Hongera sana Dada madawili kwa kuwa mwanamke pekee meja jeneral wa kwanza
@gracesamson9242 жыл бұрын
Bigup matron,mama nakumbuka ulivyotulea ulitujali usia wako ulitufundisha meeeengi saana,hakika sitokusahau hakika we we ni Super mama MUNGU akupe umri mrefu
@jumahamis2272 жыл бұрын
Dada mzuri mcheshi na anajua kuhoji sana hadi raha, hongera kwa mama madawili kuwafungulia wanawake wengine kwenye tasnia ya jeshi 👏.
@rahabnkya82762 жыл бұрын
Hakika YAKEE! Namkumbuka sana tukiwa CSTC Dar 1970, 1971/72 akiitwa ZAWADI MADAWILI.., kina marehemu Adeline SAWE, MARGRET nk. Tunamshukuru Mungu sana, tupo tu !!
@stn48732 жыл бұрын
Nkya uko wapi siku hizi??
@auntdorah91412 жыл бұрын
Mabinti popote mlipo, kamatia ndoto yako, unaweza! Jamani wanawake tunaweza Hongera mama Mdawili, napenda sana kuona wanawake ktk nafasi za juu. Mungu azidi kutusimamia🙏
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Mashallah hongera mama na unavojistiri kwa nguo za heshima ivo mama allah akufanyie wepesi
@azaintv27312 жыл бұрын
aaamin
@bishopesronrutayisire52102 жыл бұрын
Mama Afande Meja Generali, nami ni mefurahia saaana wema wako, hekima na busala vyako. Wewe ni Mama wa dhamani kubwa. Dada Mtangazaji hongela na wewe pia umefanya kanzi njema kwa kwenda kumuona Shuja Meja Generali Madawili. Mungu awajazie kwa neema yake !
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Hongera sana mama Meja Generali Mungu akujalie maisha marefu.
@abdularuffin93082 жыл бұрын
Hongera mama mwema nimejifunza kwako mamangu mungu akulinde na kukutunza tuzidi kujifunza kwako
@ibrahimaboker90862 жыл бұрын
Once A Soldier Always Soldier Mama Umenitangulia mizi 6 tu mimi nilijiunga JWTZ Mgulani January/1973, mimi ni MT7
@ashamkaula26322 жыл бұрын
Hongereni ss mwengine bado tunapambana jkt huku
@ashamkaula26322 жыл бұрын
Na ss tumuombe mungu tufukie huko op makao
@allyhassan75222 жыл бұрын
Kila la kheri
@nurumohamed72252 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 op makao makuu
@katerelomkuyati67642 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 Mimi nipo jeshi LA kuuza matunda sokoni kariakoo Tupo pamoja sana Ila hata kuiona risasi live sijawahi ona tangu nizaliwe
@shamimhayat76372 жыл бұрын
Mashaaalah mama mwenye hekima na busara nyingi Allah akulinde
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Ukiingia ndani ni mama sauti huishia getini. Hekima kubwa sana.
@umfarid2472 жыл бұрын
Nimependa historia yako mama napenda watu wanao chapa kazi asante mama
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Wamama Tz mnaweza sana. Sasa tunae Rais wa kwanza mwanamke EA na hata bodigadi wanawake tunawaona sasa. Watz tuwaunge mkono wanawake zetu wanaweza. Watoto wa kike jipeni moyo kama mama huyu.
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Mama kapendeza inaonekana alikua mtu mwema hongera mama
@hishamally48462 жыл бұрын
Maashaallah bi mkubwa allah akukinge na husda
@azaintv27312 жыл бұрын
Aamin
@jeanmusamba84482 жыл бұрын
hongera sana mama yetu,Major,unawafundisha mabinti ukakamavu wenye mafanikio,dada zetu wengi sana kazi yao kuwaomba hela wanaume,kumbe wakati fulani Mungu unakuta kambadiliki mwanamke zaidi akijituma kuliko mwanaume ila hawajitambui.Wengi wakiona mwanaume wanaona pesa sio mpenzi au mume.
@gooddeeds1622 жыл бұрын
Siyo Major ni Major General. Ni sawa kumuita General lakini siyo Major , Huyu ni Major General.
@farijalanyoni5685Ай бұрын
ni two star general mjomba
@gosbertkachekolera50372 жыл бұрын
Nakumbuka,alifika karagwe mwaka 1975.shule ya msingi bugene ilichaguliwa kiwilaya kuupokea mwenge mwisa na tuliusindikiza hadi kanyamasongo ngara.big up mother
@williamkeitha12622 жыл бұрын
Maj gen kodi bonge la kiongozi aise salute to match you Madawili na kodi
@cyprianonesmo18322 жыл бұрын
Safi mama mungu akupe maisha marefu
@zainakuzenza7592 жыл бұрын
Wakati nasoma huyu alikuwa rollmode wangu hongera
@noelswai26602 жыл бұрын
Mama anaongea kwa hekima saana 👏👏👏
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Mtu hana cheo chochote anakua jeury hasa hawa trafki jeury sana namuomba mkuu wa jeshi la polisi awaangalie sana hawa pamoja na manesi pia jeury
@davidkawesa3594Ай бұрын
Hongera bibi umetuheshimisha ingekuwa mademu wa siku hizi
@ahmadiomari69132 жыл бұрын
Nacheka sans sana sana sanaaaaa. Kila kiongozi ana haki yake ya kuweka watu anao ona watakuwa nae Wanawake pambaneni kweli kweli na hal zenu. Laini ninavo ona mukishatoka mumekwisha tena. Yaani vyeo mutavisikia tu.maana mpango wenu wengine wanaona siomzur
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Mama Meja General kweli wewe una hekima ya ajabu. Unavyojieleza ni Mwl tosha wa hekima kubwa. Yafaa uwe unaitwa ktk hazina za hekima ya taifa .
@jumamhina38922 жыл бұрын
Hakika ni mwalimu na busara zimemjaa. Kuna mengi ya kujifunza hapa kuanzia malezi na kung'ang'ania ndoto yako. Ahsante TBC na Mama yetu kwa kipindi hiki
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Jicho la.pekee likuone upewe nafasi ya kulea vijana.hasa wadada jeshini. Mama ni mama.
@avitimmochi2272 жыл бұрын
Hi Madawili. Tulikuwa pamoja UD. Nakusalimu. Mmochi
@zaidihussein43112 жыл бұрын
Mama hongera Sana kwa cheo ulicho fikia jeshini
@monicambossa49372 жыл бұрын
Asante sana
@stn48732 жыл бұрын
Taratibu iko hvyo hvyo Mama General, miaka 6 kwanza ndio mambo ya kuoa na kuolewa yaje.
@emmanuelmtono75762 жыл бұрын
Major General Madawili alifika pale IDM Mzumbe wakati akiongoza mbio za Mwenge 1975. Nilikuwa form two pale Mzumbe Secondary, kapiga combat yake ya JWTZ mkakamavu sana. Ilipendeza sana. Mungu azidi kukupa afya njema.
@marystelaswai51742 жыл бұрын
Daaaaah hatari sanaaaa, nilishangaa jeshini tunaitwa madawili kumbe ndo kwa ajili yake
@abuumaisarah65952 жыл бұрын
Duh 1975 Sawa Kiongoz
@abraman82602 жыл бұрын
@@marystelaswai5174 wewe ulikua unajua ni nn au cheo
@allyfawziyaat32462 жыл бұрын
Super proud to be your niece 🥰🥰🥰
@Ambagaye2 жыл бұрын
Huyu Madawili nadhani ndiye aliyengoza mbiyo za mwenge mwaka 1974 akiwa luteni, na kuanza kusifiwa tangia hapo.
@ashamkaula26322 жыл бұрын
Hongereni bcz wengin nd tunaendelea kupapambna jkt huk
@ahmadkasika71142 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 pambana Dada pia jichanganye na wakuu watakusaidia sana 🙏🙏
@Tv-qs8iz2 жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الله
@yatatusimu24982 жыл бұрын
A good interview in terms of style and content. Hongereni wote wawili ...
@janefrolakalinga56642 жыл бұрын
waooooo nilikuw najiulizag siku zote kwa nini wasichana jkt huw wanaitwa madawili bila kupata majibu, ila nikawa najipa majib kumbe ni 7bu ya huyu mama mwenye jina lake na mwenye cheo kikubwa jeshini, salut kwako mama zawad honger sn maan hat mimi nilishawahi itwa jina lako la dawili and a new phone🙏😆😆😆😆😆😆
@sharaarabiy8582 жыл бұрын
Ahahaaa truee
@marystelaswai51742 жыл бұрын
Umeonaaaa eeh tuliitwa madawili sana kumbe ndo sababu ya hili
@marystelaswai51742 жыл бұрын
Nimesikia raha
@saidishebuge47962 жыл бұрын
Very Inspired
@gwamakamwailunga91462 жыл бұрын
Salute kwako General, Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
@methodmarwa14062 жыл бұрын
Hongera sana
@joycemwaikofu49232 жыл бұрын
Hongera sana mama. Superwoman
@rebeccampingwa76162 жыл бұрын
Hongera bibi aliera na alia nimefurahi kukuona mungu akupe maisha marefu yenye baraka
@rosemarymwanjali55122 жыл бұрын
Hongera sana Dada Madawili Mungu akujalie afya na uishi maisha marefu
@anawa4326 Жыл бұрын
Impressive Madame 👌✊🏼👏🏼
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Sio wanawake wa siku hizo wajeury kajifunzani kwa mama leo trafki wa kike wanawatukana mpaka wazee nendani mkajifunze kwa mama huyo mama ana tabia njema
@shaamemchauru13653 ай бұрын
KWELI KABISA
@stafordbusumbiro28102 жыл бұрын
Hongera sana Rtd Major General Madawili.
@aminaibrahim41482 жыл бұрын
Mashaallah Allah aku afidhi mama
@allykhamis33782 жыл бұрын
Waa mejajenerali my live
@lewismsumari13152 жыл бұрын
Kumbe ndo maana wanawake jeshini wanaitwa madawili 😀😀
@georgedaniel49622 жыл бұрын
Umenichekesha sana na kunikumbusha mbali
@machaggechacha34222 жыл бұрын
Safi sana mama.
@abraman82602 жыл бұрын
Nimempenda mtangazaji
@abdullatifsuleiman53712 жыл бұрын
Na mtangazaji pia wanaendana Sana wapo kirafiki zaidi
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Salute Generali
@vetsengore10352 жыл бұрын
Inspiring content
@allyhassan75222 жыл бұрын
Alijielewa sana,hata sketi yake tu unaona ilikuwa ikivuka Magoti.
@azizihfarijala53072 жыл бұрын
Huyu afande hongera yake.na rafiki.yake Rukia masasi yupo wapi walikuwa wote
@jimmundakega81172 жыл бұрын
Hongera sana!
@elisannko5892 Жыл бұрын
I'll be like you one day in Jesus Name
@simontamba12852 жыл бұрын
Hakika Mnaweza
@dr.kassimumtunguja69782 жыл бұрын
Madawili Wote foleni nje ya kombania 😆
@marystelaswai51742 жыл бұрын
Hatari saaaanaaa
@anuaryally61772 жыл бұрын
Meja jeneral kitambo umepatia kuweka kabostani kuliko kufuga mijani isiyokuwa na faida
@hassanbilali16972 жыл бұрын
Hongeraa mama
@kassidpandu8662 жыл бұрын
Kamanda Mwenekano wako bado una Nguvu Mama
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Huyo Ni mjeshi lazima awe na AFYA njema hapa simzungumzii walevi nazungumzia wenye kujitambua Kama huyu mama
@hajihassan54332 жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 Tumshukuru Mungu ampe afya njema zaidi pamoja na sisi lakini ujeshi na afya ni vitu tofauti.
@hajihassan54332 жыл бұрын
Kwa afya yako njema Mungu akuzidishie inafaa Rais akupangie kazi Serikalini.
@suntzu89592 жыл бұрын
Mbona sijaona part 2
@kidjhdf75682 жыл бұрын
Mashallah
@mariamuanuari82412 жыл бұрын
Masha Allah
@hadijachakori23522 жыл бұрын
Hongela sana mama
@maigajohn7022 жыл бұрын
Safi
@allyfawziyaat32462 жыл бұрын
My auntieeeeee😍😍😍😍❤️❤️❤️
@janethmponzi83082 жыл бұрын
Hongera sana bibi yangu
@adeltuskarugaba138 Жыл бұрын
Mbona gari hapo mbele lina nyota moja ambalo ni gari la brigedia sijaelewa Au wamefanya parking tu
@fredymahonya1359 Жыл бұрын
Mume wake ni Brigedia General mstaafu
@dicksonkilupa68812 жыл бұрын
Iringa hoyeeeeeeee nimefurahi sana kuona mstaafu bado anajitambua vizuri maana wengine wakistaafu utawaogopa hawaelewekieleweki, ila wewe twihongecha je Nguluve.
@sophiaamnaay97262 жыл бұрын
Hongera sana mama. Nimejifunza mengi kwako. Kweli wanawake wastaafu wanajitahidi sana kujitunza
@nurualamoody43052 жыл бұрын
awana dhulma hao ndio maana wamestaafu lkn bado wamenawili
@allykhamis33782 жыл бұрын
Day meja wee achaa tu
@Nicaonlinetv73242 жыл бұрын
We proud of you Sir
@abbasirovya61182 жыл бұрын
She is a lady, cannot be addressed as "Sir" .
@abdullatifsuleiman53712 жыл бұрын
Ni madam sio sir
@lovenessvisent940812 күн бұрын
Nimepata tabasamu muda wote wa video mimi ni raia tu
@tajielpatrick93722 жыл бұрын
major na mama umeongea ukwel mnooo kila mtu atafute chake wazazi now days wanakuwa slaves wa watoto yaaan ww umtafutie kila kitu yy aenjoy as if amekuja dunia kuenjoy that's not right
@salongomuyoboke5142 жыл бұрын
Kutoka Rwanda. Jameni niambieni maana ya kukimbiza mwenge.
@naimaseif76152 жыл бұрын
Mwenge ni ngao ya taifa la tz kila mwaka unakimbizwa tz nzima
@naimaseif76152 жыл бұрын
Unapeleka ujumbe fulani kwa watz
@peterchristophernyansambo49592 жыл бұрын
Jambo afande (itikia mkuu ili nifungue mguu)
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Ah ah ah
@tegemeantenga1024 ай бұрын
Kumbe ni mnyalukolo? Malangali kitaaluma ni nyumbani kwetu,, Malangali boys sec school,,,,au ndo maana mabinti jeshini wanaitwa madawili???
@andrew294682 жыл бұрын
Mama anaonekana mnyenyekevu anastahili sifa
@robinhomesuza92632 жыл бұрын
Wewe mtangazaji amkia kwanza
@jamesmasanja19632 жыл бұрын
Mavazi yake tu yanaonesha Alivyo, misuruali wanasalimiaga
@DonSompo2 жыл бұрын
Tazameni na sikilizeni kwa makini, alimsalimia wakati anapokelewa
@myself41282 жыл бұрын
Naona mwanamke kaja kupandisha vvyeo wanawake tuu.soon serikali umbea na misuto itaanza
@slowclimbertothetop45722 жыл бұрын
Mama yako ana tabia za umbea na kusutana???
@sleimbh2 жыл бұрын
Inaonekana umezaliwa na mwaume na huna ndugu wa kike.
@mohammedsururu40472 жыл бұрын
Ww Una mihemko huyu ni mstaafu tangu 2008 kapandishwa vp cheo na mwanamke
@shufaamnyoty56262 жыл бұрын
@@slowclimbertothetop4572 kwa kweli inaonekana ndio mazingira yalomkuza
@slowclimbertothetop45722 жыл бұрын
@@shufaamnyoty5626 itakuwa hivyo
@mohamedomar76922 жыл бұрын
Sijui bado anae mume na kama hana sijui anataka kuolewa nami.?
...ooh dada Zawadi....nakumbuka ukiwa Malangali Middle School mkicheza mpira wa miguu na dada zangu Elizabeth Lupembe na wengineo.....pia nakumbuka John Carson's (mmarekani) akiwa mmoja wa waalimu wenu....mama umekuwa mfano mwema kwetu sote na kioo kwa wana Malangali na wana Iringa kwa ujumla. Nakutakia maisha marefu