kiukweli Jezi zayanga ni nzuri sana tuwacheni ubishi,kama mnafatilia yupo jamaa Marekani alikua anaziuza Jezi zasimba nayanga lakini kasema watu wengi wamezisifu jezi zayanga
@robertkikuli66632 ай бұрын
Hiyo Songwe Au Morogoro Home Sweet Home
@rehemawamwarami38542 ай бұрын
Kumekucha huko Moro umeshi ndio zetu Sasa Apo patakua pabichi aisee😂😂😂
@Abu-Hamza2542 ай бұрын
Yanga kama Arsenal wafuazi wengi
@abubakarchinga23452 ай бұрын
Tafsiri ya nyota tatu ndio imebamba💪💪💪💪
@Abu-Hamza2542 ай бұрын
Kuna muindi mdogo apo
@NaftaryMgoye2 ай бұрын
Ukivaa jersey ya Yanga unamwonekano wa kitanzania/kiafrika ila Simba mwonekano wake haujulikani