Kutoka Visiwani Zanzibar nakusogezea mahojiano na Mzee ambaye ameweka bango nje ya nyumba yake kuwa ukimuibia unazikwa.
Пікірлер: 255
@vincentcharles43852 жыл бұрын
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim79562 жыл бұрын
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee2 жыл бұрын
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire94642 жыл бұрын
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
@user-dl3ep1ow3y Жыл бұрын
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ashajumbe90392 жыл бұрын
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
@shamzone3882 жыл бұрын
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
@mudrickabdallah72512 жыл бұрын
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim11062 жыл бұрын
Amin
@amemasudi57352 жыл бұрын
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy17852 жыл бұрын
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph9222 жыл бұрын
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
@waktiahmad25032 жыл бұрын
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
@rayanaabdallah65802 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
@rahmasalim19892 жыл бұрын
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
@muddymuzungu43572 жыл бұрын
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
@filmflm53892 жыл бұрын
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
@suleimansuleiman11272 жыл бұрын
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan74012 жыл бұрын
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa6822 жыл бұрын
😊😊Amiin
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan74012 жыл бұрын
😂😂
@abdulbora8122 жыл бұрын
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
@giddyyunky70252 жыл бұрын
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165 Жыл бұрын
Nicee
@madhuru25542 жыл бұрын
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin yarrab
@nadyasalim79562 жыл бұрын
Amiin
@malikshafii84312 жыл бұрын
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru25542 жыл бұрын
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma6102 жыл бұрын
Amina
@actwazalendo11312 жыл бұрын
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
@feisalmwinyi24292 жыл бұрын
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
@macharosandra94672 жыл бұрын
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute15402 жыл бұрын
Tena anazitafuta sana
@msquare2832 жыл бұрын
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren88362 жыл бұрын
una uhakika ?
@msquare2832 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren88362 жыл бұрын
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare2832 жыл бұрын
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren88362 жыл бұрын
not jas in case of Islam but he's my real uncle
@fuadsaadbiladiboy17852 жыл бұрын
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
@aminahussein12242 жыл бұрын
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka640 Жыл бұрын
www vbs
@godfreykweka640 Жыл бұрын
tb
@adamsoud48622 жыл бұрын
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
@faridaabdallah22132 жыл бұрын
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru83282 жыл бұрын
😁😁😁keep left
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
@RumaitharSalum2 ай бұрын
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
@luganostewart83202 жыл бұрын
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje62162 жыл бұрын
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid86342 жыл бұрын
Yeah kabsa
@salimselemani48612 жыл бұрын
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart83202 жыл бұрын
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali90532 жыл бұрын
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
@valentinetesha85362 жыл бұрын
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo55712 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour6762 жыл бұрын
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
bongo zozo naye ananunua
@fatmasalim82932 жыл бұрын
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman69462 жыл бұрын
Ameen
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin yarrab
@aminaamina39722 жыл бұрын
Amin inshallah
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
@adnanidarous31172 жыл бұрын
Much love mzee wngu
@nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
@maisarasid86702 жыл бұрын
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
@nooroman25352 жыл бұрын
Inshaallah
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
@gbetter47132 жыл бұрын
Click kuskiliza Darasa mziki type new vision ni hatari 🔥🔥🔥 kzbin.info/www/bejne/oJjSi2qngteJZ6c don’t forget to subscribe
@jafarinahonyo73492 жыл бұрын
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Awesome 👌🏽💜
@shikaocharles89912 жыл бұрын
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
🤣🤣
@aishatarimo67802 жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire94642 жыл бұрын
Kweli kabisa
@rahelnchagwa79592 жыл бұрын
Jaman wasimuibie jaman
@Specialonejr2 жыл бұрын
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
@ahmedsalumomar50022 жыл бұрын
My best friend
@awatifalghanim11062 жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
@jacksonamos20082 жыл бұрын
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
@ahmadseif72412 жыл бұрын
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
@fahadfahmy2 жыл бұрын
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy2 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy2 жыл бұрын
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
@alialibablly70102 жыл бұрын
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
@goalnews73942 жыл бұрын
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
@munawwarabeid86342 жыл бұрын
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
@maisarasid86702 жыл бұрын
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah
@fadhroshlove15112 жыл бұрын
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
@salmabrown12502 жыл бұрын
anapatikana wapi?
@dorahwillson18072 жыл бұрын
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
Amiin
@dioufgaxa5779 Жыл бұрын
Noma
@tingbatuuka72782 жыл бұрын
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
@OmerSuley-gl7go4 ай бұрын
Huyu mzee namjua sana
@marygregory7566 Жыл бұрын
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
@upendomassawe74772 жыл бұрын
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
@haniiniramzan99892 жыл бұрын
Mashallh Babu
@chidyboytz482 жыл бұрын
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆♂️😂😂😂😂😂😂
@aliaboud92022 жыл бұрын
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
@user-eo7ug2tg9r2 жыл бұрын
Daah
@frankdanford82452 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame14902 жыл бұрын
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo59182 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@africanafrican94612 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike95832 жыл бұрын
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee18642 жыл бұрын
Hahahahaha
@hassankisuke5356 Жыл бұрын
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
@saidsalim25612 жыл бұрын
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
@aminaothman21362 жыл бұрын
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim79562 жыл бұрын
mashallah sio vijana wa siku hizi
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Nimempenda sana babu 😍😍❤
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Dawa ya kutoa stress kzbin.info/www/bejne/rGPUf3xjlNuVeKM
@mdta81612 жыл бұрын
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
@petriciajohn12452 жыл бұрын
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
@aliabdallah84562 ай бұрын
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Nikajua haoni kumbe anaona!
@tanzaniaoman64232 жыл бұрын
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
@NaitwaChongx2 жыл бұрын
TAZAMA Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa Mbalimbali wa bongo #Jux,kiba, Diamond nk Kumbe zuchu ni Mkubwa😂 👇👇 m.kzbin.info/www/bejne/a3rEiKtjea-lisU
@G.r.e.a.t.I.Q2 жыл бұрын
Home sweet home!
@sameermilo49072 жыл бұрын
Home sweet home kiponda zanzibar
@zenadadi17682 жыл бұрын
Naomba namba za uyo babu
@malelabmalela50162 жыл бұрын
Ok
@missjesy22052 жыл бұрын
The guy was very handsome those dayz
@user-eo7ug2tg9r2 жыл бұрын
Nilimuonaga💓💓💓
@khadijahali48372 жыл бұрын
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
@instavstiktokvideos46412 жыл бұрын
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
@hafidhharuna99582 жыл бұрын
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
@lumumbasankara6388 Жыл бұрын
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
@perismwangi19212 жыл бұрын
Mzee comedian huyu😂😂😂
@jesusnetworkministry2 жыл бұрын
tusharudi mwanakwere hahhahahahha
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Mwarabu huyo
@pinkladylady7072 ай бұрын
Innalillahi wa inna ilayhi raijun amjalie kauli thabit 🥺
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
@idarousphotography67272 жыл бұрын
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami34882 жыл бұрын
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala49802 жыл бұрын
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
@aliyulukiza88572 жыл бұрын
Huyu mzee yuko makini sana
@FatmaothmanFatmaothman-ch5oi8 ай бұрын
Hata hiyo hela yenye tundu ninzur kwa maradhi ya nyongo