TUKIO LA KUTISHA LINAKUJA-UMEJIANDAA?-PR. MMBAGA

  Рет қаралды 137,942

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

WENGI HAWAJU WAJIANDAE VIPI. WEWE ANGALIA SOMO HILI KWA FAIDA YAKO

Пікірлер: 242
@mandagohuja6729
@mandagohuja6729 Жыл бұрын
MUNGU akubariki pastor, huwezi kujua tu, lakini ukweli ni kwamba umekuwa mbaraka kwangu Sana, I was not an Adventist but today am an Adventist sehemu kubwa ni kupitia mahubiri yako nikajikuta nautambua ukweli na kuacha njia nilizokuwa nazo
@beatricekatunzi3721
@beatricekatunzi3721 Жыл бұрын
Mimi sio msabato lakini jamani Pr Mbaga umeniponya na unaendelea kunilea kiroho, Asante sn
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@charleskibugachannel2210
@charleskibugachannel2210 Жыл бұрын
Amina
@lydiahsarange7430
@lydiahsarange7430 Жыл бұрын
Karibu sana nyumbani mwa bwana
@barakamaduhu9581
@barakamaduhu9581 Жыл бұрын
Amina sana🙏🙏
@jacklinennko8517
@jacklinennko8517 Жыл бұрын
Mimi sio msabato ila nimejifunza vitu vingi Sana katika mafundisho yako na nakupenda maana ni kama huna dhehebu na hutetei dhehebu wala din ila unaisema kweli ya Mungu .ubarikiwe sana
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
🙏
@simonlomayani5743
@simonlomayani5743 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ata Mimi sio msabato lakin anibarikigi sana sana huyu atetei siku wala dhehebu anamhubiri YESU KRISTO
@maryjosephat2885
@maryjosephat2885 11 ай бұрын
​@@MahubiriPrMmbaga msaada tafadhar wa mawasiliano na mchungaji nina shida
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 10 ай бұрын
tunasikiliza neno la Mungu sio dhehebu
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 4 ай бұрын
Hakuna msabato Kwa ufalme wa MUNGU ila kuna Wana wa MUNGU alie hai
@franciskaranja4015
@franciskaranja4015 Жыл бұрын
Mchungaji mungu akubaliki umekua ukinxaidia xana since Covid19 iaze umkua baraka kwangu xana,,,,,napenda mahumbiri TV kuliko vyote mtadaoni,,,
@josekibuthu622
@josekibuthu622 Жыл бұрын
Mimi ninechoka na Sunday worshipers nawa join very soon
@blessedme767
@blessedme767 Жыл бұрын
Karibu sana.
@elizaswai332
@elizaswai332 Ай бұрын
Karibu sana sana
@upendobaina2171
@upendobaina2171 3 ай бұрын
Hakuna mch anayenibariki na kuniweka karibu na MUNGU kama wewe.MUNGU akutie nguvu.amen.
@n.dvillagirl3272
@n.dvillagirl3272 Жыл бұрын
Paster Mungu wako anashangaza leo nime barikiwa kimiujiza wala sijaamini kama nikweli 🙏❤️❤️❤️
@hedijohn-nb9nq
@hedijohn-nb9nq Жыл бұрын
Mchungaji mmbaga mungu akutie nguvu zaidi na zaidi na akuzdishie miaka mingi
@bluelionboyhistory6591
@bluelionboyhistory6591 Жыл бұрын
Sasa Moyo wangu unafuraha na shauku kubwa maana naona kabisa Bwana yuko karibu kurejea; Wapenzi tufanye kazi upesi kelele inagonga tuwe tayari kumpokea Amina
@vincentchotta-pd1zw
@vincentchotta-pd1zw Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mchungaji, na tunabarikiwa kupitia wewe. Natumaini kuwa siku moja tutashiriki katika ufalme wa Mungu.
@annaabraham8647
@annaabraham8647 Жыл бұрын
Assnte kwq ujumbe mzuri. Tujiandae twende na yesu.
@josphat1780
@josphat1780 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki ni JOSPHAT KARITHI nko Kenya.
@lucywensilaus6264
@lucywensilaus6264 Жыл бұрын
Nimebalikiwa sana na mahubili mtumishi
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa, Kuna Maja ga yanakuja makubwa sana hapa Tanzania na Duniani Kwa ujumla. Kwa sbb nimeiona wachungaji kama watatu wa kilokole wakiyatabiri haya haya ambayo na wewe unayasema. Mungu akubariki pastor Mbaga pamoja na Familia Yako. Naomba Kila unapoomba nami unioombee. Asante.
@sperusmoraa488
@sperusmoraa488 Жыл бұрын
Great pastor be blessed with your family
@yunesondicho4498
@yunesondicho4498 Жыл бұрын
Hii Mahuburi ni kama ni ya kwangu. Barikiwa sana pastor Mungu akuvunulie sana
@Neemakilimba
@Neemakilimba Жыл бұрын
Ameen Mtumish nakuelewa mno Eee Mungu nimedhamiria kukutumikia ,Nipe Nguvu ya kusoma Neno lako,Nipe Nguvu yakuomba
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 4 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi Mungu ananifundisha kupitia ww
@neemabisendo5392
@neemabisendo5392 Жыл бұрын
Natak jambo moja tu maishani mwangu, Nikuone ufalme wa mbinguni ... Ee mwenyezimungu nisaidie🙏😔
@hellenfifi8952
@hellenfifi8952 Жыл бұрын
Mpendwa hata mimi natamani sana tukaze mwendo na Mungu atusaidie
@user-co8cs9tm2o
@user-co8cs9tm2o 6 ай бұрын
Barikiwa sana pastor wangu songa. Mbele Taji zakungoja Amen 🙏
@jaredmayaka2993
@jaredmayaka2993 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tu nicheke aki mimi nilipewa mfuta na kitambaaaa lakini nimetezeka maisha yangu yote hata family yangu ikapoteza vitu vyote but since i started following pastor David Mmbaga na pastor Mohamed Mgase i have see the hand of GOD. My prayer today is GOD to deliver people from that churches Amen God for being there for and you're my fighter
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Ameeeeee
@hildapaul5422
@hildapaul5422 Жыл бұрын
Vitambaa vimeteketeza maisha yako
@AgripinaTarimo-rd6tq
@AgripinaTarimo-rd6tq Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa hekima aliyoweka ndani yako. Ujumbe mzuri sana ,mungu tusaidie kuifikilia toba na kumpendeza.
@lorainnelarryson3626
@lorainnelarryson3626 Жыл бұрын
Asante kwa mahubiri mazuri, Mungu aendelee kutupa roho wake Mtakatifu atuongoze.
@stevemugingi-sv8rg
@stevemugingi-sv8rg Жыл бұрын
Mungu akutumikishe hadi mbinguni,upate taji isiyo haribika,kweli kwa nyakati izi neema ya yesu kristu itufunike sote na atuondoleye yeriko ambayo Ime asirisha maisha yetu kwa Jina la yesu.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@sophiasamiji932
@sophiasamiji932 Жыл бұрын
Nafurahia mahubiri Yako nabarikiwa Mungu akizidishie baraka na akupatie haja za moyo wako
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 Жыл бұрын
Mungu akabaliki kuigeuza mioyo ya wasabato wamjue Mungu wawaloke.
@mariahaloyce5190
@mariahaloyce5190 Жыл бұрын
Hufurahi sana ninaposikiliza mahubiri Toka kwako.Mungu akutumie kuokoa watoto wa Mungu.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@gideonivutha-bc1oz
@gideonivutha-bc1oz 7 ай бұрын
Niwachache wakuhubiri siku za mwisho ...mchungaji GOD BLESS YOU
@geophreykikoti192-sb5be
@geophreykikoti192-sb5be 3 ай бұрын
Pastor Ubarikiwe Umenikumbusha habari za yule Jamaa alikuja kutapeli akidai wewe na Baba yake mdogo
@gustavenintunze6466
@gustavenintunze6466 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa neno lako, E Mungu bariki wengi waelewe maneno haya matamu na ya ukweli
@hellenbarnaba9069
@hellenbarnaba9069 Жыл бұрын
Amina 🙏 Mungu atukuzwe Sana kwa maonyo makuu ya siku za mwisho. Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu.
@jaredmongeri645
@jaredmongeri645 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na kubadirishwa sana kupitia kwa huduma yako.Mungu wa neema akubariki sana. Naskia wito kufanya kazi ya mungu. Niombee niweze nipate nguvu na ujasiri ninaohitaji.
@laliaelulu1815
@laliaelulu1815 Жыл бұрын
Tunazidi kupata ujasiri wa kukimbia nguvu za miungu ya kigeni kupitia wew baba 😢 Asante sana Nakupata vizur Kutoka Canada,
@yusuphshimei
@yusuphshimei Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor mbaga unafanya roho yangu inenepe kila siku ufahamu wangu unazidi kuongezeka siku hadi siku
@neemapaul7873
@neemapaul7873 Жыл бұрын
Amen Mungu aendelee kukutumia kulihubir neno lake
@hildansombo1437
@hildansombo1437 Жыл бұрын
Ninabarikiwa saana kila ninapolisikiliza neno la Mungu aliloweka ndani yako na unalihubiri kupitia kinywa chako ni la uwazi na ukweli mtupu Mungu na atusaidie tulisikie, tulielewe na tutakasike tukaufikie mwisho mwema. Naamini toba ni mlango mwema Ameen
@saimonmossi4515
@saimonmossi4515 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia pastor, lakini sisi tunaousikiliza huu ujumbe roho wa BWANA atusaidie tuutumie kukua kiroho na kuwa wakristo kwelikweli.Barikiwa sana.
@amonsekajingo6996
@amonsekajingo6996 7 ай бұрын
This is a great message Pr MbagaI wish every individual christian would get and understand it well. God bless u. It is very timely! God help us all!
@SatoMisungi
@SatoMisungi Ай бұрын
Mungu akubariki Pastor utumike mpaka uzeeni
@josephkirimi5453
@josephkirimi5453 Жыл бұрын
Nashindwa mapasta wanao omba bila kuinua mikono iliyotakata wanalielewa neno la Mungu aje. Maana biblia inaeleza vizuri katika 1 Timothy 2:8.
@neserianpaul
@neserianpaul Жыл бұрын
Asante Kwa mafundisho ya moto sana umenifumbua mengi
@user-gv3mk3jd9y
@user-gv3mk3jd9y 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji napenda sana mafundisho yako
@salomevestinamichael1458
@salomevestinamichael1458 Жыл бұрын
Amina Pr tunatamani kwenda nyumbani,usemeni ukweli Yesu anakuja tena.Nabarikiwa sana
@damariskimaiga364
@damariskimaiga364 Жыл бұрын
May God bless you pastor. You don't know, you are My mentor powerful message Damaris kimaiga from Kenya.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@baricklutandula9776
@baricklutandula9776 Жыл бұрын
Asante sana Mungu kwa neno hili, ni kwa neema tu tunayapata haya maneno, eee Mungu mjalie pastor aendelee kutuelekeza, amen🙏
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Mungiu akubariki Sana mjungaji maa unatisaidia kujiandaaa vyema ,na kila nikiingia Kwa UTB Kwa somo la ko cha Kwanza mungu Anjali letea funzo mpya ndio chakula changu cha roho nashukuru saana umeokoa maisha yangu nimekua jaziliKwa upande wamungu bila hofu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@denonode6546
@denonode6546 Жыл бұрын
Ansate pastor tangu nilipokufahamu umejifusha mengi Sana umenisaidia katika kiroho Mungu akubariki na hii SoMo nzuri ya leo , nkuomba uzidi kuniombea .
@harerimanaleonce8153
@harerimanaleonce8153 Жыл бұрын
Mungu Apewe sifa kwa kutuma kwa sisi mhubili na mahubili kama haa ufunuo wa ajabu
@marynanok7720
@marynanok7720 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi wa Mungu nimebarikiwa na your preaches
@marysteven3543
@marysteven3543 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pasita 🙏,, kiukweli unanibariki sana
@Mutabazi22
@Mutabazi22 Жыл бұрын
Amen 🙏 I’m blessed 😇 by this God bless you
@emmanueltwahirwa2712
@emmanueltwahirwa2712 Жыл бұрын
Jambo pasta Mbaga, n’a hitaji uniweke katika maombi. Kila niki fwata mahubiri, n’a hisi kama Mungu ana niongelesha kitu fulani. Mungu azidi ku ku Linda n’a ku kubariki ku pindukiya🙏
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu akutendee
@evelinedayday4000
@evelinedayday4000 Жыл бұрын
Pastor mbaga mi naomba number yako maana niko na shida kubwa sana ya maombi sikuizi nashindwa kabisa kuomba kwaajiri ya familia yangu naomba nisaidie number yako au namna ya kukupata kama uko dar salamu nije kuonana na wewe please Pastor naomba🙏
@harerimanaleonce8153
@harerimanaleonce8153 Жыл бұрын
Mungu Aendeleye kukujaza hekima pastor niko Burundi (mkowa wa kati mwa inchi ya burundi) nakufuata sana
@amonmnzava6522
@amonmnzava6522 Жыл бұрын
Amina Mungu akubariki sana umenibariki sana naona ushindi
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Pastor @mbaga Mungu azidi kukubariki hakika umebariki watu wengi
@leilahjaye6413
@leilahjaye6413 Жыл бұрын
Amen, Thank you pastor,
@louiskas-su3iu
@louiskas-su3iu Жыл бұрын
Asante mungu kwa neno lako,pasta mungu akuzidishie kwa kazi unalotenda
@godlovemapunda774
@godlovemapunda774 Жыл бұрын
Hata me nisha pewa mafuta na maji Mungu anisaidie izo roho zishindwe ktk jna la Yesu Amen
@julietnelima3253
@julietnelima3253 Жыл бұрын
Amen pastor 🙏🙏 mahubiri yako hunipa moyo wa kuyaskiza kila wakati..yana mafunzo mazuri sana sana ubarikiwe
@ushindimatayo123
@ushindimatayo123 Жыл бұрын
Ahsante mtumishi wa BWANA kwa ujumbe bora wa MUNGU nahiwehivyo.🙏🙏🙏
@byusaajumapili6750
@byusaajumapili6750 Жыл бұрын
Ubarikiwe mchugaaji kwa neno hili umenitiya nguvu Mungu hakubariki zahidi Na zahidi
@fatema6865
@fatema6865 6 ай бұрын
Barikiwa zaid pastor nakuelewa sana
@user-ei6sq6li5u
@user-ei6sq6li5u 7 ай бұрын
Barikiwa pasta,masomo yako yananibariki sana
@pendomollel-oy7gm
@pendomollel-oy7gm Жыл бұрын
Mungu aendelee kukufunika pr uzidi kutufunulia na kutuimarisha
@beatricenyiro5913
@beatricenyiro5913 Жыл бұрын
Amen be blessed man of God
@margaretwanjiru9096
@margaretwanjiru9096 Жыл бұрын
Umenifundisha mengi sana Pastor .....May God bless you
@eliyachacha2
@eliyachacha2 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atubariki sote
@upendotv2776
@upendotv2776 Жыл бұрын
Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na azidi kukutumia kwa mapenzi yake
@nafikaahadi3380
@nafikaahadi3380 Жыл бұрын
Ameeeeeeen n Ameeeeen Pastor,Roho Mtakatifu azidi kukulinda na kukutia nguvu
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 9 ай бұрын
Amina pr nabarikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 9 ай бұрын
Amen
@hawamusumba431
@hawamusumba431 Жыл бұрын
Amen amen 🙏 be blessed pst mahubiri tv my bst tv
@peterdavid20149
@peterdavid20149 Жыл бұрын
Tangu tangazo la Mungu la kuangamiza miungu ya misri, ukiangalia historia misri haikusimama imara tena na ndio kilichosababisha watu waanze kuondoka kuelekea kusini na magharibi mwa bara la Africa. Wabantu walielekea magharibi na wakushi na wanilotic wakaelekea pembe na kusini, umoja wao ulikufa, nchi mama ya kemet misri ya sasa ikaporwa na wageni toka kaskazini hadi leo wakakuta magofu,maiti zilizokaushwa na mapiramidi mirefu. Miungu zaidi ya 24 ya kemet misri ilibaki ukiwa hata sasa. Pastor Mungu akubariki sana
@harrisonodiwa7248
@harrisonodiwa7248 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na baadhi ya mahubiri yameguza maisha yangu hasa unyonge wa maombi.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 Жыл бұрын
Shukran sana mtumishi wa Allah kwa ujumbe mzuri kwangu mimi ni furaha kubwa la ujio huo
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@ombenimgonja4318
@ombenimgonja4318 Жыл бұрын
Mungu asifiwe nabarikiwa sana nakilahubiri lako
@danielmwita1989
@danielmwita1989 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pr
@ValentinKanyumba-hd8pd
@ValentinKanyumba-hd8pd Жыл бұрын
Asante postor Mimi nimeberikiwa Sana Mungu akanibariki Sana
@williammusambai3702
@williammusambai3702 Жыл бұрын
Mchungaji unanena ukweli mjungu,Yesu wa Tongereni ni county jirani ya Bungoma na kakamega.Mungu akusitishie heri zake.
@funakoshtadash6163
@funakoshtadash6163 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu aliye hai
@sanfanrioba258
@sanfanrioba258 Жыл бұрын
Be blessed pastor,
@eustina0
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu atuhurumie kwa hili tujue wajibu wetu🙏🙏🙏🙏
@zanashtv5479
@zanashtv5479 Жыл бұрын
Mungu ni mwema...Amiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@perisbosibori8524
@perisbosibori8524 Жыл бұрын
Thank you LORD because we're more than conquerors even though in a world which is surely in great turmoil. GOD bless you so much and give you long life Pastor Mmbaga for the work well done.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@ntambaraenock1823
@ntambaraenock1823 Жыл бұрын
Pastor Mmbaga mungu akutukuze Na akupe nguvu Kbs, Niko Rwanda kigali
@luciahebel8493
@luciahebel8493 Жыл бұрын
Amina
@elishanyamsha8085
@elishanyamsha8085 Жыл бұрын
Amina, pr very powerful massage
@alicesidi9601
@alicesidi9601 Жыл бұрын
Amen Amen be blessed
@ChristiankabingwaGarda-ie9bw
@ChristiankabingwaGarda-ie9bw Жыл бұрын
Mungu akubariki daima muchungaji unibariki sana
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kukutumia kutuambia mengi ,nakua kiroho Kila siku
@justerkamala3933
@justerkamala3933 Жыл бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe sanaa
@florencekawira2212
@florencekawira2212 Жыл бұрын
Nitangojea ujio wa Yesu kukiwa na inshara na zikiwa hazipo. Wathibitishe wasithibitishe nitanwamini huyo mkombozi wangu
@videyandrew1909
@videyandrew1909 Жыл бұрын
Amina.. Mwenyez Mungu akulinde pastor
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Ishara zimeshatoka kibao na bado Zima endelea kuonyeshwa nchi na nchi
@UserUser-gq1ir
@UserUser-gq1ir Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana kutambua nyakati tulizo nazo
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Mtakatifu za mwisho zimeshapit ni mda wa mnyakuo umefika, na watu wako so busy na dunia
@siporajemes773
@siporajemes773 Жыл бұрын
Kwahilo la kukanguliwa naona yuko sawa tu Yesu mwana wa Mungu alikua akiona anataka kumponda mawe alikimbia
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sanaa hii dunia ina shida kubwa ni mungu tu
@apostlezizi
@apostlezizi Жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor,barikiwa mno
@marykainyu4191
@marykainyu4191 Жыл бұрын
Asate sana mchuganji nakufuatolia nikiwa saudi kutoka Kenya ukiomba nitaje jina niweze kilusimama kama Estar
@judithmakoye6592
@judithmakoye6592 Жыл бұрын
Barikiwa Pastor Mmbaga
@paschalymlangale8964
@paschalymlangale8964 Жыл бұрын
Mungu aturehemu. Amina
@zlpporahgechemba3111
@zlpporahgechemba3111 Жыл бұрын
Amen be blessed pastor
@sumunianna-en8yw
@sumunianna-en8yw Жыл бұрын
Pastor nakuomba uhubiri kuhusu ushoga mambo yamekua magumu sana 😭😭😭😭MUNGU bariki vizazi vyetu tuongoze jmn
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Somo hilo hapo kzbin.info/www/bejne/l3mQfn96l9ilmpI
@monniekevin9303
@monniekevin9303 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi hayo mahubiri yanahitajika wakati Kama huu.
@kabembokijigo6454
@kabembokijigo6454 Жыл бұрын
Amina na barikiwa mchungaji
@AdolpheBIRAGI
@AdolpheBIRAGI Жыл бұрын
God bless you Pastor
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Ni ukweli mtupu pastor Yani unaomba mbambo ndo kwanza yanazidi kuharibika I will kick off the devil let me stand on the line in the Name of Jesus
@alicemwaka3762
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Emeeeeen Asante sana mchungaji Mungu wa Mbingini
@alicemwaka3762
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Akubariki sana
@wiza2309
@wiza2309 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishibwa Mungu
@christophaelia7174
@christophaelia7174 Жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana
@emmanuelrubete9008
@emmanuelrubete9008 Жыл бұрын
Asante pr mbaga
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 39 МЛН
JIFANYIE TATHMIN- KWANINI HUFANIKIWI? PR. DAVID MMBAGA
1:03:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 32 М.
VIZUIZI VIKUBWA VYA BARAKA MAISHANI MWAKO
47:46
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 195 М.
TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO
50:27
NEEMA MUHIMU YA NYAKATI ZA MWISHO. PR. David Mmbaga
52:17
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 29 М.
MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -
1:23:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 52 М.
#LIVE: IBADA TAR 28/3/2021 - VITA YA KIROHO: PR. DAVID MMBAGA
1:09:49
HUDUMA YA MALAIKA || PASTOR GEORGE MUKABWA || 21/04/2024
3:08:38
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 25 М.
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН