No video

TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA

  Рет қаралды 70,672

Masanja TV

Masanja TV

Күн бұрын

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 250
@emmanuelsumari7553
@emmanuelsumari7553 Ай бұрын
Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.
@jacksonpetro495
@jacksonpetro495 Ай бұрын
Kanisa lolote ambalo kipaumbele chake sio utakatifu na kuurithi ufalme wa Mungu kama kipaumbele cha Yesu, likimbieni jamani hizi ni siku za mwisho.
@NaimaniMndeme
@NaimaniMndeme 15 күн бұрын
Hizo zote zitapita lakini mwisho wake mungu ndiye atakaye hukumu kama Yuko sawa wanacho kifanya apo madhabahuni.
@siaveramanga289
@siaveramanga289 Ай бұрын
I see my prophet Rolinga,God bless you all
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w Ай бұрын
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 21 күн бұрын
Utumwa huo. YESU hakuwa hivyo.
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 4 күн бұрын
Na uanaume kupig goti apo wanaoneshana ufahari tu naizo ela wanazoahid ili waumin wanogewe nao wachange kumbe wanatapeliwa ee mungu tusaidie
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Ай бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe Ай бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule586
@moseshaule586 Ай бұрын
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 Ай бұрын
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
@agnesspeter6416
@agnesspeter6416 Ай бұрын
Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana
@selegioelias9076
@selegioelias9076 Ай бұрын
Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes
@deviselisaria5488
@deviselisaria5488 Ай бұрын
Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 15 күн бұрын
Kazi gani Yaani watu wanachezewa akili
@WTC492
@WTC492 Ай бұрын
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU
@focusernest5610
@focusernest5610 Ай бұрын
Huyu anawaza pesa,,,kabla alikuwa akisali jangwani kwa mchungaj mwakiborwa TAG,,,wanaanzisha huduma nje ya makanisa walikozaliwa ili wapate pesa
@Godishereforus
@Godishereforus Ай бұрын
Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@erodiasmallya2869
@erodiasmallya2869 Ай бұрын
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia Ай бұрын
Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Ай бұрын
Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe
@subirawasia5180
@subirawasia5180 5 күн бұрын
Mungu naomba nifundishe kukaa kimya madhabau za kweli wazijua ww
@user-jt3fi6bk8w
@user-jt3fi6bk8w 26 күн бұрын
Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.
@abdallahsaidi2300
@abdallahsaidi2300 24 күн бұрын
Jamann
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 Ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 Ай бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Ай бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ru
@HappyFlowers-ee8ru Ай бұрын
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c Ай бұрын
​@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE
@K-go1qj
@K-go1qj 26 күн бұрын
​@@HappyFlowers-ee8ruwote wanajoka hapo
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 Ай бұрын
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@user-ec4br4pd3o
@user-ec4br4pd3o Ай бұрын
😂
@HappyWilaganu
@HappyWilaganu 9 күн бұрын
Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n Ай бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Ай бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@allenmlelwa7950
@allenmlelwa7950 Ай бұрын
Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Ай бұрын
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 4 күн бұрын
Kabisa kbisa hawana ata aibu
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 4 күн бұрын
Wanaendelea kujenga milango ya kuingilia freemason
@paulezekia1041
@paulezekia1041 Ай бұрын
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
@StevenFaustine-mb7qo
@StevenFaustine-mb7qo 28 күн бұрын
Mafreemason awa Amna Cha mungu walaniwe
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 Ай бұрын
Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂
@JaliwaMbembela
@JaliwaMbembela Ай бұрын
😮😮 acha mungu tu aingilie kati na haya makanisa naona yaliyotabiliw yanazidi kwa kasi sana tujiandae watumishi mungu amekaa kimya ana makusudi
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 21 күн бұрын
Wanajuwa mchezo wanao ucheza ndani ya nafsi zao. Kuwa Nabii si jambo dogo katika nchi. Kuwa Nabii nie kupokea kutoka kwa Mungu kuleta kwa wanadamu katika marejeo ya uonyaji katika kuacha matekelezo yaliyo andikwa ndani ya vitabu. Na hukumbusha ki roho so kwa kusoma maandiko kwa kutumia MACHO YAO. Manabii wa Mungu hunena vya rohoni. si vya kusoma kwa macho. Manabii wetu hawa wanasoma kwa macho. Ila nawapenda wengi wanavyo ponya watu magonjwa na kuwapa utajili kama Kweli maana nasikia tu sina uhakika. zaidi ya hayo Mungu ni mmoja tu sijuwi kama kuna miungu watatu.
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz 24 күн бұрын
Hii nchi yangu 😂😂😂 naipenda
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.
@RehemaRehemaJosephbaraka
@RehemaRehemaJosephbaraka Ай бұрын
Mungu awasaidie waache kufanya kazi za shetani wamu lidie yesu kristo atawa samehe
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc Ай бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@user-cw6bf7rj9c
@user-cw6bf7rj9c Ай бұрын
Huyu si masanja huyu hahahaha😂😂😂
@K-go1qj
@K-go1qj 26 күн бұрын
Freemason wote hao
@user-jw8pw2pd9l
@user-jw8pw2pd9l Ай бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c
@user-dx4ow8vq1c Ай бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Ай бұрын
😅😅😅😅​@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Ай бұрын
Anakaa wap😅
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Ай бұрын
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@user-dp1bt9hj5n
@user-dp1bt9hj5n 27 күн бұрын
Eh Mungu wa Abraham tunusuru🙏🏼
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv Ай бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j Ай бұрын
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7ep
@HorizonLtd-ty7ep Ай бұрын
Anamaslai
@pumarice2710
@pumarice2710 Ай бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@giftmed1a332
@giftmed1a332 Ай бұрын
I see my prophet kiboko za wachawi!! Say wooooyooo prophesize paapaa!!
@MjumbeAgano
@MjumbeAgano 21 күн бұрын
Mwisho wa manabii wa UONGO umefika, Mungu hakai kwenye majengo, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@FlorensiaMkombozi-et1ts
@FlorensiaMkombozi-et1ts Ай бұрын
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
@evodiajohn7991
@evodiajohn7991 Ай бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@JustinKituyamaana-og3bg
@JustinKituyamaana-og3bg Ай бұрын
Napita sisemi kitu.😅😅😅
@user-nd9kd2wi4h
@user-nd9kd2wi4h Ай бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono
@RehemaMtono Ай бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono
@RehemaMtono Ай бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc Ай бұрын
Wewe unashingap
@mastermurundidon1431
@mastermurundidon1431 Ай бұрын
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
@josephkaveya4284
@josephkaveya4284 Ай бұрын
Masanja mjanja amewachezea kekundu
@user-rr6jg6qb1p
@user-rr6jg6qb1p Ай бұрын
Tuweni macho sio kila atajae jina la bwana anamwakilisha bwana kweli wengi ni wachawi
@user-et7rq5lf4b
@user-et7rq5lf4b 17 күн бұрын
Yaaay yaan sjaelewa mwanaume unapiga magoti au ni mm sjamuangalia vizur ooh ni siku za mwisho zijaribuni hizo roho 😂
@user-mk3iu6ho3j
@user-mk3iu6ho3j Ай бұрын
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
Etijamani
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
Masanja. ameingia kingi
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 Ай бұрын
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@CleverGalaton-tz
@CleverGalaton-tz Ай бұрын
Hahahaaa Masanja unapiga GIA za uwongo unataka uprrrrrrofesai kitu gani 😂😂😂
@judithminja770
@judithminja770 Ай бұрын
😂😂😂😂
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh Ай бұрын
Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie
@pielefrank4087
@pielefrank4087 23 күн бұрын
Daah kumbe na lolinga nae ni walewale.!!!
@FrankJackson-m8e
@FrankJackson-m8e Ай бұрын
Duuh mungu atujalie mwisho mwema jamani
@LusekeloMwambene
@LusekeloMwambene 24 күн бұрын
Mungu atusaidie 😭😭😭😭😭😭
@faridymtobozi7086
@faridymtobozi7086 25 күн бұрын
Apo ni kibaha ua mail moja?😮
@barnaba3037
@barnaba3037 Ай бұрын
Mungu atuokoe
@mbonicosmas5984
@mbonicosmas5984 Ай бұрын
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 Ай бұрын
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale Ай бұрын
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@MageseBasubukundi
@MageseBasubukundi Ай бұрын
Masanja ubalikiwe
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 Ай бұрын
Kazi ya MUNGU isonge mbele , wenye hela ndo wanaoijenga nyumba ya Bwana tusio na hela kazi yetu ni kukoment😂😂😂😂
@costofamily4861
@costofamily4861 11 күн бұрын
Usihukumu pasipo kuhukumiwa, Ogopa neno hili, acha kujihesabia haki imagine ww ndo ungekuwa nabii hapo
@user-vg9bu6zv8v
@user-vg9bu6zv8v Ай бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Ай бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hb
@NizerMgombele-xn5hb Ай бұрын
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Ай бұрын
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
@user-gb9el6xk5d
@user-gb9el6xk5d 29 күн бұрын
Mungu tusamehe hatujui tuyatendayo
@evajeremiemunkamba362
@evajeremiemunkamba362 Ай бұрын
What is this in church
@mariapendael626
@mariapendael626 Ай бұрын
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch Ай бұрын
Wow❤❤❤
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887
@mwana3887 Ай бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@PastorJosephTindo
@PastorJosephTindo Ай бұрын
Polesana
@neemamwanga407
@neemamwanga407 Ай бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 4 күн бұрын
Mimi mwenyew sijawai ona mwanaume anapiga magoti tena anampigia mwanaume mwenzie
@JohnLusaya-n2j
@JohnLusaya-n2j 24 күн бұрын
Naona masanja na yeye ni mwana chama Kama kiboko ya wa chawi muliona wapi giza na nulu vinachangamana
@KabestarMusic-l2o
@KabestarMusic-l2o Ай бұрын
Freee church dah
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Ай бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fg
@SGIT-jd6fg Ай бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hs
@CharlesMakasi-jp2hs Ай бұрын
​@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm Ай бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?​@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb Ай бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNya
@JeffJoeNya Ай бұрын
Sawa MuNGU
@ashasalim612
@ashasalim612 Ай бұрын
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@danielbrizzy
@danielbrizzy Ай бұрын
mbalikiwe sana
@user-cb7io3pk4l
@user-cb7io3pk4l Ай бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@WinbirdFrancis
@WinbirdFrancis Ай бұрын
Jamani nyakati za mwisho zinatimia
@user-ez7lk3it5s
@user-ez7lk3it5s Ай бұрын
Nyakati.hizi.nizamwisho.tujihazari.namanabii.wauongo.ndo.hawa
@jumakihiyo
@jumakihiyo Ай бұрын
Genge la wahuni tu hilo
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan Ай бұрын
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@Godishereforus
@Godishereforus Ай бұрын
You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.
@FamtamAli-vl2wx
@FamtamAli-vl2wx Ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu wangu
@user-in6eg5np7l
@user-in6eg5np7l Ай бұрын
Acha tu nionekane nahukumu jamani ila hapo ni uhuniuhuni tu, watu wa Mungu tulieni kwenyeadhehebu yenu
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI Ай бұрын
Umoja wa manabii wa uongo kwa kutamani kuwavuta watu kwa shetani. Wote hawa sio watumishi wa kweli basisa kabisa.
@gracepaul5901
@gracepaul5901 Ай бұрын
I don't trust these dominations now days
@BartolomeuHenrique-mx1fn
@BartolomeuHenrique-mx1fn Ай бұрын
Duh massanja Nini????umepotea
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj Ай бұрын
Usi waone hao......Wana hubiriiii........ukadhani wote ni wa ukweli.....usisikie wote waotabirii ukadhani wote ni wa ukweli
@WTC492
@WTC492 Ай бұрын
Masanja kuna watu ukianza kushirikiana nao lazima ubebebe roho za upotofu.
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 Ай бұрын
Ulijua kuwakamata ma bishop
@user-kb8wv6kg8g
@user-kb8wv6kg8g Ай бұрын
Jamani mwenzetu mpo ukweli? Mbele ya kiti cha enzi iko kazi siku ile ya mwisho.
@FelicianiShine
@FelicianiShine Ай бұрын
Mwamposa yupo wapi, hananja yupo wapi, mwakisapile Yuko wapi hapo,
@RobertMolell
@RobertMolell Ай бұрын
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@florapeudy3963
@florapeudy3963 Ай бұрын
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan Ай бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Ай бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel
@MasanjaTVgospel Ай бұрын
😆😆😆
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Ай бұрын
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Ай бұрын
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 Ай бұрын
MASANJA NISAIDIE HATA KA LAKI 5 TU JAMANI.
@ThomasMgaya-y1r
@ThomasMgaya-y1r Ай бұрын
Mimi Napitatunamabegiyangu
@WTC492
@WTC492 Ай бұрын
Maprophet ni shidaa
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Ай бұрын
AKUNA MANABII TZ ILA KUNA WANAOTIMIZA UNABII
@dafrosamonko8254
@dafrosamonko8254 Ай бұрын
Ni nini hichi
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z Ай бұрын
MUNGU pamoja nasi
@danielamosi6871
@danielamosi6871 Ай бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz9302
@neymishytz9302 Ай бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@jumazamoyoni3745
@jumazamoyoni3745 Ай бұрын
Usimnyooshee kidore. Mtu mana. Vingine vyarundi kwako acheni kukosoa azisheni nanyinyi
@monikamasasi7582
@monikamasasi7582 Ай бұрын
Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 11 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
MASANJA  HADHARANI FATILIA MPAKA MWISHO
24:02
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 729 М.
SHUHUDIA ULINZI MKALI WA MASANJA #MASANJATV
17:09
Masanja TV
Рет қаралды 7 М.
TUKIOMBEE CHAMA TAWALA  |  NABII SANGA
17:50
POG FAMILY TV
Рет қаралды 13 М.
HUWEZI MUZUIA ASIYE ZUILIKA | PASTOR MASANJA MKANDAMIZAJI  #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
42:10