Ndugai alisema kweli nchi inauzwa sasa inekuwa kweli
@adelinelyaruu30366 ай бұрын
Hivi kweli ni Ndungai aliona haya.🙄 Wengine wote WAMELISHWA nini??
@raybirry38166 ай бұрын
BANDARI ZA ZANZIBAR ZIMEKWEPESHWA KWA KUSUDI KABISA KUUZWA KWA DP WORLD.
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Mm uchaguzi wa mwaka wa 2024 2025 utakuwa kazi sanaaaa Mwenyezi Mungu tunaomba amani tu Tanzania
@ChristerShao6 ай бұрын
Dr.mlipaza sauti sana kwa ajili ya taifa letu,mlidharilishwa kwa ajili ya nchi.Dr mpaka mkaitwa wahaini..Mungu tu
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Crister Shayo waliwadharau Tec Mungu anatoa jibu na pia hao wafanyakazi wa Bandari walishindwa kuandamana kuogopa virungu
@clemencelisonga82616 ай бұрын
Kama mambo yako hivyo rais wetu huyu hatufai kwanini anatudanganya
@JaneJennifer-zk7bk6 ай бұрын
Baada ya kusema hayo, naomba uwashauri cha kufanya mheshimiwa, lakini pia wapo wanasheria wenye uwezo sana, naomba wasaidiwe kisheria maana watakuwa watumwa kwenye nchi yao muda si mrefu
@irenebarakelimnene48956 ай бұрын
DR SILAA TATIZO WATZ TUNA MASIHARA NA MAMBO MUHIMU
@EmmaculateGembe6 ай бұрын
Kabisa
@MathiasLubuva-jv8fb6 ай бұрын
WAFANYAKAZI WA BANDARI WAJITAHIDI KUWAWAWAZI
@mosesmacha10806 ай бұрын
Mmmmmm Mzee hakika umetema madini😢😢😢
@CharlesMarupa6 ай бұрын
Tumekuelewa baba, tufundishe zaidi Nini chakufanya,hasa sisi watanganyika? Hali hii tutaikomesha kwa maandamano yasiyo na mwisho hii nchi ni yetu watanzania wote, siyo ya serekali.
@georgekimasaofficial16296 ай бұрын
Na nimesikia pia Jengo la makao makuu ya police linaondolewa kupisha Ujenzi wa gati 😂😂😂😂
@DismassYuda-lh7du6 ай бұрын
P
@margarethpolepole74386 ай бұрын
George hiyo ni trela mchezo wenyewe badooooo kutabomolewa kila kitu warabu wafanye yao tuliwakataa waarabu utumwa sasa wanarudi jamani waende zanzibar tujechoka utumwa na muungano uvunjike au kuwe na Serikali tatu kila mtu awe na kwai wa bara warudi huku na wa vusuwani warudi kwao
@noelnjementi85116 ай бұрын
Wariwazalau maaskofu sasa wajipange Kuja uku mtaani kuuza dagaaaa
@davidmalogo71006 ай бұрын
Wewe mungu ,mungu wewe tufanyeje Hawa viongozi walio uza bandari waondoke waingie watu kama huyu slaa mana wapo wengi wenye uchungu na nchiyao Yani nchi imeangukia kwa mafisadi wanaongozwa na utawala wagiza ewemungu tenda miujiza iliwajue kuwa upomungu mpenda haki
@DevothaLighton-dl6zi6 ай бұрын
Wewe acha kumuambia mungu kila kitu nenda kwenye maandamano tukomboe nchi yetu. Mungu kakupa akili ujue na utende
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Ameni
@ChristerShao6 ай бұрын
Wabunge ni wapuuzi na wadanganyifu,mbona Halina Mdee alusimama kidete kupingwa yeye aliusoma wapi?
@SaviorAfrica6 ай бұрын
KINACHOFANYIKA NI KAMA ILIVYOFAMYIKA ATC
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Nchi imeuzwa kwa warabu tayari
@Felix-e6t4m6 ай бұрын
Bunge dhalimu alitetei mwananchi wanatetea serekali dhalimu wote ni walanguzi wa mali zetu
@DevothaLighton-dl6zi6 ай бұрын
Wewe usiseme wabunge hawakutetea hoja ya bandari lakini hata wafanyakazi wenyewe wa bandari hawakujitetea wala hawakuunga mkono wanasheria. Sasa moto umefika kwao wajifunze na liwe funzo kwa watu wengine wanaojiona wako salama. Asante dr slaa
@PhilibetLadislaus6 ай бұрын
Mama wa Tz wauza nchi wao wafurahia uwekezaji mnatudanganya. Haki nusu kwa nusu
@ruwaichijoseph59466 ай бұрын
Wakati wanashauri juu ya mikataba mibovu , hamkujua amkeni ukishauza urithi huna chako mumeuzwa na ccm bila kujua walipotosha sana mtaani
@Irenediana-g5b6 ай бұрын
Mama tunakuomba mama yetu nasie tuliofukuzwa na mh magum hapo bandarini tunaombautusaidie kupata hela zetu za nauli na mizigo hatuna mtetezi mamangu mh Rais Samia suluu Hassan tusaidie Sisi tuliokuwa makuli wa bandari
@ashahania52076 ай бұрын
Ayaaa!
@thomasmallya6706 ай бұрын
Slaa wewe ni muongo sana. Unajua kupanga maneno ili watu wasio na utaalam wakuamini. Agreement siyo mkataba angalia dictionary. Agreement ni makubaliano. Mkataba ni contract. Acha kupotosha.
@EmmaculateGembe6 ай бұрын
Uongo Dr Slaaa uko wapi?kusema bandari imeuzwa misitu na madini ni uongo?mikataba ni ya siri ni uongo? Watanzania hebu tubadilike
@januarysila15696 ай бұрын
Wataperekwa muvomero kama hawana pa kwenda
@adelinelyaruu30366 ай бұрын
Chama cha wafanyakazi Bandarini wanasemaje?? Au kuna mambo wanayajua ambayo wananchi hawajui?
@charleslukumai78756 ай бұрын
Bila shaka wanalo wanalojuwa. Kimya chao kinatia shaka.
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Adeline rushwa imetembea sanaaaa hapo kwenye chama cha wafanyakazi hamna jinsi huyo ndiyo mama aliyebeba wezi wa awamu ya nne tutamkumbuka sana hayati magufuli mungu amlaze mahali pema peponi amina
@anosiata82426 ай бұрын
Ni hatari
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Tutarudi kule kule kufuata vitabu vya dini vinasema toka lini mwanamke akawa nabii shekhe au Rais mqma washauri wake wamemuingiza choo cha kiume mama anarimotiwa sana maana siyo mfuatiliaji Tunaomba amani tu
@RashidiDaudy-ez6zt6 ай бұрын
wakome majehu hao
@jeanbaraka10086 ай бұрын
Mzee Slaa kwanini wajitesa rudi chama tupige kazi kwa pamoja, hiyo sauti ya watanzania ni fakes Group hiyo haito kufaidi kwa lolote...
@zabronmwaipungu22126 ай бұрын
Na bado hakuna watu wajinga kama sisi watanzania utadhani ni maiti zinazo tembea. Na viongozi wamesha tuzoea. Wanajuwa hawa siku mbili wamesha poa, na hapo hapo kuna watanzania wenzetu wanao shiba wanakamata watanzania wenzao eti wachochezi wanaacha walio jamba na wengine wametema mate kuhisi harufui mbaya unakamatwa ulie tema mate jamano
@SaidAlly-uh4qw6 ай бұрын
Nimesoma comment zote wanaopinga wote ni makafiri mfumo kristo umewalemaza walijua ni nchi ya makafiri peke yao.. Na mwaka ni samia 5 tena
@samwelmashamba89226 ай бұрын
Acha udini ww
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Kunguni au chawa unawaza udini tu kichwani!
@YohanaMagembe-i6z6 ай бұрын
Mtafuteni mlisho tumuulize maana ndio alikuwa msheleheshaji
@margarethpolepole74386 ай бұрын
user acha kutania watu hayo maoni yako ya kipelelezi hayawatishi watu huyo mrisho mchumia tumbo ni kama chawa tu wengine watafuta ridhiki usiwachafue kabisa watanzania wana uchungu sanaaaa nchi inatokomea wewe unasema utumbo wako
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Watanganyika/Watanzania tuamke tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi ujao kuanzia wenyeviti wa vitongoji, madiwani, wabunge mpaka Rais piga chini ccm! Amkeni vijana tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
@LucianSanga-q8j6 ай бұрын
Wa fanya kazi hawata poteza kitu chochote selikali yetu ni sikivu Ita wapangia kwingine
@aminimushi69456 ай бұрын
Kwingine wapi?
@bsmonline84826 ай бұрын
😂😂😂 cheki huyu hahahaha
@JoachimMussa6 ай бұрын
Wewe mjinga tu unaposema watatafutiwa kazi nzingine tuambie kazi Gani tuambie zaidi ya bandali
@GodfreyOsward6 ай бұрын
Mmm kazi ambazo hûwa tunambiana wa tz, kuuza mboga, kukaanga chips, boda boda, kupaka rangi, ubunifu wa kazi nzuri uliondoka na mwalimu. Hizi zilizobaki ulimbukeni shida sasa ngoja watugawie. Maisha ni jinsi inataka yawe
@margarethpolepole74386 ай бұрын
user unahangaika sana mara unatoa maoni haya mara unabadilika pole sanaaaa jitahidi sana kuchunguza maoni ya watanzania na utayapata haswaaa poleeee uko kazini
@JaziraMustafa-g9p6 ай бұрын
BILA SHAKA MIMI NAONA HUYU NI MKOSA RADHI ZA WAZAZI WAKE SI KAWAIDA TABIA ZA HUYU JAMAA KIVURUGE.KILA ANAPOKUWEPO NI LADHIMA AHARIBU.ALIHARIBU KANISANI WAKAMFUKUZA,AKAHARIBU CCM,AKAHARIBU CHADEMA NAKUMSALITI LOWASA,TUNDU LISSU,MBOWE,AKAHARIBU HATA KWS MKE WAKE.HUYU NI MKOSA RADHI KIVURUGE.
@kichenjekichenje20726 ай бұрын
Nenda kaliwe mkundu mbwa wewe.mwenye lana ni Mama yko msenge ww
@MasanjaNyanda-p1w6 ай бұрын
Aliyeharibu ni Samia na wapambe wake na hii ni tamaa za Samia na kuzarau watanzania kwa vile anajua hakuchanguliwa nao hana machungu nao aliyekuwa na machungu hayupo. RIP JPM
@margarethpolepole74386 ай бұрын
user pole sana nahisi hukukwenda shule na hujui lolote kakojoe ulale
@margarethpolepole74386 ай бұрын
@@kichenjekichenje2072Hongera sana umempa live mjinga huyo anamtukana Dr mzima anaekuelemisha hana shule huyo
@margarethpolepole74386 ай бұрын
@@MasanjaNyanda-p1wmungu atatoa jibu tu hakuna lisilowezekana chini ya jua
@ephremmalley1536 ай бұрын
Dr. Sala tunakushuru sana kwa kuyafunua hayo. Tunaomba sana walioko katika Tunashukuru sana Dr. Slaa kwa kuyafunua hayo. Tunaomba wabunge wetu na serikali yetu tuyafanyie kazi hayo yote. Hatutaki kuamini kwamba nchi yetu inauzwa mikoni mwenu!