USHUHUDA WA ALIYEKUWA SHEHE - OMARY MNYESHANI 4/4 - bonyeza SUBSCRIBE

  Рет қаралды 122,054

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

7 жыл бұрын

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of one of the Largest Churches in East Africa. He is also the ArchBishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God has been using him to raise the dead, heal the sick and performing signs and wonders in the name of Jesus.

Пікірлер: 147
@marthajohn5526
@marthajohn5526 5 жыл бұрын
Ushuhuda nimeuelewa sana jina la YESU lihimidiwe wakristo tuna CHENYE NGUVU
@simonjnrmabula2947
@simonjnrmabula2947 5 жыл бұрын
There is power in the NAME OF JESUS TO BREAK EVERY DARKNESS POWER. Ahsante Yesu kwa Damu yako inayotutakasa. 🙏
@edsonmruma4833
@edsonmruma4833 6 жыл бұрын
Shehe endeleza kuutaja ukuu wa jina la Yesu haowanaotetea dini achana nao kwani watakutananao usiku ya hukumu atawahuku tu .Kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa...
@ev.dorcasrehoboth8690
@ev.dorcasrehoboth8690 6 ай бұрын
Mbeleni sikuelewa misure ni nini pia mtu ni roho. Imechukuwa mda kuelewa but now praise the living God. Mungu anaedelea kufungua kuelewa nwangu praise God Bishop.
@yesunijibumwiteataitika12
@yesunijibumwiteataitika12 6 жыл бұрын
Asante mtumishi omary kwa ushuhuda wako na Mungu aendelee kukutumia ili na wengne waokolewe kama ww.Thank you Jesus
@barick
@barick 7 жыл бұрын
Sina swali jinii mahaba nilikua hata nnifanye maapeenzi ni mpenzi wng mda Huo huo nikilala nafanya ngono nae. M nilikua nafkirii ni ndoto tu nikilala bila chupi siku hiyo nawahi kufanya ngono.gwajima ubarikiwe sana mambo mengi nilikua nayo nilijua ni maisha ya kawaida kumbe pepoo umenibariki sana kupitia ww nimejuaa mengi asante kwa jina la yesu kristo waa nazareth
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
Pasipo pastor Gwajima mimi singeelewa ushuhuda huu. Yaani maelezo mengi za kusumbuwa akili. Asante baba Pastor Gwajima kwa kuuliza maswali za busara.
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 6 жыл бұрын
Asanteee yesu anazidi kuwaumbua waislam maana kitabu cheni ni cha majini ndo mana mkimsomea mtu anakufa poleni mmeumbuka na waislam woteee motoni njooeni kwa yesu mkombolewe
@saidmohammed78
@saidmohammed78 5 жыл бұрын
Mimi Mimi kama mtu huyu angekua mkristo na akayafanya haya ndani ya ukristo angetamvulikaje,bila was ni mshilikina,sasa mimi nimesoma mda mrefu qurani haya anayoyasema hayapo bali hayo ni mambo ya kishirikina ikiwa utaamini kua ndio uislam wenyewe basi umepotea na kama ungekua muislam alafu unsikiliza jamaa huyu hata kama usingekua na elimu ungemtambua kua jamaa ni muongo na anayoyasema si kweli
@gladykyaruz2737
@gladykyaruz2737 3 жыл бұрын
@@saidmohammed78 je unajua kuwa sehemu ya mwisho kabisa ya Quran inahusu elimu dunia ?na ni elimu wanaosoma waislamu wa kiwango change juu masheikh, imam,ustadh, zinaelezea siri za ndani kabisa zinazohusu uislam ambapo muislamu WA kawaida huruhusiwi kujua.... Je wajua Quran inasema maovu Haya? Wasio na hatia kuuliwa eti kwasababu hawajakubali uislamu (Quran 8:12), -mungu wa waislamu ndio mwongo mkubwa (greatest deceiver) Kama inavyoelezwa ktk (Quran 7:99,27:50,71:42)etc -uchawi na ushirikina Kama dua "albadir"ambayo huita majini ili kumdhuru mtu
@carolyneoirere4748
@carolyneoirere4748 3 жыл бұрын
@@gladykyaruz2737 hapa huwezi sikia mtu akikujibu, na bado wataumbuka siri zinaendelea kutolewa Hawana lingine sasa
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Pole sana​@@saidmohammed78
@ndayanselugendo5367
@ndayanselugendo5367 6 жыл бұрын
Hapa Yesu lazima ukubali tu kwamba anaweza,, na ukikataa,, ukaombewe maana utakuwa na mapepo, haitakuwa bure
@winstonebasimaki1666
@winstonebasimaki1666 2 жыл бұрын
Tunaomba mhe, askofu Gwajima uje bukoba utuletee mkutano wa injili,tunahitaji mafundisho yako.
@eunicenjukia8829
@eunicenjukia8829 7 жыл бұрын
my God devil is a liar..Jesus loves u and He will use u to expose the devil
@kongatulia6231
@kongatulia6231 5 жыл бұрын
shahidi wa mambo yako ni wewe mwenyewe kwa hiyo tafakari jihoji kwan kila MTU atabeba mzigo wake mwenyewe
@edsonmruma4833
@edsonmruma4833 6 жыл бұрын
Tunamshukuru sana lkn tunaomba ushuhuda uendelee jinsi Yesu alivyokutokea na kukuokoa Tafadhali.Ubarikiwe sana Mtumishi.
@gjbiakika
@gjbiakika 5 жыл бұрын
Surely Jesus is lord and saviour
@joshuanyamaiswe4327
@joshuanyamaiswe4327 6 жыл бұрын
sema mara nyingi ukweli huwa unauma ndio maana mapovu mengi
@princessedeleternel2836
@princessedeleternel2836 7 жыл бұрын
kama siyo YESU kutulinda na Israeli aseme sasa
@helenamasinjisa8470
@helenamasinjisa8470 6 жыл бұрын
ukweli unajieleza ipo siku Mungu atatoa hukumu usije juta siku ya mwisho, shetan ni mbishi angali anajua moto unamsubili, okokeni mkimbie moto Wa jehanam
@edithmakonde5384
@edithmakonde5384 6 жыл бұрын
Waganga wapigwee... Na jini mahaba ashindwe kwa jina la yeu...
@meddyakimana4104
@meddyakimana4104 7 жыл бұрын
Tafadhali Mr.Omar tunaomba uwendelee na ushuhuda! tungependa tujuwe hadi umeupata vipi wokovu?!
@sallykanze
@sallykanze 7 жыл бұрын
Hata mm nilikua nasubiri aseme aliokoka vipi na alimpokea yesu kristo na Kua mokozi wa maisha yake
@noelashaoona
@noelashaoona 4 жыл бұрын
Nenda kwa jackta KZbin Chanel utamuona jisi amesha kuwa yani mungu mzuri
@noelashaoona
@noelashaoona 4 жыл бұрын
Kacktan msafiri
@frankanold9803
@frankanold9803 4 жыл бұрын
@@noelashaoona shukran
@sibiromallya5894
@sibiromallya5894 5 жыл бұрын
Ameeeeeeennnn yesu kristo
@winstonebasimaki1666
@winstonebasimaki1666 2 жыл бұрын
Shehe omari, tunaomba uje bukoba utupatie ushuhuda huo, na utufundishe. Tuna hamu sana. Pia naomba nipate cd zako.
@emanuel1269
@emanuel1269 2 жыл бұрын
Waislamu wengi maamuma wamekalia ubishi Kwa tiba asili wanaongozaaa wanashilikiana sana na majini
@bentake7047
@bentake7047 7 жыл бұрын
yesu akutiye nguvu kwa kubomowa siri za shetani .
@sallykanze
@sallykanze 7 жыл бұрын
Amen
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs "Ahsant sana my sister tupo pamoja katika safari yetu ya kwenda kwa baba mbunguni
@sallykanze
@sallykanze 7 жыл бұрын
+Binti hayati manyota aaah tuko pamoja kidogo,
@jonhvascojavelin9164
@jonhvascojavelin9164 6 жыл бұрын
safiii jina la bwana libalikiwe
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 4 жыл бұрын
Shetani yuko kazini jamani ombeni sana! Yesu yupo mwokozi wa ulimwengu!
@winneanyango1761
@winneanyango1761 7 жыл бұрын
napenda ushuunda
@adilimasoi996
@adilimasoi996 7 жыл бұрын
duh kazi ipo kweli kweli
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Mazito haya duuuh"Eee mungu mbona upo mbali hivyo????ludi uikomboe dunia kwa mara ya pili"khaa
@B4meizu13
@B4meizu13 7 жыл бұрын
Binti hayati manyota Apana mpendwa si lazma Mungu arudi tena, hapo msalabani Bwana wetu Yesu alisema yote yamekwisha. ukiwa ndani ya Yesu hauta kuwa na ofu , Kuna nguvu katika iyo jina Yesu
@kingdavidmoto6149
@kingdavidmoto6149 4 жыл бұрын
Kila gati litapigwa Kila ulimi utakiri YESU ni MUNGU
@winneanyango1761
@winneanyango1761 7 жыл бұрын
ubarikiwe
@furahayabwana6127
@furahayabwana6127 7 жыл бұрын
Heee!!!Ajabu sana
@zenassylvester125
@zenassylvester125 6 жыл бұрын
Tatizo la waislamu wengi hawataki kukubariana na ukweli Wengi wanamuona uyu muongo ila hawa wanaomuona mwenzao muongo ukiangalia hawana hata iyo elimu ya dini yao ya kiislamu Sasa sijui wanapata wapi ujasiri wa kukosoa wenzao wanaodiriki kusema Ukweli..... Wakiambiwa Yesu kristo ndie njia hawataki kuelewa sa sijui wataka nini? Yani mmekua wapinga Kristo mwanzo mwisho
@rashidalihamad7228
@rashidalihamad7228 3 жыл бұрын
hapana, sisi tunaposoma mara nyingi tuko huru kuuliza mswali ila nyinyi mnasomewa stori tu, kiukweli kwa elimu wakiristo muko nyuma sana na mimefungwa akili maana mumebrain washed. hapo hamna kitu uchawi hauna dini uchawi kila mtu anao je kwa wale wakiristo ambao ni wachawi je? huyo haujui uislam juwa maana ya uislma kwanza akisha usome uisilam, usihukumu kwa kumuangalia muisilamu hapo unakosea, dini si mtu dini ni imani
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 жыл бұрын
Mungu akuinue mtumish
@emanuel1269
@emanuel1269 2 жыл бұрын
Ushuhuda niwakweli iliye sikia kama bado ajaokoka aokokeeeeee
@selinaajabu9490
@selinaajabu9490 4 жыл бұрын
Thanks again
@dorothwedson5959
@dorothwedson5959 2 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana
@asiagumbo8495
@asiagumbo8495 7 жыл бұрын
sasa sema ulikuwa mchawi
@mrsongwest8749
@mrsongwest8749 7 жыл бұрын
good word
@ayububoy8770
@ayububoy8770 6 жыл бұрын
Amina ubarikiwa tupenaushuhuda jinsi ulivyompokea Yesu
@adamgobeka5664
@adamgobeka5664 6 жыл бұрын
ameeeen
@vesitinalevocatus4886
@vesitinalevocatus4886 5 жыл бұрын
jamani tunaomba uendele nijue ilikuwaje hadi ukausaliti ukaja kwayesu
@jennjaja1586
@jennjaja1586 5 жыл бұрын
Aaaaaaaoooooo🙆 maneno.
@user-it7hj9hp9d
@user-it7hj9hp9d 6 ай бұрын
J'aime ce témoignage, comment avoir son vidéo.
@magdalinekenneth7238
@magdalinekenneth7238 7 жыл бұрын
naomba nipate jinsi yakumtoa hyu jini mahaba maombi yake ama nifanyeje
@japhetleonard9224
@japhetleonard9224 6 жыл бұрын
MZEE lusaz hats kikiwepo utakubali wewe ni mshabiki Wa dini uwezi kubari timu yako shindwa kwani umewekeza umo by
@theresiamaganga5075
@theresiamaganga5075 2 жыл бұрын
Tupige kazi watu wa MUNGU tusiitishwe na vitisho
@bertinmvungi530
@bertinmvungi530 5 жыл бұрын
mbona watu wengine wanakataa huu ushuhuda sasa subirini saa ya kujiliwa kwenu mtapona kabisa.
@barikipangisa281
@barikipangisa281 6 жыл бұрын
huyu jamaa hatari kabla kuokoka aliudharilisha kristo huko TANGA alishindwa kwa Dada mliokole kumchukulia mtoto awe msukure Yule Dada silkies kuokoka vizuri alipo iona Maiti ya mwanae alikataa kuamini, akamwita mtoto wake kwa jina LA Yesu watu wakiwa wanalia mtotoakapigachafya akafufuka .jina la Yesu likawa Juu Sana,
@mohamedmsangi6939
@mohamedmsangi6939 5 жыл бұрын
Bariki Pangisa lete ushahid co story kama huyo mbwa
@simonjnrmabula2947
@simonjnrmabula2947 5 жыл бұрын
Ilikuwaje ndugu ?
@adoaprivatus98
@adoaprivatus98 5 жыл бұрын
@@mohamedmsangi6939 tuwe wenye hekima hukumu ya mungu ndiyo itaamua
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Duh nimeshangaa maneno ya huyu kaka mwanzo mwisho"kweli huyu kiboko---Ee mungu Naomba libariki tumbo langu la uzazi mara dufu
@asiagumbo8495
@asiagumbo8495 7 жыл бұрын
Binti hayati manyota Hugo ni mchawi sasa c muislamu
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Endelea kusikiliza mwanzao mwisho part zote 4"+Asia Gumbo​ mmh lakin umemsikia shakh jamani?
@asiagumbo8495
@asiagumbo8495 7 жыл бұрын
Binti hayati manyota hushangai mbona hawasem mckitini??HIV uchaw unafananishwa na dini ??
@asiagumbo8495
@asiagumbo8495 7 жыл бұрын
Binti hayati manyota wats app hutak kunijib mbona
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Asia Gumbo Ni kweli uchawi na dini haviendani-pia hawezi kusema msiktin huwa hakuna ushuhuda-ukiswali tu waenda nyumbani- lakin ww umejufunza nini kuhusu shekh huyu? kwangu niamini ya kuwa yesu wangu yupo na yu hai'je ww umejifunza nn kupitia imani yako ya din?
@emanuel1269
@emanuel1269 2 жыл бұрын
Kuokoka jambo zuli sana
@aminamichael1706
@aminamichael1706 4 жыл бұрын
Wewe ni mshirikina
@petromachanga29
@petromachanga29 5 жыл бұрын
Mwislam akifa unamtia madole matakoni hii ni sawa
@GidionEmamuel
@GidionEmamuel 4 жыл бұрын
S vizur tuwaombee t
@malaikawisdom2828
@malaikawisdom2828 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@naomontita9097
@naomontita9097 6 жыл бұрын
aa
@bobomwanga4994
@bobomwanga4994 5 жыл бұрын
ONYESHA USHAHIDI NA SIO MANENO MATUPU
@yustakipenyakipenya9117
@yustakipenyakipenya9117 5 жыл бұрын
kwahyo amtoe MTU jini hapo au fikiria bwn
@bobomwanga4994
@bobomwanga4994 5 жыл бұрын
hapana, mtu anaweza sema lolote, aonyeshe ushahidi
@makaramayatibamrmichaelkih3683
@makaramayatibamrmichaelkih3683 6 жыл бұрын
Heee
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 жыл бұрын
Ngoja kwanza umesema nini kuimba bafuni basi nimeumia
@GidionEmamuel
@GidionEmamuel 4 жыл бұрын
Utaimb t
@sarahmugoh833
@sarahmugoh833 7 жыл бұрын
mimi nauliza hivi: mtu akiolewa na jini ama mtu aoe jini ambalo limejigeuza na likawa mtu na wazae watoto....baadaye wewe ambaye ni binadamu uokoke....itakuwaje sasa??? Huyo mtu aliyejigeuza kuwa jini akiombewa anaweza kuwa mtu ama inakuwaje??
@janeedward8723
@janeedward8723 6 жыл бұрын
Sarah Mugoh jini kamwe haliwezi kubali maombi sababu tayari wamelaaniwa
@janeedward8723
@janeedward8723 6 жыл бұрын
Tena si viumbe wanaopaswa kushurikiana na mwanadamu zaidi ya kuwapinga na kuwakemea kwa jina La YESU na kujifunika damu ya YESU KRISTO wa Nazareth wenyewe tu ukifanya hayo wanajua kasheshe yake lazima wakuachie
@japhetleonard9224
@japhetleonard9224 6 жыл бұрын
alafu usikatae kuwa masheh hawashirk mambo ya kichawi nauganga tunajua saana huwa wanasomea kutibu twafaham saana kuwa hao ndio wasomao albadr tuwaiteje hao !? inawezekana atawewe nimshrik mzuri
@florencemuhavi3259
@florencemuhavi3259 5 жыл бұрын
What a good teaching may God bless you and the pastor who took the initiative. Jesus Christ is coming again
@eunnyjanes1440
@eunnyjanes1440 7 жыл бұрын
N.a. huyo mtu akibaki, huyo mchawi anamfanyia nini?
@salimulukwaro5248
@salimulukwaro5248 7 жыл бұрын
watu ck hivi wanatafuta pesa KWA njia nyingi moja ni hii ya kuwadanganya wt Na KWA kuwa elimu yenu ni ndogo mnaridhika Na Maria pesa things ndo waliwao
@lusekelomwinsasu318
@lusekelomwinsasu318 4 жыл бұрын
Kwa nini nawe usije kutafuta pesa inamaana wewe hutaki utajili?
@levocatuspaul1994
@levocatuspaul1994 3 жыл бұрын
Sioni Comment za Waislam 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yesu ni komesha mapepo
@malaikawisdom2828
@malaikawisdom2828 2 жыл бұрын
😂😂😂😂wanahasira na yeye
@tigonetwork4245
@tigonetwork4245 6 жыл бұрын
Inalilah waina ilaih rajuuni hana hata haya hana hata chembe ya uislam eti shekh anataka kudhalilisha dini ya Allah Uisilamu ni dini ya haki naitabaki kuwa hivyo wewe nikiumbe dhaifu kwa mwenyezi mungu huwezi iharibu dini ya haki
@calvinmchopa2222
@calvinmchopa2222 6 жыл бұрын
Tigo Network Allah kaumba nn ili tuamini kuwa Ni mungu
@mohamedmsangi6939
@mohamedmsangi6939 5 жыл бұрын
tigo network.. allah ndo alouma mbingu ardhi na vyote viliomo ndani yake. hta ww pia kakuumba. huyo nd mwenyez mungu
@lreenyonassary9807
@lreenyonassary9807 5 жыл бұрын
aya gan inayo sema nidin ya hak din xot ni zahaki sema waliomo ndan ya din ndo ambao hawajui sheria za mung
@adoaprivatus98
@adoaprivatus98 5 жыл бұрын
Jamani mungu huyu hana dini mm naomba mmoja aniambie wapi mungu alipomuumba adamu na hawa akawaambia mtaabudu ukristo au uislamu? Wote ss ni wamoja
@praisesamson8298
@praisesamson8298 5 жыл бұрын
Wewe ni kaislaàm kadogo sana soma hadi ufike elimu ya juu utajua yesu ni nani?
@nyenjemoyo6626
@nyenjemoyo6626 6 жыл бұрын
Mnatapeliwa
@luvmo04
@luvmo04 5 жыл бұрын
Wacha uongo soma duwa tukusikie
@tigonetwork4245
@tigonetwork4245 6 жыл бұрын
Sema ulikuwa mchawi mwenyewe na si uislamu eti dua unajua maana ya dua wewe Allah akudhalilishe hapahapa duniani inshaAllah mpuuzi sana wewe
@martinjumaa5460
@martinjumaa5460 6 жыл бұрын
Mh
@sahera1125
@sahera1125 5 жыл бұрын
Amiin sio kwakupotosha watu huko Astaghafilullah
@abdallamorsn3850
@abdallamorsn3850 5 жыл бұрын
Umejitahidi kuielezea uchawi na uwepo wajini mahaba tusio juwa umetufumbua mimi ni Mwiislam nimesoma Quran na kwakiasi naijuwa Biblia kwa ujmla wake yaani Tourat Zaburi na Injili ni vitabu vitakatifu ndani ya vitabu hivi mnakinga ya maovu yatokayo kwa viumbe washirikina wakiwemo wanadamu na majini ni habari ndefu Nirudi kwako kwa aslimia kubwa ya maelezo yako yaonesha wewe ulikuwa mchawi au unaushirkiano wa karibu, sehemu kubwa ya maeleezo havipo kwenye vitabu vitakatifu isipo kuwa washikina hutumia aya na majina ya Mungu kukufuru kwa kutia najisi jina na aya ya mungu kutimiza agano la uhisiano na shetani Jambo la kusikitisha ni kampeni ya kuipa ujiko dhebu lake na kuidhalilisha Uisilam kwa wasio jua wataamini lakini wanaojua hatuna shida tunafaham kuwa kuidhalilisha Uisilam na aya za Mungu ni kafara yao ya kupata uimara na mvuto ya shughuli zao za kumtumika Shetani kwa faida na maslahi yao
@samwelilazaro2835
@samwelilazaro2835 5 жыл бұрын
Hivi ameshazalilishwa mpaka Leo??? Maana nasubiri,,,jina la Yesu lina nguvu sana,,,
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 5 жыл бұрын
katika wanaoshikwa masikio ni nyie makafir huyu cyo shekh
@allyawadh8492
@allyawadh8492 3 жыл бұрын
Mm nilidhani kwa elimu aliyodai kisoma juu ya uislamu nilikaa vzr nikajua leo huyu jamaa atauchambua uislamu ndani nnje tena kwa ushahidi mkubwa wa qurani au kwa mafundisho aliyoyafundisha mohamadi badala yake anaeleza vitu ambavyo hata muislamu asie na elimu yoyote dhidi ya uislamu wake anaweza kuieleza bira ya shida yoyote,au elimu aliyoisoma dhidi ya uislamu ndohiyo anayoieleza? wakristo elimu zenu ni ndogo sana katika mambo ya mungu harafu ni rahisi sana kudanganywa na mkaona elimu yake ni kubwa sana,Sasa anachokieleza ni uislamu au uchawi?Sasa sisi kama wakristo tunapata faida gani juu ya elimu yake hiyo ya kuusoma uislamu?
@mzeelusazi5717
@mzeelusazi5717 7 жыл бұрын
hivi hata story za kutunga hamzijui? huyo hajawahi kuwa muislam anawalia hela* hivi jini ni shetani? yohana 6:70 "Yesu akawajibu, je! mimi sikuwachagua ninyi thenashara, na mmoja wenu ni shetani? 71 "Alimnena yuda simon mwana wa iskariot"* swali langu; kipindi yuda anaitwa shetani alikuwa ni jini au binadamu?* rai yangu, dunia tupo kwa mda mfupi tuendako tutaishi milele, ni jukum la kila binadam achunguze dini sahihi ya kumuabudia muumba wake ukweli wa kumuabudu* kama yesu aliamuabudu M.Mungu, kwanini wewe umuabudu yesu na si aliemuumba yesu? dunia tunapita na kila mtu na kaburi lake.
@nikitumarthinne8909
@nikitumarthinne8909 7 жыл бұрын
Aliekwambia kwamba Yesu aliumbwa ni nani?Soma Yohana 1:1.Huyo anaitwa NENO.soma nimeona unaisoma Biblia.
@florakiduma8892
@florakiduma8892 7 жыл бұрын
mzee lusazi we mzee lusazi soma vizur yohana yote utaelewa si dhambi kumwabudu Yesu Mungu anasema amwaminie Yesu aniamin mm. hilo la Yesu lisikupe shida.
@philiposimon860
@philiposimon860 5 жыл бұрын
kwa uwelewa wangu mdogo story za kutunga auwezi simulia kwa namna hii. ukweli ni kwamba anachokiongea ni ukweli mtupu roho inawauma kweli ndugu zetu,
@afikanomushi1029
@afikanomushi1029 5 жыл бұрын
Wewe unaebisha Yesu Kristo akuokowe bado uko shimoni kwashetani lakini unapotea
@afikanomushi1029
@afikanomushi1029 5 жыл бұрын
Unapotea Yesu kristo ndie njia yaukweli nauzima wanilele.akuna njia nyingine bila yeye
@suleimaniabdallah6742
@suleimaniabdallah6742 3 жыл бұрын
Wewe mchayi huna jipya
@kolthoomkolthoom2516
@kolthoomkolthoom2516 6 жыл бұрын
Wewe ni mchawi2 siodin,dini haipoivo kama uchawi dinizote wachawi wapo,lakini siodin ndoimesema ivyo,pambana nahaliyako
@mohamedmsangi6939
@mohamedmsangi6939 5 жыл бұрын
xx mbna story tu.. hizo story c hta mm nawez zitengeneza. lete aya ktk qur an inayosema uislam c dini bali dini ni ukristo.. mm nna andiko kutok ktk bible linalosema na wale waliolala ktk kristo wamepotea. huyu n mpuuz tu amesetiwa kama alivyosetiwa askofu hamza
@lusekelomwinsasu318
@lusekelomwinsasu318 4 жыл бұрын
Naomba hilo andiko halafu nikufunze nawe pia nina andiko lako quran ni kitabu cha shetani
@bobomwanga4994
@bobomwanga4994 5 жыл бұрын
WEWE UMELIPWA PESA UENEZE SRORY ZA UONGO ILI UHARIBU JINA ZURI LA KIISLAMU
@rapafata1108
@rapafata1108 6 жыл бұрын
Sasa Omar mbona unajitetea sana kwamba hujasema. Kwani huna uhakika na imani ya Yesu Kristo.kama kwa Yesu upo nusunusu utakuwa na hali mbaya kuliko mwanzo na mwisho utarudi ulikotoka
@martinjumaa5460
@martinjumaa5460 6 жыл бұрын
Kaka yesu ndie kristobwana soma yohana 3:13
@salehlofy4251
@salehlofy4251 7 жыл бұрын
Wakristo kama watoto si kashfu huo ndo ukweli na kama hajaridhka na jina hili aniulize......
@godisgreat1845
@godisgreat1845 6 жыл бұрын
Gwajima una mambo mengi ya kufanya usijaribu saana kuwatafuta watu wajifanye wailikuwa waislamu upate umàarufu na shangwe kwa hao kondoo wako
@bobomwanga4994
@bobomwanga4994 5 жыл бұрын
UMELIPWA PESA ILI UHARIBU JINA LA KIISLAMU, try to proof hizo story zote uelezazo, mtu yeyote anaweza tunga hivyo. SHOW EVIDENCE
@rehemagunda3968
@rehemagunda3968 4 жыл бұрын
Huyu kusoma kazoma
@selemanishabani6843
@selemanishabani6843 3 жыл бұрын
Unaushawishi mkubwa Sana na utawakamata wengi ambao uelewa wao ni mdogo. Endelea kupoteza watu.ijue siku ya mwisho.mbona hujasema Kama mtume alikuwa mchawi,Kama wewe ulikuwa mchawi je ulimuiga Nani,maana kiigizo chetu ni mtume Muhammad, Wewe kuwa mchawi sio sababu ya sisi kukufuata,kaa na wachawi wenzio
@hadijasaidhabdallah8986
@hadijasaidhabdallah8986 7 жыл бұрын
huyu mzushi tuu simuamini ata kidogo
@florakiduma8892
@florakiduma8892 7 жыл бұрын
Hadija Said Habdallah msikatae ukwel Yesu ni njia ya kwenda mbinguni. huyu amejua ukwel ndo mana anasimulia. Haya ni ya kiroho zaid km we nimtu wa mwili huez elewa. ila kuokolewa ni kwa neema. neema bado ipo
USHUHUDA WA ALIYEKUWA SHEHE - OMARY MNYESHANI 1/4 - bonyeza SUBSCRIBE
30:36
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 232 М.
USHUHUDA WA ALIYEKUWA SHEHE - OMARY MNYESHANI 2/4 - bonyeza SUBSCRIBE
30:36
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 149 М.
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 28 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 30 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 30 МЛН
USHUHUDA WA MAKANISA YA NGUVU ZA GIZA | Part 1
17:48
PROMOVER TV
Рет қаралды 154 М.
TAKE ONE 2nd Season 2012  Episode 06a CLOUDS TVPAL
24:49
Takeonetz
Рет қаралды 143 М.
VUNJA NGUVU YA UISLAMU NA MAJINI | Sikiliza Ushuhuda wa Shekhe Aliyeokoka.
1:38:46
Neno la Ufunuo Ministry
Рет қаралды 9 М.
JINSI YA KUOMBA NA KUPATA MAJIBU 1/5
28:24
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 53 М.
USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part-3)~Shehe Omary Mnyeshani
30:50
PROMOVER TV
Рет қаралды 21 М.
Maombi ya Kuharibu Magonjwa ya Kichawi | Bishop Gwajima Mbezi, Dar es Salaam Day 1
18:39
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 138 М.
Pastor Paul Hussein Mubarakh Vunja Nguvu Ya Uisilamu Na Majini Official Video
1:38:46
JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI
40:59
Askofu Gwajima -  Siri ya Kusubiri Kabla ya Ndoa
48:17
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 69 М.
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 28 МЛН