge mungu akulaze mahala pema peponi umecha historia ya milele
@edithkovary57712 жыл бұрын
Waandaji wa kifo chake wanamwangalia na kusema ongea tu. Huu ndio mwisho wako. Maana wameshaandaa jinsi ya kumtoa. Wao pia watakufa. Hayati J.J. pombe Magufuli ametangulia tu. Wote mtakufa. Hamtaishi mlele. Iko siku mtaondoka.
@teresiamwita17883 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Tutakukumbuka Daima
@revocatussebastian2427 Жыл бұрын
Kama magufuli alikufa mwenyewe tumuombee ila kama kuna watanzania wenzetu waliokuwa vibaraka wamagharibi wakatumwa kumuua na wao hawatobaki salama navizazi vyao.. So pua zinatizama chini
@marrymenas3 жыл бұрын
Hapo ni yy alikuwa akiongea lakini kwa nguvu za roho mtakatifu alimshukia kimiujiza bila hata yy kujua...Tutakukumbuka daima Baba 💔🙏
@Pen9602 жыл бұрын
Yani hapa mzee alikua anaonesha kujikaza kabisa!!! Hata sura ilishaanza kubadilika. He was a best leader!
@sophiagingi26363 жыл бұрын
pumzika salama jembe letu
@willywaire5011 күн бұрын
Mungu aendelee kuiweka roho yako Rais mangufuli,nilikuomboleza kweli,bado uko ndani ya nyoyo zetu daima tutaishi kukumbuka..🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MremaShindi Жыл бұрын
Watanzania tunakukumbuka Sana tunaposikia saut yako rest my president magufuli
@winniemary8243 жыл бұрын
Africa haitawahi pata kiongozi mkweli kama baba maghufuli....lala salama kipenzi cha wengi
@rechohaule20203 жыл бұрын
Forsuree
@damasmwinyihali185510 ай бұрын
Africa mzima atutakusaau ayati Rais Magufuli.Pumzika kwa Amani
@robertnyandwaro80402 жыл бұрын
This Man, president JPM, a man of the people. An exceptional leader. This world is not our permanent home for sure. Am a Kenyan citizen but i loved the type of a leader he was.....
@mambachagulaga72343 жыл бұрын
Kama kweli huyu jembe alipewa sumu, waliofanya hivyo mungu anawaona, nao wajue kuna siku wataiacha Tanzania.
@kaniki-o3c10 ай бұрын
Sasa walanchi wamefulahi wanakulatuu nchi inasikitisha 👴😭😭😭
@chichyjiih67887 ай бұрын
OMG huwa spendi kuangalia clip zako sababu machungu nayohisi nashindwa kujizuia. May your soul keep resting in an eternal peace, till we meet again. I was here in 2024, Feb
@MamaKiba-u2r7 ай бұрын
Poreni sana na kifo Cha magu
@nectasummary12983 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu john Joseph magufuli maala pema peponi, tangulia mbele ya haki, ukaketi katika kiti cha enzi tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
@FinidJuliusАй бұрын
Hakuna mkuu katika ulimwengu huu saidi ya mwenyezi mungu yeye ndiye mfalume wa wafalume na ndiye bwana wa mabwana kama alitupea ss wa Tanzania Doctor John mwenyezi mungu atusaidie kumupata mwingine kama John au saidi haya ndio maombi yangu kwa mungu nikiwakilisha watanzani
@pacifiqueheri17673 жыл бұрын
Suja wa Africa île sauti hatutaisikiyaka tena, hongera kwa kazi ulifanyiya Tanzania na Africa kwa ujumla. Uko mufiya Africa
@augustinejohnnyakatoma85912 жыл бұрын
Sauti yenye mamlaka na mvuto. Iliyo mtaja Mungu KILA wakati
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@rwenenahomechannel16343 жыл бұрын
I really like your comment brother.
@mutijimacedrick16222 жыл бұрын
in this generation ,no one like him....African hero...we miss prophet ....been killed by big men of this world criminals
@simonedward2442 жыл бұрын
I real love president
@mashambosheby20632 жыл бұрын
@@mutijimacedrick1622 💯
@jeanbaptistetwizerimana3149 Жыл бұрын
House yyhhgguuuu;; uo3se,08inpnbhubn?❤v❤❤😢tyuyuu1uujllsdaaasqqhbhhefyipo9umiuui😂àuuykoàatà k 1bbhjaslllkkfyuv ❤,
@esternyamhanga8556 Жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu umulaze hayati baba yetu mahali pema peponi sababu ameleta mabadiliko makubwa Sana nchini nitakukumbuka Sana magufuli!
@faithmbeyela95532 жыл бұрын
Mawazo na maneno yako yanaishi nasi Kila siku upumzike kwa Aman tulikupenda sana rais wetu, tumekumisi mno
@edwardouma16302 жыл бұрын
Mungu aibariki Tanzania na watto wa Tanzania 🇹🇿 by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya
@kulwammbwambwa40893 жыл бұрын
Mwenyezi mungu mpokee mwanao
@tiffahkidoti89543 жыл бұрын
Allah ailaze Roho ya Hayati JPM mahala pema peponi kwa huruma na wingi wa REHEMA zake. Amin
@benjaminmakega44323 жыл бұрын
Makegz
@jacklinejosam3713 Жыл бұрын
Ila webaba tupate wapi mtu kama wewe magufuli jamani?
@wittychezue91722 жыл бұрын
dah 😭😭😭
@benjaminsamuel46413 жыл бұрын
We 'll never forget you.may God Rest in peace, bodly we're not together but spiritually we shall meet.MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI BYE BYE.umetuacha ktk majonzi na simanzi kubwa jemedali wetu.
@leilaathumani36112 жыл бұрын
😭😭😭😭 Tanzania yapelekwa wapi jamani asahivi na huyu mama dah tulikupenda saana na tunakupenda mpaka sasa
@jaliabahat1520 Жыл бұрын
hujitambui pole
@emmanuelbonifas28042 жыл бұрын
Magufuri tulijua ni mzaa tu sasa tumeanza kuamini nikifa haya yote watayafanya kweli pumzk kwa aman jpm sasa tunajuta kila kukicha
@Rwekaza-s4e11 ай бұрын
Umenikusha mbali ailaze roho yake pepon amina
@QwniErnest11 ай бұрын
Ukooo ulipo upunguziwe adhabu ya kaburiiii
@ashrafakimaro24278 ай бұрын
Dr.Magufuli he was a good president he ofeared Allah and he loved his country
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
The most clever leader in Tanzania and Africa time running out R.I.P Magufulification of Africa.
@raphaelalphonso1447 Жыл бұрын
Heshima/ukarimu/Busara/ upole/ etc God knows more than politics
@Myboy_103210 ай бұрын
Daima tutakukumbuka😢😢😢😢
@anathshabani29522 жыл бұрын
Inaumiza sana JPM hauko nasi ila hatutakusahau wewe ni riaisi wa pekee, pumzika kwa amani tunazidi kukuombea mpendwa
@berthambizo46468 ай бұрын
Baba alikua mnyenyekevu huyu Daaaa...Mungu ampe pumziko la Milele Dr John Pombe Josephu Magufuli
@auntdorah91412 жыл бұрын
RIP RAIS WANGU... NI VGM KUKUSAHAU, TUTAKUSAHAUJE? UMEACHA ALAMA . PUMZIKA KWA AMANI
@PauloSwat11 ай бұрын
1:25 1:34 ❤ 1:44 1:44 1:44 1:45
@DavidMashaurikisungunda10 ай бұрын
Mungu awe
@musason16802 жыл бұрын
Daaahh chuma hiki 😭😭😭
@sarahnzwala53152 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko lanmilele mbinguni raha ya milele umpe ebwana 🤲 na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amin 🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🙏🙏🙏❤️🤍
@mankamushi45882 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele baba Mimi nakukumbuka kila inapoitwa leo .na nitakukumbuka na kukuombea kila siku
@johnjustus-kx8jf Жыл бұрын
Hakika jembe hautasahaulika ktk nchi hii.mungu akurehemu upumzike kwa amani.
@JosephatChristopher-y5v8 ай бұрын
Rest internal peace,, watanzania tunakukumbuka baba yetu kipenzi, mtetezi wa wanyonge mwenyezi MUNGU akulaze mahali pema peponi.
@clever_623 Жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani baba😢😢
@shukurunongele14103 жыл бұрын
Safi sana kwa kumbumbu hii
@catherinekaduma79993 жыл бұрын
Kama upo vile,natamani nione kama kweli kwa muonekano huo una machine kifuan?siamin kwa kweli