Mfahamu Aliyebomolewa Ghorofa na Waziri Silaa 'Ni Tapeli?'

  Рет қаралды 7,979

WAKILI TV

WAKILI TV

3 ай бұрын

#ijuesheria

Пікірлер: 40
@StevenKomba-rz7bm
@StevenKomba-rz7bm 3 ай бұрын
Matapeli wanachukua ardhi za watu na kupeleka watu wahakamani.Waziri endelea kudhibiti hawa watapeli na washirika wao kama hawa
@HussenAbdallahah
@HussenAbdallahah 3 ай бұрын
Hii Sheria watu wasiyo kutwa napesa hawapatiwi haki mweshemiwa Yuko vizuri sana
@Kingsusi
@Kingsusi 3 ай бұрын
Wewe wakili ni Huna akili kweli kweli
@aminaosman3315
@aminaosman3315 2 ай бұрын
,wenye pesa wananunua haki kama Ansar walivyo nunua haki za mjane mayatima watano WA marehem janjira hiyo nitaasisi inayojiita ya kidini inayoongoza kwa zulma hapa tanga ñamuomba mama samiaraisi wa wanyonge amsaidie huyu mjaneaweze kupa
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Kama mara zote Naomi hajashinda, iwaje waziri abomoe nyumba.
@user-wx2ug7zs1d
@user-wx2ug7zs1d 3 ай бұрын
Jamani kuweni makini kumsikiza huyu mtu anavyo ongea maneno ya kukanganya
@philimonmtweve4522
@philimonmtweve4522 3 ай бұрын
Hawa wanasomea utapeli
@hassanmataula7063
@hassanmataula7063 3 ай бұрын
Nipo pamoja na waziri
@user-wx2ug7zs1d
@user-wx2ug7zs1d 3 ай бұрын
Huyu mtu hata Hana aibu wala haya kwa maneno yake ya uwongo hazarani
@SleepyCoastalBeach-bg1bj
@SleepyCoastalBeach-bg1bj 3 ай бұрын
Wakili amechukua chake
@barakamwantolwa4336
@barakamwantolwa4336 3 ай бұрын
Waziri ni Hakimu ? kwa nini atoe hukumu kwny nchi yenye utaratibu? kwa nn asikilize upande mmoja? Hata kama ni matapeli lkn Waziri aangalie maamuzi kama haya.
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 3 ай бұрын
Waziri kumbuka kuna vyombo vya sheria huwezi kujichukulia sheria mikononi mwako kumtia raia hasara kiasi hicho, kwa kuonyesha power yako tu mungu ibariki Tanzania
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 3 ай бұрын
Hivi mawakili hawa wanafundishwaga na nani hizi sheria?mimi naovyoona hapa inchini kama huna ela sheria na wanasheria hawapo upande wako, dawa ni kufanya mambo kivyako
@StevenKingu-gi4pf
@StevenKingu-gi4pf 3 ай бұрын
Sheria za nchii hii znakandamiza watu.naomi alizdiwa na wenye pesa sio sheria
@meshasjaguar6136
@meshasjaguar6136 3 ай бұрын
Kila siku Naomi ashinde kesi Ebu Kaa utulie.
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 16 күн бұрын
Wakili msomi Yuko kazini
@nyandaj.ntugwa5243
@nyandaj.ntugwa5243 3 ай бұрын
Kamati iliyoundwa na Mkuu wa wilaya lazima ije na maelezo pande zote mbili, huyu Naomi ilitokea tu kushitaki bila kuwa na basis ya kiwanja. Hujatueleza?
@josephmchila6467
@josephmchila6467 3 ай бұрын
Msimlaumu waziri, kwa watu wenye pesa,mahakamani masikini,mmmmmmh,
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 3 ай бұрын
Jina matata uwakili utata dokomenti mnagushi nani asiye wajua
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 3 ай бұрын
Sasa kama uliona ivyoo kaka ungechaa ukishaona kiwanja kinamatatizo anaachaa
@kajiakivuyo1645
@kajiakivuyo1645 3 ай бұрын
Karatasi rundo uongo mtupu. Tuka hapo haraka
@user-sz2wz2zb7s
@user-sz2wz2zb7s 3 ай бұрын
Unatafuta kiki achana na siraa afanye kazi yake
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Kweli asante kazi, lkn kubomoa nyumba si suluhisho. Ikitokea umeakaje si kweli itakuwaje? Tuache kuniandikia vitu tusivyofahamu.
@sturmiusbs
@sturmiusbs 3 ай бұрын
Ndivyo ilivyo??
@emmanuelbenedicto589
@emmanuelbenedicto589 3 ай бұрын
Sasa kwa nini ulinunua wakati kilikuwa na shida?
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 ай бұрын
HII ISSUE WAZIRI KAINGIA CHAKA
@shabanponera2895
@shabanponera2895 3 ай бұрын
Hakuna chaka hapo, jamaa mazungumzo yote hasemi hati iko wapi, aeleze hati ina jina la nani?
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 3 ай бұрын
Hakuna chaka lolote tapeli huyo alilingia pesa zake hakujuwa dhuruma inamwisho wake ndio huo wanawatesa sana hawa masikini wakiwa na visenti vyao waziri hawezi kukurupuka tu yeye anavyombo vya uchunguzi mpaka wameridhika ndio uchukuwa mamuzi kama kuwashitaki atawashtaki watendaji wa chini kwenye Harimashauri ndio wamemtengenezea micholo feki lakini wizarani hawezi mcholo utakuwa ule ule .wa zamani
@StevenKomba-rz7bm
@StevenKomba-rz7bm 3 ай бұрын
Aoneshe hati
@StevenKomba-rz7bm
@StevenKomba-rz7bm 3 ай бұрын
Matapeli wanadhurumu watu sana then wanakimbilia mahalamani
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 3 ай бұрын
Waziri Mwenyewe ni mwana sheria ukiona mpaka kufikia hatua ya kubomowa ujue kajirizisha
@user-wx2ug7zs1d
@user-wx2ug7zs1d 3 ай бұрын
Mahakama siku hizi ni utapeli mtupu
@user-wv3ko2mo6f
@user-wv3ko2mo6f 3 ай бұрын
Kama huyu bwana anadocments halali basi Waziri ana makosa si kila mwenye mali ni tapeli
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 3 ай бұрын
Waziri wa ardhi anatakiwa mambo mengine awaulize wenzake wakina lukuvi wampe muongozo..lkn akijifanya anajua kiliko watangulizi wake basi anaandaa ajal ya serikal kuja kulipa watu mabilioni kwasababu tu ya ujuaji usiofuata sheria
@2003hintay
@2003hintay 3 ай бұрын
Watangulizi wake walikuwa wanafumba macho kwa wenye nacho
@godsonmolla1594
@godsonmolla1594 3 ай бұрын
Tulia dawa ikuingie ww
@shabanponera2895
@shabanponera2895 3 ай бұрын
Tapeli mwingine huyu, hati iko wapi?
@reginaldtarimo-kf1ye
@reginaldtarimo-kf1ye 3 ай бұрын
Weweee!! Nyie mawakili mnamambo mengi..hapo unaongea tu lkn ukweli unaujua na m,mekuwa na tabia ya kubadili ukweli kuwa uongo kwakuwa mnalipwa tu..
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Kweli kabisa.
EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"
33:46
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 154 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 86 МЛН
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,2 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 154 МЛН