Kama ulikuwa unamkubali DK magufuli gonga like hapa
@oscarkasalile93674 жыл бұрын
Kamaliza Bundles kwa kufuatilia hotuba zako Nipo tayari nilale na njaa lakini Nijue kwa kila siku unaongea nini. Tulichelewa kupata Rais kama wewe. Najua wewe ni zawadi kutoka kwa mungu Mungu akulinde.
@mourinhonyamkekwa35687 ай бұрын
Comment yako nimesoma zaidi ya mara tatu alikua zawadi kutoka kwa mungu 😢
@emmanuelellymwakyusa29005 ай бұрын
una akili saaana mpwa JPM alale pema
@lucasmhagama81664 ай бұрын
Daah pole sana
@user-vv6pr4bj8p17 күн бұрын
Tanzanian failed to protect this kind man
@emmanuelellymwakyusa29005 ай бұрын
missing you BABA haya mambo yalitupa UNDANI na UWAZI wa mambo ya WAJIBU na HAKI 😢😢😢😌😌😌🇹🇿
@user-vz7fc3vn9p6 ай бұрын
Mimi mkenya lakini namlilia hayati raisi John pombe Magufuli. JEMBE kweli. Pumzika Kwa amani.
@stevek83185 жыл бұрын
I'm addicted to watching this man from kenya. Wa! Ndume huyu mh. Rais
@masunga.m.nimloddar98195 жыл бұрын
magufulification big up father the best one in the world🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@thobiasmosha605 жыл бұрын
Rais huyu Mungu ambariki sana.
@user-bc5kt8hh6n6 ай бұрын
Hakika watanzania hatutapata kiongoz kama JPM tuzidi kumuombea alale salama😭😭😭😭
@SamwelJoseph-yk3cw6 ай бұрын
Tutampata tuu
@luciasospeter68973 ай бұрын
Tuombe Mungu .kwenye stoo yake naamini anao wazuri atatupa
@RizikiRiziki-bp6dx2 ай бұрын
@@luciasospeter6897Amen
@user-bl2yf8ef4t5 ай бұрын
Laisi mwenye hakili ndomaana uchumi ulipanda alikua na hakilii❤
@princesstaes54836 ай бұрын
Nimelia mnooooo😭😭😭😭😭😭we miss you daddy😢
@user-dh4iz7yb8h6 ай бұрын
Bado tunakupenda mungu ailaze rohoyako mahal pema pepon
@sahiamohamed91725 жыл бұрын
Siku zote hizo ulikua wapi mzee pole sana kwa kazi nzito unayoifanya wanaokupinga niwale ambao wamekosa myanya ya upigaji lkn wala usishtuke coz bado ni wachache ktk nchi yetu na hawana nafasi
@HusseinNyongaa7 ай бұрын
Allah ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
@user-nj1jd6zy8e5 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi Rais wetu
@benjaminjackson85676 ай бұрын
Hata Mimi ningechangia laki 5 maaana ni kwa maendeleo ya Taifa letu uzalendo kwanza, RIP John
@ClementinakapewaLihepali-pg5lo7 ай бұрын
Baba tunakukumbuka tunalia kwa uzslendo wako Mungu akuangszie nuru ya USO wake
@gorgonusshayo9204 ай бұрын
Maguful huwez kumfananisha kimaendeleo na mtu yeyote . wengn wapuuz tuu
@nuurinkluge75844 жыл бұрын
🤣🤣👍🙏magufuli his are very good Präsident..anajua hizo watu zinapata lushwa kwaleo zakomeshwa pesa yote yatoka 💝
@katabaroonlinetv96886 ай бұрын
Dah sikumpa Kura lakini naijutia Kura yangu Bora ningempa tu
@josephnchunga30195 жыл бұрын
Najivunia kuwa na rais mwenye maono
@bennie72396 күн бұрын
Next Magufulificationilists notes tunazo tuendelee kula pindi....😎✍🏽
@Satier477 ай бұрын
Lala salama mzee ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-he2pk6io4d16 күн бұрын
Vizuri havidumu 😢😢😢😢😢❤ baba pumzika kwa amani 2024 /7/9
@name-or9ll5 жыл бұрын
hapa kazi tuu
@user-wq7pk2xy7nАй бұрын
Ndio rais pekee wa kujivunia.ana upeo wa maendeleo.pumzika baba
@allysanya83466 ай бұрын
Uzidi kuendelea kupumzka kwa Amani mpendwa wetu wa muda wote
@naibei_Tv6 ай бұрын
Hii pressure haiko kenya 🇰🇪 mmekaliwa Tanzania
@naibei_Tv6 ай бұрын
Ruto anaambia moses kuria aty milioni moja na kuria amesema 10k 😅😅😅😅
@user-zv5dg1bq3p5 ай бұрын
Miami ni mukindi nikukumbush baba wawanyonge nalia Mungu nakuomba umulaze kwaamani Raisi ayati magufuli tunakukumbuka😭😭😭😭😭
@enockmaige89362 ай бұрын
Dady I miss you
@masumbukoclement458223 күн бұрын
Tumekukumbuka Baba Magufuri Pumuzika Kwa Mani😢
@davidojuok16087 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
@user-ko7pv1fh7d6 ай бұрын
Hakika mungu Akutunze uko uliko baba twakulilia bado daddy 😭😭
@user-mh9zr8bf6s4 ай бұрын
Tutakukumbuka kwer. Baba yetu hakuna mwingine ira tumuombee makonda kwabadae aje aombe kura awe rahis
@marymgimwa2 ай бұрын
Nakupenda❤🎉 yaani
@neemabenedictor8211Ай бұрын
Aiseee umetuweza baba🙌
@user-ot3cg8lb4l9 ай бұрын
Hakuna kama Magu😢😢😢😢😢😢😢
@shijandobehe49535 ай бұрын
😢😢😢 Tanzania nchi yangu
@emmanuellkfightforjusticea24747 ай бұрын
R I P uncle Mumagu
@johannesmaloda82095 жыл бұрын
Wananchi tunamuelewa...wapigaji mtaelewa tu
@yonakantu65775 жыл бұрын
Uras mzuri sanaa
@noelbryson78405 жыл бұрын
Yona Kantu Kwanin Yona 🤩🤩
@user-pd9cl2xl7e6 ай бұрын
Très bien
@JamalDaudlulyehoАй бұрын
Hakuna Kama uncle magu
@user-jm1kg4lu7b9 ай бұрын
Cha upole mama kipenzi chetu. Maumivu. Ni makubwa roho inauma sana
@getrudankole74456 ай бұрын
Bado unaishi moyoni mwangu😢😢😢😢😢😢😢😢 JPM
@user-yq1fd6ok7e6 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............
@user-en8tj4yz6n4 ай бұрын
Yan tumepoteza mtu muhim sana mungu kwann lakini?
@user-ru6gm2cc5n4 ай бұрын
Mzee aacheni akumbukwe tu kwa mengi aliyoyafanya
@Itarusii5 жыл бұрын
Eti nazitoa hapa hapa!😥😥
@maryaugustor69833 ай бұрын
Rais kama huyu atoke wapi rest in dear brother
@salehemkomwa44005 жыл бұрын
piga kazi haswaaa kama selikali yako ulivyoahidi ila Kilosa mifugo yatusumbua sanna wanalisha mashamba Yetu maksudi mkoa WA morogoro tunaumizwa
@user-yq1fd6ok7e6 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
@vanessajames21923 ай бұрын
I miss you JPM
@KasboyKasmos-md2us6 ай бұрын
😰😰😰mungu akurehemu huko ulipo baba
@percysaid59747 ай бұрын
Hakuna wakufananishwa na Magufuli
@user-yq1fd6ok7e6 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23 🎉
@charlesnzwalla3001 Жыл бұрын
BABA 😢😢
@user-yq1fd6ok7e6 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@petrochundu97024 ай бұрын
😢😢
@AbuuKiumwa8 күн бұрын
Dahhhh
@user-gf9ej9nd8m7 ай бұрын
Pumzika kwa amani ❤❤❤❤
@rehmadamian80205 жыл бұрын
Duh ukiwa na Rais ujipange tu maana hapa kazi tuu
@MastoMasto-iy4nl5 ай бұрын
😢
@yusuphndavanje51922 ай бұрын
Tumemiss sana haya mambo ila ndo basi tena
@zullaicamatola34315 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Raaaha sana wachangishe hao
@LydiaMartine-pm4mw3 ай бұрын
Alekumsalam😅😅😅😅 nmecheka kwel
@aminamwivita76902 ай бұрын
Continue rest in peace
@pollylazmartins96904 ай бұрын
Mcheshi mno prezzo
@mohammadoman89634 ай бұрын
Mie huwa inaniuma sana nilitamani uwepo
@user-jm1kg4lu7b9 ай бұрын
Kipenzi chetu rais nimekukumbuka sana machozi Yamejaa
@gamingbanana97925 жыл бұрын
Magufuli gelezai kwimba mwanza
@user-kp5jy5fy8y9 ай бұрын
😮jamani
@mamboshepea88888 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@user-yr5zg5mq5c6 ай бұрын
Matokeo kidato cha nne 3:19
@mbugamatulanya21497 ай бұрын
Lala xalama baba 🙌 😂😂
@samwelpaschal95275 жыл бұрын
Hadi mke duh
@WolfW-ip6jl4 ай бұрын
KWELI HUYU ALIKUA MWAMBA, MWAMBA KWELI KWELI.
@rukiamadati3366 ай бұрын
Mmh Sina hata chakusema
@alize-nm6jw8 ай бұрын
Rip
@alfredinacharles6243Ай бұрын
Endelea kupumzika kwa amani baba
@user-hh8sc7lu8q4 ай бұрын
Kipenzi cha watanzania
@bushbabytz7 ай бұрын
Inauma natokea kumpenda huyu magufuli baada ya kufa jamani😢
@PaschalMbuzi7 ай бұрын
😅
@vanessajames21923 ай бұрын
😂😂sasa kwann umechelewa kumpenda
@user-kw5tj2bz6g7 ай бұрын
Makin
@eliasthomas15475 ай бұрын
Msifikiri sijaoa.
@JudithMaziku-tf5os8 ай бұрын
Pumzika. Kwa. Amani
@charlesnzwalla3001 Жыл бұрын
Baba
@jahabdallah18295 жыл бұрын
Mimi m south Africa jah hundred thousand rand cash I have it lit now where can send please tomorrow we love you makufuli ninakuja uko morongoro kungombea cheo chochote kile kenye kuwatengenezea wana inchi maisha mazuri kwa watanzania wezetu kwasababu raisi wetu mapema kabisa kampeni tunapita bira jasho mabari amkeni mnayoyataka mnayapata kanali umesiki mjomba sasa tufanyaje kuusu mabaria wote to support makufuli wanaoishi south Africa wote Johannesburg pritoria Portethabert witbank Cape town Durban east London free state wote Richard bay tunaona fanya kazi baba wakimbie kama Sisi walivyo tukimbiza kukumbilia inchi za watu kwa siasa zao kwa manufa yao na watoto zao makufuri awee oyee 👍👏👏
@zainabkizenga81184 жыл бұрын
Waooooo
@EmanuelMwandete-tm9jn6 ай бұрын
No no
@djkellyb55394 ай бұрын
Kiswahili sanf
@NakuYona-kn6us3 ай бұрын
Mh Rip
@twikaleomary58017 ай бұрын
😂😂😂😂
@husseinswalehe38375 ай бұрын
Hakuna kama wewe hata tokea
@johnmartin17053 ай бұрын
Ni wachache
@ShabaniNanyanga-ch3uz7 ай бұрын
P
@barakaabel4826 ай бұрын
Hahahahhahaaaaaaa
@Hashim-tp2ti5 жыл бұрын
Ni kick hzo
@happynesssamwel29174 ай бұрын
Bora Kiki zinazofanya kazi Kuliko Kiki za mabango nchi nzima Zisizofanya kazi
@ChudeSinkala-tn4wo6 ай бұрын
Pppppppppppppp
@user-yq1fd6ok7e6 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@user-yq1fd6ok7e6 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........