THE CLASSIC MWANAFA : SIKUHITAJI NYIMBO 3 KUTOKA/MJ ALINIUDHI/BEEF NA JAY MO/NGWEA MY TOP 2/PROF J

  Рет қаралды 27,044

KuviFacts

KuviFacts

5 ай бұрын

Moja ya waandishi bora wa muda wote katika hiphop Tanzania na Afrika ya Mashariki kwa ujumla Mwana FA nae alipita kutupa madini ya kipekee kupitia The Classic na Jabir Saleh,mahojiano haya hayakupatika katika channel hii na sasa tumeweka hii ambayo anazungumzia masuala mengi kuhusu yeye,muziki wake wasanii na watu waanaomzunguka nk
enjoy

Пікірлер: 37
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 2 ай бұрын
KuviFacts, thanks sana kwa kutuletea hawa wasanii wa zamani. Hizi Interview zatukumbushaa mbali sana. I wish i can be taken back to my youth days. These guys made our days. Peace.
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 ай бұрын
@25:23 Shout out to that man, Mbunge wa watu nawanyama.. #Pro_Jay nitamueshim mpaka nazikwa... salute
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 2 ай бұрын
Fully enjoying this interview and many other Interviews. Be blessed brother. Peace.
@catherinekatoto8278
@catherinekatoto8278 3 ай бұрын
Niko mbali na Dar, ila naomba Mungu atupatie mahali pa kuabudia hapa mjini Voi Kenya. ECG TJN branch. Pia Finances kwaajili ya kazi ya Mungu mahali hapa. Amen
@harithmbarak5267
@harithmbarak5267 28 күн бұрын
Oyo the classic muulize anakumbuka alivopigwa chupa zenji😂
@godfreylalida3521
@godfreylalida3521 5 ай бұрын
@jabir nilitaka nishangae sana ufunge mwaka bila FA ....ONE OF MY BIG FIVE RAPPER IN tz
@GeraldGspack
@GeraldGspack 5 ай бұрын
Mwana FA the most humble hiphop artist from Tanzania napenda Ngoma yake bado nagojea ageuke na alikufa kwa Ngoma classic songs
@harithmbarak5267
@harithmbarak5267 28 күн бұрын
Yuko vizuri ushair uwandish na kz respect 🙏
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 5 ай бұрын
Best verse ya FA ni HATUBABAIKI "Sitorudi kuhakiki ni nani abaki, acha wakomae tu biashara itawapiga mswaki, namna hii bonge la mc, mtamboni yupo Shakii, kama pesa itahusishwa itabidi izidi, ni tiger woods wa rap ya bongo, nahakiki nafikia lengo, gitaa silaha kama desperado nagawa mchongo, njooni tupime upeo mwenye ubongo usio na sikio akatangaze kwao, huu ni mshale wa bomu weka mikono mbali ya moto, yataka moyo kuibadili sura ya mchezo huwezi kama poyoyo..........." Kaisikilize
@fadhilfadhili221
@fadhilfadhili221 3 ай бұрын
Hayo mashairi yapo wimbo gani?
@fadhilfadhili221
@fadhilfadhili221 3 ай бұрын
Hayo mashairi yapo wimbogani?
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 3 ай бұрын
@@fadhilfadhili221 HATUBABAIKI.. Mwanafa ft Shakii Mandugu Digital
@barakakatana5398
@barakakatana5398 5 ай бұрын
FA is very wise and much composed with great humility. So Talented and very Intelligent super Star.
@youngbona3804
@youngbona3804 5 ай бұрын
Umlete lady jaydee ndani ya mjengo mzee bba
@ruyagilabanchila1733
@ruyagilabanchila1733 5 ай бұрын
Hiyo lakini hakufa kwa ngoma inafaa kutoka miaka hii
@KalamuYaGalana
@KalamuYaGalana 25 күн бұрын
much love from Kenya
@joshuamakota6714
@joshuamakota6714 4 ай бұрын
Toka mitaa ya upanga iwe nyangoro aly khan kilombero ama kalenga
@barushafihamza2343
@barushafihamza2343 3 ай бұрын
MwanaFa unaoa lini. Hatari sana
@idrisashelimo307
@idrisashelimo307 3 ай бұрын
Faslfaaaa baba 🙌🏿 unajua
@John-ky4cx
@John-ky4cx 3 ай бұрын
Binamuuuu
@user-ti7nf4jc8g
@user-ti7nf4jc8g 2 ай бұрын
Binam yangu❤❤❤
@stevewanga957
@stevewanga957 5 ай бұрын
Binamu huaga ana inspire sana ..much love frm🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@saintpaddy
@saintpaddy 5 ай бұрын
Hii niliingoja sana, One love Falsafa
@ray45king84
@ray45king84 5 ай бұрын
Hii ni kwa wana Hiphop tu,Mwana FA amesema aliandikiwa verse akachana yote.Does that disqualify him from GOAT conversations?
@stevensenghana1593
@stevensenghana1593 4 ай бұрын
nakubali ngwea 1
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 5 ай бұрын
Napenda sana ichi kipindi big Up kwako brother..
@LionelRichard-wj6zi
@LionelRichard-wj6zi 5 ай бұрын
Splendid
@user-mh9qg1bo2y
@user-mh9qg1bo2y 5 ай бұрын
Nabii mwana Fa thts all
@alexmsigara4329
@alexmsigara4329 4 ай бұрын
Great interview
@raphaeljohn7988
@raphaeljohn7988 5 ай бұрын
Uno 👍🏿
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 5 ай бұрын
Legend 🔥🔥🔥🔥🔥
@paschalcleophace5677
@paschalcleophace5677 5 ай бұрын
Nimekutana na hichi kipindi bahati mbaya wakat nascroll ila kiukweli nimetokea kukipenda na nakifatilia knm these days
@KuviFacts
@KuviFacts 5 ай бұрын
Aisee karibu sana
@paschalcleophace5677
@paschalcleophace5677 5 ай бұрын
Enx sana
@mathiaskiduko4974
@mathiaskiduko4974 5 ай бұрын
Bro sauti inayotoka sio okay hii interview ya masanja zote sauti mbovu rekebisha kaka
@jameskilasa759
@jameskilasa759 3 ай бұрын
Ni cm yako tu
когда достали одноклассники!
00:49
БРУНО
Рет қаралды 3,5 МЛН
Как быстро замутить ЭлектроСамокат
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 10 МЛН
СҰЛТАН СҮЛЕЙМАНДАР | bayGUYS
24:46
bayGUYS
Рет қаралды 767 М.
Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 1
28:34
YahStoneTown
Рет қаралды 197 М.
HESHIMA YA BONGO FLAVA  - JAY MOE
46:51
EastAfricaRadio
Рет қаралды 12 М.
когда достали одноклассники!
00:49
БРУНО
Рет қаралды 3,5 МЛН