KISHIMBA AIBUKA NA JINGINE “WATU WALIOSOMA KULE KIJIJINI NDIO WANAOCHEKWA, HIVI HAWA PANYA ROAD"

  Рет қаралды 79,642

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 175
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 2 жыл бұрын
What a man in this country. I love the way he thinks. This man is genius.
@Baron_Kigume
@Baron_Kigume 2 жыл бұрын
Big Brains Kishimba! This Man is a National Treasure
@UfunuoSt
@UfunuoSt 2 жыл бұрын
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 жыл бұрын
This man is talking in natural base on common and reality sense in daily life...
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia. sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Kashimba fact nakupenda sana tena bule mungu awe dereva wako
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 2 жыл бұрын
I real love this guy he's so brilliant,always argue the natural reality Very good Mr.Mp Kishimba From Kahama State!
@hamadtv294
@hamadtv294 2 жыл бұрын
Kishimba the Real intelligent man..💥
@paritsaruni5019
@paritsaruni5019 2 жыл бұрын
He speaks the language of the common man
@UfunuoSt
@UfunuoSt 2 жыл бұрын
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
@peterjanuary7972
@peterjanuary7972 2 жыл бұрын
Mungu akulinde mzee wetu.. 🙏
@InfinixTechnology
@InfinixTechnology 2 жыл бұрын
Mtoto.wangu.kamaliza.chuo.kikuu.lakini.hana.ajira.kweli.tz.tunayo.Nazi.ngum.kwel.kwel
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 2 жыл бұрын
Hilo ndo darasa la IV la zamani ni zaidi ya PhD ya sasa. Hongera sana mzee kwa mawazo mbadala!
@peterpallangyo5744
@peterpallangyo5744 2 жыл бұрын
Asante sana mh kishimba unatoaga hoja zilizo makini💪
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 2 жыл бұрын
Hongera sn Mheshimiwa Kishimba umezungumza Mambo Mazuri sn 👏👏👏👏👏👏👏👏
@gabbymasota8693
@gabbymasota8693 2 жыл бұрын
Mzee anaongeaga facts sana ila Huwa wanadhani anafanya comedy. One day yes mawazo Yako yatafanyiwa kazi..✊✊
@damianoadam1041
@damianoadam1041 2 жыл бұрын
Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 2 жыл бұрын
This man is extra ordinary
@mengiiblahim4215
@mengiiblahim4215 2 жыл бұрын
Mheshimiwa kishimba mminakuerewa sana Tena nishabikiwako sana mungu akupe maisha marefu🙏
@jamesmasanja1963
@jamesmasanja1963 Жыл бұрын
Hunizidi mimi Yani jamani lakini hawamsikilizi jamani
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 жыл бұрын
Very Genius
@sijasamweli6889
@sijasamweli6889 2 жыл бұрын
Fact sana MP Kishimba! Critical thought, endelea kutupatia madini.
@__B.O.B
@__B.O.B 2 жыл бұрын
Big up sana Mh. Kishimba nakukubali sana.
@lichenjeleally6430
@lichenjeleally6430 Жыл бұрын
Your my role model Mr Kishimba
@leonardroya6299
@leonardroya6299 2 жыл бұрын
Sijawai kmsikiriza kishimba na nisimuerewe kweri digrii ni yakuzariwa tu Asante kitco
@gibsonsilas6342
@gibsonsilas6342 2 жыл бұрын
Safi sana prof....kwa ufafanuzi Mzuri na wenye Tija kwa Taifa.
@godlivingkileo4031
@godlivingkileo4031 2 жыл бұрын
Huyu mzeee anaonaga mbali sanaaa sema Tanzania siasa nyingi
@mshigilakarume4425
@mshigilakarume4425 2 жыл бұрын
Uko sahih pro
@eliahsamwel6282
@eliahsamwel6282 2 жыл бұрын
Waoooh mzee nakuelewa sana,hakika uko vizuri sana Mheshiwa
@barakaswillah635
@barakaswillah635 Жыл бұрын
Big up Mzee wangu
@lilgicky484
@lilgicky484 2 жыл бұрын
Huyuu jamaa angepewa uwazirii wa elimu angebadilii vityuu vyingi sanaah elimu yetu ni ya hovyoo sanaah kwa kwelii
@UfunuoSt
@UfunuoSt 2 жыл бұрын
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
@matobholwamanonu5919
@matobholwamanonu5919 2 жыл бұрын
Huyu mzee angepelekwa shule za mkoloni angekuwa prof sasa hv..😂😂🙌
@mauthamani
@mauthamani 2 жыл бұрын
Great thinker
@manyerereomary9266
@manyerereomary9266 2 жыл бұрын
Bright sir.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Angekuwepo magu ungekuwa mbali sana
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Kishimba hongera Sana
@DM_15
@DM_15 2 жыл бұрын
Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani
@eddyempire9797
@eddyempire9797 2 жыл бұрын
Mungu akulinde Kishimba ...daaa!
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 жыл бұрын
Asiemuelewa huyu mzee kishimba hawezi kuelewa tena
@UfunuoSt
@UfunuoSt 2 жыл бұрын
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
@jerrymfinanga3773
@jerrymfinanga3773 2 жыл бұрын
Big brain
@athumanimssi297
@athumanimssi297 2 жыл бұрын
Nakubali sana Kishimba wailimishe
@saimonlucas6756
@saimonlucas6756 2 жыл бұрын
Miaka buku kwake kishimba🙌🙌
@ramadhanirashidi4175
@ramadhanirashidi4175 Жыл бұрын
Nakuelewa sana
@samtechtanzania3252
@samtechtanzania3252 2 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sna Akili nyingi sna
@husseinbongo7447
@husseinbongo7447 2 жыл бұрын
Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika
@stevenkataluka1003
@stevenkataluka1003 2 жыл бұрын
hongera Sana mh.kishimba umezungumza nondo Sana sema wizara ya elimu wayafanyie kazi hayo mawazo.
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 жыл бұрын
Huyu mzee ni kichwa sana ana mawazo mazuri sana
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 2 жыл бұрын
Baba kishimba na kupenda kwa ajiri ya Mungu na Mungu akuinuwe mawazo yako yanafanya nimuone Magufuri kwa mbaaaaaaaarih
@selemaniismail4406
@selemaniismail4406 2 жыл бұрын
Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Mbunge wako amesaidia Nini Jimbo na wapiga kura wake? zaidi ya kukimbizana kunyang'anya vi-plot vya watu
@selemaniismail4406
@selemaniismail4406 2 жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
@@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
@@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.
@selemaniismail4406
@selemaniismail4406 2 жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.
@edimundrevelian1246
@edimundrevelian1246 2 жыл бұрын
Huyu baba ana brain kali sana. Anajua anachokiongea.
@elizabethwilliam6087
@elizabethwilliam6087 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo
@emanuelkaroli2817
@emanuelkaroli2817 2 жыл бұрын
Very facts.
@saidmgoso3076
@saidmgoso3076 2 жыл бұрын
Baba nakukubali sana unahoja zamsingi sana kilichobaki kupigania kiti cha uraisi
@apostlefrankemarema8246
@apostlefrankemarema8246 2 жыл бұрын
Big Up Kishimba
@kamanda007
@kamanda007 2 жыл бұрын
safi sana, aliyoongea mfundishe watoto zenu msisubiri serikali iwafanyie maana haitafanya
@samtechtanzania3252
@samtechtanzania3252 2 жыл бұрын
Mfanyabiashara yoyote n kiongozi wachunguze n watu wa Hesabu
@jackobgalish5742
@jackobgalish5742 2 жыл бұрын
Prof. Kishimba ana hoja za kawaida lakini za msingi na zenye mashiko🤣
@johnfabianmahenge.5661
@johnfabianmahenge.5661 2 жыл бұрын
Kishimba safiiiiii sanaaa
@simoninmwangatwa5127
@simoninmwangatwa5127 2 жыл бұрын
safi sana
@julianandoweka7165
@julianandoweka7165 2 жыл бұрын
Yaani nimekupenda sana
@geeva99
@geeva99 2 жыл бұрын
Huyu mzee anadensity ya juu sana 😀😀
@TinyKideo
@TinyKideo 2 жыл бұрын
kabisaa
@rusanzurubigo7791
@rusanzurubigo7791 2 жыл бұрын
Dah!,Mzee unaongea uhalisia zaidi na kwa fikra zangu sidhani kama bado uhalisia ni kipaumbele,😁😁😁
@janealoyce3866
@janealoyce3866 2 жыл бұрын
Uko sawa boss wangu
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 2 жыл бұрын
Big minds
@ediusgabriely615
@ediusgabriely615 2 жыл бұрын
Mbunge mwenye akili kuliko wote...mpaka raisi na mawazili wake..
@UfunuoSt
@UfunuoSt 2 жыл бұрын
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
@ojcreationtz9838
@ojcreationtz9838 Жыл бұрын
Kweli mh kishimba yupo vizuri kwa mawazo yako
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 жыл бұрын
Mzee kishimba Rais alitakiwa akupe wizala ya Elimu maana Una mawazo mazuri sana yakichukuliwa wakafanyia kazi itasadia
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 Жыл бұрын
Yes
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 Жыл бұрын
Wape mondo mzee mishimba
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii.. Ndiyo maana inaitwa msingi.. Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu. Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?
@prosperjuma905
@prosperjuma905 2 жыл бұрын
Una akili sana wewe
@mdmachungu7424
@mdmachungu7424 2 жыл бұрын
Kishimba nakuelewa Sana
@agusmileofficial2845
@agusmileofficial2845 2 жыл бұрын
Uyu kweli anasomesha guys
@georgemalahyageorgemalahya5347
@georgemalahyageorgemalahya5347 2 жыл бұрын
Hi ndyo maana halis ya kuwa professor unakuwa na kitu tofauti na wengne.
@saidimkombe9842
@saidimkombe9842 2 жыл бұрын
Huyu Mzee anaakili sana
@mfalmekeffah5049
@mfalmekeffah5049 2 жыл бұрын
Huyu mzee angekuwa Rais na akayaweza anayoyafikiria ingekuwa ni Zaid ya ukombozi
@MilioneaTv
@MilioneaTv 2 жыл бұрын
Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!
@cascanicolnicol2008
@cascanicolnicol2008 2 жыл бұрын
Huyu mzee ajengewe sanamu lake ,harafu kwanini asipewe hata unaibu waziri anamawazo current sana huyu mzee
@octaviantega5600
@octaviantega5600 2 жыл бұрын
Inauma sana hoja anazozitoa hazifanyiwi kazi kilichobakii ni sisi kujikwamua wenyewe
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 2 жыл бұрын
Ingenius
@mohamedhamad2374
@mohamedhamad2374 2 жыл бұрын
Kichwa hatar sana lakini maoni yanakwenda kwenye uongozi dhaifu.
@yateramadavaathumanmmbaga7776
@yateramadavaathumanmmbaga7776 2 жыл бұрын
Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.
@yateramadavaathumanmmbaga7776
@yateramadavaathumanmmbaga7776 2 жыл бұрын
Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri
@mohamedhamad2374
@mohamedhamad2374 2 жыл бұрын
Hakika yuko vzur sana Ila tatzo bado lipo kwa hao viongozi wa juu wanaopewa mawazo mazur kama hayo.
@loveofficial74
@loveofficial74 2 жыл бұрын
Huyu mzee kichwa chake ni madini matupu
@brunohenry5897
@brunohenry5897 2 жыл бұрын
Wanataka mpaka ukasome UK au US ndo wakupe kazi Mzee Wang
@superangeltv4615
@superangeltv4615 2 жыл бұрын
nakukubali sana pekee yako unayefikilia
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Na kingine Tanzania siasa nyingi maendeleo ni machache mnoo
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 2 жыл бұрын
Huyu ndio mbunge wangu,,😁naburudika saana..
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 жыл бұрын
Akili kubwa sana
@ismailissa4311
@ismailissa4311 2 жыл бұрын
Wasukuma ni watu wenye uelewe,ukarimu,na akili nyingi sana sema tu mnatu underate
@nebatjailos8362
@nebatjailos8362 2 жыл бұрын
Kishimba una nafasi Yako peponi kwa kweli natamani siku Moja Mungu akipenda nikutane na wewe ana kwa ana!
@karasuyazidi8547
@karasuyazidi8547 2 жыл бұрын
Unagawa pepo
@fidelismichaelmichaelmpond3387
@fidelismichaelmichaelmpond3387 2 жыл бұрын
Mawazo yako yatakuja siku moja kufanyiwa kazi.
@fahimunyawi5318
@fahimunyawi5318 2 жыл бұрын
Uyu mbunge uwabanaongeaga point sana uwaga napendaga kila siku aongee yeye anasema vitu sijui uwaga anafikiriaga wap yan zaid ya phd
@albetoemmanuel93
@albetoemmanuel93 2 жыл бұрын
Mzee kishimba, jmni agombee uraisi miaka 10 nchi itakuwa imebadilika snaaa maana anaangalia wananchi wa chini. Kma magufuli,
@pascaldomel1551
@pascaldomel1551 2 жыл бұрын
Huyu Baba anakitu cha kuwa saidia watanzania hasa kwenye sekta ya elimu.
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 2 жыл бұрын
Kishimba sina neno zaid ya kusema askante
@lamlanyava6153
@lamlanyava6153 2 жыл бұрын
Huku kitaa kuna wasomi hawajui kufunga kamba za viatu, wanapiga miayo bila kufunika mdomo
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 2 жыл бұрын
Tena unakuta lingine linakucheulia wala haligeukii pembeni wala kufunga kinywa!,,,chefuuu!
@saimonmlay4295
@saimonmlay4295 2 жыл бұрын
🤝
@muhungamasengo9691
@muhungamasengo9691 2 жыл бұрын
Aliwahi kusema magu yatapita leo wapi? Madeni kibao wanaho fahidi wale wale shida
@anwarihassan
@anwarihassan 2 жыл бұрын
🤝🤝
@marymichaeltz
@marymichaeltz 2 жыл бұрын
💪word
@octaviantega5600
@octaviantega5600 2 жыл бұрын
Wanadhani anachekesha watu lakini ukweli mnaufahamu.
@lichstudio2024
@lichstudio2024 2 жыл бұрын
Ni bora angepewa urais2
@adrianosimalimoto6485
@adrianosimalimoto6485 2 жыл бұрын
Hvi haya mawazo yanachukuliwaga kweli?, maana huyu mzee anaongeaga facts sanaaa Ila basi hii nchi bna hta sielewi
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 2 жыл бұрын
Ndio maana ni tajiri ana akili kupita hadi wasomi anaongeaga critical sana
@lincnobel7299
@lincnobel7299 2 жыл бұрын
💯💯💯
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏
@UfunuoSt
@UfunuoSt 2 жыл бұрын
Kishimba ni Kweli, mawazo yako ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
@mcgabby
@mcgabby Жыл бұрын
Huyu jamaaaa Kwanini hicho Chama chake Kisi muweke kama mgombea wa uraisi au hata uwaziri mkuu maana ana kituuuuu huyu mzeeee😂
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 208 М.
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 261 М.
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 13 МЛН
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 327 М.
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 155 М.