Рет қаралды 411
Kituo cha Utafiti wa Mifugo Tanga kilicho chini ya Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (TALIRI) kilianzishwa miaka ya 1950 kikiwa na jukumu la kufanya utafiti wa malisho ya mifugo katika Kanda ya Mashariki inayojumuisha mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani na Morogoro.
Kituo hicho kimepata ruzuku kutoka Serikalini kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) ili kufanya maboresho ya maabara itakayo saidia kufanya utafiti huo