''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...

  Рет қаралды 32,231

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 78
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i 2 ай бұрын
Pina umesema ukweli usiopingika❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@jamesmethusela1148
@jamesmethusela1148 3 ай бұрын
This guy is very smart, Mungu akulinde
@PeterJonathan-c8k
@PeterJonathan-c8k 3 ай бұрын
MUNGU ana inua watu wengi kila itwapo leo, mpina MUNGU akulinde utokapo na uingiapo, unatuwazia mema watanganyika, ushauri wangu kwako, njoo ungana na Lisu, madeleka, mwabukuzi, heche, Lema, tupate ukombozi , mnatuwazia mema watanganyika
@mabulajohnmachela2230
@mabulajohnmachela2230 9 ай бұрын
Dah mpina uko vizuri kidata hongera
@josephngassa7073
@josephngassa7073 3 ай бұрын
Mazizu nyie na wizi wa fedha za nchi mtatuona umefika mnatuchafulia chama Cha mapinduzi gereza linawahusu mludushe fedha na kufungwa
@alikoboniphace6732
@alikoboniphace6732 11 ай бұрын
Ni wa Kwanza Bana Leo, lkn inchi hii viongozi wachache Sana Ni waelewa lkn wanainchi tunabaki tunaumia
@StarPesa-w7d
@StarPesa-w7d 11 ай бұрын
Narudia Tena huyo mwigulu mwizi asijitetee mkamateni mshenzi anatumia hela zawatu masikini kwakujinufaisha akamatwe
@titusmwele6885
@titusmwele6885 2 ай бұрын
Mwiz saanaa
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 11 ай бұрын
Mpona uko sawakabisa ila bunge la washabiki .Tz hatuwezi kutoboa.Mungu atussidie tuwe wakweli.
@AbasiMadege-ot2of
@AbasiMadege-ot2of 2 ай бұрын
Wananchi wanapata shida halafu wao wanakula tu kupingana tu
@stephenmseti5539
@stephenmseti5539 11 ай бұрын
Kama ni waziri wa kwanza mwizi kiongozi ni huyu anaetudanganya na tai ya bendera ya Taifa
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 11 ай бұрын
Good 👍👍👍👍👍👍👍👍
@GeorgeAbdala
@GeorgeAbdala 2 ай бұрын
Hawa ndo wanatakiwa
@AlfayoNebugo
@AlfayoNebugo 2 ай бұрын
Spika wa mchongo ,wabunge washangilia uovu kila ovu hushangilia ,aibu yao.
@fatimahants1526
@fatimahants1526 11 ай бұрын
Hii inaitwa siasa kali😂
@titusmwele6885
@titusmwele6885 2 ай бұрын
Mh MPINA,PHD KUBWA
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga Ай бұрын
Hiv hilo ni bunge,, au Nini sielewi mbunge ni mmoja
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 11 ай бұрын
Mpina wakat mwingine anaongea mambo ya maana sana
@IddaItuga-o9d
@IddaItuga-o9d 11 ай бұрын
Mpina uko vizuri sana huyo mwigulu ni mwizi
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 11 ай бұрын
Tanzania atuna viongozi tuna majizi yanayo vaa suti tu
@fadhilimsafiri216
@fadhilimsafiri216 11 ай бұрын
Sisiem ni kansa kubwa inatafuna wananchi😭
@menancemhombwe2267
@menancemhombwe2267 11 ай бұрын
Yaani mwiguru bhana si awe ananyamaza tu. Anadhalilisha PhD
@mahengedaktari-ek8go
@mahengedaktari-ek8go 11 ай бұрын
Mwiguru mwizi sana
@awadhally1052
@awadhally1052 3 ай бұрын
Huyu mwizi sanaa mwigulu
@emmanuelmkeba7901
@emmanuelmkeba7901 3 ай бұрын
TAI hiyo ya nn?
@vicentnyanda828
@vicentnyanda828 11 ай бұрын
Mawaziri wengi wapiga deal😂
@isaacmollel345
@isaacmollel345 11 ай бұрын
Wizi mtupu km ningekuwa.Rais.leo hai.waliotajwa na Mpina nawafilisi mara moja nakifungo juu
@martineshija2712
@martineshija2712 10 ай бұрын
Mpina Oye yaniwecheza naye2 huyo wazili mpaka aachenakucheza anavochezaga
@SekaMaster45
@SekaMaster45 2 ай бұрын
Mbona wabunge Awagongi mezaaa😂😂 Mmmmh Mtu Akiongea ukweli Kimyaaa Akiongea utumbo Makofii😂😂 Dooog TZ bhn
@NicholausLaurent-t6x
@NicholausLaurent-t6x 11 ай бұрын
Naona mawaziri hawajui hata wanachokizungumza
@DicksonJaphet-fq7ov
@DicksonJaphet-fq7ov 3 ай бұрын
Mpina Mimi Ni CCM Ila hiki kinachoendelea Nakuunga mkono kwa Asiimia 99.9 MUNGU akulinde.
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 3 ай бұрын
Mh Mpina mjasiri sana. Mh Mwigulu sijui kwanini Rais anamlinda.😢😢
@saidimkombe9842
@saidimkombe9842 11 ай бұрын
Dah
@matesosamwel6685
@matesosamwel6685 11 ай бұрын
Kisesa hongera mna mbunge!!
@AbasiMadege-ot2of
@AbasiMadege-ot2of 2 ай бұрын
Kwer
@makejamaduhu7618
@makejamaduhu7618 11 ай бұрын
Izo ni fujo😂😂😂😂😂😂 nimekataa taarifa
@simongwandu7392
@simongwandu7392 11 ай бұрын
Hakuna nidhamu ndani Bunge la Tanzania
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 11 ай бұрын
Ni kipindi kigumu sana hii Mawaziri wanageuka kuwa wapinga taarifa bungeni ili kuzima hoja za Wabunge ili hali Wabunge hawa ni wa ccm. Km kuna jambo haliko sawa ni vema Bunge lifanye kile kilichofanyika kipindi cha Richmond kwa kina Lowasa, Vinginevyo hii ngonjera haitaisha.
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 11 ай бұрын
Ww ndo mbunge wangine story
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 5 ай бұрын
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 11 ай бұрын
CCM ni janga la taifa namba moja. Majizi tupu
@shedrackpiniel6800
@shedrackpiniel6800 11 ай бұрын
Wasiwasi wangu nikwamba ccm unaweza usirudi kwasababu umekataa kuwa chawa au kupiga makofi au kuwasifia au kuwambia wameupiga mwingi
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 9 ай бұрын
Kila siku anausishwa na wizi kwanini asichunguzwe au ndo yaleyale
@JoachimKisoka-d5l
@JoachimKisoka-d5l 11 ай бұрын
Luhaga ni mbuge wa kipekee katika Bunge letu na ndiye mbunge pekee anayenipotezea muda wangu kusikiliza michango yake abarikiwe.
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 11 ай бұрын
Shida wakati alikuwa waziri alikuwa kimya Ila sasahivi yupo sahihi Sana siku inchi hii akichukua rais mzalendo awafilisi wote waliokula hii inchi kwa muda mlefu
@frankmugomba3484
@frankmugomba3484 11 ай бұрын
Samia kwanini uwa unamlea Mwiguru hivyo uwa umwoni kuwa Sio Mzalendo Plz tulee ili jamaaaa
@davidmapogo8784
@davidmapogo8784 11 ай бұрын
Waziri hajui Trat na trab halafu ajue miamala halali
@mwakapalamwakapala8317
@mwakapalamwakapala8317 5 ай бұрын
Kwanini hawa waliotajwa hawajakamatwa mpaka leo
@IddaItuga-o9d
@IddaItuga-o9d 11 ай бұрын
Kipindi cha kuoneana haya kimepitwa na wakati
@rizikimlela8162
@rizikimlela8162 11 ай бұрын
Huyu mwinguru muwemunampima virevi anapoingia bungeni manaake hajuiyupowapi
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 3 ай бұрын
Muda wake imeisha baadae ya kusema ukwer
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 11 ай бұрын
Mwigulu. Na genge lao watatuua wemetuibia san
@andrewmaramoko5073
@andrewmaramoko5073 11 ай бұрын
Mwiguli mchumi hajui miamala halali na miamala hatarishi!?
@Martin-w2l9p
@Martin-w2l9p 11 ай бұрын
Wakati mbunge makini Luhaga anachangia hoja, ma-mbumbumbu hata hawajui wanachoongea.
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 11 ай бұрын
Duu Aibu yataishia hewani hakuna Sheria itachukuliwa wanasema Yatapita
@elijahalexze5
@elijahalexze5 11 ай бұрын
Mpina anajitahidi,ila achunge sana kwa CCM kwani CCM ni kama mama wa kambo,huwenda wakamtapika bila ya kumjali kubwa ni mwanachama halali.
@yapukahassan
@yapukahassan 11 ай бұрын
Halafu mwigulu anamaneno ya kejeli
@conradolomi9580
@conradolomi9580 11 ай бұрын
Hawa CCM wapo madarakani tangu 1961....kwa kifupi,wote ni wezi.
@GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn
@GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn 11 ай бұрын
Hali ya uchumi naomba muangalie
@yapukahassan
@yapukahassan 11 ай бұрын
Kumama ake alie mchagua huyu ni mjinga mwenzie
@StarPesa-w7d
@StarPesa-w7d 11 ай бұрын
Huyo jamaaa ni mwizi asijitetee
@mtumplole2155
@mtumplole2155 11 ай бұрын
Mpina leo umeamua
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 11 ай бұрын
Mwiguruachana na.moina huoninlm.amakutia aibu
@sarahmwakipembe5033
@sarahmwakipembe5033 11 ай бұрын
Waziri wa fedha ni kelooooo hapa nchini waizi hao na bunge mtu anapotia mchango wa kutetea nchi msikatishe acheni amalize
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 11 ай бұрын
6
@joyceAdam-xn2yw
@joyceAdam-xn2yw 11 ай бұрын
Wabunge sindano hiyo, hawapigi makofi
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 11 ай бұрын
Mpina una lolote
@AminaHussein-r6v
@AminaHussein-r6v 2 ай бұрын
Wewe itakuwa ni mganda
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 2 ай бұрын
@@AminaHussein-r6v 😂😂😂
@2003hintay
@2003hintay 11 ай бұрын
Hata Kama sijui mahesabu akili ya kawaida haikubaliani nae mpina ni muongo Ana hasira na kukosa uwaziri. Alichemsha uwaziri leo anatengeneza mahesabu ya kitapeli
@yohanamnema4496
@yohanamnema4496 11 ай бұрын
Akili unazo lakini huna utambuzi
@stephenmseti5539
@stephenmseti5539 11 ай бұрын
Hesabu. Mwigulu ni Mwizi tu
@2003hintay
@2003hintay 11 ай бұрын
@@stephenmseti5539 wewe ndio walewale tu hela anakaa nazo wizara yote Yuko Yeye tu, Kuna hela ya serkali inatumika bila maandishi
@stephenmseti5539
@stephenmseti5539 11 ай бұрын
@@2003hintay wewe nawe umelamba asali. Mwigulu ni mwizi tena jizi ambalo lina kiburi. Kama mawaziri wamepiga hela kwenye awamu ya huyu mama ni huyo unaemtetea. JPM aliwagundua mapena yeye na Makamba akawaweka pembeni. Ile tai ya bendera ya Taifa ni ulaghai tu
@2003hintay
@2003hintay 11 ай бұрын
Mbona Mbowe anapiga Sana hamsemi? Mmerogwa Nini mkiti wa kudumu hamsemi na ukisema tu yatakukuta ya saanane
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 5 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 113 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 17 МЛН
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 141 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 5 МЛН