mimi ni ccm dam lkn lema unatufaa kuwa kiongozi wajuu nchini tanzania kweli tuna viongozi wanao alibu nchi yetu.lkn ipo cku Mungu atatutetea sisi watoto watanzania Mungu mbaliki lema mrinde lema mtunze lema kwaajili ya watanzania.
@RaymondKilomeye2 ай бұрын
Tatizo mafisiem nimajambaz ht akiingia watamuua km walivyo wauwa wengne jambaz ni jambaz TU
@ImaniMasuwi3 ай бұрын
Saluti sana Kiongozi mungu akulinde watabusha lakini ukweli umesemwa
@johnmlangi68903 ай бұрын
Nakupongeza sana Mhe. Godbless Lema, Leo umeongea mazito sana na Kusheheni Ukweli. Nategemea Wananchi Wamekuelewa
@AdotTanzania3 ай бұрын
Hayati JPM aliyaona yote haya kitambo lakini alipigwa vita hadi kifo. Ni nani alituroga watanzania haya ndio yalikuwa maneno ya hayati JPM enzi za uhai wake. RIP JPM 😭😭😭
@davidrweyemamu9383 ай бұрын
Darasa zito sana Lema! Watu wanashindwa kushangiria kwa sababu ya umakini wa kusikiliza hoja zako nzito! Mungu akulinde sana watanzania wanahitaji ukombozi kupitia watu kama wewe.👍👏
@upendoeliya93293 ай бұрын
Namtukuza MUNGU kwaajili yako kulijua hilo 🎉🎉🎉🎉
@davidrweyemamu9383 ай бұрын
@@upendoeliya9329 Amina Amina ubarikiwe 🙏🙏
@upendoeliya93293 ай бұрын
@@davidrweyemamu938 👏👏👏🤝🤝🙏🙏
@obedimolel79383 ай бұрын
Viongozi kama hawa ndio wa kutusaidia kukomboa ngorongoro ,bandari zetu na sehemu nyingi zilizouzwa na uongozi mbovu uliopo madarakani tunakuombea sana Mungu akutie nguvu maana unasema ukweli mtupu
@felixngwasi94693 ай бұрын
Brovo kamanda, Mungu ni mwema, hakuna lisilo na mwanzo lisilo na mwisho, hawa jamaa wameshajiaminisha kuwa wao ndio wao kuwa hawaamini kwamba kuna Mungu ambaye ndiye Mpangaji kwamba siku ikifika hata wafanyaje mabadiliko ni lazima, na mabadiliko ni sasa hakuna mwenyekuweza kuzuia Mungu akiruhusu....
@danysikira43023 ай бұрын
vibrant speech which wrapped by truth
@mohammedsaqry30363 ай бұрын
A clear message and delivery
@SylivesterKasikila3 ай бұрын
Thanks Lema. You have brain.
@ngamugamahonzelosanga33162 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza Lema nimekuelewa umesema maneno ya kweli kabisa nimekumbuka hotuba ya mwl Nyerere kwamba mataifa makubwa na yenye nguvu yanaungana kuyakabili mataifa madogo hongera sana Lema
@user-mp6zd2ui7r3 ай бұрын
Pamoja nauccm wangu kwahili lema nisemeukweli ukosawa kabisa.
@AugustineLukumay3 ай бұрын
Dah unaupiga mwing baba mungu akujalie upate uongozi utatufikisha mbali
@RobertJonathan-jm5um3 ай бұрын
Hongeraa ukweli mtupu
@errydeo88653 ай бұрын
Wanaosema anaongea UPUMBAVU,HAMJUI DUNIA INAVYO KWENDA!
@samsonhamery38093 ай бұрын
Tanzania tunajifunga kamba ya utumwa wa pili chini ya mikono ya waarabu iko siku kitakuja kizazi kitakachotaka kukomboa bandari za Tanzania kukomboa mbuga za Tanzania kitashindwa ndipo ipelekea Tanzania itamwaga damu nyingi kutokana na maamuzi mabaya ya viongozi wetu walioko madaraka Ieo wasio fikilia Nchi wanafikilia matumbo yao na watoto wao hakika iko siku maiti zao zitafukuliwa na kuchapwa viboko hadhalani.
@tomchiwalala85073 ай бұрын
Maneno kuntu 🤙🏾
@amaniringo55333 ай бұрын
Hongera sana kamanda Lema piga misumari baba❤
@HamzaLijana3 ай бұрын
Nakufatilia San kiongozi wang Lena,mpina ,tundulisu ,wakili wangu mwambukusii nawaombea sana mwenyezimungu awatangulie nawaombea sana
@HadsonFanuel3 ай бұрын
Ambaye hawezi kumuerewa Lema hana Akili timamu MUNGU akubariki sanaa
@charlesmahuna3 ай бұрын
Sidhani kama Magufuli angekuwepo angeruhusu mkataba wa bandali, japo alikuwa na mabaya yake mengi Ila kuna mambo ambayo Samia anayafanya yatai kost hii nchi vinaya mno, mambo ya CCM kujiona kuwa wanapitisha mambo Kwa sifa ili waonekane ni wababe, mnatukosea saaana CCM Kwa matendo yenu mabaya mnooo
@ceciliamagalabajimmy43913 ай бұрын
Lema, Lema mwanangu, umeongea hadi machozi yamenilengalenga. Maneno kuntu. God bless you!!
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
Tunasikitishwa na kinachoendelea 😢😢
@merygodfrey37093 ай бұрын
LEMA NIMEKUKUBALI
@MariamCleinance3 ай бұрын
Umetimiza agizo ulilotumwa na mungu
@niyonzimakatama65163 ай бұрын
Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi
@philimonNyabu3 ай бұрын
Rema maneno yako yànachoma make nikweli mutupu
@AdotTanzania3 ай бұрын
Hayati JPM alisema wazi kuwa ni kichaa tu angeweza kukubali mkataba wa bandari uliowazi kuwa ungeenda kumuondolea mwananchi uchumi na uhuru bali mlimpinga. Hayati JPM alishatueleza wazi kuhusu hatma hii. Apumzike kwa Amani
@MfunjoWabaBoydays3 ай бұрын
God bless you as your name ❤
@MRHURUMAHuruma3 ай бұрын
Kuna vitu huwa unaongea nikiacha upinzan wa kichama nikakaa kama mtanzania mwenye fkiraa endelevu nakuelewa ila sasa ebu mtafute njia sahihi ya kuwadhilisha aya mawazo kwa mkuu wa nchi kwa heshima.
@BeniJohn-xd3cn3 ай бұрын
Umeongea ukweli mkubwa sana Tanzania yangu die
@neemamollel60573 ай бұрын
Hatari sana inasikitisha maisha ya badae waarabu watakuja kutufanya watumwa tena 😢😢😢r.i.p.jpm
@NR-ll4sr3 ай бұрын
Niambie muarab gani alikufanya mtumwa😢
@victorkisenha59333 ай бұрын
Mzee mungu akujalie zaidi,
@MkonoZacharia3 ай бұрын
Safi sana lema tunahitaji viongozi wenye akili timam safi lema
@kadijaa77713 ай бұрын
Mzee ana sema kweli musikizeni waarabu wanajua biashara iliyofundisha na mtume wetu Muhammad tuamgalie vizuri
@reginaldsmtui1483 ай бұрын
Bravo my brother Lema.
@roggoyacny3 ай бұрын
Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍
@NdeshaPaul-uz9bw3 ай бұрын
kweli mh. Lema haya mambo ni magumu kwetu katika yote tunayopitia yafaa Sasa tuwe na katiba maana tumejifunza mengi
@christinakomba6893 ай бұрын
Upo vizuri lema
@anosiata82423 ай бұрын
Lema Uko vizuri
@S.SWarfa3 ай бұрын
Piga kelele chadema hampati kura ng'o. Mama mshindi 2025 In Sha Allah.
@richardnganya23113 ай бұрын
Irrelevant !!
@SephaniaMsigwa3 ай бұрын
Bora vita tuhexhimiane
@godfreykisaka85623 ай бұрын
JAMBO kubwa niDemokirasia sikiliza sera sio Matukano tu mungu hapendiAmina
@richardnganya23113 ай бұрын
Mungu au mungu?
@JipendeImani2 ай бұрын
Big up.........! Wape vipande......!
@justusngonyani1653 ай бұрын
Huo ni ukweli Lema.
@emmanuelburchard31533 ай бұрын
Wewe ni kichwa. Hongera chuga boy.
@mosesmzakwe77743 ай бұрын
Lema wewe ni kiongozi kiukweli. Naipenda ccm ila Ukweli utabaki kuwa ukweli
@isackyohana27073 ай бұрын
Lema unaongea vizuri kabisa,,Mimi NI ccm Tena ya magufuri,,,magufuri alitufungua vichwa watanzania wote jinsi tunavyopigwa kiuchumi,,,we sema point zako tunakusikiliza na tunakuelewa Sana,,Ila aise utaonekana hufai unapojaribu kumzalau mpiganaji magufuri,,,,
@DavidKagulu3 ай бұрын
Magufuli alifanya Nini Broo wakati nae ni zao Lile Lile asingeweza kupambana na watu waliomweka,mfano kwenye kupambana na mafisadi aliishia kuwakamata wafabiashara, tu lakini wanaccm wenzake akawaacha WAkati wanaccm ndio walioshirikiana na wafanyabiashara, double standard hamna kitu,magufuli ndio wale wale broo
@husseinwaziri27963 ай бұрын
Tuacheni kung'a ng'ania chama,tuangaliye viongozi wenye uelewa na uchungu na wananchi
@neemamollel60573 ай бұрын
Nampenda lema kwani kuna unabii wa Mungu ndani yake. Wachache ndo wataelewa hili
@user-jl5un4wf3u3 ай бұрын
Hayo maneno yaLema niLulu viongoziwengi hasawakiafrika auwanafahamu au ni ubinafisitu watamaa naroho zakujitanua waobinafisi kulikowanaotawaliwa.
@JoshuaStanley-qu3im3 ай бұрын
Safi sana Kwa elimu yako
@ndimimaskati36413 ай бұрын
Bandari haijauzwa, imepewa DP Worms inaongoza bandari 80 Ulimwenguni mpaka Ulaya bandari zinaendeshwa na DP World.
@natafutamatatizo43823 ай бұрын
WATAKANYIKA NI VICHWA MCHUNGWA. KAZI NI POMBE NA WANAWAKE TU, WAKATI WANAUZA NCHI YAO🤣🤣🤣👁️👁️
@joshuaswai82033 ай бұрын
Kweli kamanda pambana hiyo hoja murua sana br
@peterjohnson1673 ай бұрын
Kweli ujumbe umefika kwa Tundu Lissu baba wa Uzanzibar......Na Utanganyika..
@kasiankillo69493 ай бұрын
Watu wenye uwezo wapo ila watawala wanalazimisha, mbele wanakotupeleka Kobayashi sana
@masoudkatiba14843 ай бұрын
Hata Mimi siungi mkono hoja ya kuuza bandari bigup lema
@gaspercharles22443 ай бұрын
Makonda piga kazi huyu Hana jipya marudio tu haya ya miaka 10 hakuna mabadiliko saidia watu wenye kuteseka bro achana na mambo ya ulaya na waarabu hapo hawakuelewi unapoteza muda bure bro siasa kwa Sasa ni kutatua kero majukwaa hayana faida tena saidia wenye shida msile ruzuku na misaada wenyewe leta na zile Land rover tulizopewa msaada wakati wa M4C hatujawahi kuziona barabarani ulipeleka jimbo gani?
@NAFTALIMUNDANGA3 ай бұрын
Wakina Msukuma hao. Na Tulia anajiita Dr alafu anapambana kutetea huu ujinga.
@ameirzapy13183 ай бұрын
Agenda za Chadema ni dhaifu sana,, wao wana attack mtu binafsi failure kabisa,, Huwezi Kufananisha warabu uchumi wao na Tanzania,, mwarabu anaenda sambamba na mataifa ya magharib kila nyanja,, Magu alikuwa hapendi wageni mkasema sana ogopa technologies
@TegemeaFutemakatifu3 ай бұрын
Shidaako wewe unawaza Uchawa wa Ccm tu pole
@ameirzapy13183 ай бұрын
@@TegemeaFutemakatifu hili neno uchawa hata maana yake Sidhani kama unaielewa
@1961nungwi3 ай бұрын
Mwarabu ana mafuta, lakini Hana technology. Anatumia technology na wataalamu wa Magharibi kusogea mbele. Hajafikia level ya Magharibi. Amewakaribisha wa Magharibi wamsaidie katika Kila nyanja.....ndio anasogea hivyo.
@ramadhanchenga46063 ай бұрын
Ww hakuna hunalojua kabisa ety mwarabu yupo leval moja nchi za magharibi cjui hata la saba umemaliza tofauti na mafuta mwarabu anatengeneza nn duniani na Analima nini tofauti na tende
@ameirzapy13183 ай бұрын
@@ramadhanchenga4606 inaonesha jinsi gani hujui Rasilimali za warabu ni nini? Hata hujui neno kulima ni nn, usifikiri kulima ni mazao au nafatu,, warabu wanalima mafuta, warabu wana utajiri mkubwa wa dhahabu,, ndio maana mataifa ya magharib kila leo wanasumbuka na warabu,, warabu kwa sasa wana viwanda vyao kila aina, ndio maana vikwazo vya magharib haviwasumbui sana,, tofauti na nchi kama Tanzania,, huwezi kuweka sehemu moja Tanzania na nchi za kiarabu,, utakuwa unajikosea wenyewe,,
@KhamisKhamis-w1q3 ай бұрын
Hii ndio siasa sio ubaguzi wa lissu
@TM-zs3rm3 ай бұрын
Lisu anatumia lugha nyingine lakini ujumbe ni mmoja.
@anwares-haq64973 ай бұрын
Wanasiasa ni maadui wa maendeleo. Huyu anazungumza bila elimu, anachojali yeye ni Kiki ya Siasa tu. Watanzania wengi hatuna elimu, matokeo yake wanasiasa kama hawa wasio na elimu wanatupelekesha na njaa zao.
@CristinLyanga3 ай бұрын
Lema ni msomi, mangi,hakuna mtu ambae hajaenda shule anayeweza kuzungumzia features.
@ezekieldeus60223 ай бұрын
Kwanini tusiwatumie watz, wenye aikiu, yaani wenye akiri Kama lema ili kuiinua hari ya nchi hii, kiuchumi.
Eti wamenunua viwanja vya mpira vingapi na nje vinawaufasha wasaudi wangapi?
@PropKibali-f8d3 ай бұрын
Umesema kweli, ht Mh. Rais ameliona hilo ndiyo maana BANDIKA BANDUA kuona nani amsaidie ni endelevu!
@AnjelicaBayyone3 ай бұрын
Kuna watu wanakuangalia kwa jicho mbaya hapo ila wataona matokeo hapo baadaye watanzania wagumu kuelewa tukiacha ushabiki tutafika
@raphaelkessy73603 ай бұрын
D P WORLD niya wa Marekani asilimia 100 hata KOREA aliko toka Rais samia juzi Baba Mungu akupe macho ya Rohoni uone USA wanafanyia kazi zao ESRAEL DUBAI KOREA FILIPINS TAIWAN NA JIBUT na kibaraka ni Kenya ukanda huu kwa sasa
@wanguwangu343 ай бұрын
Lema nakuelewa sana ingawa mimi siyo Chadema, ni kweli kabisa imagine unatuma mtu kama msukuma std 4 aende kujadili mambo ya uchumi, ukweli ni matusi makubwa sana na watanzania tunazarauliwa sana, na siyo huyo tu karibu wote wameenda wapigaji.
@Elesciahmdugo2 ай бұрын
Uko sahihi sana msigwa
@saidiotham75083 ай бұрын
safi sana kk
@josephchege-bp3cd3 ай бұрын
Sio Tanzania Hilo ni liko Dunia nzima
@samwelrobertmwakatobe64673 ай бұрын
Katika hili nikupongeze nchi Haina mpango kazi wa mda mfupi na mda mrefu
@NelsonagustinoSwai3 ай бұрын
Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo
@errydeo88653 ай бұрын
THATS the reality
@martinakyoo1483 ай бұрын
Lema una madini lakini hakuna wakuyatendea kazi,kusema umesema utalipwa na Mungu
@yunusimchala65693 ай бұрын
Kumbe sio tz TU hata ulaya Kwa wajanja
@rashidimataka10273 ай бұрын
rema ana jambo ule ni ubinafsishaji miaka 30/ chadema hawajapata pesa hanalopoka tu
@DavidKagulu3 ай бұрын
Ubinafsishaji Gani Broo,kwa nn tusiwawezeshe wazawa tufanye hicho hao waarabu wanakuja kufanya
@MmbagaMmbaga3 ай бұрын
Hoja zinapenya sna mwenyewe akili anaelewa nn maisha
@AloyceKaspari3 ай бұрын
Haujawahi kuniangusha mwamba, facts tu.
@mbukumagiubukumagu4063 ай бұрын
Lema hapa umeongea kijituzima sio kama Lissu anaongea comedy
@allenmacha41313 ай бұрын
Lema tunakutaka urudi bungeni
@PantaleoBundala-tl2kd3 ай бұрын
ccm ni nzuri tu ila viongozi wake ndio wabaya sana
@andersonshimbi13783 ай бұрын
Eti taarifa ya Lema chizi nchi itikisike, huu ni upuuzi mtupu
@johnmboya73133 ай бұрын
Lema nakupongeza Sana mungu akulinde
@Wiittole3 ай бұрын
Lema sasa tayari jamaa wametuwin kwenye meza ya mazungumzo what's the way forward ?
@hawaally23083 ай бұрын
Hilo ndilo swali, Nini kifanyike
@DavidKagulu3 ай бұрын
Achana na ccm
@FredymaswiMwita-oj6gv3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Nchi yangu maamaaaaaa..
@RamaKimbeu-tw4po3 ай бұрын
DUUH KWERI UONGO MWINGINE MBONA MKAPA KAUZA TIKS BILA FAIDA MLIKUA KIMYA LEO TIKSI ILEILE KAPEWA MWALABU POVU LINAWATOKA POLE SANA
@saidjuma78783 ай бұрын
Na kuna watu wanamshangilia anasema risiki inapangwa na mahesabu
@Mupaji-vz8ke3 ай бұрын
Lema mimi mara nyingi nakuelewa sana
@yahyadenny43683 ай бұрын
Pumbavu lema acha upumbavu.chadema mnalalamika kwa sbb mlikuwa mnapata senti toka kwa baadhi ya vigogo waliokuwa wanakula uchumi wa nchi.bandari ilikuwa inaingiza tshs trilioni 11 sasa mwekezaji ataiingizia bandari trioni 26.wapi unafuu,acha ujinga.chadema a kanisa kwishaaaaa.fala wee.
@Fesary3 ай бұрын
Usilete pigo za kichama, tulishindwa nini kuendeleza bandari
@IssaNyangasa-em9bt3 ай бұрын
Good messege
@TarimoMangi3 ай бұрын
Kweli ndo maana nawaambiaga wawape wachaga nchi maana nchi inafanya biashara na watu wenye uwezo wa kufanya biashara kwenye hii nchi ni wachaga tuuuù
@georgemtewele76563 ай бұрын
Sawa kama wamefanya mpaka canada sisi ni nani tuzuie fukwe tuu😅😅😅
@leothardngonya48423 ай бұрын
Mwizi wa magari hadi SIASA.
@alexkamba52643 ай бұрын
Majembe kama haya kwann yasikwe juu?Akili kubwa sana hii.
@RESTITUTAMOLLED-mp3pp3 ай бұрын
ni ukweli usiopingika,nakuelewa sana,umenena baba,
@Jumamambo-lz8xk3 ай бұрын
Wacha kusema uwongo lema tarehe 4 mkataba waununuzi mafuta baina ya saudia na marekani umeisha sasa marekani wanataka kuengeza mkataba wa miyaka 50 saudia wame kataa sasa kwanini marekani wanataka mkataba mwengine haliyakua mafuta hayana samani usiwatie ujinga watu jambo alilolileta mungu halishi samani mpaka duniya itaisha
@hugholinemmasi16713 ай бұрын
Hoyeee God bless Lema,
@samsonogunde45083 ай бұрын
Jamani Anachosema Jamaa yanamashiko Sana Tu.
@eleonorashirima16043 ай бұрын
Yote njaa hakuna kitu ilishatokea Sasa hata ukiongea Leo ni kuvuruga amani tuuuu jamanii
@blessjo16783 ай бұрын
Sisi TUNAONA ubahili kusomesha watu nje, hata wakienda nje ni wale ndugu na jamaaa zetu WA ukoo wetu hata wasiona vigezo... Na wakienda nje ni wachache sana.... Syllabus zetu na curriculum zetu za kizamani hazibadiliki na DUNIA Iko mbali kwenye elimu... Tunaaamua kwa hisia za kivyama sio utaifaa na uzalendo... Wanawaza matumbo na familia zao
@jumamnumbwa94833 ай бұрын
Viongozi wasio na ideology hawawezi kuitikisa nchi,bandari haipo kwenye exploitation ya rasilimali za nchi ,lema mwehu tu, mwekezaji anawwja pesa yake anajenga kisha ataajir8 watz kisha akatafute wateja na alipe kodi sioni tatizo hapo ni kukosa vya kuongea