No video

THE CLASSIC KALAPINA : NLIJUTIA KUMTEKA SOLO THANG/KUMPOSA MR BLUE/UGOMVI NA MTOTO WA RAIS JK /BEEF

  Рет қаралды 20,429

KuviFacts

KuviFacts

8 ай бұрын

Hii ni interview ya The Classic na Mwanahiphop mahiri Kalapina ambae alikua kiongozi wa ukoo mkubwa wa hiphop wa Kikosi cha mizinga,Interview hii ilifanyika mwaka mmoja uliopita na Kalapina alituelezea kiundani kuhusu tuhuma nyingi ambazo zilizungumzwa juu yake,hii ni sehemu ya maongezi yake

Пікірлер: 66
@darhustler
@darhustler 8 ай бұрын
Hii ni interview bora sana kwangu kusikia na imeeleza vizuri sana hizo background gossips za bongo fleva kuhusu kikosi na hiphop. Pina is very nice guy 🖖
@alexmisheto7925
@alexmisheto7925 8 ай бұрын
Watu wa Hip hop wanaakil sana
@edwardasumwisye3010
@edwardasumwisye3010 8 ай бұрын
Binadamu wanaomba mabaya/ Mtaani kwangu wazee hawana haya/ Wamejaa husuda chuki na roho mbaya/ Hakika wasingetupenda Hata tungeimba kwanya
@MichaelJohn-lb6uu
@MichaelJohn-lb6uu 6 күн бұрын
Appreciation
@nailahharith4745
@nailahharith4745 8 ай бұрын
Those days I remember biliads hip hop ilikuwa real kinyama kikosi dah
@silvergold5855
@silvergold5855 8 ай бұрын
Napenda kumsikiliza brother pina
@MichaelAnthonyGuni
@MichaelAnthonyGuni 5 ай бұрын
sema kalapina na ubabe tofauti sana he is so innocent ukimuangalia
@iHoppin25th
@iHoppin25th 5 ай бұрын
Mwamba Mtu Guddi Sanaaa
@yudaogonyi2383
@yudaogonyi2383 12 күн бұрын
😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine
@JimyMnyama
@JimyMnyama 8 ай бұрын
Kikosii Cha mzinga🔥🔥🔥
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 8 ай бұрын
HAO WANAKATAANA,,MI NAFATILIA SANA INTV ZAO,,DUDU,,LORD,,KALA NA HIP HOP WENGI WANAOKUJA HAPO,,KILA MTU ANAJIONA YEYE NDO ALIKUWA MBABE KULIKO MWENZIE,,ILA TUNAWAAMBIA NYIE SIO MASELA MSINGEKUWA URAIANI.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 8 ай бұрын
Hujielewi, Kwani msela lazma aende jela .?...kwenda jela ni UFALA ww .!
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 8 ай бұрын
@@ismailmasoud6001 WE ndi fala kaka,,,si msela si umepinda?? Waliopinda wote wako chimbo wanasubiri kifo 😀,mnamuiga 2 pac kufa amfi 😃,,nyie mabinti tu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 8 ай бұрын
@@hassanbakari4525 ...ukiona mtu Kenda JELA Kwa wizi au ugomvi ujue fala ..!..ndio maana ukiingia JELA uliowakuta wanakuuliza umekuja Kwa kesi aina Gani ..!
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 8 ай бұрын
@@ismailmasoud6001 ASA UNABISHA NN,,UKIWA MTUKUTU MANAKE WE UMESHINDIKANA,,,SEHEMU ZAKO NI MBILI TU,,KIFO NA JELA,,,,VINGINEVYO WEWE NI RAIA MWEMA TU...HAPO HUELEW NN APO
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 8 ай бұрын
@@hassanbakari4525 ...Kwani Kuna watukutu wangapi hawajaenda JELA na WEMA wangapi wameenda JELA..?..
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 8 ай бұрын
Ashim dogo Kala Pina is the best hip hop bongo akuna tena atakuwa kama awa awa ndio wagumu kamili
@MrishoMohamed-ey5zf
@MrishoMohamed-ey5zf 6 ай бұрын
Nakubali sana the classic
@VisualsByEnokaOti
@VisualsByEnokaOti 6 ай бұрын
Napenda Sana the classic
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 8 ай бұрын
Kalapina alikuwa shida sana
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub 8 ай бұрын
Kalapina sikungi broh
@cassanovarcousin7973
@cassanovarcousin7973 8 ай бұрын
Nabiii koko📌
@hassaningorombe3477
@hassaningorombe3477 8 ай бұрын
💯💯
@JimyMnyama
@JimyMnyama 8 ай бұрын
Walikuwaa wababe sana adii kutekanaa😁
@simas.a1003
@simas.a1003 8 ай бұрын
Game ilikuwa real sana. Mabifu ya Hip hop kama mbele. Ila hichi kikosi cha mizinga nakikubaligi sana 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mabifu live na yaukweli
@nicholouspaschal3586
@nicholouspaschal3586 8 ай бұрын
Hip hop forever
@matolasalumu2625
@matolasalumu2625 8 ай бұрын
Tuleetee yuni besti Kona walio imba tisheti na jinzi
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 8 ай бұрын
University Corner
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 8 ай бұрын
Noma Nabi coco
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 8 ай бұрын
Muongo wewe Arusha before 2005 walikuwa wanafanya live, Via Via. Hii habari ya kujifanya pioneers ndio inaleta ego.
@yusuphrashidi-dr1kb
@yusuphrashidi-dr1kb 8 ай бұрын
Kikosi cha mizinga block 41
@edwinismail9401
@edwinismail9401 8 ай бұрын
Hamna ndefu?
@dicsonmollel5915
@dicsonmollel5915 2 ай бұрын
Nabii Choco namuongezea stress akisikia hzo vocal
@ejtjr2647
@ejtjr2647 19 күн бұрын
Kalapina was STUPID na hujui Hiphop . Mwili mkubwa akili KISODA.
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mapifu mengi na yaukweli
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 4 ай бұрын
ila mkwara imezidi sana kuliko vitendo
@nasrikileo7291
@nasrikileo7291 8 ай бұрын
Sijui wanasahau au nini, age sawa ila kila mtu akiongea issue zinapishana, brother kuvi can u please intervene on my coment for learning purpose
@rogertuga007
@rogertuga007 8 ай бұрын
Kila mtu anavutia upande wake
@Abuukhatibu
@Abuukhatibu 4 ай бұрын
😂😂😂😂pina
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 8 ай бұрын
Sasa mnavaa ayo yanii intaviyu ainogi
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm 8 ай бұрын
Kwa nini hao watangazaji wamevaa barakoa?
@usercabal
@usercabal 8 ай бұрын
Kaka voda sio msanii ni msela wa maskanii
@MudaRamadhani
@MudaRamadhani 8 ай бұрын
Mnazingua mabarakoa ya nini sasa hapo mmezingua kuweni wastaarabu
@alextarimo4972
@alextarimo4972 8 ай бұрын
Hizi barokoa vipi tuambine..
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 8 ай бұрын
Huyu Alishwahi kupata Corona, ila Mwenyezi Mungu aliweka Shani yake akapona. Kwahiyo bado anahisi kama bado ipo. Tahadhari kwake ni muhimu zaidi kwasababu ilishampata.
@KuviFacts
@KuviFacts 8 ай бұрын
Sahihi intvw hiyo nlifanya wakati ndo nmeanza kupona hivyo bado nlikua navaa
@KuviFacts
@KuviFacts 8 ай бұрын
Nlikua natoka kuumwa covid mkuu
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 8 ай бұрын
@@KuviFacts Sawa nimekuelewa, ahsante kwa kuniweka sawa
@Papifreshh
@Papifreshh 8 ай бұрын
Nice
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 8 ай бұрын
Vipi humor ndani Corona dizaini flani kama imewarudia au ndio ugumu?
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Uyu jamaa alikuwa so mgomvi ila alikuwa mbabe wa kundi ukimchokoza ndo anakuzingua
@user-rl8hn4ih1n
@user-rl8hn4ih1n 8 ай бұрын
Sema fupi uyu jamaa uchoki kucheki intaview yak Yani
@jumajuma6612
@jumajuma6612 8 ай бұрын
Ndefu ipo nenda kwenye account ya E FM hii ya kitambo kuvichaka kairudia kwenye account yake
@aloyceiluminata3650
@aloyceiluminata3650 8 ай бұрын
Kala pina amekua mtu mzima siku hizi ameacha ubabe wa kijinga.. bug up bro😂😂😂😂
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 8 ай бұрын
Ndio Leo nimeelewa kwanini kalapina wanamtaja saana wana hiphop,,,, alijulikana kwa ubabe na sio kwa mziki ua nafatili mziki wake lakini cjawahi kukutana na kibao Cha kutisha sana
@adinanimuhidini5894
@adinanimuhidini5894 8 ай бұрын
Mstari wa mbele
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 8 ай бұрын
Kasikilize singeli na amapiano wewe. Hujui hip hop😢
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 8 ай бұрын
@@frankkajoba8372 naludia tena Kalapina hakua msaani wa kutisha kwenye hip hop ,,,, Kuna vichwa kama Sol seng walifanya makubwa kwenye game
@EmmanuelKibila-lk8pv
@EmmanuelKibila-lk8pv 7 ай бұрын
U don't know
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 8 ай бұрын
Kalale mkundu wewe,hip hop waachie wenye akili,huna rhymes hujui mziki,kelele nyingi maku wewe,kaimbe taarabu,
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 8 ай бұрын
Duuu, ivi ww una akili kweli? Haya matusi ya chuki yanatoka mdomoni au?😢
@bobnasser862
@bobnasser862 8 ай бұрын
Tulia mdogo wetu unaona unatatizo aupo sawa
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 26 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 48 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 181 МЛН
♥️♥️♥️
00:20
Татьяна Дука
Рет қаралды 10 МЛН
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 211 М.
Salama Na Lord Eyes Ep 20 | HAWATUWEZI Part 1
32:10
YahStoneTown
Рет қаралды 96 М.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 26 МЛН