Tanzania Ilipowafukuza Maofisa wa Marekani Kwa Tuhuma za Ujasusi

  Рет қаралды 8,879

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Katika nyakati za vita baridi, ujasusi, uhasama na hujuma zilikua ni sehemu ya mchezo. Mafahali wawili wa dunia yaani Marekani na Shirikisho la Sovieti walihasimiana na uhasama huu ulisambaa na kuigawa dunia katikati.
Nchi nyingi ikiwemo Tanzania ziliamua kutofungamana na yeyote. Hii haikua kinga, bali uhasama uliendelea mpaka ndani ya nchi hizo.
Tanzania kuwa makao makuu ya ukombozi Afrika pamoja na ushawishi alioujenga Nyerere, ilifanya viunga vyake kuwa uwanja wa mapambano ya vita baridi.
Mashirika ya kijasusi yalipambana kushawishi, kutafuta taarifa na kusajili vijumbe. Mashaka na kutoaminiana ilikua ni maisha ya kila siku.
Mwaka 1965 lilitokea tukio Tanzania, tukio liloleta mvutano wa kidiplomasia, ilikuwa ni sehemu ndogo ya matukio yaliyosababishwa na uhasama wa vita baridi. Fuatilia Makala hii:

Пікірлер: 7
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
Berlin Global Dialogue: Macron Discusses Europe’s Role in a Multipolar Future
1:11:46
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
What REALLY Caused the Split Between Sunni and Shia Muslims
17:03
The Islamic History Hub
Рет қаралды 330 М.
Journalist grills US state dept on Israeli occupation | Dawn News English
11:09
Peter Drucker: An Enduring Legacy
12:08
TheDruckerSchool
Рет қаралды 129 М.
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН