Mimi ni muislam nampenda mtume wangu mohammad (s a w) na namtwii mola wangu Allah kama na wewe unakubaliana na mm like down
@aliybecka51692 жыл бұрын
Mimi si like ila nakoment, je unafuata maamrisho na unaacha makatazo ya Allah na mtume?
@mariamkhalfan23462 жыл бұрын
@@aliybecka5169 hayo mengine ni miongoni mwa mapungufu kwani hatujakamilika
@aliybecka51692 жыл бұрын
@@mariamkhalfan2346 Hapana unakosea kwa sababu hatutakiwi kifuata dini kwa hisia bali ni elimu na Allah anasema "sema ikiwa munampenda yeye basi munfuate mtume na yeye(Allah)atakupendeni na atakufutieni madhambi
@mariamkhalfan23462 жыл бұрын
@@aliybecka5169 shukran ndugu yangu kwa ukumbusho Allah akujaze elimu biidhnillah nakupenda kwa ajili ya Allah
@aliybecka51692 жыл бұрын
@@mariamkhalfan2346 Ahsante sana dadaa Allah akupe kheri na akujalie uwe mwenye kufuata mafundisho sahihi ya quran na sunnah na akuepushe na shirk
@lacroquetalacroqueta68132 жыл бұрын
Asalaam Alaikum, Msameheni waisilamu...huu ni mtihani Allah kawapa katika haki yenu, hakika ya Allah atatujaribu kwa khairi na shari sasa hapa tunatakiwa tuweni makini ili tufuzu, inshaaAllah atawapa zaidi ya hicho yalichochukua, msameheni , fajazakumullahu khairan
@methodiutou72782 жыл бұрын
Mimi ni Mkristu ila huyu jamaa amekosea sana! Mungu amsamehe maana hakuna dhambi mbaya kama kutumia jina la Mungu au Madhabahu ya Mungu kidhuluma
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Mashaa allah , allah awaongoze ,,! Uislam ni dini ya amani kabisa.
@FeisalMNoor2 жыл бұрын
Ma Sha Allah! The Goodness of Muslims in Islam 👏👏
@maryamabdallah31402 жыл бұрын
Allah amuongoze, huenda ikawa akaja kusimama imara ktk kumjua Allah...
@Dr.zaidi42 жыл бұрын
Kweli,watu wakifanyiwa hisani mwisho ujirudilia
@eusterusaji19202 жыл бұрын
In shaa Allah
@uthmanmaluja70052 жыл бұрын
Allah amwongoze afuate haq..
@suleimanisaid69262 жыл бұрын
Nimependa Sana uwamuzi.... mzuri tulio chukuwa waislam,na Mwenyezi Mungu atuzidishie na kutupa Moyo WA subra na uvumilivu....
@jumakalukule53122 жыл бұрын
M/ mungu hafichwi leo umeumbuka yani mungu akusamehe badilika mzee tafuta pesa kwanjia nyingine
@babalaocollectionnoumasana10 күн бұрын
Atakae msitili ndugu yake hapa duniani mwenyezi mungu atamsitili kesho akhera. Ni hadithi sahihi ya mtume Muhammad S .A.W. Allah atuhifadhi
@hadharaalli52012 жыл бұрын
Allah amjaalie aweze kuingia kwenye dini hii ya hakk na Allah ameahidi kua ataulinda uislam mpaka mwisho wa Dunia
@@josephwilliam5813 ANGALINDWA YESU ASIPIGILIWE MISUMARI UBAONI UCHI .
@Awatee2 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 ulikua unataka ulinzi gani ata wewe pia una malaika asubuhi jion usiku
@heyumi23402 жыл бұрын
@@Awatee wakiristo wanajua yesu aliteswa msalabani wakati hakuuliwa wala hakusulubiwa ila wanajifanya vichwa maji
@Awatee2 жыл бұрын
@@heyumi2340 Mtihan mkubwa dear ALLAH atuongoze ktk njia ilionyooka na atuepushe na ukafir pamoja na vizazi vyet Amiin
@hafsahajiabeid57682 жыл бұрын
Allaahu Akbar waislamu wenzamgu tufahamisheni na.sisi namna yakumpata mtu alie kutapeli kupitia.simu ikasaidia.simu mpaka nyumbani kwake ukamgongea
@abdulhamidsalim6927 Жыл бұрын
Waislamu Twazalilishwa Subhanallah Allah Atupeupendo InshaAllah
@rezikomer95522 жыл бұрын
Mashallah niviuri utomudhurmungu akuzidishiye
@abdulsaid45792 жыл бұрын
Kaka yng Mungu akubaarik. Unamaono n busafa y hali y juu. Kw kuweza kumsoma huyo kaka n kumchambua kiundani. Ama kweli za mwizi arobaini..ushauri wangu mtafutieni kazi y kufanya ili akawalishe wanawe kw rizki za halali .
@hamadali50622 жыл бұрын
Ndugu ramadhani kasiba umefanya kazi nzuri Sana. Allah ukupe kila kheri
@rajabpepo12242 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaihi rajiun
@mrematvbabakoku83362 жыл бұрын
Mkristo mwezangu ulikoingia umenitisha manake huko hakuingiliki wanapenda ligi kama ugali
@fatumamwalimu57652 жыл бұрын
Kwa hiyo amefanya vizuri kuiba? Hau yeye anaonewa?kwa hakika huu ni msiba!
@zainabumartin95203 ай бұрын
Subhanllah 😢😢😢
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Muache asilimu kwa hiari yake. Kakosea na kama kawaida binaadam wote tunakosea.
@rukkyxarat2 жыл бұрын
Alisema anataka kuslim? Hata hilo.pia kwa sababu ya utapeli wake anaweza kuwa muongo
@asiyharoon94712 жыл бұрын
Subuhannaallah innalillah wainna ilaihi rajiun mungu amsamehe
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Huwenda Allah atampa tawhid
@majaliwamussa92682 жыл бұрын
Subhanallah
@nooraallahuakibarumwenyeez30792 жыл бұрын
INNA LLAH MAA SWABRIN LAANATU LLAH POLE NAKUOMBEYA DUA SIKU USILIMU KABISA HAPO HUJATUIBIYA SS UMEMUIBIYA ALLAH NDIYO MAANA KATUBAINISHIYA MAANA MISKITI MADRASA HIZO N NYUMBA ZA ALLAH
@rajeep-ni7lh2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah
@saudambinga38322 жыл бұрын
Subhanaallah 🙆
@somane5122 жыл бұрын
MANSHALLAH ALLAH HAFID All of you
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Subuhanallah inalillah wainailahi rajuun
@salimaalsharji83542 жыл бұрын
Asalam Alaykum . Sio kumuadhirisha . Mfikisheni kwa Sheikh amfahamishe ili apate sleem
@muhammadalibhaz13902 жыл бұрын
hakudhalilishwa ila hayo yalikuwa kuwathadharisha wananchi ili wasingiye mkenge katika jina la dini
@jacobponga15402 жыл бұрын
Assalam Aleikum ndugu zangu ktk imani, huyo tapeli ukweli amekosea na amekir kutorudia hilokosa tena, kweli mui huwa mwema na huenda pia akaslimu biidhinllah. asamehewe na asirudie tena, ni maoni yangu
@alialibablly70102 жыл бұрын
Si hoja kumpeleka polisi ilikuwa tumsamehe inshallah Huezi jua Mungu atambadilisha nia yake ikabaki story alivyo kuwa
@alphayokibangali3782 жыл бұрын
Mnajiona mmekamilika "mnakumbuka mbagala mtoto aliyekojolea quran mlihaha sana mkataka kumuua badala yake mkachoma makanisa ila wakristo waelewa wakamwachia Mungu"
@mdgmedia25432 жыл бұрын
Kwa ivyo ww pia ni mwizi mwenzake
@solomonsteve37492 жыл бұрын
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh Juu ya yote hayo. Huyu anaonekana kaupenda uislam. Na atakuwa na mchango mkubwa na uislam. Kama alivyo udhalilisha uislam nnaimani atauinua sana uislam kwa fikra na nguvu kazi alionayo. Tunamkaribisha ktk uislam je yuko tayari kukubali na kuufanyia kazi uislam?
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Hapan Hutu anatafuta kula kupitia uislam wala hajaupenda
@josephwilliam58132 жыл бұрын
Kama ao waislam wangeufuata uislam dhidi yake basi angekua Hana kiganja,,,SEMA ubinadam walionao na si kwasababu ya uislam
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Halafu huyu nimemkumbuka alikiwa anafanya kazi ya kuwatapeli wapemba pale Bandarini alikuwa akichukuwa vichupa na kutia makaratasi ya sigara ya Rex anaipanga vizuri anasema ni dhahabu anauza kwa ajili ya matatizo anasema nimepata ajali ndugu yangu yupo Hospitali tumetokea mwadui na alikiwa akiramba sana wapemba wakitoka Zanzibara pale Bagage Rom kwa Bakhresa pale Bandari watu wanamjuwa sana huyo watu wamelizwa sana kwa kujifanya anauza dhahabu alikuwa na mwenzie mmoja mwanamke.
@laurentjoseph29572 жыл бұрын
Kweli yawezekana alshaababu ni kichaka Cha wahuni kuuchafua uislamu
@jamilajuma7572 жыл бұрын
Ni kweli ni wachafuaji wa dini ya kiislamu
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Kwani hamjui??? Mbona kila siku tunakwambieni???
@bahrujbaura80422 жыл бұрын
Anabahati angekua Mombasa Kenya angeshakufa!
@ashunebeibe26412 жыл бұрын
Hasbana Allah wanemal wakil
@bongue60032 жыл бұрын
Subhanallah Allahu akbar
@josephmangera67992 жыл бұрын
Hizo Ni tamaaa zake mwenyewe, Wala ukristo na uislamu hauusikiii ashughurikiwe Kama mtuhumiwa
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Inalillah wainailaihim rajuhun.
@majaliwamussa92682 жыл бұрын
Allahu akbar
@iddiali80572 жыл бұрын
Nusra ya ALLAH inakujaa iyo
@mariamali18872 жыл бұрын
Jamani makafiri mmanini na uislam . Hii si dhulma jamani. 🙉🙉🙉🙉 bora hata angekula na familia yake anaenda kunywa baa 😟😟😟
@georgesikazwe59142 жыл бұрын
Mshamba wa dini ww muovu ni mtu yyt ttizo elimu hamna
@salimmalaka2562 жыл бұрын
@@georgesikazwe5914 WEWE SIO MSHAMBA WA DINI???
@mohammedali16452 жыл бұрын
Watu hawachi Allah
@thresherjordan68292 жыл бұрын
Nyie kuiba so vizur ila watu wa hv wapo wengi jamn kikubwa ni kupeleka mchango yetuuu sehem husika yan wapo kila kona namuonea huruma na umri umemtupa mkono 😪😪😪
@edoyoseph46062 жыл бұрын
Huyu mpeleken Kwene Parokia anakosali kama kweli ni Mkatolic asiudhalilishe Ukatolik
@asmamjema85392 жыл бұрын
Kweli huyu baba jaman alinitapeli kwa swala la madini manzese wapo na mwanamke na mwanaume mwingine nawafaham Sana Allah azidi kuwaangaza
@edoyoseph46062 жыл бұрын
Kongole sna waislam M/Mungu awape Moyo WA subra Zaid ila mpeleken kwa Paroko ktk Parokia alikokuwa anasalia asiseme TU mie Mkatoliki bc ikaishia hapo
@minabuelysee82 жыл бұрын
Allah azjdi kutuongoza Wakristo wajuwe kama sisi waislam ndio watu wazuri ndio tunachangia kwakua tunataka pelo yake
@OfficialA836402 жыл бұрын
Subhannallah
@iddiali80572 жыл бұрын
Safi sanaaaa
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Mwenyeji huyo pote hapo kama hamuamini mpelekeni Bandari pale Bagage Room mpaka kurasini D.m.i. pale kulikiwa na mkungu pale asubuh anawatega wanawake wanaotoka Zanzibar na meli ya Asubuhi duu za mwizi ni 40 ana lugha tamu huyoo ya biashara zake.
@Dr.zaidi42 жыл бұрын
Mizimu na majini ya ukoo wake yamempendekeza milango ya misikiti tuu. Anafaa kutandikwa sana huyu mlevi. Kwanza wakatoliki ndio ukorofisha dunia nzima,kutesa na kuwatawanya wakristo wa kweli
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Yn jitu zima limeadhirika kweli mungu huwa hamfichi mtu mnafki unatudhalilishia dini yetu na mungu leo kakudharirisha kabla hujafa acha kucheza na mungu ww mzee gojo😏😏
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Uwiiiiiiii mm kna kaka alinisumbua sana kila ciku anakuja kujenga madarasa imekuwa madarasa mala watoto yatima mpaka nilichoka kumchangia
@minskbelarus72552 жыл бұрын
MUNGU atakulinda
@mwanawatusalum57662 жыл бұрын
Mwizi.mkubwaaa uyooo anahayaaa mungu mbwa kazililikaaaa Sana surambayaaaa surandigo kamapliton
@naimamunishi12412 жыл бұрын
Subhana Allah😥😥😥😥😥
@habibaomary2282 жыл бұрын
Ahsnte umemkomesha kwann asipige kazi hata yakubeba magunia y viazi
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Yote hayo yanasababishwa na uvivu wa watu kutokwenda msikitini sababu wangekuwa wanakwenda msikitini kwa wakati wasingetowa pesa zao mitaani wangetoa kule ndani ya msikiti.
@neemafatu4712 жыл бұрын
Anaweza kuongoka inshallah
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhirajiuun
@mr.ab_officially65072 жыл бұрын
Hatari kubwa miaka 3 unachangisha kisha unaenda kunywa bia shetani we
@robertphilip3852 жыл бұрын
Waislamu wa Tanzania niwastaarabu sana ingekua Afghanistan wangemkata shingo
@husseinsalimmaula42542 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kamuumbua khabithi liamal huyo
@saudahassan66672 жыл бұрын
Duh kanenepa mashavu mwizi uyooo loh aibu
@samwelkirimi59392 жыл бұрын
Kweri dunia ina mambo bila hukumu ya mwanadamu iko tayari adabu ya Mungu heri mwizi wa bunduki kuliko kuiba na mambo ya dini ya mwenyezi Mungu jameni afundishe kutii Mungu apate msamaha
@efrahfarahahmed89602 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Hukmu yake huyo mwizi mpelekeni kwa viongozi wa dini wana ghulamaa mashekh ili akapewa hukmu inayoendana na Uislam
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Innalillahi wainnaailaihi raajiuun..ama kweli dunia imekwisha
@zainabdjuma732 жыл бұрын
Eeeeh Allah mkubwa jamani Al shababu no ya Obama ndie kaunda hio
@vincegelas2 жыл бұрын
Jaman mimi nipo himo kilimanjaro juzi kuna ostath kapita mtaani akichangisha hela anasema nizawatoto yatima hebu fuatilieni jaman, isijekua nimuhuni maana na mm nlichangia.
@laylatmlacha47292 жыл бұрын
Innallilah wainnallilah rajiun
@asha.mwambamwamba17742 жыл бұрын
USO ulivyomshuja
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Na akikamatwa huwa anajifanya mnyonge sana Duu kitambo sana Duu Sasa kkachoka kutapeli Dhahabu anajifanya mchangisha misikiti.
@taturajabu8377 Жыл бұрын
Aibuu
@nuratkalinga5812 жыл бұрын
Msiba huu Yarab
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Katumwa na kanisa ⛪ hili watu wajue kwamba waislam ni omba omba leo m'mungu kamzalilisha
@idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын
Asalam alaikum warahamatullah wabarakatuh. Mumusamehe jamani.amekoseya lakini mumusamehe
@idrissaissa56072 жыл бұрын
Mannsha allah
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
😳😳🙆🏾🙆🏾mnyamwez wee mzee ukome kudharirisha kabila la mama yangu na dini yetu pia kumbe na wizi unao 🤣🤣na viatu uliiba 🤣🤣
@omarmutta49992 жыл бұрын
Huyu bwana yafaa atubu alafu asilim awe muislamu
@cimpayeriziki50352 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amusamehe
@homemohammed32442 жыл бұрын
Huyo sheikh katumia busara Sana ila ngekuwa wengine hapo angekuwa sio Mtu hapo
@PNoni-m6oАй бұрын
uovu hauna dini kuna baadhi ya amin usi amini kuna baadhi ya waislam pia wana tumia nji hii kucha ngisha watu mtaani kwa madai ya kujenga madrasa na miskiti!
@salimmgwame95042 жыл бұрын
Sawasawa, asamehewe baadae,Inshallah.
@fatumamwalimu57652 жыл бұрын
Na ndio maana waganga wapo wengi wakienyeji wanajiita Abdulswamadi, hussein hassan, na nikina John na kina William
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Jamani zeee zika,c ufanye kazi.
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Uyo jamaa ayuko pekeake ni kundi kubwa la Romani katholik⛪
@habibamhina90752 жыл бұрын
Hata kwangu alikuja mwaka juzi mwaka Jana na nilikua nikichanga mm na wapangaji wangu😭
@aminamarie23872 жыл бұрын
Subkhanallah Kwa nini jamani from Seychelles.
@hassinaalharthi59842 жыл бұрын
Jamani kisha kiri kuwa kakosea kwa hiyo mumsamehe Jamani... İla kəsi yake mwacheni Allah yeye ndie hakim mkuu...
@waridiommy58232 жыл бұрын
Niwaambie kitu huyo jamaa hakutakiwa kuwekwa hadharani Kuna watu wanafanya matukio zaidi ya hayo Ila hawadharirishwi mgemling'ania tu akaukubali uwislamu
@alexjackson59602 жыл бұрын
Huyo sio mkristo ni mpagani kwa sababu ukristo hauruhusu aliyofanya huyu mtu. Mimi Nina marafiki wengi waislam lakini siwaoni Wala kuwahusisha na alcaeda au alshabaab au iss kwa sababu mtume hakuleta watu wa makundi hayo
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Subuhnalaah ila watu jamn 😭😭
@allyabdallahally96372 жыл бұрын
Ataendelea kutangatanga maana hiyo nidhambi kubwa
@issabinmaryam74502 жыл бұрын
Kwenye kuongelea al shabab ndo ameharibu mada..wew uwatoe ndugu zetu wasomali ktk uislam...watu wanakufa wana nuru na shahada af uongee utumbo huo
@zaidyabdalah36912 жыл бұрын
Na wewe jamaa unamng'ang'ania huyo bwana vp? Muachie aende zake unamtembeza eti kila msikiti ili umdhalilishe tu unaonekana wewe mnoko sana
@lwagamwakalinga80382 жыл бұрын
Hili jambo lisitiwe chumvi sana sijui eti mkristo anaewaibia waislam sababu hawa wanaochangisha kwa ujenzi wa misikiti hata wakristo huwa tunachangiaga sana, kwa upande wangu mimi sio muislam lkn nimewahi changia sana kwa watu kama huyo kwa ajili ya ujenzi wa misikiti hivyo huyo ni tapeli kama tapeli mwingine na sio issue ya dini.
@AliMahmoud-p7o3 ай бұрын
Huyo muuweni
@kungakunga95362 жыл бұрын
Aaah! Hatar kwakwel
@stanmrope9992 жыл бұрын
Huyo anaitwa SAID NYANG'ANG'A, tumeishi nae Temeke kotas na kwa sasa ni kweli mkaazi wa kingugi mbagala. Sio kweli kuwa ni Frandis .muongo