Ujenzi wa Daraja ZANZIBAR mpaka DAR ES SALAAM kuanza, Naibu Waziri aeleza Bungeni

  Рет қаралды 33,671

Habari Digital

Habari Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 73
@mohdomar8846
@mohdomar8846 Жыл бұрын
Allah atuhifadhi na janga Kama hili wazanzibar tunamuachia Allah ndie muweza was Kila jambo
@wilfredaxwesso7394
@wilfredaxwesso7394 Жыл бұрын
Upuuzi mtupu kweli kweli ,yaani mnataka kuiuza nchi sasa kwa miradi isiyokuwa na tija wakat wananchi hata kula yao shida ,shule shida hadi ikatumika fedha za uviko ,afya changamoto kibao miundo mbinu shida na deni la Taifa limepanda sana ,ushauri wangu kwa wabunge Msishibe sana minofu ya kuku afu mkatoa hoja sizizogusa maisha ya wananchi na msipende vya bure mtasababisha vizazi vijavyo kuishi kama digidigi
@bellalygeomecky1145
@bellalygeomecky1145 Жыл бұрын
Huku ndio kunaimaliza asaaaaaa zanzibar......
@mussahassan1779
@mussahassan1779 Жыл бұрын
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara musipotoshe ni Tanganyika na Zanzibar ❤
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 Жыл бұрын
Kwani jina kaliwezi kubadilishwa? Mfano Congo, Zaire
@mussahassan1779
@mussahassan1779 Жыл бұрын
@@jonamnyone8014 hizo ni nchi 2 zimeungana tanganyika na zanzibar ndio ikajengwa Tanzania Mbona zanzibar bado ipo jinalake
@edwinmsuya3813
@edwinmsuya3813 Жыл бұрын
Ukiunganisha majina ya hizi inchi mbili unapata jina gani
@EliasPaul-qs2ib
@EliasPaul-qs2ib Жыл бұрын
Usijitoe ufahamu kuhusu kilichotokea 1964
@mohdkhamis3857
@mohdkhamis3857 Жыл бұрын
Mm kwa upande wang napenda kusema kwanza ni vyema serikal zetu zote 2,zikatengeneza barabara za ndanii
@maisarirajab4846
@maisarirajab4846 Жыл бұрын
Musifanikiwe maisha
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln Жыл бұрын
Kwanini msijenge daraja kutoka unguja hadi pemba maana ndio nchi moja
@saheedali7467
@saheedali7467 Жыл бұрын
Kama likijengwa na bado niko Hai nitatumia uchawi wangu wote lisisimame kwani mimi kama mzanzibari silikubali darajani Hilo.
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Kwani daraja lina ubaya gani? Hata kama hakuna Muungano, daraja ni kitu cha kawaida. Mbona kuna nchi kibao tunapakana nazo kwa madaraja? Basi kama vipi zikataeni na meli 🙄🙄🙄
@westserengeti5608
@westserengeti5608 Жыл бұрын
Kwa nini
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 9 ай бұрын
Kweli hii ngozi ya ajabu sana,hivi kwanini tunapenda kubaguana?afrika hii ni moja
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
ingelikuwa wazanzibar % 99 wakristo wasingekuwa na haja ya kujenga au kufikiria hiyo yote kt pana udini lakin inshaa allah kwabaraka zake Allah na kitume kila alokuwa na ubaya wake kwa wazanzibar Allah awapeperushe na hilo dataja kwabutukufu wa Allah halitadumu
@hassanbilali1697
@hassanbilali1697 Жыл бұрын
Jambo jema lkn maendeleo yasipimwe kwa miundombinu pekee bali yaangazie maisha ya watu
@issahassan8361
@issahassan8361 Жыл бұрын
Km mnaweza kweli jengeni pemba to unguja
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
Pemba Unguja ni mbali kuliko bara Unguja ama Pemba bara
@issahassan8361
@issahassan8361 Жыл бұрын
@@filamupictures9349 hujui jambo tulia kijana
@LeilaKanyinyi
@LeilaKanyinyi 8 ай бұрын
Safi sana tufanane wanafiki wa kubwa nyie wazanzibar nyie si mlifurahia bandar zetu kupewa waarabu mnao waabudikia naamuomba mungu ajaalie lijengwe haraka haraka 9:52
@issahassan8361
@issahassan8361 Жыл бұрын
اللهم انصر زنجبار ومن أراد زنجبار سوء فعليك يا الله اللهم آمين. Km unaipenda zanzibar itikia ameen ili hilo daraja lisijengwe maana hao wana lengo baya na zanzibar
@shabanially1008
@shabanially1008 Жыл бұрын
Amen🙏
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 8 ай бұрын
Ubaguzi hatutaki sisi. Sisi ni wamoja. Acha kuwa mjinga.
@ahmadjoka6755
@ahmadjoka6755 Жыл бұрын
Ukiwa mung Kate ganisha znz na tanganyika basi hili halitowezekana milele, tanganyika ni kubwa sana kwanini mnaitaka znz kwa nguvu zote wa zanzibar hatutaki na mung aepushe jambo hili
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Жыл бұрын
Barabara nyingi hapa tanzania hazijajengwa hilo daraja litaghalimu hela nyingi za nchi ambazo zingejenga barabara nyingi huku tanzania bara
@SalehLofy
@SalehLofy 9 ай бұрын
Majambazi na ombaomba watajaa ZANZIBAR
@debdahchannel9159
@debdahchannel9159 Жыл бұрын
NIZULI SANA HILI JAMBO ILA TAFADHALI SERIKALI YETU ZINGATIENI MIKATABA YA HAO NDUGU MSIJE KIUZA MPAKA KIZAZ CHA TANO CHA WA TZ
@abdulhakimjuma9112
@abdulhakimjuma9112 Жыл бұрын
Hichi kitanzi chengine cha kuitundika zanzibar na kila mzanzibari mwenye kujitambuwa hatakubaliana na hili na inshallah halitajengwa allah awashulikie kwanza maadui wote wazanzibar
@mussathomasdossa4687
@mussathomasdossa4687 Жыл бұрын
Hiyo Kama magu angeweza lakini mliopo mnafurahisha bunge
@MuchachoFm
@MuchachoFm Жыл бұрын
Hatr sana🎉
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 9 ай бұрын
Hivi ubaguzi huu utawasaidia nini wazanzibari?
@eddyeddy1337
@eddyeddy1337 Жыл бұрын
Wanafurahisha bunge tu siwezi kuwaruhusu upumbavu huu nafikiri wakipunguza bei ya mchele kwa masikini kwanza.
@ahmedhemed3983
@ahmedhemed3983 11 ай бұрын
Naomba kuuliza kabla ya kujenga daraja kutoka tanganyika hadi Zanzibar kwani hakuhitajiki ridhaa ya pende zote mbili ? Au nimaamuzi ya upande mmoja tu inatosha
@talibfoum8643
@talibfoum8643 Жыл бұрын
Kabla ya kujenga daraja pitisheni tuwe na serekali tatu kwanza baadae ndo mujenge daraja
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 7 күн бұрын
Hakuna nchi inaitwa Tanzania bara Pia mtakiumiza kizazi Kwa madeni makubwa
@ishrak3112
@ishrak3112 Жыл бұрын
Ujambazi sasa ndo utaongezeka na tutaona machogo wa aina tofauti wakija unguja na uhalifu utaongezeka na mpaka wake kabila la hazard tutawaona maduka ya darajani had hatari mbona hii ss wanataka kuiamaliza znz kwa nguvu zote yaani ss ndo wanaonesha wazi wazi kuwa hawaitaki kuiona wala kuisikia znz mnanini lkn ndugu zetu wa damu lkn
@mohammedhimba1647
@mohammedhimba1647 Жыл бұрын
Barabara za ndani ni tatizo sasa gharama ya daraja hilo tutajenga barabara ngapi jamani tusemeni ukweli vijijini hizo zilizokuwepo mbovu
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Mohammed,hawa watu wanamalengo yao ya kisiasa. Kuna mambo muhimu zaidi,kwa sasa,ya kuyafanya badala ya hiloo daraja.Mahospitali na huduma zake ziko katika hali mbaya,barabara hazisemeki,elimu iko chini.
@kassimabdulla3787
@kassimabdulla3787 Жыл бұрын
Kama muna uwezo huo, kwanza jengeni daraja la kuunganisha visiwa vyetu viwili Unguja na Pemba kwani hii ndio nchi moja kwa jina la Zanzibar. Unguja na Tanganyika ni wapi na wapi. Ushauri wangu kwa viongozi wa Zanzibar jambo hilo wasilikubali hata kidogo. Venginevyo wao sasa ndio watakao imaliza dola ya Zanzibar.
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Mnapenda wawekezaji kwakuwa tunapenda mambo mepesi bila kujua madhara yake kwanini serikali isiwekeze yenyewe iongeze uchumi?kama Haina uwezo Sasa ikusanye nguvu kwanza uwekezaji ukizidi taifalinashindwa kujitegemea
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Kujenga daraja kuingia watu kwa makundi wazanzibar mkingiziwa wtanganyika m3 wazanzibar hamna nchi tena
@musaakim2853
@musaakim2853 Жыл бұрын
😅😅😅😅 balaa kweli hii vipovu ndio wasiona
@shammhagama2527
@shammhagama2527 Жыл бұрын
Litawezekana na Mungu yuko pamoja na Watanzania
@mosaidi2633
@mosaidi2633 Жыл бұрын
Huu ni mpango mzima wakutaka kuimeza Zanzibar,
@abubakaradnan4689
@abubakaradnan4689 Жыл бұрын
umezwe mara ngapi
@patrikkjohnssonz
@patrikkjohnssonz Жыл бұрын
Safi
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 Жыл бұрын
Wazanzibari hatutaki mnajiamulia tu kama mlovojiamulia muungano 😡
@tours15
@tours15 Жыл бұрын
Unguja na Pemba itapendeza zaidi ila kwa Zanzibar na Tanganyika litakua ni janga kubwa kwa Zanzibar.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 9 ай бұрын
Janga kivipi fafanua tuelewe shida iko wapi
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Hatutaki Daraja la aina yoyote washaona kijicho cha Bakhressa boti zake zinatosha looo mahasidi nyie
@muzneali4747
@muzneali4747 Жыл бұрын
W405 Bakhresa atabaki kuwa Bakhresa kama ameweza kuleta boti atashindwa kuleta mabasi ?? TENA yenye tecknologia mpya unasafiri na basi kama upo ndani ya ndege kwahilo daraja Kwa Bakhresa hizo SIO SHIDA zake
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Binafsi sioni umuhimu wowote wa kutengeneza hilo daraja, rais alishatuambia kuwa mikopo yote hiyo tutalipa sisi wananchi na hivi tuna madeni hadi vitukuu novyo vitakuja kulipa na madeni hayatoisha, sasa na hilo daraja tunaongeza mzigo tu vichwani, kwani pana umuhimu gani hasa? Itamnufaisha nani jmn?
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Naro mtakopa mnaenderea kuipa inchi mzigo mkubwa
@alybakari9046
@alybakari9046 Жыл бұрын
Barbara za ndani mashimo matupu
@officialmaasai4602
@officialmaasai4602 Жыл бұрын
Utekelezaji miaka 40 ijayo
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Iloo halijii na halitokuwa hatutaki Zanzibar jengeni mikoani kwenu uko yanakushinden
@allysaidi2524
@allysaidi2524 Жыл бұрын
Kwaiyo alioweka maji mnaona alikosea
@kheriabdu7763
@kheriabdu7763 Жыл бұрын
Tanganyika na Zanzibar kuna shida gani
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 Жыл бұрын
Tatizo ni muungano sio wa haki
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 Жыл бұрын
Safi sana hii
@GeorgeUsele
@GeorgeUsele Жыл бұрын
Unaijua gharama ya ujenz au ni ushabiki tu! Hapo gharama zake unaeza kuta inaweza kujenga barabara za vumbi nchi nzima
@k2plusstudio858
@k2plusstudio858 Жыл бұрын
hivi ndio vitu muhimu
@jumashedafa
@jumashedafa Жыл бұрын
Nataman san liwe na litimie...Mungu asimamie ktk hil
@aboubakaromar652
@aboubakaromar652 Жыл бұрын
Nadhani litasaodia sana katika uchumi wa znz na bara
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
Hiyo ni ngumu kwelikweli, sidhani
@mopalmo5818
@mopalmo5818 Жыл бұрын
Dont limit yourself !
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
@@mopalmo5818 hiyo ni ngumu kwelikweli
@mopalmo5818
@mopalmo5818 Жыл бұрын
@@MichaelMathew-ke6bi well let's just hope for the best bro .... Ama namna gani
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
@@mopalmo5818 sawa
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 Жыл бұрын
THIS IS NOT EXCELLENT TO DO ITS THATS ITS ONLY PEOPLES OF GATE MONY ZANZNZIBARI IS ZANZNZIBARI ITS NOT TANGANYIKA THIS NOT ONE COUNTRY THERE ALOTS OF MISING UNDESTAND 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia
25:57
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 86 МЛН
Arusha Tanzania The Switzerland Of Africa l Raw Unfiltered City Tour
23:15
Inspire For Travel
Рет қаралды 112 М.
MJADALA MZITO KUHUSU ZANZIBAR ILIVYOHARIBIKA (SEMA NASI)
33:19
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 9 М.
DR.MWINYI AING'ARISHA MICHEWENI
8:32
OFISI YA RAIS IKULU PEMBA
Рет қаралды 4,1 М.
IKI GIHUGU NICYO PARADIZO KU ISI Y’UBU AHO BURI WESE YAKWIFUZA GUTURA NO KWIBERA
19:27
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН