No video

UKIMUOTA PAKA USINGIZINI | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

  Рет қаралды 28,269

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

UKIMUOTA PAKA USINGIZINI | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#Masjid_Mtoro_Online_Tv

Пікірлер: 65
@SociedadeSust1234
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Walaikum salam warahmatullahi wabarakatuh Sheikh mimi nimeota napigana na paka
@ashashaban6484
@ashashaban6484 2 жыл бұрын
mashallah mashallah Allah Akulipe kila la kheri inshallah
@islamsaid4830
@islamsaid4830 2 жыл бұрын
naomba uniambie nijue tafadhali nakuomba
@muragizinourah1042
@muragizinourah1042 3 жыл бұрын
Mansha allah
@aviwaomar439
@aviwaomar439 Жыл бұрын
Mana nimeota kuna mtu anawachinja paka kinyama wengii mpaka wanatoka kinyesi 😭😭🤦🏿💔
@yasalaam590
@yasalaam590 3 жыл бұрын
Shukran ta sheykh
@RahmaKheri-di3eq
@RahmaKheri-di3eq Жыл бұрын
Nimeota paka wengi wameinhia ukumbini.kwangu nikawafukuza wote
@mkibandulo1231
@mkibandulo1231 2 жыл бұрын
Mashallah
@yasalaam590
@yasalaam590 3 жыл бұрын
Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
@janarkboy-ch3tq
@janarkboy-ch3tq Жыл бұрын
Subhanaah Allah
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 3 жыл бұрын
A aleikum nimeota paka njee Ya nyumba na hakuingia na pia paka mwenyewe Rangi kama chai lakini upande moja amechomeka upande moja wote amechomeka . Na hajingia kwa nyumbani
@elimuyachumbani4280
@elimuyachumbani4280 2 жыл бұрын
Mąsha Alah Nimeota nimeletewa paka, ila kafungwa miguu mitatu, mmoja upo haujafungwa, sasa eti namwambia nitampa nauli aende, paka huyu anaongea kabisa, . Sheikh naomba itafakari hii, paka kafungwa maana ongea
@hawaissaramsdhan5704
@hawaissaramsdhan5704 Жыл бұрын
Asalam alaykum samahni shekhe me nimeota nimelala na watoto wapaka...inaman gan.
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 2 жыл бұрын
Nimeotapaka Mara tatu Nipaka weusi wananiparua mgongoni naskia maumivu pia huwa nawaona mbka nikistuka siwaoni hiyo niliota Mara ya Kwanza na ya pili. Mara ya tatu niliota paka wawili weusi lakini Mmoja nikamuua Sasa sijui Inamaana gani
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Sheh je ukiota paka amekufa
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Na mungine yukatika hali ya mwisho
@ishanihijabstyles5364
@ishanihijabstyles5364 3 жыл бұрын
Assalam aleykum sheikh..samahani kwa usumbufu😔,,,mimi nimeota paka wawili wamebebana (yule wa aliebebwa ni mweusi) na mmoja yupo peke yake wanaitana “asha,hawa,tondokeni”😥 wanatoka ndani nikaanza kuwasomea nimewasomea (nliwaelekezea viganja vyanga)😥adi wakafa,,yan wakati nasoma viganja vya mikono yangu vilikua vinatoa nguvu adi moshi😥
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Ulikuwa unawasomea nini
@mamuamin1929
@mamuamin1929 3 жыл бұрын
Umemuota paka kakupalula alafu akajigeuza mwanamke anakuongelesha
@riqofficial3532
@riqofficial3532 2 жыл бұрын
Mimi nimeota baka amening'ata mguu wa kushoto mara tatu nikiwa nimelala
@aviwaomar439
@aviwaomar439 Жыл бұрын
Mh wakati wengine inakutea wasiwasi mana unapata vitu vya ajab😭😭
@FeisalChombo-um4ow
@FeisalChombo-um4ow 8 ай бұрын
A salaam Aleykum. Shekhe Mir nmeota paka mweupe yupo juu yakabat bidae yule paka akanirukia mie nkamuwahi nkamdaka nkamfinyanga finyanga hadi akaishiwa nguvu nkamuachia.. Baada ya kumuachia akajitahid kukimbia ajarudi tena,, hii ipoje shekhe wangu..
@user-pe5zx3zi2c
@user-pe5zx3zi2c 2 ай бұрын
Isingeendelea kumfinyanga hadi afe
@sharonpaur9640
@sharonpaur9640 Жыл бұрын
Mie mara nyingi naota paka mara ananisaidia nikiwa napigwa au mfano Leo nimeota paka af nimepata paka Leo leo
@selemanmandolya9758
@selemanmandolya9758 3 жыл бұрын
Shekhe nimeota paka wawili wameingia ndani kabla hawaja ingia uliaza upepo mkali kisha paka wawili wakaingi muda kidogo akaingia mdada lakini paka wale niliwashika wote
@ummulkheirmashjary1579
@ummulkheirmashjary1579 Жыл бұрын
Shekhe mm nataka nikuulize swali kuhusu kuota paka,lkn naona hapo maswali mingi hujibu hata moja,INAKUAJEE HIVII!!!??
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Ndio kuna mtu anaitwa sanura nilishangaa oman nilivyosikia sanura paka
@sabrahramadhani3765
@sabrahramadhani3765 2 жыл бұрын
Assalamualaikum ustadi me nliota Kuna sehem tunasafri na gar.... Tulivyofka katkat ya safar gar ilpata ajali lakin hakuna alieumia.... Tukawa tumetulia abiria hatuelew Cha kufanya ndio akapita paka tukaambiana tumpande paka ili safar iendelee .... Tukampanda yule paka .... Sasa hatujafka mbal yule paka akafa Tena akawa anatoa harufu balaa abiria tukashuka.... Nam nkastuk
@stahilimohamed9127
@stahilimohamed9127 3 жыл бұрын
Mm niliota napigana Na paka
@suleimanhaji7232
@suleimanhaji7232 3 жыл бұрын
Nimeota natoka chumbani katika kutoka nikakutana na paka rangi ya kijivu na nikahitaji kukimbia lakini akanipunguzia kasi ya kukimbia na akaniingia kuazia miguuni alipofika kiunoni nikasoma ayatul kursiyy nikashituka kilichonishangaza ilipofika magharibi natoka chumbani nikamuona yule paka anatoka chumba chengine na kukimbia nje
@suleimanhaji7232
@suleimanhaji7232 3 жыл бұрын
Naomba kujua tafadhali
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 7 ай бұрын
Warangi mweupe siyo kweupe sana macho yake meupe nini maana yake shehe
@MercyKadenge
@MercyKadenge 3 ай бұрын
Nimeota na panya kuniona akatoroka baadaye katika nyumba yangu nikamwona paka na mtoto wake wamelala kama wametulia sasa hiyo inamanisha😮
@saidmohamed3009
@saidmohamed3009 3 жыл бұрын
A,alaykum ostaz mi nmeota paka mchafuu,lakini muda amegeuka amekua msafii, hujasema tafsiri yake !!
@user-lq5bj5nb1b
@user-lq5bj5nb1b 9 ай бұрын
Asalam hlykm je ukiota unapigana na paka usingizini halafu ukampiga
@joynatasha2456
@joynatasha2456 2 жыл бұрын
Mimi nimeota napigana na paka
@jestinngimbuchi-pf7jr
@jestinngimbuchi-pf7jr 10 ай бұрын
Shikamoo mimi nimeota kuku akiwa mgonjwa
@elennydotto334
@elennydotto334 2 жыл бұрын
Ukiota paka amezaa watoto wawili
@aggie7008
@aggie7008 Жыл бұрын
Mimi nimeota amezaa watoto watatu
@azizaali195
@azizaali195 3 жыл бұрын
Je ukiota jina la Allah kwa kiarabu kwenye mbingu limejichora kwa harufi kubwa rangi ya dhahabu au nyeupe ya kungara inamaanisha nini shekhe
@aishatarimo6780
@aishatarimo6780 2 жыл бұрын
Mm niliota paka jike na dume wamegandana na pia watu wengi wanna watizama
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Asalam aleykum
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 7 ай бұрын
Hajafanya kitu kachuchumatu mupore sana
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Asa Sheikh ndo unaturusha roho? Si utupe!😣
@user-vo9us6qq4c
@user-vo9us6qq4c 22 күн бұрын
Kuota paka wanafanya mapenzi maanake nini
@user-he3jo5fg7h
@user-he3jo5fg7h Жыл бұрын
Nimeota paka kamchukua mwanangu
@mariammariamomary4911
@mariammariamomary4911 6 ай бұрын
Kwahyoo nafanyaje ili yasinifike
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Ukiota ngombe kilema
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 8 ай бұрын
Maneno mengi punguza😂
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Ndio ipo dawa ya kumgandisha mchawi niliona wakifundisha na tulifundishwa au kumchapa mchawi na fimbo ya muhogo
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 7 ай бұрын
Mimi nimeota paka mudogo amekaa jirani na mimi kitadani kwangu
@sofiamkutano2979
@sofiamkutano2979 3 жыл бұрын
Ukiota paka watatu wametoka kwenye mvungu wa kitanda chako na wawili wao wanafanya tendo la ndoa ina maana gani?
@jaminyussuf3790
@jaminyussuf3790 4 ай бұрын
Nimeota paka amekufa nje ya nyumba nini maana yake
@fatimahussein6396
@fatimahussein6396 3 жыл бұрын
As'salam alaikum warahmatullah wabarakatuh,,,Mimi niliwahi kuota kuona paka yuazaa,,,nn maana yake??
@alfanifaraji
@alfanifaraji 7 ай бұрын
Mimi nimeota mbwa anammeza paka nini maanak 🙉
@KhadijaAbdulySuleiman-su9nr
@KhadijaAbdulySuleiman-su9nr 5 ай бұрын
Nimeota ninamnyonga paka mpaka akafa
@DOCTORYUSSUF
@DOCTORYUSSUF 3 ай бұрын
Utamkamata mwizi wako, au mchawi wako,
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 3 жыл бұрын
Na ukimuona paka mweusi yuko ndani Ya draw . Kabati Ndiyo nini
@faudhiangwegwe4852
@faudhiangwegwe4852 3 жыл бұрын
Assalam alaykum,Shekh naomba unambie maana ya hii ndoto.. Mume wangu kaota anapigana Na paka wa 3 katika papatua yake akawa amewaminya shingo lkn mmoja akamponyoka akenda kumpara sehem zake za siri alivo shituka ameshika sehemu zake za siri akizivuta na kupiga ukelele... inamaana gani? Msaada plz
@FeisalChombo-um4ow
@FeisalChombo-um4ow 8 ай бұрын
Subhannallah pole my
@user-tv2ov9ke7k
@user-tv2ov9ke7k 10 ай бұрын
Naomba unisaidie mim nimeota nimechinja paja la paka nikataka kwenda kuuza nikaogopa nikaenda kuitupa Kwa siki la chooni lkn huyo mnyama sikumaliza kumchinja et ananitafta huku ananungunika hyo mnyama
@husinahamiss6607
@husinahamiss6607 3 жыл бұрын
Nimeota punda wamebeba mizigo
@chaukachauchau9187
@chaukachauchau9187 Жыл бұрын
Mimi nimeota paka ananing'ata nikamkamata nikaanza kupambananae nikamkamata kichwa gafla nikashtuka nikawa nimekamata kwanguvu tumbo lamkewangu
@naominapendwa141
@naominapendwa141 Жыл бұрын
Shehe Mimi nimeota nipo ndani ya nyumba ghafla akatokea paka akataka kunigusa nyayo zangu alivyo taka kunisogelea tuu ghafla akawa anzunguka mara akanguka akafa nikaona dam zinamchuruzika Nini maana yake shehe
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 Жыл бұрын
Mii nimemuota paka anazaa maana yake nini,, siku ya pili nikaota ng'ombe anazungumza
AINA 10 YA NDOTO ZA UTAJIRI WAKO NA USIHADITHIE MTU. Tiba Zakissuna tv
21:34
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 49 МЛН
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Wian
Рет қаралды 9 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,6 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,5 МЛН
NDOTO | UKIOTA KISIMA HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
34:00
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 34 М.
HISTORIA YA DHUL QARNAYN ( JUJA MAAJUJA ) SH. OTHMAN MICHAEL
1:03:11
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 238 М.
NDOTO ZA PAKA MWEUPE KWA MWANAMKE ALIYE OLEWA
5:48
Mponda Media
Рет қаралды 420
Mchawi Huuwa Mwanae Kwa Masharti Haya-  Sheikh Mpendu
39:51
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 99 М.
HISTORIA YA NABII ISSA NA MIUJIZA YAKE   - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
1:18:47
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 63 М.
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 49 МЛН