TAZAMA BOARDGUARD WA MAGUFULI ALIVYOMVUA KIATU NA KUMVALISHA VIPYA

  Рет қаралды 481,188

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 414
@stevenmhesi4635
@stevenmhesi4635 4 жыл бұрын
Magufuli una vitu vingi sana vya kutufanyia I like how you motivate us yaan kuna muda unanunua mahindi yaliyochomwa na kula pamoja na nafasi ulio nayo hujali kabsa God bless you my president
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Halafu kuna washamba eti wanamfananisha JPM na Mobutu aliyekuwa anafanyia shopping zake Parisi Ufaransa.
@brightonadam7142
@brightonadam7142 3 жыл бұрын
ili game lishapangwa😆
@raymondmusa1834
@raymondmusa1834 3 жыл бұрын
Onnh aliyemuuzia muhindi unaona wakawaida yani ukampe tu muhindi rahisi labda umeweka sumu
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 3 жыл бұрын
@@raymondmusa1834 ye anakua Kwa kustukiza hiyo sumju utaweka mda gan na hukupewa taarfa, mbona alikunywa kahawa na masela kitaan kwe2 Tena alizuka tu
@goodluckjacob7170
@goodluckjacob7170 3 жыл бұрын
L
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@lucyisrael6121
@lucyisrael6121 3 жыл бұрын
Kama vile bado uko nasi duniani kumbe umetuacha,hakuna wa mfano wako,R.I.P Baba,mbele yako nyume yetu,inauma mno kutuacha
@josephnjoroge5649
@josephnjoroge5649 4 жыл бұрын
Huyo mwanajeshi yuko chonjo kabisa na imara,,kachangamka kwa haraka kuvua na kumvalisha mkuu Wa majeshi kiatu kama umeme,,salute kwa colonel💂
@khadijagundumu6210
@khadijagundumu6210 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@matundumgweno4533
@matundumgweno4533 3 жыл бұрын
Hahahaahah Eti kiatu Kama umeme watu wanajiwa Sana kazi zao na kinachomfanya ale tonge la ugali
@nambafudiana9953
@nambafudiana9953 3 жыл бұрын
All the good comments about this man made me cry More 😭😭😭🇺🇬🇺🇬
@Asheri-k5k
@Asheri-k5k Жыл бұрын
Tunao mkumbuka like zetu hapa
@magretkijanga8833
@magretkijanga8833 4 жыл бұрын
Rais wangu nakupenda .unafanya kazi mzuri Sana
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 4 жыл бұрын
MashaAllah
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 4 жыл бұрын
Hata mimi nampenda sana ana ubinadamu
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
😭😭😭
@jeremiahzacharia7655
@jeremiahzacharia7655 4 жыл бұрын
Naumia Sana kuona Rais anavyojitahidi kutuonyesha utamu wa Nchi yetu alafu mafala fulani yanashindwa kujua uzuri wa Nchi hii Natamani hata wananchi wote tungeungana kuijenga Nchi yetu ila nasikitika kuona wapo saio itakia mema Nchi hii ya maziwa na asali
@sammotv6920
@sammotv6920 4 жыл бұрын
Wee acha tuu
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 4 жыл бұрын
Huyu Rais ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu ,Tunamhitaji kuliko anavyodhani yeye
@kulwamathias7680
@kulwamathias7680 4 жыл бұрын
Safi sana inchi hii tulikuwa tunazalaulika Sana wageni wanaingia na kufanya wanachotaka wao
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 4 жыл бұрын
Eti wanasema hakuna haki na usawa na anabana uhuru, me najiuliza uhuru wa ainagani wanautaka wao? Muda wowote ukijisikia kwenda popote pale duniani milango ipo wazi ukiamua kurudi kwako usiku wa manane hakuna atakae kuuliza, ukiamua kuvaa hata gunia hakuna atakae kuuliza yeye mwenyewe anatukanwa wee mitandaoni hata hadharani hakuna anaeguswa sasa uhuru upi tunautaka? Na hapo hapo anatujengea nchi kwa vitendo anaahidi anafanya, mimi nipo nje kuna nchi hata pakitokea ajali tu ukipiga picha tukio lolote hata usipoonekana na mtu utaonekana na CCTV ni kosa la jinai, ni kulinda matukio yao mabaya yasitoke nje, sisi kwetu unapiga na unapost mitandaoni huulizwi, uhuru gani tunautaka?
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 4 жыл бұрын
Zipo nchi afrika ni kosa zaidi ya jinai kumkosoa raisi ukisikika tu unamkosoa raisi kweupeeee unapigwa risasi au unakatwa na mapanga tena na askari mbele za watu mpaka unauwawa na hakuna uhuru wa kusafiri hovyohovyo kwenda nje ya nchi, Togo, Congo Brazaville hizi nchi maraisi wao utadhani wametokea motoni hawajazaliwa vile kwa matendo yao mabovu na mpka sasa wapo madarakani, Wanaojifanya wanaipenda Afrika (western) kama hawazijui hizi nchi vile maana kwa togo Ufaransa wamejimilikisha bandari kwa asilimia tisini. Je tunataka je tunatamani viongozi wa aina yao ndani ya Tanzania yetu?
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Daaah 😥 mbona kama ndoto jmn 😭 Mbele Yako nyuma yetu MW/MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏😭🇹🇿
@chamritaabdul1592
@chamritaabdul1592 3 жыл бұрын
Yaani weacha tu.
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
@@chamritaabdul1592 😭🙏
@catholicsaints9007
@catholicsaints9007 4 жыл бұрын
Mungu atupe Rais gani tena kama huyu aongoze tu hata hadi ukomo wa maisha yake tutakubali watanzania🙏🙏🙏
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 жыл бұрын
Eti jamani.Mungu atiupe nini tena
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Thanks Peter. Aendelee kuongoza hadi miaka buku plus
@annasamo7063
@annasamo7063 3 жыл бұрын
Na kweli ameongoza mpaka ukomo wa maisha yake daaa siamini kama sahivi jayupo nasi
@ruthsebastian4633
@ruthsebastian4633 Жыл бұрын
My dear hakuna na ajazaliwa
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 4 жыл бұрын
Natamani sana magufuli uongoze tanzania miaka yako yote.Mungu anakujua vzuri
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 4 жыл бұрын
Kabisa Umenena!!Wasio jua kua Tuna Rais mzuri utawaona tu
@sundayandrew1787
@sundayandrew1787 4 жыл бұрын
Jumatano tusifanye makosa kura kwa JPM
@isakabaragomwa296
@isakabaragomwa296 4 жыл бұрын
Mim nahis Africa inaweza ikawa moja na lugha moja kiswahili, raisi mmoja akitokea kwanza Tz Pia tunaweza kuwa bara lenye maendeleo na uchumi mkubwa.
@modestapeter7355
@modestapeter7355 4 жыл бұрын
kweli bwana maana ni adimu sana kutokea mtu kama magufuli
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 4 жыл бұрын
Watu wanamtusi sijui wanataka siku moja aje Hitler hapa!!!Mungu tuokoe sie tusiokua na hatia kwakweli
@kaystyle614
@kaystyle614 Жыл бұрын
Mwigine kama huyu tutamtoa wapi..?? Natokea Kenya lakini nampenda Sana magufuli alikua mchapa kazi mtetezi wa wanyonge 😢😢 we miss you magufuli
@SaidSaid-bq6mk
@SaidSaid-bq6mk 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kupata raisi km huyu ana hofu ya mùngu anajali taifa lake anajua majukumu yke mwenyez mungu azidi kukuongoza akulinde na kila baya azidi kukutia nguvu ww ndo raisi peke dunia inaangalia utendaji wko huna ubaguzi huna udini we ndo raisi bora dunia kuwahi kutokea ktk karne hii asante sana mwenyez mungu kwa kutupa kilicho bora
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 жыл бұрын
Tazama watu wamefurahi wanaraha lissue anataka KUTULETEA balaa ashondwe kwa Jina la mungu Amina
@tumainimwanyonga6601
@tumainimwanyonga6601 4 жыл бұрын
Mungu Mwema Atajitukuza Yehova Sana Haleluyaaaa Ilike this God is Good Ipraise God
@tumainimwanyonga6601
@tumainimwanyonga6601 4 жыл бұрын
Mbarikiwe ahsante Raisi wetu John
@tumainimwanyonga6601
@tumainimwanyonga6601 4 жыл бұрын
Waooo wao wonderful
@chrispinondieki7059
@chrispinondieki7059 Жыл бұрын
Continue resting easy uncle magu....Africa will forever miss you
@samwelmelam7174
@samwelmelam7174 4 жыл бұрын
Mzee Magu Wewe ndie Raisi wa Africa. Nafurahi sana kua na Rais mwenye maono ya mbali.
@mkombozikiratv.9733
@mkombozikiratv.9733 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha na pumziko la milele mhe.Magufuli wetu
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 жыл бұрын
Mh Raisi wetu mzuri sana tunaomba Mungu akupe maisha marefu utuongoze maisha yako yote pls
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Thanks saaana wajina
@fanleck2922
@fanleck2922 3 жыл бұрын
Dah, leo naisoma kwa majonzi
@maryfrancis1836
@maryfrancis1836 3 жыл бұрын
Tutukukumbuka daima Rais wetu
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 Жыл бұрын
Tutampata wapi tena mtu kama huyu😭😭😭 pumzika kwa Amani Magufuli wetu
@oscarbaltzar1645
@oscarbaltzar1645 4 жыл бұрын
Magufuli umetisha kura yangu we chukua
@zenassylvester125
@zenassylvester125 4 жыл бұрын
Tunapanda taratibu , uchumi wa kati baadae uchumi mkubwa. Wazungu hawahitaki hii inawaumiza sana wanapenda kuona tunabaki kua ombaomba ndio maana wanafanya kila wawezaro kutuvuruga kutumia upinzani . Ila kwa nguvu za Mwenyezi Mungu tunashinda kila vikwazo. Kama tuliitandika corona kwa jina la Mungu na wapinzani tutawatandika kwa jina la Mungu na tutashinda.
@kenethgorogota7137
@kenethgorogota7137 4 жыл бұрын
Oyoooooo mitano tena
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 4 жыл бұрын
Dah🙂...Mh Rais mnyenyekevu sna, adi anaomba kama ana ruhusiwa kijaribu kiatu
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Dah
@mavuzijiwe6805
@mavuzijiwe6805 4 жыл бұрын
Viatu vizuri sana , Watanzania Tumpigie kura JPM Haya Maendeleo Ndiyo Tunayataka
@josephatkichanilo3802
@josephatkichanilo3802 4 жыл бұрын
Dah hivyoo viatu bas mvisambaze mpka uku dar tupunguzien bay tusiande xhina
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana jpm
@liliansamson674
@liliansamson674 4 жыл бұрын
Magufuli nakupenda sana mzee wangu
@movies_store01
@movies_store01 4 жыл бұрын
huyui mmi ndo raisii wngu nakupenda bure maguu 2020 ni ya kwakoo tena
@edistarickmarandu8597
@edistarickmarandu8597 4 жыл бұрын
Miaka mingi t TANZANIA IMEONEWA SANA NA WACHACHE
@faridadaniel8510
@faridadaniel8510 4 жыл бұрын
Asante Rais wangu Kwa kazi nzuri unayoifanya Mungu ni mwaminifu kwetu
@jovinjoseph2625
@jovinjoseph2625 4 жыл бұрын
Mi5 kwa Baba
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 4 жыл бұрын
USIMFANANISHE JPM NA VITU VYA KIPUMBAVU. JPM AGAIN. #PERIODT
@esperancetabitha9322
@esperancetabitha9322 4 жыл бұрын
Sijuwi watanzania mnataka mungu awape nini tena sisi wa kongomani waishio ulaya tunawaonea gere
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Thanks my
@hashimahmed3284
@hashimahmed3284 4 жыл бұрын
Magufuli wewe ndie kiongozi unaestahili kuongoza ug na kenya iwe wewe ndio rais wa hizi nchi nyengine ua da best
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 жыл бұрын
Thank you you have seen him.he is seeable kbs.only few in Tz cant see him esp lisu pretends he doesnot see what our precious presida is doing.Jelousy and greedy shame on you old man
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
@@angelanaftael7965 thanks dear
@DuniayaHabari
@DuniayaHabari 4 жыл бұрын
Mitano tena mzee magu rais bora africa.. Aya ingieni kwenye accnt yangu mcheke kwa vituko vya mwaka
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 4 жыл бұрын
Magu ana choice nzuri
@mimiwewe6617
@mimiwewe6617 4 жыл бұрын
Mitano tena kwa JPM, halafu viatu vizuri kweli
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 жыл бұрын
Kabisa
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 4 жыл бұрын
Kabisa mitano tena ya jpm
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
😭😭😭
@mimiwewe6617
@mimiwewe6617 3 жыл бұрын
Nasikitika sana kwa hili lilotokea lakini Mungu ndie mjuzi wa kila kitu, RIP Magufuli...
@khalidmohamed5026
@khalidmohamed5026 Жыл бұрын
@@mimiwewe6617 baba umeacha kiroba cha sembe 25000 sasa 45000 wapi tulipo
@khamishemedsaid2134
@khamishemedsaid2134 4 жыл бұрын
Mweshimiwa makufuli hongera kwa ushindi
@roselyimo7785
@roselyimo7785 3 жыл бұрын
Allyways you will be in our hearts 💕
@djkusumaboy784
@djkusumaboy784 4 жыл бұрын
Duhh magu mitano
@edistarickmarandu8597
@edistarickmarandu8597 4 жыл бұрын
Mwacheneni huyu ainyooshe inchi maaana tunakwenda vizuri sana
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Asante sana. Kuna mkaka anaitwa Thobias Marandu, duh sijui ni wa nchi gani maana anamchfua Rais wetu
@bernardoleonard7331
@bernardoleonard7331 4 жыл бұрын
@@missangela6720 mkenya
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 duh
@oddoluambano342
@oddoluambano342 3 жыл бұрын
Hakika Penye Amani Pana Raha na Kicheko Muda wote... Big up Mr President na Askari wako Mjeshi
@edwinelias8554
@edwinelias8554 3 жыл бұрын
Canari Wa jeshi bordgurd atamic Sana hayati muheshimiwa magufuri
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 4 жыл бұрын
Ni Fahar Kuiona Nchi Yangu Inazd Kupiga Hatua Za Kimaendeleo🙏 #ChaguaMaendeleo #ChaguaAman
@peterslaa3494
@peterslaa3494 3 жыл бұрын
L
@rogatiusscarion726
@rogatiusscarion726 4 жыл бұрын
Home quality products 🇹🇿🇹🇿
@engineerkipkurui6516
@engineerkipkurui6516 3 жыл бұрын
This PRESIDENT was really fun. God rest his soul in eternal 🙏🙏 peace
@williamshija1516
@williamshija1516 3 жыл бұрын
Namshukuru rais magufuli kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa nchi
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 4 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu ,Watz tuthamini vya kwetu jmn tuijenge nchi yetu
@temkezatv4381
@temkezatv4381 4 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Umeona eeh. Atawale hadi miaka buku plus
@monicakanza5411
@monicakanza5411 4 жыл бұрын
Hongereni sana magereza moshi mko vzr
@ericmkami7578
@ericmkami7578 4 жыл бұрын
Magufuli Bana 😂😂 kaamua kujaribu kabisaa
@neemapaul2162
@neemapaul2162 4 жыл бұрын
Mswahili uyoooooooooh 😂😂
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
Hahahaa huyu rais ataakisema tule ugal tu mchele wakiyela tuuze ilitupate pesa zamaendeleo mie nipo tayari.
@teychriss3248
@teychriss3248 4 жыл бұрын
Na kuvibeba kabisaa!
@teychriss3248
@teychriss3248 4 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 😂😂 uwii umetisha!
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
@@teychriss3248 hahahaa wiki mbili kiatu kinacheka mie naulizaga wanaleta vyann mbona jmn tunachoka kuwest pesa.
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 4 жыл бұрын
Mitano tena kazi iendeleee Hapa kazi tu
@dannytv5883
@dannytv5883 3 жыл бұрын
Hongera kwa uzalendo aliouoshesha bodyguard wa Rais wetu nmejiskia vizuri saana .....
@timboxlee919
@timboxlee919 3 жыл бұрын
Safi sana mzalendo wetu jpm
@magossqwaynithebest3674
@magossqwaynithebest3674 Жыл бұрын
Da kaka
@chimstv8591
@chimstv8591 3 жыл бұрын
U r my wonderful president .... rip 🇰🇪
@samwelshipande1923
@samwelshipande1923 4 жыл бұрын
Rais wa Maisha yajayo watoto wetu watayashuhudia
@judithlejalearnmore2236
@judithlejalearnmore2236 4 жыл бұрын
Aaa,Wazi ,,Babaa ngara ku ngara,Waongoza vyema tanzania,Kungara nikwako hongera.,Ndani ya mombass
@amrimwingwa994
@amrimwingwa994 4 жыл бұрын
Ni sawa kumvalishaaa maaana ni kama baba yake tuu.Hongera JPM Viwanda vinakua
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 4 жыл бұрын
Umri wanakaribiana tu japo Magufuli Ni mkubwa yaani Ni sawa na kaka yake!
@hassanmkungile6021
@hassanmkungile6021 4 жыл бұрын
God bless you Mr. President Boardgud anavalisha kibabe atat
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
Tano tena PERIOD
@juliethecstacy8646
@juliethecstacy8646 3 жыл бұрын
Mhuhu...Mungu akutetee baba yetu maaamaa😥😥😥
@frankmalema5350
@frankmalema5350 4 жыл бұрын
Congole magereza
@zenassylvester125
@zenassylvester125 4 жыл бұрын
Hii inaitwa china nkafwate nini? Kazi nzuri kwa raisi wetu. Maendeleo ni watu na watu ndio sisi hatua nyingi mbele tutafika tu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
China nkafwete nn umenichekesha dear
@djkusumaboy784
@djkusumaboy784 4 жыл бұрын
Anko maguu
@alisele5299
@alisele5299 4 жыл бұрын
Jaribu mwenyewe product zako baba kumbe tunaweza
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Pur president😍😍
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Pure President
@suzanejeremiah3463
@suzanejeremiah3463 4 жыл бұрын
Kazi inaendelea
@abadanmwangu2970
@abadanmwangu2970 3 жыл бұрын
Ongera
@bonifancenyamahanga3654
@bonifancenyamahanga3654 2 жыл бұрын
Mungu akuweke malipema peponi baba
@reganikalenga988
@reganikalenga988 4 жыл бұрын
Best president
@ymusic1299
@ymusic1299 4 жыл бұрын
Quality nzur sanaa aisee Tanzania oyeee
@gta9318
@gta9318 4 жыл бұрын
Ndiooo!kumbe inawezekana.
@hamislipangine9649
@hamislipangine9649 3 жыл бұрын
Daaaaaaaah!!!...... Nalia kila nikikuwaza JPM ila umetuachia mwanga Maana kila Mtanzania anajua Kama nchi hii inataka kiongoz wa aina gani. Pumzika kwa Aman Kazi Yako imeeleweka ndio Maana Dr. Mpango ameonekana.
@geja8708
@geja8708 4 жыл бұрын
Mh raisi navaa nae namba Sawa, president 2020-2025
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын
Mtu wa watu huyo! Mungu wangu nilimpenda sana!
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 3 жыл бұрын
Popular President
@hamzamohamed5102
@hamzamohamed5102 3 жыл бұрын
Rais wetu.kweli mungu ametu letea kiongozi Bora .ata nchi nyingi wana tamani kuwa na rais kama magufuli. CCM oyee
@elishaobadia8829
@elishaobadia8829 4 жыл бұрын
Huyu sio boardguard ni msaidizi WA rais Na kufany ivo ni moja ya jukum
@genesisnew5718
@genesisnew5718 4 жыл бұрын
Una Upendo usiobagua Baba,MUNGU BABA azidi kukutunza pia atufungue macho watanzani ili tuuone huu upendeleo tuliopendelewa wa kumpata Rais mwenye kumtanguliza aliyemuumba
@aishasmoni5881
@aishasmoni5881 4 жыл бұрын
Masha Allah
@Mudathiruali192
@Mudathiruali192 4 жыл бұрын
Alhamudullah TZ you have are gift of president log live much love from Uganda East Africa 🇹🇿🇺🇬❤❤
@kisoukejothame210
@kisoukejothame210 4 жыл бұрын
Hicho kiatu mheshimiwa Rais Uvae Tarehe 28 0ctober
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Hatuko nae Tena mungu aiweke roho ya marehemu Mahali pema peponi
@supereric6351
@supereric6351 4 жыл бұрын
Great achievement.
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 4 жыл бұрын
Hapa Kazi tu
@mwanakhatibu3722
@mwanakhatibu3722 4 жыл бұрын
Ewe mwenyezi mungu tena miujiza yako magufuli wetu apate miaka mitano tena nakuendelea
@mwanakhatibu3722
@mwanakhatibu3722 4 жыл бұрын
Yarrabi tenda miujiza magufuli kura apate tena
@noelamtesigwa6819
@noelamtesigwa6819 3 жыл бұрын
Itokee kama ajali.. rudi Magu wetuu😭😭😭😭
@agnesoqwaa9848
@agnesoqwaa9848 3 жыл бұрын
Uko vzr rais wetu
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 4 жыл бұрын
Tundu lisu akiona hivi anatapa wivu kweli
@sammotv6920
@sammotv6920 4 жыл бұрын
Ndo anazidi kutunga matusi yakee
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 4 жыл бұрын
tv haswhaswaaaaaaa
@missangela6720
@missangela6720 4 жыл бұрын
Atasema matumizi mabaya ya pesa za serikali. Hahaha
@guzomc255
@guzomc255 3 жыл бұрын
Wewe ndo hitaji LA watanzania wenye uzalendo na nchi hii asante sana mh. jpm
@AllyMchume
@AllyMchume 4 жыл бұрын
Sio yule mkundu lissu anaonekana supermarket ananunua mvinyo ambayo hata aitengenezwi Tanzania
@isaacmbade6955
@isaacmbade6955 4 жыл бұрын
Ww ndo mkundu bwege ww
@AllyMchume
@AllyMchume 4 жыл бұрын
@@isaacmbade6955 Mkundu lissu maybe na wewe kidogo but definitely MKUNDU LISSU that's for sure
@deborahkiunoswaf5907
@deborahkiunoswaf5907 4 жыл бұрын
Hata magufuli alikuwa mkundu hivohivo hiyo heshima ulimpa kahaba wewe!
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 4 жыл бұрын
Hahaha shoga mwenzie anamtetea lissu 🥴😁😂😂
@iddyboy4345
@iddyboy4345 4 жыл бұрын
Lisu n mkun.....
@selinajoshuaselmonsimeon5639
@selinajoshuaselmonsimeon5639 3 жыл бұрын
When he bought safari boot no one realised.It only meant his heaven journey has commenced. No one noticed.
@elizerbethmichael9992
@elizerbethmichael9992 3 жыл бұрын
Kweli vzr havidum jamani daaaaah 😭😭😭😭😭 umeondoka kweli Baba ye2 mpendwa au naota aiseee
@nizigiyimanajaja9814
@nizigiyimanajaja9814 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana baba yetu
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 4 жыл бұрын
Asante baba
@bulaloalindamtobesyaofficial
@bulaloalindamtobesyaofficial 4 жыл бұрын
Safi sana, sasa magereza mkomae na quality, hata kama bei ipo juu ila quality ni muhimu sana, mbona soko letu litakua kwa kasi ya ajabu.. kazi nzuri sana. Hata mimi ntakuwa mzalendo kama mtamaintain quality
@aishachambo3293
@aishachambo3293 4 жыл бұрын
Viatu vizuri sana
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 4 жыл бұрын
Rais Jpm ni mzalendo kwa nchi yake mpk raha
@julianaswai7846
@julianaswai7846 2 жыл бұрын
Kama vile uko nasi duniani bab Magu. Tunataman kam bado ungekuwa nasi ilakaz y Mungu haina makosa. Mlazemja wako mahali pemaa peponi Amina
@latifumalikita3670
@latifumalikita3670 3 жыл бұрын
Rais mmoja simple sana
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 4,7 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 111 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 13 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
TAZAMA RAIS MAGUFULI ALIVYOSIMAMA KUPANGA MSTARI NA KUPIGA KURA
11:47
UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
12:00
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 668 М.
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 4,7 МЛН