Rais wa Umoja wa mabunge Duniani IPU Dkt. Tulia Ackson ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania akitoa shukrani baada ya ushindi alioupata amemtaja aliyemuibuka na kufahamika katika Nyanja za kisiasa
Пікірлер: 27
@MatildaMwacha11 ай бұрын
Dada nakupenda nakuombea Mungu akutuze maadui wako washinde kwa jina la Yesu
@ebenezermachange-zp4es11 ай бұрын
Ooo Glory be to God...Hongera sana Mungu azidi kukung'arisha Speaker wetu.
@yordanyona123411 ай бұрын
hongera sana Dr kuna watu ukikutana nao unakuwa umekutana Na Bwana
@ndukulusudikucho_11 ай бұрын
Mwenyezi azid kukuongoza utafika mbali Mhe TA
@mwamvuamagongo816311 ай бұрын
Mwanamke shupavu anajiamini, Mungu akubariki sana 🙏 Nakupenda sana ❤
@queenlinda25511 ай бұрын
Ndio ule usemi unasema ukikaa na uwa jasmi lazima na ww utanukia jasmin hongera sana
@severinkinunda526911 ай бұрын
Balozi Dr. Asha Migoro ni mtu muhimu ktk maisha yangu
@hamadsheni899711 ай бұрын
Ngoja siku unaumwa ndo utajua hujui.
@romanilyimo11 ай бұрын
@@hamadsheni8997mtu anasema ni muhimu kwake kinachokuuma ni nn ss. Utaumwa ww wacha rohoo kubwa hyo mpaka inaonekana wazi
@romanilyimo11 ай бұрын
@@hamadsheni8997mtu anasema ni muhimu kwake kinachokuuma ni nn ss. Utaumwa ww wacha rohoo kubwa hyo mpaka inaonekana wazi
@godfreymasondaabel190411 ай бұрын
🎉hongera Madam
@mwana459911 ай бұрын
Ukiteuliww na Nani kuwa mbunge?
@rkcomercialenterprises320911 ай бұрын
Unahitaji mshauri kwenye swala la mavazi kwa kweli. Vaa yako haiendani na cheo chako
@NancyPatrick-il8zj11 ай бұрын
Hana shepu ya kuvaa mavazi unayoyafikiri
@aliyageorge679411 ай бұрын
Anahitaji mshauri kwa swala la democracy in Tanzania.
@aliyageorge679411 ай бұрын
Anahitaji mshauri kwa swala la democracy in Tanzania sio kutawala kiubabe...
@aliyageorge679411 ай бұрын
Anahitaji ushauri wa demokrasia in Tanzania.
@erastuskajuna81211 ай бұрын
Mmm lakini ubunge kapewa na nani?
@donatusmlowe737811 ай бұрын
Nimuda tu utakuja tulia
@zephaniapaul959211 ай бұрын
❤❤
@zawadimpayo383911 ай бұрын
🙏🙏🙏
@AjiaMohamed-rt5pb11 ай бұрын
Dah kweli siasa ni nyoko lisu upo marekani tzania umepambana na swala la bandari .kuwa Bunge na spika wameuza nchi .Ukapaza sauti katika nchi za magharibi leo tulia ndio Raisi wa mabunge yote Dunian pamoja na uko ulipokimbilia dah pole
@Melini-f7t11 ай бұрын
Ndugu yangu nchi hii mh!
@AjiaMohamed-rt5pb11 ай бұрын
@@Melini-f7t sio nchi hii na wenyewe waache kushobokea nchi za magharibi
@nsiamasawe457811 ай бұрын
Tulia jiandae pia kugombea Urais baada ya mama Samia ingia kwa kishindo