Ahsante sana mbunge wetu kwa kutuwakilisha vema wana ileje , Mungu aendelee kukupa afya njema.
@Aminmwansile-we8vn11 ай бұрын
Safi Sana kaka yangu msongwe hakika watu Toka Kanda ya nyanda za juu kusini tukipewa nafasi tunaweza
@kainibachungege3430 Жыл бұрын
Hongera Sana Msingwe Naibu waziri wa ujenzi. Barbara zote za Tanzania zipo kichwani Bila kusoma. Hakika Ileje Ina Mbunge Makini. Hongera Sana mheshimiwa.
@hekimakajange5550 Жыл бұрын
Hongera sana mbunge wetu kwa uwakilishi uliotuka, hakika tuna mbunge makini.
@bodyaman Жыл бұрын
Uyu aendeleee kuwa mtendaji mkuu wa WIZARA ya ujenzi mpaka nchi ifunguke yaaani asibadirishwe Wizara ili Mambo yaende. ATA MH:Mbalawa alikaa MDA mrefu akiwa mtendaji mkuu wa WIZARA iyo ndo maana Leo Mambo yanaenda vema haswaaa
@IssaOmari-fo5pm Жыл бұрын
Nakukubari naibu waziri unapiga kazi
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Жыл бұрын
Upo vizuri
@hassankihimbi9555 Жыл бұрын
Good 👍
@FestusEfugenia Жыл бұрын
Katudanganya bana kuna barabara tunazifaham labda atupe duretion ndio tuelewe. Kazi kwenu furahieni kufungashwa.
@dictator7995 Жыл бұрын
Mbona sisikii barabara za mahenge, Ilonga, Mwaya, Sali na Igota, Malinyi ,Mtimbira, Itete, Mbingu,
@MussaMwasile-le8ox Жыл бұрын
Sijasikia barabara ya kkk,ikuti,luswisi ,katengele Hadi ileje
@Emmanuel-nd4fx Жыл бұрын
Uyo ndiyo anapaswa kuwa Waziri maana anaijua kazi anayofanya.
@mdachiog5211 Жыл бұрын
Kabisa
@samwelmwigicho3092 Жыл бұрын
Pia hasomi Ila sehemu zote anazijua dah kama magufuri kwenye takwim
@samwelmwigicho3092 Жыл бұрын
Bado barabara ya nyamongo mara mpaka kiagata
@Nyanda506 Жыл бұрын
Jpm wa pili 😂😂
@IsackEnos Жыл бұрын
Mbona mikoa ya kusini tu kahama Geita barabara mbovu sana ya vumbi