No video

"UKIMUIBIA HUYU MZEE UNAZIKWA, MAZIWA YA NYOKA" KIKONGWE ZANZIBAR ASIMULIA MAKUBWA

  Рет қаралды 178,798

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Kutoka Visiwani Zanzibar nakusogezea mahojiano na Mzee ambaye ameweka bango nje ya nyumba yake kuwa ukimuibia unazikwa.

Пікірлер: 255
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 жыл бұрын
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire9464
@vampire9464 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
@user-dl3ep1ow3y
@user-dl3ep1ow3y Жыл бұрын
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ashajumbe9039
@ashajumbe9039 2 жыл бұрын
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
@shamzone388
@shamzone388 2 жыл бұрын
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 2 жыл бұрын
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
Amin
@amemasudi5735
@amemasudi5735 2 жыл бұрын
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy1785
@fuadsaadbiladiboy1785 2 жыл бұрын
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph922
@angeljoseph922 2 жыл бұрын
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
@waktiahmad2503
@waktiahmad2503 2 жыл бұрын
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 жыл бұрын
Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
Mtunze tu baba
@hellertv1477
@hellertv1477 2 жыл бұрын
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 2 жыл бұрын
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 жыл бұрын
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
@filmflm5389
@filmflm5389 2 жыл бұрын
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
@suleimansuleiman1127
@suleimansuleiman1127 2 жыл бұрын
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan7401
@binbarwan7401 2 жыл бұрын
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa682
@khayriyamussa682 2 жыл бұрын
😊😊Amiin
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan7401
@binbarwan7401 2 жыл бұрын
😂😂
@abdulbora812
@abdulbora812 2 жыл бұрын
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
@giddyyunky7025
@giddyyunky7025 2 жыл бұрын
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165
@abdullaabubakar7165 Жыл бұрын
Nicee
@madhuru2554
@madhuru2554 2 жыл бұрын
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
Amiin
@malikshafii8431
@malikshafii8431 2 жыл бұрын
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru2554
@madhuru2554 2 жыл бұрын
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 2 жыл бұрын
Amina
@actwazalendo1131
@actwazalendo1131 2 жыл бұрын
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 2 жыл бұрын
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 жыл бұрын
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 жыл бұрын
Tena anazitafuta sana
@msquare283
@msquare283 2 жыл бұрын
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
una uhakika ?
@msquare283
@msquare283 2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare283
@msquare283 2 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
not jas in case of Islam but he's my real uncle
@fuadsaadbiladiboy1785
@fuadsaadbiladiboy1785 2 жыл бұрын
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
@aminahussein1224
@aminahussein1224 2 жыл бұрын
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka640
@godfreykweka640 Жыл бұрын
www vbs
@godfreykweka640
@godfreykweka640 Жыл бұрын
tb
@adamsoud4862
@adamsoud4862 2 жыл бұрын
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
@faridaabdallah2213
@faridaabdallah2213 2 жыл бұрын
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
😁😁😁keep left
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
@RumaitharSalum
@RumaitharSalum 2 ай бұрын
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
@luganostewart8320
@luganostewart8320 2 жыл бұрын
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje6216
@najashjejeje6216 2 жыл бұрын
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 2 жыл бұрын
Yeah kabsa
@salimselemani4861
@salimselemani4861 2 жыл бұрын
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart8320
@luganostewart8320 2 жыл бұрын
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali9053
@motasimali9053 2 жыл бұрын
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo5571
@jacintaitumo5571 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
bongo zozo naye ananunua
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 жыл бұрын
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 2 жыл бұрын
Ameen
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin yarrab
@aminaamina3972
@aminaamina3972 2 жыл бұрын
Amin inshallah
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 2 жыл бұрын
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 2 жыл бұрын
Much love mzee wngu
@nguvuyafikramedia1202
@nguvuyafikramedia1202 2 жыл бұрын
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
@maisarasid8670
@maisarasid8670 2 жыл бұрын
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
Inshaallah
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
@gbetter4713
@gbetter4713 2 жыл бұрын
Click kuskiliza Darasa mziki type new vision ni hatari 🔥🔥🔥 kzbin.info/www/bejne/oJjSi2qngteJZ6c don’t forget to subscribe
@jafarinahonyo7349
@jafarinahonyo7349 2 жыл бұрын
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Awesome 👌🏽💜
@shikaocharles8991
@shikaocharles8991 2 жыл бұрын
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 2 жыл бұрын
🤣🤣
@aishatarimo6780
@aishatarimo6780 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire9464
@vampire9464 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@rahelnchagwa7959
@rahelnchagwa7959 2 жыл бұрын
Jaman wasimuibie jaman
@Specialonejr
@Specialonejr 2 жыл бұрын
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
@ahmedsalumomar5002
@ahmedsalumomar5002 2 жыл бұрын
My best friend
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
@jacksonamos2008
@jacksonamos2008 2 жыл бұрын
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 2 жыл бұрын
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 жыл бұрын
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 жыл бұрын
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
@alialibablly7010
@alialibablly7010 2 жыл бұрын
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
@goalnews7394
@goalnews7394 2 жыл бұрын
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 2 жыл бұрын
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
@maisarasid8670
@maisarasid8670 2 жыл бұрын
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
Mashallah Allah
@fadhroshlove1511
@fadhroshlove1511 2 жыл бұрын
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
@salmabrown1250
@salmabrown1250 2 жыл бұрын
anapatikana wapi?
@dorahwillson1807
@dorahwillson1807 2 жыл бұрын
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
Amiin
@dioufgaxa5779
@dioufgaxa5779 Жыл бұрын
Noma
@tingbatuuka7278
@tingbatuuka7278 2 жыл бұрын
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 4 ай бұрын
Huyu mzee namjua sana
@marygregory7566
@marygregory7566 Жыл бұрын
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
@upendomassawe7477
@upendomassawe7477 2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
@haniiniramzan9989
@haniiniramzan9989 2 жыл бұрын
Mashallh Babu
@chidyboytz48
@chidyboytz48 2 жыл бұрын
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆‍♂️😂😂😂😂😂😂
@aliaboud9202
@aliaboud9202 2 жыл бұрын
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r 2 жыл бұрын
Daah
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame1490
@sitimakame1490 2 жыл бұрын
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo5918
@geofreyshaurimoyo5918 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@africanafrican9461
@africanafrican9461 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike9583
@hamisimtamike9583 2 жыл бұрын
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Hahahahaha
@hassankisuke5356
@hassankisuke5356 Жыл бұрын
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
@saidsalim2561
@saidsalim2561 2 жыл бұрын
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
@aminaothman2136
@aminaothman2136 2 жыл бұрын
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
mashallah sio vijana wa siku hizi
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Nimempenda sana babu 😍😍❤
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 жыл бұрын
Dawa ya kutoa stress kzbin.info/www/bejne/rGPUf3xjlNuVeKM
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 2 ай бұрын
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Nikajua haoni kumbe anaona!
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 жыл бұрын
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
@NaitwaChongx
@NaitwaChongx 2 жыл бұрын
TAZAMA Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa Mbalimbali wa bongo #Jux,kiba, Diamond nk Kumbe zuchu ni Mkubwa😂 👇👇 m.kzbin.info/www/bejne/a3rEiKtjea-lisU
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q 2 жыл бұрын
Home sweet home!
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 жыл бұрын
Home sweet home kiponda zanzibar
@zenadadi1768
@zenadadi1768 2 жыл бұрын
Naomba namba za uyo babu
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 2 жыл бұрын
Ok
@missjesy2205
@missjesy2205 2 жыл бұрын
The guy was very handsome those dayz
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r 2 жыл бұрын
Nilimuonaga💓💓💓
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
@instavstiktokvideos4641
@instavstiktokvideos4641 2 жыл бұрын
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
@hafidhharuna9958
@hafidhharuna9958 2 жыл бұрын
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
@lumumbasankara6388
@lumumbasankara6388 Жыл бұрын
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
@perismwangi1921
@perismwangi1921 2 жыл бұрын
Mzee comedian huyu😂😂😂
@jesusnetworkministry
@jesusnetworkministry 2 жыл бұрын
tusharudi mwanakwere hahhahahahha
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Mwarabu huyo
@pinkladylady707
@pinkladylady707 2 ай бұрын
Innalillahi wa inna ilayhi raijun amjalie kauli thabit 🥺
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
@idarousphotography6727
@idarousphotography6727 2 жыл бұрын
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 жыл бұрын
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala4980
@saidabdala4980 2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
@aliyulukiza8857
@aliyulukiza8857 2 жыл бұрын
Huyu mzee yuko makini sana
@FatmaothmanFatmaothman-ch5oi
@FatmaothmanFatmaothman-ch5oi 8 ай бұрын
Hata hiyo hela yenye tundu ninzur kwa maradhi ya nyongo
@godfreykweka640
@godfreykweka640 Жыл бұрын
hmm 4:45
@Crazy.Rapper
@Crazy.Rapper 2 жыл бұрын
🔥🙏🙏🙏 Nime jifunza kiti kutoka kwa babu..
@perismwangi1921
@perismwangi1921 2 жыл бұрын
Usha fahamu
@fredricklucian7155
@fredricklucian7155 Жыл бұрын
Oldman 🔥🙏
MTANZANIA MWENYE NG'OMBE ANAYEUZWA MILIONI 12 'NAUZIA MBWA MAZIWA'
7:18
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,7 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 28 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 32 МЛН
HII NDIO NYUMBA INAYOTILIWA MASHAKA CHUINI ZANZIBAR
8:52
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 217 М.
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,5 МЛН
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,7 МЛН