#TBC1

  Рет қаралды 12,582

TBConline

TBConline

Ай бұрын

Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Пікірлер: 55
@SalumuChikoi
@SalumuChikoi Ай бұрын
Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Ай бұрын
MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM
@JohanessMarwa
@JohanessMarwa Ай бұрын
Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍 Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 18 күн бұрын
HAKIKA NI FURAHA Kubwa kuona jinsi Taifa letu likipiga hatua kuuuuubwa tangu tupate uhuru hadi Leo. Wazazi wetu na waasisi wa Taifa hili, pamoja na viongozi wote, Wabarikiwe sana. Pongezi nyingi Kwa JPM na Kwa mama Samia Aliyeachiwa kijiti na kukimbiza Kwa mbio zoote hadi hapa. Mama Samia Suluhu Hassani Ubarikiwe sana. 🙏🙏🇹🇿🤠
@johanesemmanuel4655
@johanesemmanuel4655 Ай бұрын
Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen
@anastazialushika
@anastazialushika Ай бұрын
Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Ай бұрын
Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali
@magorymara5515
@magorymara5515 Ай бұрын
Mbona wanatuonyesha sehem moja tu na si kote kulikojaa maji
@user-qd9uq2xt9r
@user-qd9uq2xt9r Ай бұрын
Kazi nzuri op
@erickmollel-zv2eu
@erickmollel-zv2eu 8 күн бұрын
Asnte kwa utumishi wako kwa kujenga nchi yetu
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Ай бұрын
Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake
@zawadimwangupili4518
@zawadimwangupili4518 Ай бұрын
Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc 10 күн бұрын
Alhamdulillaih...Allahu Akbaru....
@shaibchigwere4645
@shaibchigwere4645 Ай бұрын
Engineer wa power house yuko good kwa kuyelezea
@simulizitanzania2571
@simulizitanzania2571 26 күн бұрын
Karibu zimekuwa Nyingi mno aseeee
@kanoleausi4204
@kanoleausi4204 14 күн бұрын
Msisahau kumshukuru , na kumpongeza Mama Samia pia. haikuwa rahisi kukamilisha hiyo KAZI.
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b Ай бұрын
Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Ай бұрын
Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞
@hassanfeiswal5454
@hassanfeiswal5454 Ай бұрын
Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 Ай бұрын
Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone
@stevensosipita
@stevensosipita Ай бұрын
R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
@oscarfilimbi3282
@oscarfilimbi3282 20 күн бұрын
Hakika mungu ampe pumziko la milele yule kiumbe wake JOHN POMBE MAGUFULI,uthubutu na kulisimamia aliloamini bila hofu.
@khamissaleh921
@khamissaleh921 29 күн бұрын
Jpm ashukuriwe alikubali kuvunja UJINGA WA WAZUNGU NA AKARHIBUTU KUJENGA DAM YA SELOUS .
@LuckymusykiLuckymusyoki
@LuckymusykiLuckymusyoki Ай бұрын
Dada unajua kazi yako
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 Ай бұрын
Asante Kwa kuendelea kufatilia Wekeza Tanzania
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw Ай бұрын
Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 Ай бұрын
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 Ай бұрын
Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅
@WilliamSamwel-vh5op
@WilliamSamwel-vh5op 27 күн бұрын
Nyinyi ni matapeli tu miaka minga yapita mnatengenezatu
@daslamonline4665
@daslamonline4665 Ай бұрын
Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 25 күн бұрын
HIYO ASILIMIA 2 MWAKA UTAISHA
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Jpm
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani Ай бұрын
Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Ай бұрын
Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 Ай бұрын
mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza
@ZeProDJay
@ZeProDJay Ай бұрын
Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c Ай бұрын
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c Ай бұрын
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa
@khamissaleh921
@khamissaleh921 29 күн бұрын
Hawa wasemaji sio type ya wanawake wenye mvuto kwa kuleta mvuta wa biashara Nb tafuteni wanawake walio na nguvu ya kumvutia mtu sio hawa hata sauti sio NZURI
@wilcoxdaniel9825
@wilcoxdaniel9825 22 күн бұрын
Who writes this kind of nonsense ? This is an engineering project. Not a beauty contest
@emmanuelmalifedha3391
@emmanuelmalifedha3391 Ай бұрын
Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo
@matheobaha773
@matheobaha773 Ай бұрын
Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia
@magorymara5515
@magorymara5515 Ай бұрын
Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa
@Madizizi
@Madizizi Ай бұрын
Kila siku 98% tumechoka kusubiri
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 Ай бұрын
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw Ай бұрын
@@vumiliamwasha191 Asante dadayangu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Wewe ni Mwisilamu wake wanne ruksa
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
@@edsonnelson4464 acha izo bana.
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 18 күн бұрын
​@@vumiliamwasha191Ubarikiwe sana sana. Unatufikisha mbali tusikofika Kwa macho TU tunaona mengi viganjani na SEBURENI... 🎉🎉❤
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
SIRI YA KUMILIKI KIWANDA KWA MTAJI WA KUANZIA MILIONI SITA
18:20
TanTrade Tanzania
Рет қаралды 26 М.