TANGAZA NASI MASANJA TV: SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Пікірлер: 250
@emmanuelsumari7553Ай бұрын
Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.
@jacksonpetro495Ай бұрын
Kanisa lolote ambalo kipaumbele chake sio utakatifu na kuurithi ufalme wa Mungu kama kipaumbele cha Yesu, likimbieni jamani hizi ni siku za mwisho.
@NaimaniMndeme15 күн бұрын
Hizo zote zitapita lakini mwisho wake mungu ndiye atakaye hukumu kama Yuko sawa wanacho kifanya apo madhabahuni.
@siaveramanga289Ай бұрын
I see my prophet Rolinga,God bless you all
@user-qy7he6cl8wАй бұрын
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@solomondanny-150721 күн бұрын
Utumwa huo. YESU hakuwa hivyo.
@agnesdeogratius70184 күн бұрын
Na uanaume kupig goti apo wanaoneshana ufahari tu naizo ela wanazoahid ili waumin wanogewe nao wachange kumbe wanatapeliwa ee mungu tusaidie
@festinamwakipale3919Ай бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919Ай бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oeАй бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale3919Ай бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule586Ай бұрын
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@jacklinakinabo6479Ай бұрын
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
@agnesspeter6416Ай бұрын
Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana
@selegioelias9076Ай бұрын
Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes
@deviselisaria5488Ай бұрын
Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu
@zebedayokatamaduni967615 күн бұрын
Kazi gani Yaani watu wanachezewa akili
@WTC492Ай бұрын
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU
@focusernest5610Ай бұрын
Huyu anawaza pesa,,,kabla alikuwa akisali jangwani kwa mchungaj mwakiborwa TAG,,,wanaanzisha huduma nje ya makanisa walikozaliwa ili wapate pesa
@GodishereforusАй бұрын
Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@erodiasmallya2869Ай бұрын
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@ChurchofecclesiaАй бұрын
Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool
@msafiriomary893Ай бұрын
Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe
@subirawasia51805 күн бұрын
Mungu naomba nifundishe kukaa kimya madhabau za kweli wazijua ww
@user-jt3fi6bk8w26 күн бұрын
Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.
@abdallahsaidi230024 күн бұрын
Jamann
@nicholausrwezaura1971Ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@deborahmchona5584Ай бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ruАй бұрын
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@EZRA-b1cАй бұрын
@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE
@K-go1qj26 күн бұрын
@@HappyFlowers-ee8ruwote wanajoka hapo
@elizabethkisogole34Ай бұрын
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@user-ec4br4pd3oАй бұрын
😂
@HappyWilaganu9 күн бұрын
Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮
@user-tt1nm9xs4nАй бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@allenmlelwa7950Ай бұрын
Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂
@peterrulagora7403Ай бұрын
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
@agnesdeogratius70184 күн бұрын
Kabisa kbisa hawana ata aibu
@agnesdeogratius70184 күн бұрын
Wanaendelea kujenga milango ya kuingilia freemason
@paulezekia1041Ай бұрын
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
@StevenFaustine-mb7qo28 күн бұрын
Mafreemason awa Amna Cha mungu walaniwe
@kingmsanya3524Ай бұрын
Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂
@JaliwaMbembelaАй бұрын
😮😮 acha mungu tu aingilie kati na haya makanisa naona yaliyotabiliw yanazidi kwa kasi sana tujiandae watumishi mungu amekaa kimya ana makusudi
@ismailsoud363421 күн бұрын
Wanajuwa mchezo wanao ucheza ndani ya nafsi zao. Kuwa Nabii si jambo dogo katika nchi. Kuwa Nabii nie kupokea kutoka kwa Mungu kuleta kwa wanadamu katika marejeo ya uonyaji katika kuacha matekelezo yaliyo andikwa ndani ya vitabu. Na hukumbusha ki roho so kwa kusoma maandiko kwa kutumia MACHO YAO. Manabii wa Mungu hunena vya rohoni. si vya kusoma kwa macho. Manabii wetu hawa wanasoma kwa macho. Ila nawapenda wengi wanavyo ponya watu magonjwa na kuwapa utajili kama Kweli maana nasikia tu sina uhakika. zaidi ya hayo Mungu ni mmoja tu sijuwi kama kuna miungu watatu.
@DavidMbwilo-qk1bz24 күн бұрын
Hii nchi yangu 😂😂😂 naipenda
@laurentraphael5470Ай бұрын
Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.
@RehemaRehemaJosephbarakaАй бұрын
Mungu awasaidie waache kufanya kazi za shetani wamu lidie yesu kristo atawa samehe
@WilbertChambilo-yl1kcАй бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@user-cw6bf7rj9cАй бұрын
Huyu si masanja huyu hahahaha😂😂😂
@K-go1qj26 күн бұрын
Freemason wote hao
@user-jw8pw2pd9lАй бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1cАй бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1bАй бұрын
😅😅😅😅@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1bАй бұрын
Anakaa wap😅
@peterrulagora7403Ай бұрын
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@user-dp1bt9hj5n27 күн бұрын
Eh Mungu wa Abraham tunusuru🙏🏼
@DeogratiusAndrew-zi7zvАй бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4jАй бұрын
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7epАй бұрын
Anamaslai
@pumarice2710Ай бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@giftmed1a332Ай бұрын
I see my prophet kiboko za wachawi!! Say wooooyooo prophesize paapaa!!
@MjumbeAgano21 күн бұрын
Mwisho wa manabii wa UONGO umefika, Mungu hakai kwenye majengo, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@FlorensiaMkombozi-et1tsАй бұрын
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
@evodiajohn7991Ай бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@JustinKituyamaana-og3bgАй бұрын
Napita sisemi kitu.😅😅😅
@user-nd9kd2wi4hАй бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtonoАй бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtonoАй бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8ccАй бұрын
Wewe unashingap
@mastermurundidon1431Ай бұрын
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
@josephkaveya4284Ай бұрын
Masanja mjanja amewachezea kekundu
@user-rr6jg6qb1pАй бұрын
Tuweni macho sio kila atajae jina la bwana anamwakilisha bwana kweli wengi ni wachawi
@user-et7rq5lf4b17 күн бұрын
Yaaay yaan sjaelewa mwanaume unapiga magoti au ni mm sjamuangalia vizur ooh ni siku za mwisho zijaribuni hizo roho 😂
@user-mk3iu6ho3jАй бұрын
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
Etijamani
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
Masanja. ameingia kingi
@danielmrashani8710Ай бұрын
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@CleverGalaton-tzАй бұрын
Hahahaaa Masanja unapiga GIA za uwongo unataka uprrrrrrofesai kitu gani 😂😂😂
@judithminja770Ай бұрын
😂😂😂😂
@Namaize-lc8shАй бұрын
Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie
@pielefrank408723 күн бұрын
Daah kumbe na lolinga nae ni walewale.!!!
@FrankJackson-m8eАй бұрын
Duuh mungu atujalie mwisho mwema jamani
@LusekeloMwambene24 күн бұрын
Mungu atusaidie 😭😭😭😭😭😭
@faridymtobozi708625 күн бұрын
Apo ni kibaha ua mail moja?😮
@barnaba3037Ай бұрын
Mungu atuokoe
@mbonicosmas5984Ай бұрын
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@daudiazizi8495Ай бұрын
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwaleАй бұрын
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@MageseBasubukundiАй бұрын
Masanja ubalikiwe
@jeraldjensen6504Ай бұрын
Kazi ya MUNGU isonge mbele , wenye hela ndo wanaoijenga nyumba ya Bwana tusio na hela kazi yetu ni kukoment😂😂😂😂
@costofamily486111 күн бұрын
Usihukumu pasipo kuhukumiwa, Ogopa neno hili, acha kujihesabia haki imagine ww ndo ungekuwa nabii hapo
@user-vg9bu6zv8vАй бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hbАй бұрын
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
@user-gb9el6xk5d29 күн бұрын
Mungu tusamehe hatujui tuyatendayo
@evajeremiemunkamba362Ай бұрын
What is this in church
@mariapendael626Ай бұрын
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@VictorJohn-fu7chАй бұрын
Wow❤❤❤
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887Ай бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@PastorJosephTindoАй бұрын
Polesana
@neemamwanga407Ай бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@agnesdeogratius70184 күн бұрын
Mimi mwenyew sijawai ona mwanaume anapiga magoti tena anampigia mwanaume mwenzie
@JohnLusaya-n2j24 күн бұрын
Naona masanja na yeye ni mwana chama Kama kiboko ya wa chawi muliona wapi giza na nulu vinachangamana
@KabestarMusic-l2oАй бұрын
Freee church dah
@nelsonnyamleАй бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fgАй бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hsАй бұрын
@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lmАй бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zbАй бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNyaАй бұрын
Sawa MuNGU
@ashasalim612Ай бұрын
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@danielbrizzyАй бұрын
mbalikiwe sana
@user-cb7io3pk4lАй бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@florapeudy3963Ай бұрын
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@MlyakadoHassanАй бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@warakawayohana2896Ай бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale3919Ай бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospelАй бұрын
😆😆😆
@peterrulagora7403Ай бұрын
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana2896Ай бұрын
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@philomenastephen3364Ай бұрын
MASANJA NISAIDIE HATA KA LAKI 5 TU JAMANI.
@ThomasMgaya-y1rАй бұрын
Mimi Napitatunamabegiyangu
@WTC492Ай бұрын
Maprophet ni shidaa
@patrickmunishi2277Ай бұрын
AKUNA MANABII TZ ILA KUNA WANAOTIMIZA UNABII
@dafrosamonko8254Ай бұрын
Ni nini hichi
@user-bz5ti6op6zАй бұрын
MUNGU pamoja nasi
@danielamosi6871Ай бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz9302Ай бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo