Jaman uyo eliza kaja kuchekesha watu sasa ndio tembea gani iyo kama bata anataka kupaaa ahaaa nimecheka sanaaaa😅😅😅😅😅
@emmanuelmputa8090 Жыл бұрын
Eliza mi Niko hapa ❤
@FbGb-z1x Жыл бұрын
Huyo zarishi..pia anmaringo ele hamna kitu hap usumbufutu
@daineszephrinedaineszephrine Жыл бұрын
Eliza atajutia wanaume alikuwa anawalingia anawakataa
@DullaMtoma Жыл бұрын
Kazi ipo kweli mambo ni mengi
@scarzz3rondo66 Жыл бұрын
Poleni sana
@McRiana-d6h Жыл бұрын
Me nampenda nei
@allyzegele1373 Жыл бұрын
Sema aliye dizaini hiyo kopa hapo kwenye steji inabidi alekebishe iwe KOPA nzuri.
@TabuMudi11 ай бұрын
Mwingine ni Glory na Zarish hawa nao ni wagumu na visababu vya ajabu kwakweli wataondoka wote mmbaki wenyewe
@Jumarajabu-r3p10 ай бұрын
Vp huyo eleza hapo anakwama wapi
@DariaBrayan Жыл бұрын
eliza izo passport zako tembea nazo mbele io stage haikufai
@MerosNkurunziza Жыл бұрын
Eliza anatak kipat hatak mume😂
@mukeshimanarose1334Ай бұрын
😂😂😂😂🇧🇮🇰🇪
@DariaBrayan Жыл бұрын
😢
@abdallahmohammed4059 Жыл бұрын
Hello everybody Jinalangu Mr Abdurah ni mzaliwa wa hapo tanzania D.S.M naishi South Africa Port Elizabeth nimemsikia Eliza apo akisema ana passport lakini haina miuli kama yupotayali kugonga muuli wa dizonga TIME IS NOW Let me know, It's 2024 things should move quickly
@Reemysidimaojo6 ай бұрын
Batul uko smrt dear
@FbGb-z1x Жыл бұрын
Eliza anmaringo n hani lolote
@NusraHozza-qp8yy Жыл бұрын
Si mzur kwel weupe unamlinda
@joycegeorge-mf5kn Жыл бұрын
Hakuna mwanamke mbaya my Sema Kila mtu ana uzuri wake
@felixsarakikya-ez3fk Жыл бұрын
Eliza na Zarishi wamezeeka hao wamedanga wamechoka
@DariaBrayan Жыл бұрын
eliza izo passport zako tembea nazo mbele io stage haikufai