Mungu akulinde akutunze kuchunga kondoo wake,waisikie sauti y'ako warudi kundini
@deominja5323 ай бұрын
Karibu saana Mwadhama Rugambwa Mungu akuongoze vyema ktk kuchunga kondoo wake
@m.mmarckus62983 ай бұрын
Unitume mimi nitume Bwana.Nitakwenda kutangaza neno lako wewe,unitime mimi nitume Bwana
@fridaupendomushi10813 ай бұрын
Hakika inafurahisha sana kuwaona Mababa wetu wa kanisa🎉
@HamisLeo3 ай бұрын
Mtu asiekuwa na mkuu wala mawaa
@greysonmatogo46623 ай бұрын
Poleni kwa safari wazee wetu na karibuni nyumbani.
@ImeldaIsdory3 ай бұрын
Waitu oij'otushange Nyakutununta Rugambwa.
@MsalabaniReko3 ай бұрын
Adi raha
@edsonnelson44643 ай бұрын
Kwani halo niwapi?
@j4ally5343 ай бұрын
UKAFILI MTIHANI SN,
@HASASON3 ай бұрын
Wewe hukwenda kufia kule Maka ili uende mbinguni kama wenzio?
@j4ally5343 ай бұрын
@@HASASON Aina shida kabisaa kufia Maka kwa mwisilamu anaejitambua,shida kwa makafili awajui ad ss nani mungu wao wanaemwabudu,
@HASASON3 ай бұрын
@@j4ally534 Maka kwenye kile kibanda cheusi chenye uchawi mnachokiabudu, na ndio maana kila mwaka mnakufa kwa maelfu ni pigo kutoka kwa Mungu, mnakisujudu sababu miungu yenu ndio ipo mule na ndio maana hata mkisali na kujenga misikiti mnaielekea kwenye kile kibanda cheusi huo ni ushetani, Mungu yupo juu mbinguni hakai kwenye vibanda
@StelaJohn-nj5yf3 ай бұрын
Subiri tukutane huko kwa Muumba wetu!! @@j4ally534
@pavlovdeking37253 ай бұрын
@@j4ally534unataka tuungane naninyi wajuzi tu? Ambao mtume wenu kafa kaoza? Na alidiliki kuwalala waknawake zaidi ya 11? Ninyi ambao imani yenu imekaa kama uchawi? Mtu akiwagusa kidogo tu mnajihami kwakutaka kudhuru? Shetani alinena na Mungu, akamwambia kama kawaida yake kupenda kumchallenge Mungu, kuwa, anauwezo wa kuuchallenge ukristo na akajitwalia watu wengi. Mungu akamwambia hawezi, ndipo akaibua hiyo dini yenu sasa lengo ni kuuchallenge ukristo uliokuwa unakua kwa kasi.
@gabrielmwanda20963 ай бұрын
Ndio nini hicho jamani
@radiomariatanzania3 ай бұрын
Unaulizia kipi mpendwa
@peleusiusmutagaywa54653 ай бұрын
@@radiomariatanzania Nafikiri anauliza kua Pallia Takatifu ni nini?