WAZIRI SILAA MTEGONI, SAKATA LA KUBOMOA GHOROFA, WAKILI AELEZA HADHARANI"TUMEWASHITAKI"

  Рет қаралды 13,634

Uhondo TV

Uhondo TV

4 ай бұрын

#uhondotv #uhondo

Пікірлер: 92
@geraldndila5172
@geraldndila5172 4 ай бұрын
Wakili Mimi nimekuelewa sana, kwamba huyo nimteja wako 😂😂😂 tetea ugali wako bana, maana nyie hamshindwi kutetea hata muuajiaji aliye ua ukishuhudia wewe mwenyewe, akiJa kwako utatetea nakusema hajauaa😂😂😂😂
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 4 ай бұрын
Siasa ndani ya sheria na sheria ndani ya siasa hatua ya mwisho amri
@OdriaKabati
@OdriaKabati 3 ай бұрын
Kama unasumbuliwa nanjaa fanyakazi upatepesa utapeli utakupeleka pabaya sana mheshimiwa waziri silaa kazi nzuri sana endelea kutetea haki zabinadam hakiza wanyongwe
@elizabethmakaranga218
@elizabethmakaranga218 4 ай бұрын
Ukiuwa kwa upanga nawe utakufa kwa upanga mungu atusaidie jamani ,aridhi yenyewe inakuja kutubana wanadamu mwisho wa maisha amina huruma yako mungu inahitajika
@IddyZohan
@IddyZohan 4 ай бұрын
Huyu hana lolote tapeli tu maneno matupu 😂😂😂
@user-fv4zw5ki3x
@user-fv4zw5ki3x 4 ай бұрын
Waziri yuko good sana
@omarimwande6468
@omarimwande6468 4 ай бұрын
Muda wa kuwazulumu wanyonge umeisha njsa inakusumbus wanaotoa hati ndo wamebomos acha janjajanja
@Tzn255
@Tzn255 2 ай бұрын
mzee wangu ogopa sana neno linaitwa haki ni zaidi ya sheria.
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 ай бұрын
NENDA MAHAKAMANI WEWE,USIONGEE MTANDAONI 😅😅😅😅😅
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 4 ай бұрын
Hakuna ukweli huu utajulikana uzuri sira nae mkubwa Acha vitisho tunampenda waziri tena bomoa tenana
@NesphorycharlesMalando-dq2qc
@NesphorycharlesMalando-dq2qc 4 ай бұрын
We kalale hyo imeenda!!
@Serenawilson11
@Serenawilson11 4 ай бұрын
Huyu nae kashatumwa ndio walewale wa kuwaibia wanyonge
@eliaschipanda2006
@eliaschipanda2006 4 ай бұрын
Nini maana ya mahakama?Au nchi imekosa taratibu za kuongoza nchi. Waziri si yo mahakama.
@Lordmartin
@Lordmartin 4 ай бұрын
Somo muhimu hapa ni hati.. Jina lako lisome kama mmiliki wa kipande cha ardhi kwenye kazi data za wizara.. Ukipoteza hati haimaanishi kuwa sio mmiliki, unafata taratibu kuomba nyingine...
@JumaAbdalla-xm9pb
@JumaAbdalla-xm9pb 4 ай бұрын
Waziri uko vizuri
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 4 ай бұрын
Ikumbukwe Waziri awezi kukurupuka kuvunja nyumba ya mtu pasipo kuwa na uhilisia wa jambo.Kajipande upya bwana Wakili
@JERRYHAMISI
@JERRYHAMISI Ай бұрын
Wazir yupo saw
@JumaAbdalla-xm9pb
@JumaAbdalla-xm9pb 4 ай бұрын
Katika watu ovyo ni nyinyi mawakili coz mtu anauwa ila nyinyi mnamtetea kwa ajili ya matumbo yenu
@daudimchileg307
@daudimchileg307 4 ай бұрын
Nakuonea huruma, unaweza kuwa na siku chache za kuishi, kesi zipo nyingi saana achana na hiyo, unaowashitaki ndiyo waendesha mashitaka.
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 4 ай бұрын
Wacha vitisho kwenye mitandaoni nenda mahakamani
@JERRYHAMISI
@JERRYHAMISI Ай бұрын
Nenda mahakaman wew
@eppiemodest
@eppiemodest 4 ай бұрын
Hata asiyemwelewa ataelewa kuwa plots za watu hawajengelewi na wasiohusika.
@IgerekeRamson
@IgerekeRamson 2 ай бұрын
Njaaaa inakusumbua
@issaramadhaniathuman
@issaramadhaniathuman 4 ай бұрын
Sasa hapo Naomi aliingiaje maana mmiliki wakwanza alikuwa kampun flan ana wpili2 alikuwa mjeda mustaafu na wtatu alikuwa huyu jonson vp Hawa owote hawakuwa na hati nao kuacha w sasa na jeeh hapa Naomi alimiliki wakati upi maana hapa kwenye maelezo YAKO unedili ana mjeshi kampuni na jonson vp Naomi unae muongelea alimiliki wapi sasa ?
@IdanIsack-ko6ye
@IdanIsack-ko6ye 4 ай бұрын
Waziri anakurupuka umarufu auji kwa utiana asala atenguliwe na alipe jenge la watu
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 4 ай бұрын
Wewe ndio unakurupuka kukoment kwenye swala usilolijua
@ElirehemaMbise-zm3pm
@ElirehemaMbise-zm3pm 4 ай бұрын
Acheni kudhulumu watu wanyonge ata upige mbiu uwezi sikika mana huna ukweli wowote unao taka kutuambia zaidi tu ya kutudanganya
@eppiemodest
@eppiemodest 4 ай бұрын
Huwezi kujenga juu ya plot ya mtu. Sheria zinakataa.
@ShabaniHaruna-ul6yu
@ShabaniHaruna-ul6yu 4 ай бұрын
Ttz sio juu ya mtu shida Ipo kwenye Sheria nani anatambulika na Sheria za mahakama
@JumaAbdalla-xm9pb
@JumaAbdalla-xm9pb 4 ай бұрын
Wakili ushakula hela ya mteja wko lakini kwa hili umechemka
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 4 ай бұрын
Achaaa njaaa wewee Arivooo zurumuu urijiskiajeee utapeeii umefikaa mwishoo achaa kutetea maofuuu wewe
@twix1404
@twix1404 4 ай бұрын
Acha kelele wewe wananchi tumeshamjua pateli huyo anaonea wanyonge. Mnahongwa ili kumkandamiza Naomi na hvi mneona ni mwananke basi tena na sasa ameumbuka, na bado wiziri usitishike tusaidie masikini❤❤❤
@daudintandu7038
@daudintandu7038 3 ай бұрын
Commissioner wa ardhi alimnyima hati,kama ambavyo wakili anaeleza,je alianzaje kujenga hilo jengo?au utapewaje kibali Cha kunza ujenzi kabla ya kupata hati kiewnja?? Hapo Kuna jambo ambalo halijakaa sawa
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 4 ай бұрын
Hata kama sijui sheria ila kwa hiki amekiuka wajibu wake kwanini asingepewa kisheria hiyo gorofa anaedai mahakama ndiyo inaweza toa kibali sibora hata wangengeuza NHC wampe hela huyo mama
@Shabani-ke6mi
@Shabani-ke6mi 3 ай бұрын
Nimesoma komenti nimegundua Tanzania watuwake wanashida tena sio ndogo shida kubwa sana
@user-oc5lb8lk4y
@user-oc5lb8lk4y 2 ай бұрын
Ni hasara kumbwa sana. Pia wanao tulundisha nyuma ni wakirili wanamdaganya watu walitakiwa wasaidie lakini wanakuwa na tamaa wengine wanafanya kazi vizuri laki lundi wanahalibu kila kitu wanalundisha Tanzania nyuma. Kwa sababu wame hapisho kusema hukweli lakini wana alibu kila kitu nigeomba serekari kuwagalia vizuri au mawakiri ni hasara sana 😂😂
@michaelkisesa3959
@michaelkisesa3959 3 ай бұрын
Wakili anatetea ugali na ndio kazi yake, waziri ni taasisi na ndio maana alienda na mkuu wa wilaya na kamishina wa ardhi alikuwepo hivyo waziri hawezi kumuonea mtu.
@user-tc5vt1om5t
@user-tc5vt1om5t 3 ай бұрын
Mawakili hawataingia mbinguni.
@AmaniMuhomi-uz2lk
@AmaniMuhomi-uz2lk 4 ай бұрын
Wakili hapo unamlia mteja wako hela bure,siku hizi mnashirikiana na matapeli kudhulumu watu haki zao hasa ukijua hana uwezo wa kujiteteta. Mm ninao ushahidi mawakili mnashirikiana na mahakimu kudhulumu watu
@rynerlinuma8484
@rynerlinuma8484 4 ай бұрын
Mbona tarehe na Siku unazoraja sio sawa?
@nainahcharles8658
@nainahcharles8658 4 ай бұрын
Waziri angeita pande zote 2 wakiwa na vielelezo vyao kabla ya ubomoaji.
@chrisekonga9092
@chrisekonga9092 4 ай бұрын
Kabisa yaaani
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 ай бұрын
WAZIRI KUNA JAMBO ANALIJUA!SIO MJINGA KABISA...WE UTAONA ITAKAVYO KUWA...
@peterbalyagati7834
@peterbalyagati7834 4 ай бұрын
Uhondo Tv, kama unataka kubalace hii habari, tunaomba mtafute Naomi Muulize alipataje hati, na alingiaje kwenye hiki kiwanja. Kama wasikilizaji tuweze kujua vizuri
@OdriaKabati
@OdriaKabati 3 ай бұрын
Lekebisha kaulizako wewe kwan ww umiongoni mwawale matapeli ambao mhe waziri silaa anawa umbuwa mlizoweya kuwatapeli wanyonge wasioweza kujitetea kutokana na umaskin wao na kuwapa haki matajili sasa mmepata kiboko yenu unasamin pesa kuliko utu
@chrisekonga9092
@chrisekonga9092 4 ай бұрын
Katika Maisha tunatakiwa kujifunza kusikiliza pande mbili ili kupata sululisho sahihi,
@belak999
@belak999 4 ай бұрын
Huyu Johnson acha avune alichopanda, naamini alichofanya ni sahihi aliwahi nitapeli simu yangu ya milion 1.2 mwaka 2009.
@pendoyese4452
@pendoyese4452 4 ай бұрын
Duuu kumbe ndiyo tabia yake siyo
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 4 ай бұрын
Njaaa mbaya
@mohameddikaluka3162
@mohameddikaluka3162 4 ай бұрын
Wewe umeongea bado waziri atujamsikiliza msema peka ushinda,
@malkavoice2570
@malkavoice2570 4 ай бұрын
Hao ndio ccm bhana. Ukisikia maamuzi yao dhidi ya haki ye yote lazima yawe na harufu ya rushwa,undugu,kujuana,urafiki,udini na userikali ndani yake usipokuwa kati yao huna chako. Hapa ni wazi kwama Kamishna anakula Naomi na Angel so hapa Jonson anamigogoro na mademu ya mmiliki wa ardhi ya bongo
@ushindimbwilo1398
@ushindimbwilo1398 4 ай бұрын
Hakuna kesi hapo posho zinawasumbua watu.. njaa hizi
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 4 ай бұрын
Unaongea unanjaa wakili feki. Sasa mwenye kiwanja chake nae awake wakili. Acha njaa
@charleskimbi8344
@charleskimbi8344 4 ай бұрын
Unaonesha umekunya supu yautumbo lazima uongee utumbo
@claudbusumilo3979
@claudbusumilo3979 4 ай бұрын
MATAPELI NYIE MAWAKILI FEKI ATA MTU AMEUA MNATETEAGA TU HUYO MTEJA WAKO NI TAPELI MWENZIO KWA MJIBU WA WAWAZIRI
@aggreyprince3983
@aggreyprince3983 4 ай бұрын
Huo ni ujeuli wa cheo hajui kama walio kwepo kabla yake walipita naye atapita Msiwe na shaka.
@ClementinaHabineza
@ClementinaHabineza 4 ай бұрын
Huwezi kudhurimu mtu cyake ukaka namani kbx arifanya poa
@estheroscar6520
@estheroscar6520 4 ай бұрын
Mimi cku nikikuona nakuweka mgongoni kama Mtoto wazili slaa safi
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 4 ай бұрын
Rais unasikiliza history ebu weka uchunguzi basi usikae kimya kwann jerry anaonea watu
@user-pc3bn3ei4o
@user-pc3bn3ei4o 4 ай бұрын
Kamishana atatoaje hati ya kiwanja chenye migogoro?
@jtheophil5499
@jtheophil5499 4 ай бұрын
Wakili kanjanja unamlia pesa mteja wako.Hauna huruma wala aibu.Unamtia gharama mara mbili .Kilichokuweka hapo unachumia tumbo ili ulipwe tu.Jifunze kumwambia mteja ukweli.Nyie ndo mawakili mnawadanganya watu wakati ukweli uko wazi.
@user-nh9pj3ts1q
@user-nh9pj3ts1q 3 ай бұрын
Mmezoea kinyanganya nyie
@lydiadaudi4076
@lydiadaudi4076 4 ай бұрын
Mtu anawezaje kufungua kesi kata kisha mahakama kuu bila kupita mahakama ya wilaya, mbona hueleweki mzee wakili
@neemanyagawa3438
@neemanyagawa3438 4 ай бұрын
som vizur sheri na jurisdinction kwenye mamb ya ardhi
@user-fv4zw5ki3x
@user-fv4zw5ki3x 4 ай бұрын
Silva mungu akubariki sanaaaa
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 4 ай бұрын
Uhuni tu mtu anazurumu mnasema mahakama bomowa
@OdriaKabati
@OdriaKabati 3 ай бұрын
Tena ushindwe naulengee katka jinala yesu tapeli mkubwa wewe
@peterbalyagati7834
@peterbalyagati7834 4 ай бұрын
Vile vile angalia maneno ya kuzungumza, uwezi kushauli raisi amtengue, wewe simamia upande wa sheria tu
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 ай бұрын
Viongozi wasiojua mambo wanamdhalilisha Dada yetu Rais Samia
@nurunewz103
@nurunewz103 4 ай бұрын
Kabisa, umaarufu unawasumbuwa.
@ashaali7154
@ashaali7154 4 ай бұрын
Bloko H😂😂😂😂😂 wakili kweli wewe? Laana itakufika kutetea dhuluma wewe
@bernardsaramba4359
@bernardsaramba4359 4 ай бұрын
😂😂
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 4 ай бұрын
Mambo wanayofanya Slaa na Makonda ni hatari kwa usalama na ustawi wa nchi,kitendo cha kudharau amri ya mahakama wazi wazi,ni cha hatari sana,mimi kama mwananchi ninaejitambua namwomba Rais aingilie kati swala hili,maana linachuki binafsi ndani yake na ni very sensitive,lazima serikali iifanye mahakama iaminike vinginevyo inchi itaharibika,na wananchi tuache ushabiki wa kijinga.Tushabikie haki sio mtu,kwa mfano mtu anatengeza vioo chini ya Suma Jkt leo Slaaa anasema alikuwa anajificha anasakwa sasa huo si uongo wa waziri?wananchi tusilete umaskini wetu kwenye haki,kutaka kila mwenye kauwezo asipate haki nae awe maskini,hiyo chuki dhidi ya matajiri imeshaenda zake.
@eppiemodest
@eppiemodest 4 ай бұрын
We sema tu hutafanikiwa.
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 4 ай бұрын
@@eppiemodest Mimmi nishafanikiwa wewe ndo hutafanikiwa kwa kwa wivu wako wa kutaka kila mtu awe maskini kama wewe.
@JumaaRamadhani-ip6kr
@JumaaRamadhani-ip6kr 3 ай бұрын
Mahakama nayo ndoizoizo wanatete matajiri
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 3 ай бұрын
@@eppiemodest Hahahahaaaaa
@peterbalyagati7834
@peterbalyagati7834 4 ай бұрын
Kijana wakili usikate tamaa, tuweze kujuwa ukweli, na imeshakuwa public inaweza kukuinua au kukuangusha, simamia ukweli unaohamini.
@user-mt9wn9zv3j
@user-mt9wn9zv3j 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chichahamis635
@chichahamis635 4 ай бұрын
Wewe ni wakili au mwizi tu
@mpefu_4936
@mpefu_4936 4 ай бұрын
Rushwa watu wamewezeshwa
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 4 ай бұрын
Sisikilizi upumbavu. Kiwanja cha watu icho
@AloisMosha-uv2fu
@AloisMosha-uv2fu 4 ай бұрын
Dawa sasahivi kuwaloga tuu
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 4 ай бұрын
Mtegoni wap? Acheni uchochezi wa kijinga muda wa wanyonge kudhulumiwa haki zao umekwisha mambwa ninyi
@sapikiwanga6154
@sapikiwanga6154 4 ай бұрын
Mtu Hana Hati si umwambie ukweli tu,unataka kura pesa yake Bure kabisa.
@emmanuelkiwango6638
@emmanuelkiwango6638 4 ай бұрын
Kvango umesikiliza kweli?
@frankremishoy5778
@frankremishoy5778 4 ай бұрын
Waziri siyo malaika anaweza kukosea.waziri kaamuwa bila pande nyingine bila kujidhiriisha na kubomowa ni hatuwa ya mwisho kabisa.tufatilie huenda waziri kaamuwa kimuamko
@user-fw1ku3od7r
@user-fw1ku3od7r 3 ай бұрын
Waziri yuko sawa shida wakili wanatetea yoyote anaetoa hela
@babuummary7723
@babuummary7723 4 ай бұрын
Shida mliiba kiwanja Cha watu kwa kuonga mahakama
@user-ec8zv7lq8y
@user-ec8zv7lq8y 4 ай бұрын
Serikali haichomoki hapo!
WATCH: Trump speaks at Turning Point USA event summit | LiveNOW from FOX
58:18
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 35 МЛН
Fighting scene, Donnie Yen vs Darren Shahlavi/Ip Man vs Twister
11:54
Fierce Fights with ASARGAS
Рет қаралды 74 МЛН
Mfahamu Aliyebomolewa Ghorofa na Waziri Silaa 'Ni Tapeli?'
12:17
LIVE: Netanyahu delivers speech before Congress
2:15:05
Associated Press
Рет қаралды 560 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН