Halafu wabunge wakiume mmekaa tuu huyu mama ameongea point sana
@fadhiliibrahim97024 ай бұрын
Wabunge wa Iringa Mjini ni fire tulikua na Msigwa sasa Msambatavangu mwendo ni huu 🔥
@JoelMajura4 ай бұрын
Mama jesca Toka nilipokuwa iringa ukawa unapiga kampeni nilikuona wamaana adi leo nkukubli mama wa iringa ongera kwa kupewa upeo kama uo unaongea vtu fact sana salute kwako
@JoelMajura4 ай бұрын
Mama msavatavangu ni kweli kbsa kwa sababu tunateswa sana na wanawake wanapewa kipaumbele Sana kuliko sisi ata ukipenda polisi ukiwa hauna kosa ila utagandamizwa na mwanamke kutetewa sana
@mariamarywenslaus29384 ай бұрын
Kwqhy wakamtunza nakumtunza pesa ameongea pointi sanaaa ni kweli❤❤❤😂😂😂😅
@johnsonmichael9454 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa MUNGU akubarik san haki saw
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Nakupenda sanaaaa wewe Mbunge unafanya kazi sana huko Bungeni na upate Ubunge kila wakati Jessica
Nimekupenda sana mama. Yaani sijui nikupe mau kiasi gani.
@ibrayomapenzi70484 ай бұрын
JAMANI TUMCHANGIE BEI GANII HUYUUUU MADAM
@mbarakaabdallah65264 ай бұрын
Daaah huyu dada anaakili sana aisee hii ni sababu kubwa ya ushoga na single mother
@Commentsplus4 ай бұрын
Pointi 10000000000000%
@justinesima22214 ай бұрын
Vizuri sana Mbunge natamani upate mdamrefu zaidi wa kuwa bungeni
@mariamarywenslaus29384 ай бұрын
Big up mama loveeeeeeee moreeee
@husseinjosephitocho67544 ай бұрын
ni kweli kabisa mama mtoto wa kiume anasaaulika sana
@mbarakaabdallah65264 ай бұрын
Jamani nawaomba nyie wananchi wenye huyu mbunge mumpitishe tena 2025 ana vitu vingi sana atawafikisha mbali sana
@stanleymanya4384 ай бұрын
Mungu akubariki mama
@davidpeter80994 ай бұрын
Hivi huyu kigwangara ni mwanaume au ni upinde wenye cheo cha uwaziri
@George-jz3jg4 ай бұрын
Naomba vijana wa iringa mjini nawaombeni baada ya bunge la bajeti hii kuisha wakampokee mbunge wao kwa maandamano pale zinapoanzia kona za nyang'olo mkiniunga mkono wazo langu na mimi nitakuja kuambatana na nyie kwenye hayo mapokezi
Mhe.Uko sahihi mno,Mungu akubariki! unaujua UKWELI,wewe ni mama halisi,wakati mibaba imekaa kimya eti!
@George-jz3jg4 ай бұрын
Kigwangala we siku hizi utakuwa shoga tena utakuwa unapigwa nyuma wewe
@africayetutv3294 ай бұрын
Kama mnakumbuka vizuri Ndugai alishawahi kuwambia wengi wakamuundama, ukweli Mimi nilijua tangu mwanzo wliposema tu wanawake ndio kipaumbele kwa kila kitu sasa ona yameanza
@kelvinmhanga30524 ай бұрын
mtoa taarifa kakurupuka au katika usingizini alitaka kumharibia pozi tu mama yetu
@gosbertireneus55584 ай бұрын
ninawasiwasi na kigwangala kama ni mwanaume kwa uhalisia wake,Mh Jesca anatetea wanaume halafu mwanaume badala ya kuongeza moto eti oooh watunga sera .....hovyooo kabisa
@mosesbarnaba78514 ай бұрын
Safi sana Mama angu
@edgarkeya4374 ай бұрын
saf sana msambatwa
@FaidikaSamwel4 ай бұрын
Sitisheni msaada tubaki na utamaduni wetu mama sema wambie ukweli
@geey78934 ай бұрын
Kigwangala anazidi kujizika😅
@francismigongwa41464 ай бұрын
Mama umeongea point maua yako yanakuhusu
@Mweya-874 ай бұрын
Sauti ya wanaume imesikika
@UrassaPaschal4 ай бұрын
Mama Mungu akutunze pale unapoteleza kama bin Adam akusamehe huwa unachangia vizuri
@EdwardMazuri4 ай бұрын
Tunataka wabunge wa aina hii wenye uwezo wa kuchangia bila uoga na kwa point
@HuseniMsumba4 ай бұрын
DU!WEWE MBUNGE UNAAKILI SANA MITANO TENA IKIWEZE KANA UPEWE HIYO WIZARA UNA MAONO SANA NIMEKUPENDA SANA😂,
@meshackmwalongo97984 ай бұрын
Tungepata mbunge kama huyu Jimbo lanjombe tungejivunia sana
@AndrewShiratu3 ай бұрын
Yaani kama wabunge mtapitisha hiyo.mkaacha kuikubari hoja ya huyo mbunge mtakuwa hamna akiri.huyo mbunge yupo sawa kabisa
@MagetaNilla-sy8nz4 ай бұрын
Na liling'ang'ana mdamlefu taarifaa taarifaa😂 hivi hilo janaume limefikaje bungeni😇😇😇😇🚮
@PartySekemi4 ай бұрын
Kabisa kabisa na ndio maana waziri anakuja kututania eti aje kuigza bungeni 😢😢😢
@EdwardSamson-uf1ee4 ай бұрын
Hawa ndo wabunge sasa. Sio hii mibaba imekaa tu hapo
@Worldunite4 ай бұрын
Yaani hapo umenena mamaaaa, ndo maana miaka hii wanawake wamepata viburi mnooo
@AbdullatifMbago-cn3pc4 ай бұрын
Huyu mama huwa namkubal sana alisema sitaki usenge
@dianamakatu92984 ай бұрын
Apewe ulinzi dada umenigusa sana dada .tanzania tunataka wabunge kama hawa .
@abdulmagido54444 ай бұрын
Mama yangu Mungu amekuona kigangwala umechemsha jumla au ndio fedha za ngo ndio zinawatoa akili mkumbuke mtahukumiwa baada ya maisha ya hapa duniani
@lembricesaravo35434 ай бұрын
Wizara kadhaa zimekuwa weak na zinafanya kazi kwa juujuu tu. Hii wizara nayo pia haitendiwi haki✅
@nelsonluwiana104 ай бұрын
Hongera Sanaa mama umeongea maneno ya ukweli kabisaa
@MaxmilianKachatilo4 ай бұрын
Safi sana
@merygodfrey37094 ай бұрын
Yaani mheshiiwa pokea mauwa yako.Watoto wa kiume wamekuwa na msongo wa mawazo Hawajielewi sana.Kwasababu wamenyanyapaliwa kila sehemu.Si kwenye Elimu si kwenye ajira.Wasichana wanajengewa mabweni ili wasibakwe,lakini wanaume !!!!!!😂😂😂Umenisemea Mungu akubariki maana mimi nina watoto wa kiume tuuuu jamani Pokea mauwa yako.
@Fundi123454 ай бұрын
Yani huyo mweshimiwa kaona mbari san selikali haijawahi kungundua hiloooo kabisa wanadili na wamama tu ajabu kabi. Wanaume walio kabizuwa dunia hawapo poreni wanaotaka 50,50 sheria ya magaribi wamerizi tz poren sana nawataka babunge wenye akili kama huyo mama wako wapi ?
@abouuwaysrajab85792 ай бұрын
na hiyo ndio sababu ya ndoa kutodumu wanawake wanye kipato kuolewa na wanaume hali ngumj....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abouuwaysrajab85792 ай бұрын
na nidhamu alio iweka mwenyez mungu ni kuwa mwanaume ni msimamizi wa mwanamke ..ikiwa kinyume basi meli itashiba maji tu...taifafa litapiga muheleka ktk... magonjwa, maasi , majanga, ushoga, uchumi.. Mama kasema kweli kwa maoni yangu
@fazeelshomary87434 ай бұрын
Hivi huyu Kigwa mbona anaongea mambo ya ajabu aisee?
@Anithawilielemi-uh3ww4 ай бұрын
You are perfect Mama,Mrs:Gwajima has been showing weaknesses all along
@amosibilingi42994 ай бұрын
We hujui tu, mh. Gwajima ndo muumini mkubwa wa hayo anayosema jesca, ila sema anafuata maelekezo ya mh. Rais, ila moyo wake hauko huko kabisa, jaribu kufuatilia hotuba mbalimbali alizowahi kuongea utagundua hili.
@edwinbuganga32054 ай бұрын
Ngoja sasa aambiwe ukweli
@sponsor78824 ай бұрын
anamuogopa mama
@EdwardSamson-uf1ee4 ай бұрын
@@amosibilingi4299 uUko sahihi sana. hizi ofisimzina mambo mengi sana
@mussaananiasmyonga7274 ай бұрын
Mmmmmmh!!!
@thomaskitemi32834 ай бұрын
Kingwangwala hapo umechemka
@EdwardKwiyanga4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki kwa viwango vikubwa kwa msaada wako wa TAIFA
@gosbertrwezahura36454 ай бұрын
Mama uko vizuri. Hao wapumbavu wamepewa hela na wazungu ndo wanapanga mambo ya upuuzi.
@mgosimkome92424 ай бұрын
Asante sana Mh mbunge Hawa ndo wabunge Sasa kwenye jamii, mbunge anaongea hadi unasikia hisia kweli mtu kaongea. Na kweli Tunakoelekea kutakuwa hakuna kuolewa au kuoa maana wanaume tumetekwa madaraka na wanawake, ni lazima tuweke usawa kwa jinsia zote mbili.
@issaidrisamusa59624 ай бұрын
Aliyetoa taarifa ka senge hivi. Yaani mama anaongea point yeye anakuja na usimba na uyanga
@sponsor78824 ай бұрын
wasagaji ni wengi sna cku izi
@ellyemily42344 ай бұрын
Yaani provider anaachwa kwenye mambo ya uchumii ... alafu watu wake wanakuzinguaa ukishindwa lea watoto unashikwaa
@jacksonrabson64394 ай бұрын
KIGWANGARA kawaje????
@DAUDIMAKARANGA4 ай бұрын
Mama nimekuelewa chkua maua mama,
@robertombewa51094 ай бұрын
Mpeni mauwa yake
@AbdalahMsaga-wf6zlАй бұрын
Mwenyez mungu mjaalie maixha malef ila naogopa wasije wakamuua maana tanzani haitak metetez na viongoz wameridhika et
@AbdalahMsaga-wf6zlАй бұрын
Kwanin ras asiulizwe yeye anaweza? Au mmewe anaweza? Bas kama hawawez watamke hadhalan kuua mpngo wa junxia 1 ?
@emmanuelmwaipopo30394 ай бұрын
Nashangaa taarifa imetoka kwa mwanaume alafu dakatari😂
@geey78934 ай бұрын
Huyu Mama hanaga kazi Chafu. Ni spana tuu, sio akina Babutale machawa
@kakanicodemus36324 ай бұрын
Na huu ndo mfumo ulio asisiwa na Mungu wa Mbinguni. Protocol za kifamilia zinapoharibika ndo mambo ya ushoga na mengineyo yanapokuja
@willymwaipaja67834 ай бұрын
Mungu amesema mwanamume aishi na mke kwa akili maana mke ni rahisi sana kugeuza maneno ya Mungu na kuchukua ya shetani na kumshahiwshi mume nae akubali. Leo wanawake wamechukua neno la shetani la kupinga ukichwa wa mume katika kumpinga Mungu alieagiza hivyo. Kama Adamu wanaume wameungana na wanawake kuidhinisha kuwapandisha juu wanawake dhidi ya wanaume. Mwanaume yeyote asie na akili za kumtambua mwanamke alivyo ataona anafanya vyema kumwitikia mwanamke. Na hoja kuu ya mwanamke ni mwili wake wenye kuvutia na wala si maneno yake, na ndio maaana wanawake wanajitahidi sana kujionyesha miili yao maana ndio hoja yao kuu ya kuwashawishi wanaume kama alivyonaswa Adam, Daud, Samson, Seleman n.k. Wanawake wana mvuto mkubwa sana ambao mwanamume rahisi kuvutwa nao. Bahati mbaya mvuto huo wanautumia kupinga neno la Mungu na kumvuta mume nae aungane nao. Ndio maana utaona makanisa mengi yenye mafundisho potofu kinyume na neno la Mungu waumini wake wengi ni wanawake, wanaume wanavutwa humo na wanawake. Kadhalika hapo bungeni wanaume wamenywea wala hawasemi chochote kwa sababu hawapendi wajulikane na wanawake kuwa wanawapinga wakihofia vyeo vyao na kununiwa na wanawake wabunge na mawaziri. Eti unalisikia lijanamume lisilojitambua linakubaliana na hila za wanawake dhidi ya wanaume. Wanawake wengi wanatambua vita vyao dhidi ya wanaume, lakini wanaume wanaunga mkono vita hivi pasipo kujitambua na hivyo kuidhinisha na kuunga mkono vita vya rohoni dhidi ya Mungu. Shetani anapinga neno la Mungu la ukichwa wa mwanamume akiwatumia wanawake wasiomcha Mungu. Hongereni sana kina mama wenye hofu ya kweli ya Mungu maana hao ndio jeshi kubwa. Mungu akusaidie mama wewe na familia yako usifuate kamwe kimbunga hiki cha haki batili za wanawake zinazowasomba wanawake wengu hukumuni. Fedha za bajeti hiyo ni mpango wa wazungu, na ndipo wasiojitambua wanayakumbatia na kuifanyia harakati. Shetani anajua kuwa mume ni jasiri wa kukemea uovu wa watoto kuliko mama. Hivyo ili utovu wa adabu wa watoto na wanawake uendelee pasipo kipingamizi, ni lazima mwanaume aondolewe ukichwa wake kwenye familia na jamii kwa ujumla. Nchi yoyote ambayo wanaume wameondolewa ukichwa wao, maadili huko yako sifuli. Ndiko tunakoelekea na tunasukumwa zaidi kwenye hili. Kinachofuata ni kushuhudia majanga kila iitwapo leo.
@issaidrisamusa59624 ай бұрын
Mama umetuongelea vema kabisa , maana jamii kazi kutunyooshea vidole tu watu wanapo left group . Ila kumbe serikali ndio inaamua kutudidimiza kwa makusudi
@bonifacemphumuhila4 ай бұрын
Maskini Kingwangala Dr wangu unashindwa hekima na mwanamke! Nilidhani madaktari wanaakili kumbe unatuabisha wenziyo!
@raymondmjebe24124 ай бұрын
watoto wa kiume tumesahaurika sana izi NGO'S zinapotuplek ni ovyoo sanaa aseh sjui tunatengenez jeshi la namna gani apo mbeleni
@hassanmatumba52724 ай бұрын
Maneno yako yataishi mh Jesca, critically said
@azorheradius86814 ай бұрын
Duuuh kumbe kuna wanawake wenye mawazomazuri kiasi hiki. Tatizo ni kwamba wako wachache sana. Hongera sana mama, wewe ni wa pekee, uelewa wako uko juu sana
@EdwardSamson-uf1ee4 ай бұрын
Kiukweli dunia inaua kwa nguvu kubwa sana Uanaume ndani ya wanawaume"Masculinity". Harakati zote na mipango yote ni kwa wanawake na watoto vijana na wanaume nobody care. kila uchwao zina jengwa shule za wanawake ila hakuna anae wajali wanaume. ani mwanaume hakuna anae mjali hata
@rogerioathumani90844 ай бұрын
Huyu mama yuko sahihi kabisa kunamuda watu wanapaswa kufanya uchunguzi watakubaliana na maneno ya huyu mama Asante mama nyie ndio wabunge mnao stahili kwenye bunge letu
@nasrqmatimbwa66884 ай бұрын
Iv kigwangala mbuge Wawapi vip serikali haion haja kwenda kujenga milembe kwenye Jimbo la kigangwala,maaana Nina mashaka na wananchi wake
@BonifaceHassan-j5m4 ай бұрын
Msambtavangu,hongera sana! Una akili timamu hasaa !
@TooPerfect234 ай бұрын
Huyu mama kwanini asipewe wizara ya wanaume kabisa. Inaonekana ana vitu vizuri mno.
@lukasmaro42804 ай бұрын
Wabunge kama hawa hata wasipofanya kampeni Warudisheni Bungeni mtakuja kunishukur💝💐💐💐🙏
@jayzeem144 ай бұрын
Kigangwala yuko sahihi lakini haizuii kuweka mikakati ya kuwahusu wanaume na Vijana kwenye maeneo yenye changamoto
@TejonnNdile4 ай бұрын
Safi sana mbunge makin Kwa hapo nakupa zote Tanzania tunapotea sana, ukiwaacha wanaume hakuna jamii hapo
@nestorymanyama4 ай бұрын
Safi sana Mama...na Mungu wa Mbinguni Akubarik
@moseskita42514 ай бұрын
Wewe ndo mbunge sasa na unajielewa na unauwezo mkubwa sana wa kutatua changamoto katika jamii kwa ku deal na chanzo
@AbdalahMsaga-wf6zlАй бұрын
Mama shkamoo mimi nakuelewa sana iv huyu rais haon haya? Au kuana maslah anapta kwake
@janengowi-lt9gu4 ай бұрын
Wanaochangia maswala ya ushoga waongezewe muda mnakimbilia wapi taifa linaangamia
@nizarmanji53434 ай бұрын
My dear upo juu mno!mawinguni!!yaani kama kungekuwa na usajili mimi ningekusajili uwe mbunge wetu..yaani wewe ni mwakilishi wa watu na unamuogopa mungu..hizi sera za dunia za kishetani zinamtenga mwanaume kwa makusudi kumshoofisha mwanaume ambae ndie aliepewa mamlaka ktk dunia hii ...na ndio maana mambo ya hovyo yanazidi kusambaa ikiwemo ushoga na usagaji...lakini pia kutengeneza wanaume tegemezi kwa mijimama halafu tunalia lia
@DanieljobPeter4 ай бұрын
Nafikiri huyu mama anastahiri kuikalia nafasi ya huyo gwajima anastahiri😮😮😮
@yohanamnyeti72224 ай бұрын
😂mimi nilichoshangaa ni mtoa taarifa nae kupiga makofi baada ya mongering kukaa
@titusmwilombe93324 ай бұрын
Mama umeng'ara kwa hoja. Umeshinda zaidi ya kushinda.
@alphoncejoseph54134 ай бұрын
Uyu kigangwala afai kabisaaa yaani anatoa taarifa gani shenziii kabisaa
@PauloAlfayo-qi1gn4 ай бұрын
Hao wanaume wanatulia maan a wao tayari ni wabunge,ila ngoja watakuja kutuomba kura
@wokovumwazembe35054 ай бұрын
Hakika iringa inapata watu sahihi Sana yaani huyu mama na Msingwa wako sawa kabisa hongera Sana Mama Mungu akubariki