Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati

  Рет қаралды 7,994

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Leo Juni 28, 2024 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amehutubua wananchi wa Babati Mkoani Manyara katika muendelezo wa ziara zake za kufanya mikutano ya hadhara ya chama hicho nchi nzima.
Hata hivyo mapema kabla ya kaunza mkutano huo Mkurugenzi wa Babati amelalamikiwa na Chama hicho kuwa amezuia kwa muda shughuli za mkutano kufanyika katika eneo hilo na kuwataka CHADEMA kutafuta eneo jingine la kufanya mkutano wao huo. lakini baadaye waliruhusiwa kuendelea na mkutano wao.

Пікірлер: 36
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 3 ай бұрын
Wanaichi wamekosa furaha sababu ya macicim yamewanyonya ndiiyo maana wanasikiliza tumaini jipya katka maisha yao CHDEMA
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 3 ай бұрын
Akili Kubwa Mh Mwenyekiti Taifa Na Na Kanda Lema 👏
@eliaschessa5728
@eliaschessa5728 3 ай бұрын
Mbona mnazimazima hutuba ya mbowe mzuia watuwatisikie ukweli
@StewartKileva175
@StewartKileva175 3 ай бұрын
Yasitufike ya Kenya2
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart 3 ай бұрын
Ukwer utabaki kua ukwer chadema mnamaono mazuri kweri lakini kwa nini msimsaidie mama yetu mawazo yenu ayafanye tupate maendeleo kuliko kumtoa kwenye urais
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart 3 ай бұрын
Sauti jaman
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Kwa hivyo unataka wazungu wanyonye nchi na wasilipe kodi. Kodi wasipolipa ndio tukakope kwao maisha wakati huku wanasomba madini bila kununua na kulipa kodi
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 3 ай бұрын
Facts tupu
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart 3 ай бұрын
Kwer mh
@AlexPetro-z1e
@AlexPetro-z1e 3 ай бұрын
Wengi hatujapa kadi ya chama naitwa Alex Petro nipo Kilimanjaro
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Chadema acheni kuhamasisha watu wafanane na kenya. Wakenya sasahivi wengi wamekimbia kwao wapo hoteli za Tanzania wamejiifazi roho zao kwa kuwepa vurugu zinazoendelea kenya. Sisi Tanzania tunahimiza amani na utulivu. Na kama mnashindwa kuhutumia siasa za amani na utulivu acheni siasa
@GoldDolan
@GoldDolan 3 ай бұрын
Hapa penyewe wanaotekwa na kuuawa kunatofauti gan na Kenya?
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
Elimu ya kupigania haki yao wananchi sio kuhamasisha fujo! Haki inapiganiwa haiombwi ! Mwalimu Nyerere angedhamini mshahara wake wakati Ukoloni uhuru wa Tanganyika isingepatikana! Acha mambo yako ya kudanganya watu.!
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
HAKUNA AMANI KAMA HAKI HAIPO. MWALIMU NYERERE HAJAWAHI KUWA MWIZI WA RASILIMAL ZA NCHI!
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 3 ай бұрын
Vijana tujitambue tumerara sana
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Si mlimkimbia Magufuli sasa Mama Samia kawarudisha mwanamwita Samia wa ovio.
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Mbona mnaongea porojo badala ya kuhutumia wananchi
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Chadema mnatekana wenyewe acheni kusingizia
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 3 ай бұрын
Akili Imeoza
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Kwanza badilisheni katiba ya Chadema Maana ndani ya chadema mpaka kufa viongozi ni mbowe na lisu.
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 3 ай бұрын
Chawa Hovyo Sana Nyinyi.
@othmanali5362
@othmanali5362 3 ай бұрын
Hutoba imekwenda shule
@stanleymanya438
@stanleymanya438 3 ай бұрын
Imekwendashulu Ila sio Ila haijaingiadarasani itakua inayopenda kipindi chamapumziko, tumechoshwa na watu walewale
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Chadema chama ni ya watu watatu tu mbowe lema na lisu.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
Ukweli unauma sana? Kama Mbowe anaongea porojo mbona unamfutilia? Au wewe ulipelekwa Dubai kupokea ?
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
Rais Samia Suluhu Hassan hakurusi mikutano siasa Ni Katiba ya Tanzania inatolewa haki hiyo! Chama hakiweze kuunda tatizo ( Create) na kuja kusema inatowa suluhisho! CHADEMA KEEP IT! WATAELEWA TUU ,AU TUTAWALAZIMISHA KUELEWA!
@JacksonFrances
@JacksonFrances 3 ай бұрын
Hiyo siyo hoja ya kuongea kwani hao uliowataja siyo viongozi?!?!"​@@Simions-q2i
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Mbowe mwongo we mbona ulidanganya bunge kuwa ulivamiwa na ukapigwa kumbe ulikuwa unakùla konyagi
@mgm412
@mgm412 3 ай бұрын
Msenge ww tulia dawa ikuingie
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart 3 ай бұрын
Chadema tuambieni mkipewa nchi mtafanya nini? Tunahitaji pointi za ukwer na siyo lawama tu yote unayosema wananchi tunayajua toa njia sahihi
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart 3 ай бұрын
Hiiiiiiiiiiiiiiiiii
@Simions-q2i
@Simions-q2i 3 ай бұрын
Mbowe na lisu ninyi ni waongo hakuna wa kuwapa nchi. Mtauza nchi maana mlikuwa mnashadadia ndege ya nchi kushililiwe na watu wa nchi zingine. Chadema mmepoteza dira na mwelekeo hamna siasa safi siasa zetu chafu 😅😅😂
@JacksonFrances
@JacksonFrances 3 ай бұрын
Acha Uchawa wewe Hayo Maneno kamwambie Mama Abdul "
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 3 ай бұрын
Ww fara kweli unatapika
The David Rubenstein Show: Microsoft Co-Founder Bill Gates
25:05
David Rubenstein
Рет қаралды 1,4 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 44 МЛН
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2,1 МЛН
Mwanzo Mwisho Lissu Alivyoitikisa Ikungi Kwa Hotuba Nzito
53:05
The Chanzo
Рет қаралды 3,2 М.
BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza
17:40
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 32 М.