Magufuli una vitu vingi sana vya kutufanyia I like how you motivate us yaan kuna muda unanunua mahindi yaliyochomwa na kula pamoja na nafasi ulio nayo hujali kabsa God bless you my president
@missangela67204 жыл бұрын
Halafu kuna washamba eti wanamfananisha JPM na Mobutu aliyekuwa anafanyia shopping zake Parisi Ufaransa.
@brightonadam71423 жыл бұрын
ili game lishapangwa😆
@raymondmusa18343 жыл бұрын
Onnh aliyemuuzia muhindi unaona wakawaida yani ukampe tu muhindi rahisi labda umeweka sumu
@habibahabiba71283 жыл бұрын
@@raymondmusa1834 ye anakua Kwa kustukiza hiyo sumju utaweka mda gan na hukupewa taarfa, mbona alikunywa kahawa na masela kitaan kwe2 Tena alizuka tu
@goodluckjacob71703 жыл бұрын
L
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@lucyisrael61213 жыл бұрын
Kama vile bado uko nasi duniani kumbe umetuacha,hakuna wa mfano wako,R.I.P Baba,mbele yako nyume yetu,inauma mno kutuacha
@josephnjoroge56494 жыл бұрын
Huyo mwanajeshi yuko chonjo kabisa na imara,,kachangamka kwa haraka kuvua na kumvalisha mkuu Wa majeshi kiatu kama umeme,,salute kwa colonel💂
@khadijagundumu62103 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@matundumgweno45333 жыл бұрын
Hahahaahah Eti kiatu Kama umeme watu wanajiwa Sana kazi zao na kinachomfanya ale tonge la ugali
@nambafudiana99533 жыл бұрын
All the good comments about this man made me cry More 😭😭😭🇺🇬🇺🇬
@Asheri-k5k Жыл бұрын
Tunao mkumbuka like zetu hapa
@magretkijanga88334 жыл бұрын
Rais wangu nakupenda .unafanya kazi mzuri Sana
@agiasaidi52944 жыл бұрын
MashaAllah
@salmaluhombero84664 жыл бұрын
Hata mimi nampenda sana ana ubinadamu
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
😭😭😭
@jeremiahzacharia76554 жыл бұрын
Naumia Sana kuona Rais anavyojitahidi kutuonyesha utamu wa Nchi yetu alafu mafala fulani yanashindwa kujua uzuri wa Nchi hii Natamani hata wananchi wote tungeungana kuijenga Nchi yetu ila nasikitika kuona wapo saio itakia mema Nchi hii ya maziwa na asali
@sammotv69204 жыл бұрын
Wee acha tuu
@pauloqaymo89254 жыл бұрын
Huyu Rais ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu ,Tunamhitaji kuliko anavyodhani yeye
@kulwamathias76804 жыл бұрын
Safi sana inchi hii tulikuwa tunazalaulika Sana wageni wanaingia na kufanya wanachotaka wao
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Eti wanasema hakuna haki na usawa na anabana uhuru, me najiuliza uhuru wa ainagani wanautaka wao? Muda wowote ukijisikia kwenda popote pale duniani milango ipo wazi ukiamua kurudi kwako usiku wa manane hakuna atakae kuuliza, ukiamua kuvaa hata gunia hakuna atakae kuuliza yeye mwenyewe anatukanwa wee mitandaoni hata hadharani hakuna anaeguswa sasa uhuru upi tunautaka? Na hapo hapo anatujengea nchi kwa vitendo anaahidi anafanya, mimi nipo nje kuna nchi hata pakitokea ajali tu ukipiga picha tukio lolote hata usipoonekana na mtu utaonekana na CCTV ni kosa la jinai, ni kulinda matukio yao mabaya yasitoke nje, sisi kwetu unapiga na unapost mitandaoni huulizwi, uhuru gani tunautaka?
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Zipo nchi afrika ni kosa zaidi ya jinai kumkosoa raisi ukisikika tu unamkosoa raisi kweupeeee unapigwa risasi au unakatwa na mapanga tena na askari mbele za watu mpaka unauwawa na hakuna uhuru wa kusafiri hovyohovyo kwenda nje ya nchi, Togo, Congo Brazaville hizi nchi maraisi wao utadhani wametokea motoni hawajazaliwa vile kwa matendo yao mabovu na mpka sasa wapo madarakani, Wanaojifanya wanaipenda Afrika (western) kama hawazijui hizi nchi vile maana kwa togo Ufaransa wamejimilikisha bandari kwa asilimia tisini. Je tunataka je tunatamani viongozi wa aina yao ndani ya Tanzania yetu?
Mungu atupe Rais gani tena kama huyu aongoze tu hata hadi ukomo wa maisha yake tutakubali watanzania🙏🙏🙏
@angelanaftael79654 жыл бұрын
Eti jamani.Mungu atiupe nini tena
@missangela67204 жыл бұрын
Thanks Peter. Aendelee kuongoza hadi miaka buku plus
@annasamo70633 жыл бұрын
Na kweli ameongoza mpaka ukomo wa maisha yake daaa siamini kama sahivi jayupo nasi
@ruthsebastian4633 Жыл бұрын
My dear hakuna na ajazaliwa
@wilfredelimeleki45434 жыл бұрын
Natamani sana magufuli uongoze tanzania miaka yako yote.Mungu anakujua vzuri
@josephatjordan21504 жыл бұрын
Kabisa Umenena!!Wasio jua kua Tuna Rais mzuri utawaona tu
@sundayandrew17874 жыл бұрын
Jumatano tusifanye makosa kura kwa JPM
@isakabaragomwa2964 жыл бұрын
Mim nahis Africa inaweza ikawa moja na lugha moja kiswahili, raisi mmoja akitokea kwanza Tz Pia tunaweza kuwa bara lenye maendeleo na uchumi mkubwa.
@modestapeter73554 жыл бұрын
kweli bwana maana ni adimu sana kutokea mtu kama magufuli
@josephatjordan21504 жыл бұрын
Watu wanamtusi sijui wanataka siku moja aje Hitler hapa!!!Mungu tuokoe sie tusiokua na hatia kwakweli
@kaystyle614 Жыл бұрын
Mwigine kama huyu tutamtoa wapi..?? Natokea Kenya lakini nampenda Sana magufuli alikua mchapa kazi mtetezi wa wanyonge 😢😢 we miss you magufuli
@SaidSaid-bq6mk4 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kupata raisi km huyu ana hofu ya mùngu anajali taifa lake anajua majukumu yke mwenyez mungu azidi kukuongoza akulinde na kila baya azidi kukutia nguvu ww ndo raisi peke dunia inaangalia utendaji wko huna ubaguzi huna udini we ndo raisi bora dunia kuwahi kutokea ktk karne hii asante sana mwenyez mungu kwa kutupa kilicho bora
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Tazama watu wamefurahi wanaraha lissue anataka KUTULETEA balaa ashondwe kwa Jina la mungu Amina
@tumainimwanyonga66014 жыл бұрын
Mungu Mwema Atajitukuza Yehova Sana Haleluyaaaa Ilike this God is Good Ipraise God
@tumainimwanyonga66014 жыл бұрын
Mbarikiwe ahsante Raisi wetu John
@tumainimwanyonga66014 жыл бұрын
Waooo wao wonderful
@chrispinondieki7059 Жыл бұрын
Continue resting easy uncle magu....Africa will forever miss you
@samwelmelam71744 жыл бұрын
Mzee Magu Wewe ndie Raisi wa Africa. Nafurahi sana kua na Rais mwenye maono ya mbali.
@mkombozikiratv.97333 жыл бұрын
Mungu akupe maisha na pumziko la milele mhe.Magufuli wetu
@angelanaftael79654 жыл бұрын
Mh Raisi wetu mzuri sana tunaomba Mungu akupe maisha marefu utuongoze maisha yako yote pls
@missangela67204 жыл бұрын
Thanks saaana wajina
@fanleck29223 жыл бұрын
Dah, leo naisoma kwa majonzi
@maryfrancis18363 жыл бұрын
Tutukukumbuka daima Rais wetu
@theopisterjovent3483 Жыл бұрын
Tutampata wapi tena mtu kama huyu😭😭😭 pumzika kwa Amani Magufuli wetu
@oscarbaltzar16454 жыл бұрын
Magufuli umetisha kura yangu we chukua
@zenassylvester1254 жыл бұрын
Tunapanda taratibu , uchumi wa kati baadae uchumi mkubwa. Wazungu hawahitaki hii inawaumiza sana wanapenda kuona tunabaki kua ombaomba ndio maana wanafanya kila wawezaro kutuvuruga kutumia upinzani . Ila kwa nguvu za Mwenyezi Mungu tunashinda kila vikwazo. Kama tuliitandika corona kwa jina la Mungu na wapinzani tutawatandika kwa jina la Mungu na tutashinda.
@kenethgorogota71374 жыл бұрын
Oyoooooo mitano tena
@abdulkheri73224 жыл бұрын
Dah🙂...Mh Rais mnyenyekevu sna, adi anaomba kama ana ruhusiwa kijaribu kiatu
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Dah
@mavuzijiwe68054 жыл бұрын
Viatu vizuri sana , Watanzania Tumpigie kura JPM Haya Maendeleo Ndiyo Tunayataka
@josephatkichanilo38024 жыл бұрын
Dah hivyoo viatu bas mvisambaze mpka uku dar tupunguzien bay tusiande xhina
@venancephilbert93974 жыл бұрын
Mungu akubariki sana jpm
@liliansamson6744 жыл бұрын
Magufuli nakupenda sana mzee wangu
@movies_store014 жыл бұрын
huyui mmi ndo raisii wngu nakupenda bure maguu 2020 ni ya kwakoo tena
@edistarickmarandu85974 жыл бұрын
Miaka mingi t TANZANIA IMEONEWA SANA NA WACHACHE
@faridadaniel85104 жыл бұрын
Asante Rais wangu Kwa kazi nzuri unayoifanya Mungu ni mwaminifu kwetu
@jovinjoseph26254 жыл бұрын
Mi5 kwa Baba
@peterlujuo16404 жыл бұрын
USIMFANANISHE JPM NA VITU VYA KIPUMBAVU. JPM AGAIN. #PERIODT
@esperancetabitha93224 жыл бұрын
Sijuwi watanzania mnataka mungu awape nini tena sisi wa kongomani waishio ulaya tunawaonea gere
@missangela67204 жыл бұрын
Thanks my
@hashimahmed32844 жыл бұрын
Magufuli wewe ndie kiongozi unaestahili kuongoza ug na kenya iwe wewe ndio rais wa hizi nchi nyengine ua da best
@angelanaftael79654 жыл бұрын
Thank you you have seen him.he is seeable kbs.only few in Tz cant see him esp lisu pretends he doesnot see what our precious presida is doing.Jelousy and greedy shame on you old man
@missangela67204 жыл бұрын
@@angelanaftael7965 thanks dear
@DuniayaHabari4 жыл бұрын
Mitano tena mzee magu rais bora africa.. Aya ingieni kwenye accnt yangu mcheke kwa vituko vya mwaka
@NR-ll4sr4 жыл бұрын
Magu ana choice nzuri
@mimiwewe66174 жыл бұрын
Mitano tena kwa JPM, halafu viatu vizuri kweli
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Kabisa
@tatuhongeranurushaus4854 жыл бұрын
Kabisa mitano tena ya jpm
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
😭😭😭
@mimiwewe66173 жыл бұрын
Nasikitika sana kwa hili lilotokea lakini Mungu ndie mjuzi wa kila kitu, RIP Magufuli...
@khalidmohamed5026 Жыл бұрын
@@mimiwewe6617 baba umeacha kiroba cha sembe 25000 sasa 45000 wapi tulipo
@khamishemedsaid21344 жыл бұрын
Mweshimiwa makufuli hongera kwa ushindi
@roselyimo77853 жыл бұрын
Allyways you will be in our hearts 💕
@djkusumaboy7844 жыл бұрын
Duhh magu mitano
@edistarickmarandu85974 жыл бұрын
Mwacheneni huyu ainyooshe inchi maaana tunakwenda vizuri sana
@missangela67204 жыл бұрын
Asante sana. Kuna mkaka anaitwa Thobias Marandu, duh sijui ni wa nchi gani maana anamchfua Rais wetu
@bernardoleonard73314 жыл бұрын
@@missangela6720 mkenya
@missangela67204 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 duh
@oddoluambano3423 жыл бұрын
Hakika Penye Amani Pana Raha na Kicheko Muda wote... Big up Mr President na Askari wako Mjeshi
@edwinelias85543 жыл бұрын
Canari Wa jeshi bordgurd atamic Sana hayati muheshimiwa magufuri
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Ni Fahar Kuiona Nchi Yangu Inazd Kupiga Hatua Za Kimaendeleo🙏 #ChaguaMaendeleo #ChaguaAman
@peterslaa34943 жыл бұрын
L
@rogatiusscarion7264 жыл бұрын
Home quality products 🇹🇿🇹🇿
@engineerkipkurui65163 жыл бұрын
This PRESIDENT was really fun. God rest his soul in eternal 🙏🙏 peace
@williamshija15163 жыл бұрын
Namshukuru rais magufuli kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa nchi
@pauloqaymo89254 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu ,Watz tuthamini vya kwetu jmn tuijenge nchi yetu
@temkezatv43814 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@missangela67204 жыл бұрын
Umeona eeh. Atawale hadi miaka buku plus
@monicakanza54114 жыл бұрын
Hongereni sana magereza moshi mko vzr
@ericmkami75784 жыл бұрын
Magufuli Bana 😂😂 kaamua kujaribu kabisaa
@neemapaul21624 жыл бұрын
Mswahili uyoooooooooh 😂😂
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Hahahaa huyu rais ataakisema tule ugal tu mchele wakiyela tuuze ilitupate pesa zamaendeleo mie nipo tayari.
@teychriss32484 жыл бұрын
Na kuvibeba kabisaa!
@teychriss32484 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 😂😂 uwii umetisha!
@radhiambwana87874 жыл бұрын
@@teychriss3248 hahahaa wiki mbili kiatu kinacheka mie naulizaga wanaleta vyann mbona jmn tunachoka kuwest pesa.
@fredrickmatiku77834 жыл бұрын
Mitano tena kazi iendeleee Hapa kazi tu
@dannytv58833 жыл бұрын
Hongera kwa uzalendo aliouoshesha bodyguard wa Rais wetu nmejiskia vizuri saana .....
@timboxlee9193 жыл бұрын
Safi sana mzalendo wetu jpm
@magossqwaynithebest3674 Жыл бұрын
Da kaka
@chimstv85913 жыл бұрын
U r my wonderful president .... rip 🇰🇪
@samwelshipande19234 жыл бұрын
Rais wa Maisha yajayo watoto wetu watayashuhudia
@judithlejalearnmore22364 жыл бұрын
Aaa,Wazi ,,Babaa ngara ku ngara,Waongoza vyema tanzania,Kungara nikwako hongera.,Ndani ya mombass
@amrimwingwa9944 жыл бұрын
Ni sawa kumvalishaaa maaana ni kama baba yake tuu.Hongera JPM Viwanda vinakua
@emmanuelmohammed12944 жыл бұрын
Umri wanakaribiana tu japo Magufuli Ni mkubwa yaani Ni sawa na kaka yake!
@hassanmkungile60214 жыл бұрын
God bless you Mr. President Boardgud anavalisha kibabe atat
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Tano tena PERIOD
@juliethecstacy86463 жыл бұрын
Mhuhu...Mungu akutetee baba yetu maaamaa😥😥😥
@frankmalema53504 жыл бұрын
Congole magereza
@zenassylvester1254 жыл бұрын
Hii inaitwa china nkafwate nini? Kazi nzuri kwa raisi wetu. Maendeleo ni watu na watu ndio sisi hatua nyingi mbele tutafika tu
@pericykiko61984 жыл бұрын
China nkafwete nn umenichekesha dear
@djkusumaboy7844 жыл бұрын
Anko maguu
@alisele52994 жыл бұрын
Jaribu mwenyewe product zako baba kumbe tunaweza
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Pur president😍😍
@missangela67204 жыл бұрын
Pure President
@suzanejeremiah34634 жыл бұрын
Kazi inaendelea
@abadanmwangu29703 жыл бұрын
Ongera
@bonifancenyamahanga36542 жыл бұрын
Mungu akuweke malipema peponi baba
@reganikalenga9884 жыл бұрын
Best president
@ymusic12994 жыл бұрын
Quality nzur sanaa aisee Tanzania oyeee
@gta93184 жыл бұрын
Ndiooo!kumbe inawezekana.
@hamislipangine96493 жыл бұрын
Daaaaaaaah!!!...... Nalia kila nikikuwaza JPM ila umetuachia mwanga Maana kila Mtanzania anajua Kama nchi hii inataka kiongoz wa aina gani. Pumzika kwa Aman Kazi Yako imeeleweka ndio Maana Dr. Mpango ameonekana.
@geja87084 жыл бұрын
Mh raisi navaa nae namba Sawa, president 2020-2025
@richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын
Mtu wa watu huyo! Mungu wangu nilimpenda sana!
@dannyosolo27523 жыл бұрын
Popular President
@hamzamohamed51023 жыл бұрын
Rais wetu.kweli mungu ametu letea kiongozi Bora .ata nchi nyingi wana tamani kuwa na rais kama magufuli. CCM oyee
@elishaobadia88294 жыл бұрын
Huyu sio boardguard ni msaidizi WA rais Na kufany ivo ni moja ya jukum
@genesisnew57184 жыл бұрын
Una Upendo usiobagua Baba,MUNGU BABA azidi kukutunza pia atufungue macho watanzani ili tuuone huu upendeleo tuliopendelewa wa kumpata Rais mwenye kumtanguliza aliyemuumba
@aishasmoni58814 жыл бұрын
Masha Allah
@Mudathiruali1924 жыл бұрын
Alhamudullah TZ you have are gift of president log live much love from Uganda East Africa 🇹🇿🇺🇬❤❤
@kisoukejothame2104 жыл бұрын
Hicho kiatu mheshimiwa Rais Uvae Tarehe 28 0ctober
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Hatuko nae Tena mungu aiweke roho ya marehemu Mahali pema peponi
@supereric63514 жыл бұрын
Great achievement.
@andulilemwakihabha20484 жыл бұрын
Hapa Kazi tu
@mwanakhatibu37224 жыл бұрын
Ewe mwenyezi mungu tena miujiza yako magufuli wetu apate miaka mitano tena nakuendelea
@mwanakhatibu37224 жыл бұрын
Yarrabi tenda miujiza magufuli kura apate tena
@noelamtesigwa68193 жыл бұрын
Itokee kama ajali.. rudi Magu wetuu😭😭😭😭
@agnesoqwaa98483 жыл бұрын
Uko vzr rais wetu
@albertbunyinyiga75814 жыл бұрын
Tundu lisu akiona hivi anatapa wivu kweli
@sammotv69204 жыл бұрын
Ndo anazidi kutunga matusi yakee
@tatuhongeranurushaus4854 жыл бұрын
tv haswhaswaaaaaaa
@missangela67204 жыл бұрын
Atasema matumizi mabaya ya pesa za serikali. Hahaha
@guzomc2553 жыл бұрын
Wewe ndo hitaji LA watanzania wenye uzalendo na nchi hii asante sana mh. jpm
@AllyMchume4 жыл бұрын
Sio yule mkundu lissu anaonekana supermarket ananunua mvinyo ambayo hata aitengenezwi Tanzania
@isaacmbade69554 жыл бұрын
Ww ndo mkundu bwege ww
@AllyMchume4 жыл бұрын
@@isaacmbade6955 Mkundu lissu maybe na wewe kidogo but definitely MKUNDU LISSU that's for sure
@deborahkiunoswaf59074 жыл бұрын
Hata magufuli alikuwa mkundu hivohivo hiyo heshima ulimpa kahaba wewe!
@drgeofreykupaza77074 жыл бұрын
Hahaha shoga mwenzie anamtetea lissu 🥴😁😂😂
@iddyboy43454 жыл бұрын
Lisu n mkun.....
@selinajoshuaselmonsimeon56393 жыл бұрын
When he bought safari boot no one realised.It only meant his heaven journey has commenced. No one noticed.
@elizerbethmichael99923 жыл бұрын
Kweli vzr havidum jamani daaaaah 😭😭😭😭😭 umeondoka kweli Baba ye2 mpendwa au naota aiseee
@nizigiyimanajaja98143 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana baba yetu
@jamesakhabuhaya61944 жыл бұрын
Asante baba
@bulaloalindamtobesyaofficial4 жыл бұрын
Safi sana, sasa magereza mkomae na quality, hata kama bei ipo juu ila quality ni muhimu sana, mbona soko letu litakua kwa kasi ya ajabu.. kazi nzuri sana. Hata mimi ntakuwa mzalendo kama mtamaintain quality
@aishachambo32934 жыл бұрын
Viatu vizuri sana
@pauloqaymo89254 жыл бұрын
Rais Jpm ni mzalendo kwa nchi yake mpk raha
@julianaswai78462 жыл бұрын
Kama vile uko nasi duniani bab Magu. Tunataman kam bado ungekuwa nasi ilakaz y Mungu haina makosa. Mlazemja wako mahali pemaa peponi Amina