Рет қаралды 132,642
Mbunge was Mbogwe Nicodemus Maganga amemwaga machozi bungeni akisema wananchi wake wanauawa bila sababu za Msingi tangu ilipotokea kifo cha John Magufuli.
"Wananiita kichaa, kila nikitaka kusema naambiwa Sina akili, Mheshimiwa Spika nimezaliwa mwaka 1980, nina akili timamu na sijawahi kufeli, lakini mnaweza kukuta tumeuana huko msishangae," Maganga.