SIRI NZITO ZANZIBAR: OTHMAN MASOUD AFUNGUKA/ ALICHOKIACHA MAALIM SEIF/ UCHAGUZI 2025

  Рет қаралды 22,907

Dar24 Media

Dar24 Media

2 жыл бұрын

MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR OTHMAN MASOUD AMEFANYA MAHOJIANO MAALUM NA DAR24 MEDIA, NA KUELEZA MENGI YANAYOHUSU UHUSIANO ULIOPO KATI YAKE YA RAIS HUSSEIN ALLY MWINYI, ACT WAZALENDO NA CCM PAMOJA NA UTULIVU ULIOKITHIRI VISIWANI HUMO.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbalimbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#ZANZIBAR #MAKAMOWARAIS #OTHMANMASOUD

Пікірлер: 36
@salyali7807
@salyali7807 2 жыл бұрын
Mashaallah.... OMO very intelligent.. macho yetu yapo kwako .. May Allah akupe nguvu na uwezo wa kuendesha jahazi.. Allahumma ameen Allahumma ameen
@davidnyembe7670
@davidnyembe7670 2 жыл бұрын
Very nice . Huyu ntangazaji namkubali sana
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Hakika mh othmani mola akuhifadhi na uwadui wa watu wabaya .huyu ni kiongozi muelewa na ni mtu makini sana kiukweli ni kiongozi tofauti na wengine
@adamally404
@adamally404 2 жыл бұрын
Namshukuru Allah kwa kutupa kiongozi km huyu sichoki kumsikiliza Allah akupe umri mrefu wenye manufaa na wewe na Nchi yetu kwa ujumla
@issa3091
@issa3091 2 жыл бұрын
Kweli hasa
@pendoibrahim2934
@pendoibrahim2934 2 жыл бұрын
VERY SMART DAR24 MEDIA. NAWAPENDA NA NAMPEDAGA HUYU KAKA MTGAZAJI JAMN
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 жыл бұрын
Good job my brother watakuelewa tu very good othman 👍🇺🇸
@amourchikawe753
@amourchikawe753 2 жыл бұрын
Siku zote ukweli haufichiki na huyu baba anasimamia katika kile anacho kiamini Jambo ambalo it's very rea kuona viongozi wana kua hivyo. Sio mtu wa maneno tu na kama unachunguza maongezi yake anapo towa neno huliangalia kwa nyanya tofauti.
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 2 жыл бұрын
Yes this is the true leader ,very intellectual with perfect visions.
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 2 жыл бұрын
"Sikuwa mwana-CCM. Mimi sijawahi kuwa mwana-CCM." ... "Nikiwa mtumishi wa ser'kali."
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
ILA ....IN SHA ALLAH ONE DAY
@idrisaabdulwakil9618
@idrisaabdulwakil9618 2 жыл бұрын
Utulivu 100% Ukweli100% Haki100%
@ibugharib389
@ibugharib389 2 жыл бұрын
VIONGOZI Kama hawa Ndio wataivusha Zanzibar kwenye dhiki ya maisha kwa uwezo wa Allah sio wale ambao matumbo Yao tu Ndio muhimu.Bega kwa bega mpaka KIELEWEKE
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 жыл бұрын
Vyema, lakini mimi nna suali jee tunaishi na SMZ au GNU, ikiwa ni GNUinakuwje kutaja taja serikali ya mapinduzi, mapinduzi si yalishapita na serikali iliopo madarakani si imeingia kwa kura na sio mapinduzi
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 2 жыл бұрын
Kura watu wanapiga lakini anayeshinda sio anayetangazwa kuna mizengwe inafanyika kumpa mtu ushindi asiyestahiki ndio yanayofanyika na wewe nafikiri unajua hilo.
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 2 жыл бұрын
Ww kukiharibika kwako unataka akatajwe Kaka ako su ? Jiengeze ndugu yangu
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 Hili ndio tatizo kudhani kuna mgombea fulani kashinda. Kuna wakati hata WAKALA au mgombea mwenyewe anampigia kura mtu mwingine halafu anatangaza kuibiwa kura. Ni upuuzi! Suluhisho la Zanzibar ni chama kinakoshinda kiongoze huko
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 2 жыл бұрын
@@hajihassan5433 Sio kudhani watu wanayafanya hayo kama hujaambiwa wewe ufanye tulia ,watu wanapewa hizo kazi na ndio wao wanaosema baada ya kufanikisha zoezi hilo ,wewe unaishi nchi gani unayepinga mambo yapo wazi kabisa .wanayoyafanya hayo tupo nao mitaani mwengine ni mdogo wako Baba na mama kwa hiyo yakishafanyika na ameshawapitia ulaji waliomtuma na kugaiwa pesa kidogo hueleza yote na mizengwe waliopatiwa wawapatie watu kula.
@aqmmsm55
@aqmmsm55 2 жыл бұрын
serikali iliopo ni ya mapinduzi ingawa ni ya GNU maana yamefanyika mapinduzi ya kalamu sio ya damu
@salyali7807
@salyali7807 2 жыл бұрын
Yaallah mjaalie mja huyu awe Raisi wa zanzibar... Allahumma ameen Allahumma ameen
@hazurungihaji7117
@hazurungihaji7117 2 жыл бұрын
Amin
@sabrinamohammed5378
@sabrinamohammed5378 2 жыл бұрын
Ameen yarabby
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 жыл бұрын
tukipata kiongoz muadilifu hakika mambo yatabadilika ,kwa uwezo wa Allah
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 жыл бұрын
na makamo wa pili pia jaman mumhoji tumsikie mistari yake
@aishafarah2456
@aishafarah2456 2 жыл бұрын
Mashallah Allahumma Amen Yaraby
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
😂😂🤣🤣😂🤣😂 ZANZIBAR.... ZANZIBAR .......ZANZIBAR....... SISI TUPO MBALI SANA KUFIKA SINGAPORE LABDA TUFANYE MAAMUZI ....MANA UKIWA MASKINI KAMA UNAMAAMUZI UNAPATA PAKUTAFUTA KULIKO MASKINI ALAFU KUNA MTU AMEFUNGA MIGUUNI🤣😂🤣🤸🤸🤣😂
@jadilimasambo8711
@jadilimasambo8711 2 жыл бұрын
Hakuna faida ya muungano..vunjeni tu
@saidmohd7240
@saidmohd7240 2 жыл бұрын
Wewe Baraka Shamte Uzee ushakuchukuwa! Unafikiri kuna cku CCM hawatakuwa wao Makamo wa Kwanza??? Halafu huna asili na CCM wewe! Njaa tu inakusumbuwa wewe!!
@saidimasudi6450
@saidimasudi6450 2 жыл бұрын
Wewe upo serikarini kaziyako kumshauri rais sio kuzurira na vyombo vya habari. Mapungufu utakuja yauza 2025 hapo ni kuwasumbua wapiga kura wako Fanya kazi ulio teuliwa
@mangofish9079
@mangofish9079 2 жыл бұрын
Kusema kwani dhambi umesikia unajua asili ya watu kama nyie wenye viburi vya kijinga munakosa maarifa hata ya kufikiri baadhi ya wakati.
@barakashamte3273
@barakashamte3273 2 жыл бұрын
Wewe Othman wacha unafiki Hiyo sharia ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa.si ilitungwa na CUF chini ya Abubakari na Seif Sharifu ikamnyoa manyoya Makamo wa Kwanza makusudi kwa tarajio angetokea CCM. Sasa mnavuna mlichopanda.
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 2 жыл бұрын
Huelewi unachokiandika ushabiki wa kisiasa unakusumbua watu wanamahesabu ya Zanzibar kupiga hatua kubwa za kimaendeleo kuna watu hapa Zanzibar wamesababisha kuwa nyuma kimaenseleo kwa sababu wao ndio wanaoongoza na uwezo wao umeishia hapa tulipo leo tukiwa na hali duni ya kimaendeleo.
@ibugharib389
@ibugharib389 2 жыл бұрын
Wewe Ndio wale muliopiga wazee wetu bakora kule Pemba mbona jina lako kama wewe au ndio wale maluuni wakubwa
Othman Masoud Othman: 'Maalim Seif sharif alipambana kwa hoja'
3:47
BBC News Swahili
Рет қаралды 10 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 202 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 54 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 15 МЛН
FITNA 7 ZA MUUNGANO ZA MLIZA  MAKAMU WA KWANZA WA RAISI ZANZIBAR
25:43
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 33 М.
IVI KUMBE OTHMAN MASOUD ANAWEZA KUMWAMBIA RAIS MWINYI MANENO HAYA
35:15
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 202 МЛН