Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 44
@newzon53006 ай бұрын
KAMA UNAJUA WAMECHOMA WANATAKA KULIPWA BIMA GONGA LIKE
@hakizimanamoosa11576 ай бұрын
Duuuh pole sana kwasasa
@linkedstoretech28146 ай бұрын
pole sana mjini FM i hope mna insurance /if you dont make sure you buy insurance
@user-bf4xh9kc3n6 ай бұрын
Poleni sana
@onanarosse96576 ай бұрын
Polen sana
@user-gb5vz6wm2q6 ай бұрын
Poleni sana Mjini FM
@luisojr34806 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@jasirimjasirimedia79406 ай бұрын
Pole sana kwa uongozi wa mjini fm
@fahadfaraj64746 ай бұрын
Duu poleni sana
@elizabethchabluma-zw5qz6 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu mwenyezi mungu awape nguvu
@samirmswahili6 ай бұрын
Dah noma kweli polen sana kwa mitihan
@channyanjen90476 ай бұрын
Pole Sana salam
@ronaldissack33386 ай бұрын
Duh poleni Sana
@emmanuelfari89246 ай бұрын
+MUNGU+ awatie nguvu kwa changamoto hii kubwa🙏
@mwasitigervas26246 ай бұрын
🙆
@lastkinglastking33266 ай бұрын
Ingeunguwa usiku nisingesema kitu lakini kwa kuwa imeunguwa asubuhi nawatu wakiwemo lazma kuna uzembe umefanywa nawa tumishi waliokuwepo Sawa kuunguwa inawezekana lakini vifaa vya studio kuteketeya vyote hapo sielewi ila vingeunguwa badhi ningekubali .nauliza kama vyote vimeunguwa vipi na sim zawatumishi ambao walikuwa ndani nazo zimeunguwa?jibu ni apana Sasa kama simu zao hawakuzishau inamaana wangeokowa laptop microphone na vingine kwasababu studio vifaa vyake ni vyabei kubwa lakini sio vizito
@bigirumanalululouise45406 ай бұрын
Daah😢😢😢
@RodrigueHabarugira-zj7uq6 ай бұрын
Ajifunze uyo kipara na rohomba yake
@alkhudhertarek9766 ай бұрын
Roho mbaya gn alokufanyia ww
@user-fj7wu8ph1q6 ай бұрын
diamond kashafanyayake
@putotamu70446 ай бұрын
Pesa za hamo vitapotea vyote
@aediayumgo85466 ай бұрын
Mh?!😮
@adolphmwangoje28876 ай бұрын
😂😂😂😂 bima hiyo ifanye KAZI tumechangia sana
@user-hn3km9ex5r6 ай бұрын
Safi sana #nimependa
@user-jf3oj8nc6h4 ай бұрын
ili niuma
@user-fy9pw2zr8l6 ай бұрын
😢😢😢😢😢jamani
@user-ps1ph9iv5b6 ай бұрын
Pale unapo kosea mashert ya mganga
@dianavery58436 ай бұрын
😂
@wemaMichael-fr4th6 ай бұрын
Daa malipo hapahapa duniani baba anaroho mbaya huyu walau atajifunza kuishi na watu kwa upendo
@elisharaphael86806 ай бұрын
Duu mbona watu mnakuwa wepesi kuhukumu sana 🤔
@deogratiusnjau17446 ай бұрын
Jaribu kuficha upumbavu wako mbele za watu
@official_dicksonmunga6 ай бұрын
Mbona mnaroho mbaya kiasi hiki
@renatusndege6 ай бұрын
Hiyo roho mbaya alikudanyia lini na wapi aisee?
@priscusgodwin6 ай бұрын
Itakuwa alikutenda🤔
@DM_156 ай бұрын
Salam kafanya mengi namaovupia ila ukidhulumu lazima ipotee, jamaa aliwai mkejeli konde akimuita panya mvutabangi hukokote ilikua nikumharibia konde image yake hayo niya hadhrani ya nyumayapazia je,Mungu kalipasasa akianza atakua na heshima sasa
@AnyoinetteIbe6 ай бұрын
Sasa mafanikio gani konde anyone kumzidi Salam? Una akili primitive saana kuungua kwa studio inawezekana ni ajali tu kama zingine au upuuzi wa wafanyakazi kutojali ajali ya moto wa umeme unaweza sababisha maafa