Mtumish naomba mungu akuinue saana mm umenijenga saana Kwa nyimbo zako n mahubir YAKO Hawa nidanganyi tena
@JosephTherathini7 күн бұрын
Mungu azidi kukutumia. Ila ujue kuna dawa nyingi zimevumbuliwa na waganga wa kienyeji . Na pia kuna vituo vingi vya hadawa za kienyeji yana mahusiano makubwa na roho ya gza. Ok ni bora sana mtu akachuma miti yeye mwenyewe kuliko mtu kwenda kwenye hivi vituo. Au mtu apate maarifa zaidi kuhusu mimea.
@user-ii1qk9xn9z14 күн бұрын
Amen Amen 🙏 leo tunaangalia namna shetani anavyomuiga Mungu kwa usahihi na kuwasilisha tofauti alichokiiga. Mungu ndiye Muumbaji na mmiliki wa vitu vyote. Shetani naye anadanganya kuwa ndiye mmiliki wa vitu vyote. Kimsingi anayetoa mibaraka ya utajiri ni Mungu kwa sababu Yeye ndiye mmiliki wa vyote. Dawa za kienyeji sio mbaya.... Ubarikiwe sana Mtumishi umenibariki sana kwa neno hili. Umenifundisha jambo jipya 🙏🙏 asante sana ulindwe siku zote
@paschalcassianoriginal941114 күн бұрын
Aaame ammen utukufu kwake
@mwambakibucheche111913 күн бұрын
Umenena vyema mwinjiristi Mungu awe pamoja nawe
@mwambakibucheche111913 күн бұрын
Amina
@ibramakula23037 күн бұрын
Ata mm naamin hvo mtumish wa mungu ila hii nimipango ya wazungu bado ss niwatumwa wa wazungu kidigitali walibadili tu mfumo wakutumikisha wanatutumikisha kiakir kidikitali
@AyubuJuma-df4pn14 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu. Nakupata vizuri sana. MUNGU AKUBARIKI SANA
@JoyceMmari-rc9yv14 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana
@jamesboka-kk9rv14 күн бұрын
Mutumish wabwana somo nzuri ubalikie
@jakobobuyonga342714 күн бұрын
Mungu azidi kukutumia zaid na zaid
@user-dz8qh6yb2x14 күн бұрын
Mtumishi Asante sana🙏🙏
@Mamantontine8 күн бұрын
Ushirikina nini? Tuambie hatujui
@user-lu2or6mm4g14 күн бұрын
Amen
@Visionofeagle968914 күн бұрын
Ukweli mtupu
@Visionofeagle968914 күн бұрын
Panadol , na wezake wametumaliza.
@Mamantontine7 күн бұрын
Kama mtu nimgonjwa analala.kwenye ndoto unaona mtu anakuambia kamata majanifulani ujitunze naunakamata unakunywa nakweliunapona ilenayo niushirikina?nionyeshe baba
@user-jl5un4wf3u14 күн бұрын
Hata wamisionari walioleta enjili Afrika walichangia sana kuipotosha sana Bibiria maana waliwazuia waumini wao kutoamini dawa zamimea nawatalaamu wamimeahiyo eti wachawi nawapagani hadimajinayetu nayo wakawadanganya hivyohivyo baadhi yawaumini wa madhehebu hayo hatahawaisomi Bibiriahadi leo nawanaongoza kutojua bibiria hadi leo.