Рет қаралды 2,202
Matukio mawili makubwa yalifuatia mara tu baada ya kifo cha Sayyid Said bin Sultan yote yakihusishwa na kuwania madaraka watoto wake na mkono wa Muingereza: mapambano kati ya Majid na Barghash na kugawanywa Oman na Zanzibar. Sheikh Riadh Al-Busaidi anasimulia.