Kama isingekuwa Mungu nisingekuwa hapa nilipo, Asante Mungu wangu
@SarahJohn-s5v9 күн бұрын
Nawpenda sana ufunuo kiukweli wapo vzr,mungu azid kuwabariki
@nashnash2013 Жыл бұрын
This my albino brother ananibarikingi akiwa mstari wa kwanza🥰🥰
@johanithamugango6801 Жыл бұрын
Hata mimi ananibariki sana awe anakaa mbele kwenye wimbo wa usisahau amefanya maajabu tunamtukuza Mungu kwa ajili yake
@SarahThadey-bs4ey11 ай бұрын
Dah cjui kwann amekaa nyuma sasa
@johanithamugango680111 ай бұрын
Hata mimi sijui kwanini anakaa nyuma
@ntulimwambambale124411 ай бұрын
Hata mm huwa ananibariki sana
@hoglamumbee34410 ай бұрын
We kama mimi. Jamani he get steps
@nguzoyetugirlscentre62707 ай бұрын
Halelujah Jalelujah Mungu awatumie mmebarikiwa awainue zaidi Yesu.
@sleekddanny38634 ай бұрын
This is what is lacking in churches...Sincere souls & lovely entertainment to calm down ones sorrows & heavy thoughts...keep up guys....True therapy...twende kazi...🕊🕊🕊🕊
@stephenmalilo983311 ай бұрын
Hii kwaya ni kama REAL MADRID ya enzi zileee. Yaan, wamejaza ma super-star wa level za juu mnooo. Yaan kwaya ina watu wanaojua woteeeee. Mweeee.......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@happysoyi372410 ай бұрын
Nawapenda Sana, nawapenda Sana, nawapenda Tena, afu huyo Kaka mwenye surulia maroon na shat jeupe aliutendea haki balaaaaa mstar wa kwanza
@MaryPeter-o8x11 ай бұрын
Kweli kama si Mungu sijui ningekuwa wapi mimi Asante kwa ulinzi na pumzi hii
@ufunuochoir11 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@JonasPetro-k5x9 ай бұрын
Mubarikiwe watumishi napenda sana uimbaji wenu mko viwango vingine
@Patrick-o6l4n3 ай бұрын
Albino bro may God bless you
@Patrick-o6l4n3 ай бұрын
I love you guys May God bless you
@JoseMarwa-rn3re6 ай бұрын
Amen nabarkiwa sana na ujumbe wa Kristo mungu awapandshe viwango vya juu
@mercylema83278 ай бұрын
Haleluya
@tegemlowe11448 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@grolyqueen583311 ай бұрын
Nampendaaa uyo kaka albino kweli Kwa Yesu Raha sana
@EstherMwongela-n9u8 ай бұрын
❤❤it's 2024 and I still love this song 🇰🇪
@Richard_Kilimba9 ай бұрын
Sawa kabisa
@franswamwandenuka6853 Жыл бұрын
uimbaji wenu ni next level, SOLORISTS wapo on fire MUNGU awabariki saana
@sarahmoraa7293 Жыл бұрын
Wah najipata tu nikidance kama aliyepagawa barikwa sana my people
@mwakimedia95709 ай бұрын
💯
@SiwatulaMwamini10 ай бұрын
Vraiment j aime cette chorale
@reenahndungu799 Жыл бұрын
I honestly don't know what to say!!I am just so speechless
@gladysmatini47124 ай бұрын
Kama si mungu
@LoipllOnhye.Mama.Claudi11 ай бұрын
Barikiwen sana Watumishi wazur Mungu✍️🧎🧎📖🙏🙏
@AngelKish23 Жыл бұрын
My albino brother be blessed. Unanijazz tu sana.
@mathayomwashambwa123811 ай бұрын
NIMESIKILIZA NYIMBO ZOTE TATU...MAISHA YANGU...MUNGU NI UPENDO...
@ufunuochoir11 ай бұрын
🙏🙏🙏
@dennismwendwa1 Жыл бұрын
From their soloists,their vocals,instrumental vibe🔥🔥..naiombea kwaya yetu ifuke hap
@happyalberto89037 ай бұрын
Mnajua mnajua tena Mungu awabariki
@AishaHassani-eh2gwАй бұрын
Hots❤
@Regnard999 Жыл бұрын
The solorists of this choir are of another level 🔥 🔥, the song 🔥🔥🔥, styles 🔥🔥🔥 musical arrangement 🔥🔥🔥,, God bless you servants of God.
Mbarikiwe mno ni madhabahu ya roho mtakatifu 🕊️🙏🙏🙏💋asante yesu
@TelenovelaCastsUpdates Жыл бұрын
Woooow..am stuck here..the song is incredible 😍
@esthermuchiri3812 Жыл бұрын
I love all the soloists change of theme.. On point..
@momylaviel11 ай бұрын
Kaka mzungu wow❤❤
@jamesukombozi5216 Жыл бұрын
Kweli kabisa kwaya ya Ufunuo mko vizuri katika utumishi,, hongereni sana ❤
@sefaniamachael79618 ай бұрын
Kazi nzuri sana, Mungu azidi kuwainua zaidi. Kongole nyingi Kwa dada Mary Nashoni. Hakika umebarikiwa kipaji Cha kuimba since TAG kariwa.
@luciamkelete28027 ай бұрын
Nakuona dada Tina.....malengo.,barikiwa♥️♥️
@luciamkelete28027 ай бұрын
Oooh
@SurprisedDaffodils-jp3xi7 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@reenahndungu799 Жыл бұрын
Kaka akona white on the field line is so talented! He's a soloist and he dances that much???
@reenahndungu799 Жыл бұрын
I mean first line
@Kiddohsanga-fw7jh7 ай бұрын
😂😂😂
@humphreymsengi6686 Жыл бұрын
Huwa sio mpenzi wa kwaya, lakini, mmenifanya nipende kwaya. Mungu awabariki kina dada masololisti. Kwakweli, Mungu amewapaka mafuta kwa ajili ya kazi yake. Viwango vyetu vyenu vya juu sana. Huku ndiko kuimba kwa ustadi ambako Biblia inatutaka tufanye.
@festokalenga3084 Жыл бұрын
Amina Sana mtumishi
@aloycemwakitalima110 Жыл бұрын
Safi sana
@rithamassawe35572 жыл бұрын
Mbarikiwe sana nmebarikiwa na wimbo wenu
@kendimutunga Жыл бұрын
Ni kweli kama sio mungu ningekuwa wapi leo
@joelnyongesa8925 Жыл бұрын
I like dancing wooow,, God bless you all
@SaidiJuma-j3z6 ай бұрын
Dunia imeoza mashetani mayo yanaimba kwaya gani iyo iriojaa matendo yakishetani amfati bibiria mnafata matakwa yenu
@ananialayton63506 ай бұрын
Acha chuki binafsi na usiiishi kwa kukalilishwa vitu soma neno nalo neno likuweke huru
@elizabethmbombo3990 Жыл бұрын
Absolutely amazing.
@davidkisalimwala9458 Жыл бұрын
AMAZING MY GOD THE VOCALS IS THE BEST OF THE BEST THE SOLOIST MY GOD THANKS FOR DOING A GOOD SERVICE TO THE SONG NGAO YANGU........................................................NAPENDA SANA 👏👏👏👏👏👏👏👏
@henryjulius9512 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainuaa nawapenda
@lenardmuhindi8899 Жыл бұрын
I love your dance moves
@queenlaiza95372 жыл бұрын
Nawapenda saana 🥰🥰🥰🥰
@jwriunguriungu1871 Жыл бұрын
Amina🙌🙇♀️🤲🙏 apewe sifa Yesu!…….
@angelahamala513210 ай бұрын
from uganda, is there an audio for this song, its a nice one i play it every day. God bless you people
@naomindolo9291 Жыл бұрын
Everything is good, May the Almighty LORD Take you to great Levels in JESUS MIGHTY NAME AMEN
@humphreymsengi6686 Жыл бұрын
Nimeanza kuwafuatilia. Mnatisha🤣
@DRITNEC-bg8pw Жыл бұрын
Next time mshone nguo au sare za rangi moja mnapendeza sana.
@hellenwangari9050 Жыл бұрын
Wao
@milliumjohn8955 Жыл бұрын
amazing songs
@ibrahimnalsis1672 Жыл бұрын
hongeri sana
@joshuajustustz2 жыл бұрын
My favorite song
@nisaykyalo4843 Жыл бұрын
nampenda Sana huyu dada anaeimbisha mweupe alafu mwembamba
@esthermutua7911 Жыл бұрын
Wow 🥰
@josepheliya9453 Жыл бұрын
Bwana ni mwema sana mpo poa
@nkwimbashija1256 Жыл бұрын
masolorist mmejua kunifurahisha am enjoying every moment when am trying to sing like them daaaahhh😘😘😘😘😘
@BarakaWaya2 жыл бұрын
Sasa mmenifurahisha
@marynasson45042 жыл бұрын
Mungu akubarki bro
@nellyvumiliahamisi3381 Жыл бұрын
Nyimbo inanibariki sana
@angelsamwel8719 Жыл бұрын
Jaman mubarikiwe sana mumependeza sana❤
@JoyceShayo-b7j Жыл бұрын
Napata upako
@stellamakani55202 жыл бұрын
Nicee
@msloishie8861 Жыл бұрын
I want to join this church just to be listening to this choir! Which church is this?
@princessjessica3897 Жыл бұрын
Wonderful song, but these woman need to work on breaching, black and white