Uchunguzi ataufanya mungu mwenyewe maana binadamu hawajaweza mpaka leo
@safiaothman51753 ай бұрын
Hivi bado hawajapatikana waliomteka na kumuua Ally Kibao?
@mage53714 ай бұрын
Ushirikiano tena... Wengi tunaogopa
@julianamwamgogwa3 ай бұрын
Haya nawengine wanatekwa sihui taalifa izi zina maama gani?
@SaadSaad-qy5od2 ай бұрын
Nyinyi watu tume hivi mnakuwaga wapi yanapo tokea mauwaji kwa wàslam kama vile mauwaji ya mwembe chai mauwaji hivi karibuni kule kibiti
@ObeidChamila4 ай бұрын
Mbona MTU akivamiwa na majambazi,akauawa mbona hatujaona mnalaani mauaji hayo Wala hata t kukemea ?? Acheni unafiki wenu
@EliaHilukaАй бұрын
Tume hii inapaswa kupewa meno ya kung'ata maana kwa sasa haina meno kwakuwa inapotokea waliokosea ni mamlaka ambayo tume inawajibika kwa serikali haiwezi kuwa huru