Ufunuo Choir - Maisha Yangu (Live Performance )

  Рет қаралды 841,152

UFUNUO CHOIR

UFUNUO CHOIR

8 ай бұрын

Stream And Download Ufunuo Choir Audios on all Platforms
Boomplay:www.boomplay.com/albums/80176...
Audiomack:audiomack.com/ufunuo-choir/al...
Sportify:open.spotify.com/album/4MLJ2e...
Deezer:deezer.page.link/zfpqMWGgsVrf...
Digital technician: / bendouble9
For Booking Contact Ufunuo Choir
Phone:+255684479638
Email: ufunuoc@gmail.com
Catch up with Ufunuo Choir on Social Media
Instagram: / ufunuo_gospel_choir
Tiktok:www.tiktok.com/@ufunuo_gospel...

Пікірлер: 637
@ufunuochoir
@ufunuochoir 4 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/fXPMdqeBiZxgjrMsi=LyH2SHpwBH2kIch4
@gastondofra9151
@gastondofra9151 2 күн бұрын
Mbarikiwe sana jamani,Mungu ni mwema kwa watu wake
@lowasameliyo4027
@lowasameliyo4027 3 ай бұрын
Kama umemkubali mzungu Kam mm gonga like Aki Ako na sauti mzuriii sanaa
@ednaadam641
@ednaadam641 7 ай бұрын
nimependa sauti ya mzungu jamani anaimba sanaa japo wote wanaimba mungu awabariki
@venanciakabula9515
@venanciakabula9515 5 ай бұрын
Tulioangalia hii nyimbo zaidi ya mala 10 tujuane❤
@aloyceshio9580
@aloyceshio9580 5 ай бұрын
Kuna siku nimeirudia mpaka mb zikaisha😅
@paullekina6395
@paullekina6395 2 ай бұрын
Yangu ni kila siku
@gracewamaitha7382
@gracewamaitha7382 7 ай бұрын
If you listened with tears in your eyes 😢😢let's gather here and clap for Jesus +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@harmonieawa9580
@harmonieawa9580 6 күн бұрын
Amen amen
@Regnard999
@Regnard999 8 ай бұрын
Ukitaka kushuhudia ufundi wa melody, pitch na umahiri wa soloists, basi kwaya hii ni moja ya kwaya zenye umahiri huu kwa viwango vya juu. Ni neema ya Mungu tu na wala si kwa uwezo wenu. Mungu aendelee kuwapa maono walimu wa kwaya hii. Tunabarikiwa sana na huduma yenu❤❤🎉🎉,, mzungu amenikosha sana kwenye ku-solo,, kumbe ana kipaji pia cha solo mbali na style. Mungu ni mwema sana❤❤
@ufunuochoir
@ufunuochoir 8 ай бұрын
Amen 🙏
@simonmakokha9559
@simonmakokha9559 7 ай бұрын
Bila shaka kwaya iko viwango vya kipekee
@Regnard999
@Regnard999 7 ай бұрын
@simon....uko sahihi
@williammbuli4583
@williammbuli4583 7 ай бұрын
Bila shaka ni Alois huyu maana ni Miaka sijamuona.
@nicopaswedy102
@nicopaswedy102 7 ай бұрын
tuko pa1
@geoffreyambasi9601
@geoffreyambasi9601 2 ай бұрын
Wait a minute yaani Kila mtu in this group can sing nicely like this waah respect.
@joycelanda8987
@joycelanda8987 3 ай бұрын
Kupitia wimbo huu naomba Mungu awaponye wagonjwa wote popote walipo Kwani bila Mungu hatuwezi Kwa lolote!hata madaktar na manes Mungu awatumie kama vyombo vya uponyaji na Kila haja za mioyo yetu Mungu akatujibu vile aonavyo Mungu wetu 🙏
@user-to3vc7vj4e
@user-to3vc7vj4e 6 ай бұрын
Kupitia wimbo huu mdogo wangu atoke gerezani na dadaangu apokee uponyaji wa kansa pale ocean rod
@agnesslihagasa9681
@agnesslihagasa9681 5 ай бұрын
Bwana akutendeee
@pendomartini447
@pendomartini447 5 ай бұрын
Amina
@oliveamasoy8600
@oliveamasoy8600 2 ай бұрын
Na ikawe kama ulivyoomba. Amen
@karolinenkya1723
@karolinenkya1723 2 ай бұрын
Amen Amen
@esterhaule2107
@esterhaule2107 2 ай бұрын
Amen
@EzekielMisungwi-zn6qh
@EzekielMisungwi-zn6qh 7 ай бұрын
Mzungu mungu amempa kila kitu style anakosha sauti anakosha ❤
@meshackmuthamamulinge4661
@meshackmuthamamulinge4661 7 ай бұрын
I love how he does it. ❤❤
@rosekasambale2521
@rosekasambale2521 7 ай бұрын
Well said❤❤
@revinajotham4694
@revinajotham4694 7 ай бұрын
Yaan anaomba kwa hisia. Mungu amuinue Zaid🙏🙏
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 6 ай бұрын
Hatari, amebarikiwa🤣
@abelkinyondo9027
@abelkinyondo9027 7 ай бұрын
Hii choir kila mtu ni powerful soloist. Hatari sana❤
@kinanucaroline4782
@kinanucaroline4782 6 ай бұрын
Sure
@dankimathi
@dankimathi 7 ай бұрын
This year has been a big one for me. God has been so faithful to me. I went through the worst periods in my life between August and December 2022. I got broken 💔 emotionally, physically and financially while in Kenya 🇰🇪. I trusted God and had faith in him to get me through it all. A year later, he was faithful enough. Wiped me all the tears and paid it all. Now in my third month in the UK 🇬🇧, I can only listen to it, look back and thank God. He's truly an amazing God. All Glory to Almighty God.
@gracewamaitha7382
@gracewamaitha7382 7 ай бұрын
Hallelujah
@samwelbenjamin9980
@samwelbenjamin9980 2 ай бұрын
Powerful testimony God bless you
@laelimaden714
@laelimaden714 Ай бұрын
Kila nikiamka nasali na kwaya hii kweli mungu awatuze na awape maisha marefu katka uimbaji wanaokoa watu katka ulimwengu huu
@lucymburu155
@lucymburu155 7 ай бұрын
The melody, words,dance moves,uniform everything on point . Glory to God
@gloriousn6425
@gloriousn6425 7 ай бұрын
Ufunuo choir is a Sleeping Giant 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏿👌🏽Mungu ana watu wake , na Tanzania 🇹🇿 tumebarikiwa kua miongoni mwa watu hao . …PIGENI KAZI WAPENDWA TAJI ZENU ZITANG’AA NYOTA MBINGUNI
@geoffreyambasi9601
@geoffreyambasi9601 2 ай бұрын
Tanzania mna choir nzuri sana mbarikiwe jamani
@felixnicodem6233
@felixnicodem6233 2 ай бұрын
Vyote nilovyonavyo ni Mungu amenibariki hata kuishi kwangu nineema ya Mungu Sina chakujisifu Ila ni Mungu tu ❤❤
@user-hd5kc9lw6m
@user-hd5kc9lw6m Ай бұрын
Hakika sina cha kujisifu mimi kila ninachopata ni kwa neema tuu,asante kwa ujumbe watumishi🎉
@MadukaAlphonce-ts5hh
@MadukaAlphonce-ts5hh Ай бұрын
Hata kazi hii ni kwauwezo wa Mungu sina kitu cha kujivuna ni Mungu tyu🎉🎉
@leahmachele3354
@leahmachele3354 2 ай бұрын
Neema ya Mungu imenifukaa.... Mimi Sina chakudaii mbele za Mungu wangu
@ntulimambo463
@ntulimambo463 Ай бұрын
asante sana Mungu wetu maana ni mwema sn kwetu,unatutendea yaliyo mema mengi hata sisi tusiostahili,asante sn Ufunuo kwa kutukumbusha ukuu wa Mungu wetu tukiwa hapa duniani
@mangaremechanic4062
@mangaremechanic4062 2 ай бұрын
Hii kwaya imenikosha moyo wangu jamni mbarikiwe san san ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jacobmwandenga3364
@jacobmwandenga3364 5 ай бұрын
Nina Mimi Cha kujisifu Nina nini Mimi Cha kujivuna Mungu amefanya Kwa mapenzi yake
@sylviamuvunga4546
@sylviamuvunga4546 Ай бұрын
Tajisifu na nini? Ta jivuna na nini? Yote yangu ni kwa mapenzi ya Mungu. Sababu langu kubwa la kukuabudu Mungu. Alléluia 🙌
@glorymathew182
@glorymathew182 2 күн бұрын
Hii kwaya ina neema kubwa sana ukisikiliza nyimbo zao lzm utokwe machozi kwa kutafakari ukuu wa Mungu wetu😢 Mungu awatunze kwa ajili ya Tanzania na mipaka ya Tanzania na duniani kote🙏 Nawapenda wote
@NORAHNDUSILO
@NORAHNDUSILO 7 ай бұрын
Nasikiliza wimbo huu ikiwa siku ya birthday yangu, nawashukuru kwa kunipa wimbo wa kumsifu Mungu kwa kipindi hiki, Maisha yangu yote ni Mungu tu
@evapendoshilamungaya7759
@evapendoshilamungaya7759 Ай бұрын
Hakika,Mungu amewatumia kutukumbusha kuwa tulivyo ni yeye amefanya.❤❤🎉
@ElishaKasekwa-vo2eg
@ElishaKasekwa-vo2eg 7 ай бұрын
Ni nanini mimi cha kujisifu, nina nini mimi cha kujivuna🙏🙏🙌👐❤❤
@user-od8wv4wg4f
@user-od8wv4wg4f 4 ай бұрын
Nimewapenda bure watumishi wa jehova, mungu wa mbinguni awakumbuke
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 6 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi Awape Amani na Furaha katika maisha yenu. Amina
@rennyworld1242
@rennyworld1242 7 ай бұрын
Wimbo huu umenifunza kunyenyekea kweli mimi ni bure bila Mungu... sina hata cha kujisifu😢..
@PeterA.Meshack-mu5rw
@PeterA.Meshack-mu5rw 4 ай бұрын
Yaani wananibariki saaana Mungu awe pamoja nao
@zachariazabron3192
@zachariazabron3192 7 ай бұрын
Sure Manara wa hiii kwaya huwa unanifurahisha sana Mungu aendelee kukuinua
@user-kb4jp4vc4t
@user-kb4jp4vc4t 4 ай бұрын
zungu noma!!!!190%
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 7 ай бұрын
Vitu vyote nimepewa na Mungu, Amen❤
@klmhardware2993
@klmhardware2993 7 ай бұрын
Wow 😲😲 MUNGU AZIDI KUWAINUA NIKISIKILIZA NYIMBO ZENU NAHISI KUINULIWA❤❤
@mageedward9135
@mageedward9135 7 ай бұрын
Mimi sina cha kujivuna wala cha kujidai mbele za MUNGU wangu,mbarikiwe sana kwa maono haya ya wimbo
@Blackie_blackie9327
@Blackie_blackie9327 7 ай бұрын
Nawapenda❤
@carolynekangogo64
@carolynekangogo64 7 ай бұрын
I can't control my machozi 😭😭😭😭I'm so humbled...... I feel every word from God in this song..... It pierce my heart like a double edged sword 🙌🙌🙌🙌 much blessings servants of God 🙏🙏🙏🙏 mbarikiwe na mungu azidi kuwainua tena na tena
@user-gc4km8oc5t
@user-gc4km8oc5t 7 ай бұрын
mtunzi wa wimbo ana maono makubwa sana,sichoki kuusikiliza umekuwa kama sala yangu ya asubuhi maana nausikiliza njia nzima mpaka ninapofika kazini uso wangu unakuwa umejaa machozi mengi nikitafakari maneno ya huu wimbo,,Mungu abariki huduma hii❤
@kaggyjj1263
@kaggyjj1263 7 ай бұрын
Nina Nini Mimi Cha kujisifu❤ be blessed
@KundaelJackson-rn8id
@KundaelJackson-rn8id 7 ай бұрын
Naipenda sana kwaya
@user-go2pg4dj5k
@user-go2pg4dj5k 5 ай бұрын
Kwaya bora kabisa yenye nguvu za Mungu ndani ya nyimbo zakey
@ElizabethCeaser-zy5ew
@ElizabethCeaser-zy5ew 7 ай бұрын
Ufunuo mungu awainue zaidi na zaidi nyimbo zenu zinanibariki ktk viwango vikubwa Sana
@nicholasirungu8044
@nicholasirungu8044 7 ай бұрын
Here is how am going to make sure that am rewarding them for a good worship song, I will watch this song over and over and over and allow ads to over and , never skipping , I know this is one way I get to promote their good work , plus I share and comment and like Nicholas from Nairobi Kenya, this such a powerful choir
@lucymtundu3600
@lucymtundu3600 6 ай бұрын
Huwa mnanibariki sana nyie watumishi wa Mungu jumbe zenu huwa zinaugusa sana moyo wangu😢
@mbmdigitalpro5198
@mbmdigitalpro5198 7 ай бұрын
Ningetamani watakapo kuwa kwenye maandalizi ya kutowa wimbo nyingine wanihusishe na mimi niweke wangu muchango
@merinankullua5874
@merinankullua5874 5 ай бұрын
Maisha yangu ni Mungu ametenda ,sina cha kujivunia ,Glory to God ,wimbo unanibariki sana,mbarikiwe waimbaji wa kwaya ya ufunuo
@esthermollel8958
@esthermollel8958 5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌 sina chakujisifu... Ahsante Sana Baba, Ahsante Sana Mungu mwema, Ahsante Messiah, Ahsante Ahsante M-mbarikiwe mnoo....❤❤❤❤
@susankitila2898
@susankitila2898 4 ай бұрын
AMEN AMEN WATUMISHI WA KRISTO. HAKIKA NI KWELI. MMBARIKIWE SANA SANA. MPO WAPI JAMANI
@eliudlucas8719
@eliudlucas8719 7 ай бұрын
Mzungu 🎉🎉🎉 amazing amefanya wonderful mungu anaendele kuwapa nguvu na kwaya mzima Kwa ujumla❤
@user-du7mk8ux8t
@user-du7mk8ux8t 4 ай бұрын
Ñawapenda mnoo Mungu wa mbinguni awaepushe na Kila mabaya hakika Sina Cha kujisifu
@azizasanga6440
@azizasanga6440 7 ай бұрын
👍👏♥️ Mungu aikuze huduma utukufu kwa Mungu nyimbo inabariki inaelezea wema wake kwetu yatupasa tumshukuru Mungu Kwa yote anayotutendea.
@edezzydorry
@edezzydorry 5 ай бұрын
Kazi mnayoifanya kwa kweli inabariki wengi nikiwa mmoja wapo katika taifa la kenya,nawaombea mudumu katika hisia hiyo na kuzidi,salamu za pekee zimwendee mzungu
@user-zy5mw9ix4s
@user-zy5mw9ix4s 5 ай бұрын
Mubarikiwe sana wainbaji kwa winbo mzuri kabisa ina tu tiya kabisa nguvu na ku tu elekezeya mbele za mungu na kujuwa kumuchukuru Mungu Wetu kwa kila jambo
@tuzojohn3581
@tuzojohn3581 7 ай бұрын
MAOMBI YANGU KWA BWANA juu ya kwaya Hii. Ni kwamba Roho mtakatifu awape kushuka na kunyenyekea, Awape utulivu ndani yenu na kukubali yeye awe SUPER STAR adui yetu Ibilisi anajua moja kati ya kitu kinachomchukiza Mungu sana ni kiburi na kukosa unyenyekevu. NINA AMINI MATAIFA YANABARIKIWA NANYI. Bakini chini wapendwa YESU atukuke zaidi kati yenu. NAWAPENDA UFUNUO CHOIR
@joelmwanga6745
@joelmwanga6745 7 ай бұрын
Song’s content, melody, singers ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@deborakabuche1899
@deborakabuche1899 7 ай бұрын
Yes na hii ndio maana halisi ya Ufunuo. Hakika mnatubariki kwa viwango vya juu.. Mungu wa mamlaka azidi kuwatumia kwa viwango vikuu 🙏🙏🙏🙏🙏.
@jeremiamalisha2092
@jeremiamalisha2092 8 ай бұрын
Amen, nabarikiwa san na kwaya hii Mungu azidi kuwainua.
@MonicaEdson
@MonicaEdson 8 ай бұрын
Nawapenda buree watu Hawa Mungu aendelee kuwainua ninyi na huduma yenu
@mercywanjiku6989
@mercywanjiku6989 7 ай бұрын
My all time favourite my brother mzungu🙏 my celeb I can watch ur vedios over n over again his dancing moves acha tu , yaani husifu kwa roho kabisaa na ukweli
@FLOH9876
@FLOH9876 3 ай бұрын
Definitely....he sings so well &dances so well too❤...blessings upon him
@mercywanjiku6989
@mercywanjiku6989 3 ай бұрын
@@FLOH9876 amen 🙏🙏 he is a blessing to many
@mnirahmteleka2685
@mnirahmteleka2685 5 ай бұрын
Deus emmanueli 🤚🙏Mungu akuinue katika viwango vingine kifra na maarifa zaid
@user-jj5vn7cq7n
@user-jj5vn7cq7n 4 ай бұрын
Nawapenda sana na Mungu awazidisie baraka zake najifunza vitu vng kwenu
@SophieKathure
@SophieKathure 5 ай бұрын
Kweli sinachakujivunia whatever I have God has given me I wonna say thank you Lord. Great job n great inspiration God bless you
@denismaussa650
@denismaussa650 7 ай бұрын
MUNGU awabariki Sana wote mnao.. Ujumbe mzuri Sana sana
@neemangowi3514
@neemangowi3514 9 күн бұрын
Kwakweli Mungu azidi kuwabariki maana mnanikosha sana jamani mmejaliwa sauti mnaimba vizuri ma sololist wote nawapa mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-tm9cn5tp4u
@user-tm9cn5tp4u 4 ай бұрын
❤ vrmt napenda sana mubarikiwe sana batoto ya mungu aksanti
@jescamaumbi1320
@jescamaumbi1320 7 ай бұрын
Mungu awwbariki kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo tunabarikiwa sana🙏
@mariamatuku6475
@mariamatuku6475 4 ай бұрын
Vyote Mungu ndiye amenipa,, nice song
@Oden_Viber88
@Oden_Viber88 7 ай бұрын
nzuri sanaa
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 20 күн бұрын
Wapokee kwabjina la Yesu. Pole endelea kumuamini
@lucynfavour9690
@lucynfavour9690 7 ай бұрын
Mungu wa Binguni awalinde kutokana na mishale yoote na silaha zote inayotumwa kinyume cha woote wahudumuo kwa roho na kweli... Bwana awe Ngome yenu.... Awafiche kutokana na macho ya waovu na maneno yao...avunje ngome zoote na ibado zozote za uovu ili ibada yeenu kwa Mungu isizuilike... Nimesikiza hasa "usisahau hata kidogo napia huu wimbo... Ni dawa inayoingia kwa moyo,,, mawazo,,, mifupa na kila wkt nashuhudia uwepo wa Mungu mnapohudumu kupitia nyimbo.... Mimi ni mwanaibada kutoka Kenya,,,,ambaye Mungu ameniinua kupitia kwa ya AIC Unity(Naivasha).... Namtukuza Bwana Yesu kwa ajili yenu.... More Grace,,,
@charlesadhola
@charlesadhola 7 ай бұрын
This choir is such a powerful one. The voices, the organisation and the message. God bless you
@patrickchunda-zo6ge
@patrickchunda-zo6ge 20 күн бұрын
Hakika wimbo umetulia hata waimbaji wametulia, wanavutia, hivyo bac kwa ujumbe huu ninauhakika kupitia wimbo huu nitanyanyuka na kuanza kutembea hii ni baada ya kupata ajari nipo ndani kwa muda fulani hivi Mungu atatenda mkuu wake kwangu.
@mosesmakalanga7489
@mosesmakalanga7489 Ай бұрын
Amaizing song.... glory to God. God bless Tanzania for such a wonderful revival
@Regnard999
@Regnard999 8 ай бұрын
Another amazing song from Ufunuo. You never disappoint❤❤🎉🎉
@ufunuochoir
@ufunuochoir 8 ай бұрын
Amen🙏
@annacharles2842
@annacharles2842 Ай бұрын
​@@ufunuochoir ni kwaya ya kanisa gani?
@IsabellJohn
@IsabellJohn Ай бұрын
Amin MUNGU wambinguni awabalik katika maishaa yenu sku zotee ameee Amin🙏🙏🌹🌹💐💐💞💞💞
@alphoncelondo6586
@alphoncelondo6586 7 ай бұрын
Glory to God..... Good Choir; Good people ; smart for everything....love you guys.
@kenmugo5680
@kenmugo5680 27 күн бұрын
Hata akili niliyo nayo, ni mungu ameniiipa! Na nguvu nilizo nazo, ni yeye amenipa! amazing amazing worship!!
@euritarnyaboke8004
@euritarnyaboke8004 7 ай бұрын
I always find myself smiling when watching this wonderful choir ❤❤❤
@rebecaomary8103
@rebecaomary8103 7 ай бұрын
Mungu ni mkuu anavyo vipawa na ameweka kwa watu wake. Powerfull melody ❤❤❤
@fatumamimbi3126
@fatumamimbi3126 11 күн бұрын
Maisha yangu yote ni MUNGU tu anatenda,wala Sina kujivuna,walasina cha kujisifu..
@mtushe1
@mtushe1 7 ай бұрын
Hii choir lazima wawe ni watu waombezi vizuri sana ndiposa Mungu anawapa kibali cha nyimbo tamutamu zenye ujumbe mtamu na mzito.
@amankajuna5064
@amankajuna5064 7 ай бұрын
Guys you quench my thirsty. You bring Heaven closer and remain anointed. You are the real God’s Generals
@momylaviel
@momylaviel 7 ай бұрын
Akiii nyieee watu mnajuaaaa aminaaa Mungu awabariki sana
@syletmoraa443
@syletmoraa443 7 ай бұрын
Amen watching from Qatar nawapenda bure mungu awatie nguvu kwa kazi yake ❤
@EdnaMwamburi
@EdnaMwamburi 7 ай бұрын
Me too,let's watch and be blessed
@Eden-Nation-Voice
@Eden-Nation-Voice 4 ай бұрын
Amen Barikiwa sana🙌🙌🙌
@paulinajemson2719
@paulinajemson2719 7 ай бұрын
Haleluyaaaa,,wimbo wa sifa na shukrani,hakika nimebarikiwa
@janetmkwizu5759
@janetmkwizu5759 7 ай бұрын
Dah hii kwaya ni moto tuwape mauwa Yao tu💐💐💐 I love them all ❤️❤️💐💐
@user-xv1im1yg1n
@user-xv1im1yg1n 7 ай бұрын
Craignons DIEU LE CRÉATEUR DU CIEL ET DE LA TERRE . OUI TOUT EST À LUI en commençant par le souffle de vie qui est en nous jusqu aux bénédictions tant financières matérielles spirituelles intellectuelles...que maritales vraiment soyons humbles et reconnaissants à Dieu et rendons LUI TOUTE la GLOIRE ET LOUANGES qu ' IL mérite. Merci beaucoup UFUNUO pour ce profond message
@marynyambura5078
@marynyambura5078 7 ай бұрын
Amen 🙏
@tumainichigwasi1524
@tumainichigwasi1524 6 ай бұрын
Jamani Mungu ana watumishi Mungu awakumbuke ktk ule ufalme wake
@tumainichigwasi1524
@tumainichigwasi1524 6 ай бұрын
Kubwa zaidi ni wengi na wote ni mashine,kupitia hawa Mungu aione kwaya yangu ili ijitambue ktk nafasi yake kwa utukufu wa Bwana.
@maliropatience303
@maliropatience303 2 ай бұрын
Mungu ni mwema kwa wakati wote,asante kwa wimbo🙏
@user-ge1gk7uz9o
@user-ge1gk7uz9o 11 күн бұрын
Kazi nzuriii sanaa ufunuo....choir Mungu awabariki sana kwa kazi njema sanaa🎉
@wanjikunderitu6949
@wanjikunderitu6949 6 ай бұрын
Eeeish....am in awe❤❤❤❤Such vocalist 💪💪. The harmonisation is🔥.Such a beautiful song,truly a blessing all our life,all we have belongs to God.Glory&honour
@seuny2k1
@seuny2k1 22 күн бұрын
Your sound & meaningful message blessed me abundantly...barikiweni sana sana & thank you...🕊🕊
@rehemamichael2227
@rehemamichael2227 7 ай бұрын
Wow jmn wimbo mzur huuu am proud of you lovers❤
@ellykirundwa2646
@ellykirundwa2646 7 ай бұрын
Oooooooh!!!! Hallelujah,mnajua kunibariki sana.....Mungu aendelee kuwa inuliwa vipawa vyenu na mkadumu katika kumsifu na kumwaabudi yeye aliye patakatifu pake Juu mbinguni. Vocal is fantastic,song arrangement is awesome. Amazing voices. Mimi nafikiri ndyo mtu anaangalia mara nyingi nyimbo hiii na WIMBO WANGU BORA NI.....USISAHAU KUMSHUKURU MUNGU. Niwaachie mibaraka tele. Amen. Siku moja nitakuja kusali ktk ibada yenu.
@annakaleshu5393
@annakaleshu5393 2 ай бұрын
Kwa wimbo huu Mungu amponye mume wangu,
@BelindaAdisa
@BelindaAdisa Ай бұрын
Amen
@happymwaseba5878
@happymwaseba5878 Ай бұрын
Amen Naiwe hivyo Mungu atamponya kwa Imani🙏🙏
@fatumamimbi3126
@fatumamimbi3126 11 күн бұрын
Mungu ni MPONYAJI mwaminifu
@amirawilliamdeng6762
@amirawilliamdeng6762 2 күн бұрын
Amen 🙏🙌🙌
@mlagz8032
@mlagz8032 7 ай бұрын
Amen,Amen, 🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌 watching from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 if heaven will be this organized im ready to go and sing forever and ever with all angel's 🎉🎉🎉🎉🎉
@joycelanda8987
@joycelanda8987 7 ай бұрын
Acha niseme Asante Yesu wangu,maisha yangu yote ni Mungu tu anaenda oh Hallelujah 👏God!Ni mengi sana umetenda kwangu!Amina!!!
@scotiageraz4469
@scotiageraz4469 6 ай бұрын
Huyo mama avaae mavazi marefu ndo mhubir wenu wanawake kwenye quire hii khsu mavazi❤
@asnathmmbaga1754
@asnathmmbaga1754 6 ай бұрын
Nmeanza kuwafatilia kuanzia wmbo wa usisahau hata kidogo usisahau kumshukuru Mungu nikajikuta nawakubali sana sna Mungu wa mbinguni awabariki ufunuo kwaya
@user-hp3qq7rh1r
@user-hp3qq7rh1r 6 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana, unanibariki. Mungu awainue viwango vya juu.
@user-oh8br4ng3y
@user-oh8br4ng3y 2 күн бұрын
Amina Amina. Wimbo huu unanibariki kabisa
@laelimaden714
@laelimaden714 Ай бұрын
Mzungu yupo vinzuri sana mungu akutunze
Ufunuo Choir - Mwanamke Tasa (Official Video
7:47
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 152 М.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 4,7 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 49 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
Nikurejeshee
12:42
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 154 М.
Emery kuhimba - Mwamba Wangu ( Official live recording video )
12:45
Nita Amini (Live)
13:00
Israel Mbonyi
Рет қаралды 956 М.
Bella Kombo ft. Zoravo - Ameniona (Official Live Video)
11:50
Bella Kombo
Рет қаралды 3,1 МЛН
BEST OF NEEMA GOSPEL CHOIR 2023
1:20:20
THE LM STUDIOS
Рет қаралды 184 М.
Anastacia Muema - Maisha Yangu (Official Video)
4:33
Anastacia Muema
Рет қаралды 2,8 МЛН
Israel Mbonyi - Malengo ya Mungu
8:17
Israel Mbonyi
Рет қаралды 7 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41