Taarifa ya LEMA Yasambaa DUNIA NZIMA, Nchi YATIKISIKAA!!!!

  Рет қаралды 101,852

SUPER TAMUTAMU

SUPER TAMUTAMU

Күн бұрын

Пікірлер: 283
@katunzikamara7989
@katunzikamara7989 3 ай бұрын
mimi ni ccm dam lkn lema unatufaa kuwa kiongozi wajuu nchini tanzania kweli tuna viongozi wanao alibu nchi yetu.lkn ipo cku Mungu atatutetea sisi watoto watanzania Mungu mbaliki lema mrinde lema mtunze lema kwaajili ya watanzania.
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye 2 ай бұрын
Tatizo mafisiem nimajambaz ht akiingia watamuua km walivyo wauwa wengne jambaz ni jambaz TU
@ImaniMasuwi
@ImaniMasuwi 3 ай бұрын
Saluti sana Kiongozi mungu akulinde watabusha lakini ukweli umesemwa
@johnmlangi6890
@johnmlangi6890 3 ай бұрын
Nakupongeza sana Mhe. Godbless Lema, Leo umeongea mazito sana na Kusheheni Ukweli. Nategemea Wananchi Wamekuelewa
@AdotTanzania
@AdotTanzania 3 ай бұрын
Hayati JPM aliyaona yote haya kitambo lakini alipigwa vita hadi kifo. Ni nani alituroga watanzania haya ndio yalikuwa maneno ya hayati JPM enzi za uhai wake. RIP JPM 😭😭😭
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 3 ай бұрын
Darasa zito sana Lema! Watu wanashindwa kushangiria kwa sababu ya umakini wa kusikiliza hoja zako nzito! Mungu akulinde sana watanzania wanahitaji ukombozi kupitia watu kama wewe.👍👏
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 3 ай бұрын
Namtukuza MUNGU kwaajili yako kulijua hilo 🎉🎉🎉🎉
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 3 ай бұрын
@@upendoeliya9329 Amina Amina ubarikiwe 🙏🙏
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 3 ай бұрын
@@davidrweyemamu938 👏👏👏🤝🤝🙏🙏
@obedimolel7938
@obedimolel7938 3 ай бұрын
Viongozi kama hawa ndio wa kutusaidia kukomboa ngorongoro ,bandari zetu na sehemu nyingi zilizouzwa na uongozi mbovu uliopo madarakani tunakuombea sana Mungu akutie nguvu maana unasema ukweli mtupu
@felixngwasi9469
@felixngwasi9469 3 ай бұрын
Brovo kamanda, Mungu ni mwema, hakuna lisilo na mwanzo lisilo na mwisho, hawa jamaa wameshajiaminisha kuwa wao ndio wao kuwa hawaamini kwamba kuna Mungu ambaye ndiye Mpangaji kwamba siku ikifika hata wafanyaje mabadiliko ni lazima, na mabadiliko ni sasa hakuna mwenyekuweza kuzuia Mungu akiruhusu....
@danysikira4302
@danysikira4302 3 ай бұрын
vibrant speech which wrapped by truth
@mohammedsaqry3036
@mohammedsaqry3036 3 ай бұрын
A clear message and delivery
@SylivesterKasikila
@SylivesterKasikila 3 ай бұрын
Thanks Lema. You have brain.
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 2 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza Lema nimekuelewa umesema maneno ya kweli kabisa nimekumbuka hotuba ya mwl Nyerere kwamba mataifa makubwa na yenye nguvu yanaungana kuyakabili mataifa madogo hongera sana Lema
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r 3 ай бұрын
Pamoja nauccm wangu kwahili lema nisemeukweli ukosawa kabisa.
@AugustineLukumay
@AugustineLukumay 3 ай бұрын
Dah unaupiga mwing baba mungu akujalie upate uongozi utatufikisha mbali
@RobertJonathan-jm5um
@RobertJonathan-jm5um 3 ай бұрын
Hongeraa ukweli mtupu
@errydeo8865
@errydeo8865 3 ай бұрын
Wanaosema anaongea UPUMBAVU,HAMJUI DUNIA INAVYO KWENDA!
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 3 ай бұрын
Tanzania tunajifunga kamba ya utumwa wa pili chini ya mikono ya waarabu iko siku kitakuja kizazi kitakachotaka kukomboa bandari za Tanzania kukomboa mbuga za Tanzania kitashindwa ndipo ipelekea Tanzania itamwaga damu nyingi kutokana na maamuzi mabaya ya viongozi wetu walioko madaraka Ieo wasio fikilia Nchi wanafikilia matumbo yao na watoto wao hakika iko siku maiti zao zitafukuliwa na kuchapwa viboko hadhalani.
@tomchiwalala8507
@tomchiwalala8507 3 ай бұрын
Maneno kuntu 🤙🏾
@amaniringo5533
@amaniringo5533 3 ай бұрын
Hongera sana kamanda Lema piga misumari baba❤
@HamzaLijana
@HamzaLijana 3 ай бұрын
Nakufatilia San kiongozi wang Lena,mpina ,tundulisu ,wakili wangu mwambukusii nawaombea sana mwenyezimungu awatangulie nawaombea sana
@HadsonFanuel
@HadsonFanuel 3 ай бұрын
Ambaye hawezi kumuerewa Lema hana Akili timamu MUNGU akubariki sanaa
@charlesmahuna
@charlesmahuna 3 ай бұрын
Sidhani kama Magufuli angekuwepo angeruhusu mkataba wa bandali, japo alikuwa na mabaya yake mengi Ila kuna mambo ambayo Samia anayafanya yatai kost hii nchi vinaya mno, mambo ya CCM kujiona kuwa wanapitisha mambo Kwa sifa ili waonekane ni wababe, mnatukosea saaana CCM Kwa matendo yenu mabaya mnooo
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 3 ай бұрын
Lema, Lema mwanangu, umeongea hadi machozi yamenilengalenga. Maneno kuntu. God bless you!!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 ай бұрын
Tunasikitishwa na kinachoendelea 😢😢
@merygodfrey3709
@merygodfrey3709 3 ай бұрын
LEMA NIMEKUKUBALI
@MariamCleinance
@MariamCleinance 3 ай бұрын
Umetimiza agizo ulilotumwa na mungu
@niyonzimakatama6516
@niyonzimakatama6516 3 ай бұрын
Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi
@philimonNyabu
@philimonNyabu 3 ай бұрын
Rema maneno yako yànachoma make nikweli mutupu
@AdotTanzania
@AdotTanzania 3 ай бұрын
Hayati JPM alisema wazi kuwa ni kichaa tu angeweza kukubali mkataba wa bandari uliowazi kuwa ungeenda kumuondolea mwananchi uchumi na uhuru bali mlimpinga. Hayati JPM alishatueleza wazi kuhusu hatma hii. Apumzike kwa Amani
@MfunjoWabaBoydays
@MfunjoWabaBoydays 3 ай бұрын
God bless you as your name ❤
@MRHURUMAHuruma
@MRHURUMAHuruma 3 ай бұрын
Kuna vitu huwa unaongea nikiacha upinzan wa kichama nikakaa kama mtanzania mwenye fkiraa endelevu nakuelewa ila sasa ebu mtafute njia sahihi ya kuwadhilisha aya mawazo kwa mkuu wa nchi kwa heshima.
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 ай бұрын
Umeongea ukweli mkubwa sana Tanzania yangu die
@neemamollel6057
@neemamollel6057 3 ай бұрын
Hatari sana inasikitisha maisha ya badae waarabu watakuja kutufanya watumwa tena 😢😢😢r.i.p.jpm
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 ай бұрын
Niambie muarab gani alikufanya mtumwa😢
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 3 ай бұрын
Mzee mungu akujalie zaidi,
@MkonoZacharia
@MkonoZacharia 3 ай бұрын
Safi sana lema tunahitaji viongozi wenye akili timam safi lema
@kadijaa7771
@kadijaa7771 3 ай бұрын
Mzee ana sema kweli musikizeni waarabu wanajua biashara iliyofundisha na mtume wetu Muhammad tuamgalie vizuri
@reginaldsmtui148
@reginaldsmtui148 3 ай бұрын
Bravo my brother Lema.
@roggoyacny
@roggoyacny 3 ай бұрын
Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 3 ай бұрын
kweli mh. Lema haya mambo ni magumu kwetu katika yote tunayopitia yafaa Sasa tuwe na katiba maana tumejifunza mengi
@christinakomba689
@christinakomba689 3 ай бұрын
Upo vizuri lema
@anosiata8242
@anosiata8242 3 ай бұрын
Lema Uko vizuri
@S.SWarfa
@S.SWarfa 3 ай бұрын
Piga kelele chadema hampati kura ng'o. Mama mshindi 2025 In Sha Allah.
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 ай бұрын
Irrelevant !!
@SephaniaMsigwa
@SephaniaMsigwa 3 ай бұрын
Bora vita tuhexhimiane
@godfreykisaka8562
@godfreykisaka8562 3 ай бұрын
JAMBO kubwa niDemokirasia sikiliza sera sio Matukano tu mungu hapendiAmina
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 ай бұрын
Mungu au mungu?
@JipendeImani
@JipendeImani 2 ай бұрын
Big up.........! Wape vipande......!
@justusngonyani165
@justusngonyani165 3 ай бұрын
Huo ni ukweli Lema.
@emmanuelburchard3153
@emmanuelburchard3153 3 ай бұрын
Wewe ni kichwa. Hongera chuga boy.
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 3 ай бұрын
Lema wewe ni kiongozi kiukweli. Naipenda ccm ila Ukweli utabaki kuwa ukweli
@isackyohana2707
@isackyohana2707 3 ай бұрын
Lema unaongea vizuri kabisa,,Mimi NI ccm Tena ya magufuri,,,magufuri alitufungua vichwa watanzania wote jinsi tunavyopigwa kiuchumi,,,we sema point zako tunakusikiliza na tunakuelewa Sana,,Ila aise utaonekana hufai unapojaribu kumzalau mpiganaji magufuri,,,,
@DavidKagulu
@DavidKagulu 3 ай бұрын
Magufuli alifanya Nini Broo wakati nae ni zao Lile Lile asingeweza kupambana na watu waliomweka,mfano kwenye kupambana na mafisadi aliishia kuwakamata wafabiashara, tu lakini wanaccm wenzake akawaacha WAkati wanaccm ndio walioshirikiana na wafanyabiashara, double standard hamna kitu,magufuli ndio wale wale broo
@husseinwaziri2796
@husseinwaziri2796 3 ай бұрын
Tuacheni kung'a ng'ania chama,tuangaliye viongozi wenye uelewa na uchungu na wananchi
@neemamollel6057
@neemamollel6057 3 ай бұрын
Nampenda lema kwani kuna unabii wa Mungu ndani yake. Wachache ndo wataelewa hili
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 3 ай бұрын
Hayo maneno yaLema niLulu viongoziwengi hasawakiafrika auwanafahamu au ni ubinafisitu watamaa naroho zakujitanua waobinafisi kulikowanaotawaliwa.
@JoshuaStanley-qu3im
@JoshuaStanley-qu3im 3 ай бұрын
Safi sana Kwa elimu yako
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 3 ай бұрын
Bandari haijauzwa, imepewa DP Worms inaongoza bandari 80 Ulimwenguni mpaka Ulaya bandari zinaendeshwa na DP World.
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 ай бұрын
WATAKANYIKA NI VICHWA MCHUNGWA. KAZI NI POMBE NA WANAWAKE TU, WAKATI WANAUZA NCHI YAO🤣🤣🤣👁️👁️
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 3 ай бұрын
Kweli kamanda pambana hiyo hoja murua sana br
@peterjohnson167
@peterjohnson167 3 ай бұрын
Kweli ujumbe umefika kwa Tundu Lissu baba wa Uzanzibar......Na Utanganyika..
@kasiankillo6949
@kasiankillo6949 3 ай бұрын
Watu wenye uwezo wapo ila watawala wanalazimisha, mbele wanakotupeleka Kobayashi sana
@masoudkatiba1484
@masoudkatiba1484 3 ай бұрын
Hata Mimi siungi mkono hoja ya kuuza bandari bigup lema
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 3 ай бұрын
Makonda piga kazi huyu Hana jipya marudio tu haya ya miaka 10 hakuna mabadiliko saidia watu wenye kuteseka bro achana na mambo ya ulaya na waarabu hapo hawakuelewi unapoteza muda bure bro siasa kwa Sasa ni kutatua kero majukwaa hayana faida tena saidia wenye shida msile ruzuku na misaada wenyewe leta na zile Land rover tulizopewa msaada wakati wa M4C hatujawahi kuziona barabarani ulipeleka jimbo gani?
@NAFTALIMUNDANGA
@NAFTALIMUNDANGA 3 ай бұрын
Wakina Msukuma hao. Na Tulia anajiita Dr alafu anapambana kutetea huu ujinga.
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 3 ай бұрын
Agenda za Chadema ni dhaifu sana,, wao wana attack mtu binafsi failure kabisa,, Huwezi Kufananisha warabu uchumi wao na Tanzania,, mwarabu anaenda sambamba na mataifa ya magharib kila nyanja,, Magu alikuwa hapendi wageni mkasema sana ogopa technologies
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 3 ай бұрын
Shidaako wewe unawaza Uchawa wa Ccm tu pole
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 3 ай бұрын
@@TegemeaFutemakatifu hili neno uchawa hata maana yake Sidhani kama unaielewa
@1961nungwi
@1961nungwi 3 ай бұрын
Mwarabu ana mafuta, lakini Hana technology. Anatumia technology na wataalamu wa Magharibi kusogea mbele. Hajafikia level ya Magharibi. Amewakaribisha wa Magharibi wamsaidie katika Kila nyanja.....ndio anasogea hivyo.
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 3 ай бұрын
Ww hakuna hunalojua kabisa ety mwarabu yupo leval moja nchi za magharibi cjui hata la saba umemaliza tofauti na mafuta mwarabu anatengeneza nn duniani na Analima nini tofauti na tende
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 3 ай бұрын
@@ramadhanchenga4606 inaonesha jinsi gani hujui Rasilimali za warabu ni nini? Hata hujui neno kulima ni nn, usifikiri kulima ni mazao au nafatu,, warabu wanalima mafuta, warabu wana utajiri mkubwa wa dhahabu,, ndio maana mataifa ya magharib kila leo wanasumbuka na warabu,, warabu kwa sasa wana viwanda vyao kila aina, ndio maana vikwazo vya magharib haviwasumbui sana,, tofauti na nchi kama Tanzania,, huwezi kuweka sehemu moja Tanzania na nchi za kiarabu,, utakuwa unajikosea wenyewe,,
@KhamisKhamis-w1q
@KhamisKhamis-w1q 3 ай бұрын
Hii ndio siasa sio ubaguzi wa lissu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 3 ай бұрын
Lisu anatumia lugha nyingine lakini ujumbe ni mmoja.
@anwares-haq6497
@anwares-haq6497 3 ай бұрын
Wanasiasa ni maadui wa maendeleo. Huyu anazungumza bila elimu, anachojali yeye ni Kiki ya Siasa tu. Watanzania wengi hatuna elimu, matokeo yake wanasiasa kama hawa wasio na elimu wanatupelekesha na njaa zao.
@CristinLyanga
@CristinLyanga 3 ай бұрын
Lema ni msomi, mangi,hakuna mtu ambae hajaenda shule anayeweza kuzungumzia features.
@ezekieldeus6022
@ezekieldeus6022 3 ай бұрын
Kwanini tusiwatumie watz, wenye aikiu, yaani wenye akiri Kama lema ili kuiinua hari ya nchi hii, kiuchumi.
@danielkanso
@danielkanso 3 ай бұрын
Umeeleweka kiongozi nice speach
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 3 ай бұрын
Mwendawazimu alishindwa kuiendeleza Arusha unaongea utumbo😂😂😂
@shabanikimpinga6769
@shabanikimpinga6769 3 ай бұрын
Kweli.arusha.ilimshinda.akakimbia.arusha.hivi.waiwezi.tena
@mwendamitheu8954
@mwendamitheu8954 3 ай бұрын
Eti wamenunua viwanja vya mpira vingapi na nje vinawaufasha wasaudi wangapi?
@PropKibali-f8d
@PropKibali-f8d 3 ай бұрын
Umesema kweli, ht Mh. Rais ameliona hilo ndiyo maana BANDIKA BANDUA kuona nani amsaidie ni endelevu!
@AnjelicaBayyone
@AnjelicaBayyone 3 ай бұрын
Kuna watu wanakuangalia kwa jicho mbaya hapo ila wataona matokeo hapo baadaye watanzania wagumu kuelewa tukiacha ushabiki tutafika
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 3 ай бұрын
D P WORLD niya wa Marekani asilimia 100 hata KOREA aliko toka Rais samia juzi Baba Mungu akupe macho ya Rohoni uone USA wanafanyia kazi zao ESRAEL DUBAI KOREA FILIPINS TAIWAN NA JIBUT na kibaraka ni Kenya ukanda huu kwa sasa
@wanguwangu34
@wanguwangu34 3 ай бұрын
Lema nakuelewa sana ingawa mimi siyo Chadema, ni kweli kabisa imagine unatuma mtu kama msukuma std 4 aende kujadili mambo ya uchumi, ukweli ni matusi makubwa sana na watanzania tunazarauliwa sana, na siyo huyo tu karibu wote wameenda wapigaji.
@Elesciahmdugo
@Elesciahmdugo 2 ай бұрын
Uko sahihi sana msigwa
@saidiotham7508
@saidiotham7508 3 ай бұрын
safi sana kk
@josephchege-bp3cd
@josephchege-bp3cd 3 ай бұрын
Sio Tanzania Hilo ni liko Dunia nzima
@samwelrobertmwakatobe6467
@samwelrobertmwakatobe6467 3 ай бұрын
Katika hili nikupongeze nchi Haina mpango kazi wa mda mfupi na mda mrefu
@NelsonagustinoSwai
@NelsonagustinoSwai 3 ай бұрын
Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo
@errydeo8865
@errydeo8865 3 ай бұрын
THATS the reality
@martinakyoo148
@martinakyoo148 3 ай бұрын
Lema una madini lakini hakuna wakuyatendea kazi,kusema umesema utalipwa na Mungu
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 3 ай бұрын
Kumbe sio tz TU hata ulaya Kwa wajanja
@rashidimataka1027
@rashidimataka1027 3 ай бұрын
rema ana jambo ule ni ubinafsishaji miaka 30/ chadema hawajapata pesa hanalopoka tu
@DavidKagulu
@DavidKagulu 3 ай бұрын
Ubinafsishaji Gani Broo,kwa nn tusiwawezeshe wazawa tufanye hicho hao waarabu wanakuja kufanya
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 3 ай бұрын
Hoja zinapenya sna mwenyewe akili anaelewa nn maisha
@AloyceKaspari
@AloyceKaspari 3 ай бұрын
Haujawahi kuniangusha mwamba, facts tu.
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 3 ай бұрын
Lema hapa umeongea kijituzima sio kama Lissu anaongea comedy
@allenmacha4131
@allenmacha4131 3 ай бұрын
Lema tunakutaka urudi bungeni
@PantaleoBundala-tl2kd
@PantaleoBundala-tl2kd 3 ай бұрын
ccm ni nzuri tu ila viongozi wake ndio wabaya sana
@andersonshimbi1378
@andersonshimbi1378 3 ай бұрын
Eti taarifa ya Lema chizi nchi itikisike, huu ni upuuzi mtupu
@johnmboya7313
@johnmboya7313 3 ай бұрын
Lema nakupongeza Sana mungu akulinde
@Wiittole
@Wiittole 3 ай бұрын
Lema sasa tayari jamaa wametuwin kwenye meza ya mazungumzo what's the way forward ?
@hawaally2308
@hawaally2308 3 ай бұрын
Hilo ndilo swali, Nini kifanyike
@DavidKagulu
@DavidKagulu 3 ай бұрын
Achana na ccm
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Nchi yangu maamaaaaaa..
@RamaKimbeu-tw4po
@RamaKimbeu-tw4po 3 ай бұрын
DUUH KWERI UONGO MWINGINE MBONA MKAPA KAUZA TIKS BILA FAIDA MLIKUA KIMYA LEO TIKSI ILEILE KAPEWA MWALABU POVU LINAWATOKA POLE SANA
@saidjuma7878
@saidjuma7878 3 ай бұрын
Na kuna watu wanamshangilia anasema risiki inapangwa na mahesabu
@Mupaji-vz8ke
@Mupaji-vz8ke 3 ай бұрын
Lema mimi mara nyingi nakuelewa sana
@yahyadenny4368
@yahyadenny4368 3 ай бұрын
Pumbavu lema acha upumbavu.chadema mnalalamika kwa sbb mlikuwa mnapata senti toka kwa baadhi ya vigogo waliokuwa wanakula uchumi wa nchi.bandari ilikuwa inaingiza tshs trilioni 11 sasa mwekezaji ataiingizia bandari trioni 26.wapi unafuu,acha ujinga.chadema a kanisa kwishaaaaa.fala wee.
@Fesary
@Fesary 3 ай бұрын
Usilete pigo za kichama, tulishindwa nini kuendeleza bandari
@IssaNyangasa-em9bt
@IssaNyangasa-em9bt 3 ай бұрын
Good messege
@TarimoMangi
@TarimoMangi 3 ай бұрын
Kweli ndo maana nawaambiaga wawape wachaga nchi maana nchi inafanya biashara na watu wenye uwezo wa kufanya biashara kwenye hii nchi ni wachaga tuuuù
@georgemtewele7656
@georgemtewele7656 3 ай бұрын
Sawa kama wamefanya mpaka canada sisi ni nani tuzuie fukwe tuu😅😅😅
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 3 ай бұрын
Mwizi wa magari hadi SIASA.
@alexkamba5264
@alexkamba5264 3 ай бұрын
Majembe kama haya kwann yasikwe juu?Akili kubwa sana hii.
@RESTITUTAMOLLED-mp3pp
@RESTITUTAMOLLED-mp3pp 3 ай бұрын
ni ukweli usiopingika,nakuelewa sana,umenena baba,
@Jumamambo-lz8xk
@Jumamambo-lz8xk 3 ай бұрын
Wacha kusema uwongo lema tarehe 4 mkataba waununuzi mafuta baina ya saudia na marekani umeisha sasa marekani wanataka kuengeza mkataba wa miyaka 50 saudia wame kataa sasa kwanini marekani wanataka mkataba mwengine haliyakua mafuta hayana samani usiwatie ujinga watu jambo alilolileta mungu halishi samani mpaka duniya itaisha
@hugholinemmasi1671
@hugholinemmasi1671 3 ай бұрын
Hoyeee God bless Lema,
@samsonogunde4508
@samsonogunde4508 3 ай бұрын
Jamani Anachosema Jamaa yanamashiko Sana Tu.
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 3 ай бұрын
Yote njaa hakuna kitu ilishatokea Sasa hata ukiongea Leo ni kuvuruga amani tuuuu jamanii
@blessjo1678
@blessjo1678 3 ай бұрын
Sisi TUNAONA ubahili kusomesha watu nje, hata wakienda nje ni wale ndugu na jamaaa zetu WA ukoo wetu hata wasiona vigezo... Na wakienda nje ni wachache sana.... Syllabus zetu na curriculum zetu za kizamani hazibadiliki na DUNIA Iko mbali kwenye elimu... Tunaaamua kwa hisia za kivyama sio utaifaa na uzalendo... Wanawaza matumbo na familia zao
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 3 ай бұрын
Viongozi wasio na ideology hawawezi kuitikisa nchi,bandari haipo kwenye exploitation ya rasilimali za nchi ,lema mwehu tu, mwekezaji anawwja pesa yake anajenga kisha ataajir8 watz kisha akatafute wateja na alipe kodi sioni tatizo hapo ni kukosa vya kuongea
@amidulyuma1833
@amidulyuma1833 3 ай бұрын
Kichwaaa Lema !!!🎉🎉
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 205 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 1,1 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 1
23:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 15 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 94 М.
سورة البقرة كاملة لطرد الشياطين من منزلك وجلب البركه باذن الله surat albaqra
3:59:21
Duuh! WARIOBA anajiamini nini?? ALIPUA WATU vibayaa!!!
52:07
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 4,3 М.