Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 6
@FrolenceRogath-fv6kuАй бұрын
Ipo sku utarudi tu Mwenyez Mungu akupe moyo wasubila usiwajibu watu ila Mungu anajua uko mbele utakuwa nan
@hamadmakame6040Ай бұрын
Congratulations makamba and congratulations kombo Mwenyezi mungu awaongoze
@hamzakimaro3764Ай бұрын
makamba usife moyo,achana na wanaokutusi kwenye mitandao ya jamii!!wanasumbuliwa na uhasidi na wivu!! Kuachiana madaraka ni mambo ya kwaida kwenye siasa!! Fanya kazi kwa bidii bila kunyongo na raisi!leo ni wao kesho ni wengine!!!ikiwezekana kuna lihasidi linaitwa mpina,tapeli,unaweza kumpeleka mbele ya sheria kutafuta haki yako ya kuchafuliwa!!!
@EliasPaul-qs2ibАй бұрын
Acha ujinga wewe usimtukane mbuge anaeimbambania Tanzania yetu. Huyo January ndo fisadi mkubwa serikalin Bora alivyo tenguliwa na huyo nape wake. Bado nchemba