Jumapili Apr 3 2022.Ibada ya Jumapili Kutoka Kenya Kanisa la Penuel churche's ministry |Mnenaji ni Mch.Amiel Katekela
Пікірлер: 88
@JosephJumanne-e5y27 күн бұрын
Mtumshi nimebarikiwa na mahubir Yako nimefahamu Siri nyingi kupitia wewe amen🙏🙏🤝
@rukundoesperance3663 Жыл бұрын
Ndiyo kbs tuokoke amen amen 👏
@aminam.4102 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu. Kuhusu chanjo za korona unatushauri nn maan tunaambiwa hakuna kusafiri bila chanjo nami nahitaj kurejea tz
@marymatekwa6867 Жыл бұрын
Bwana asifiwe Sana mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana, mimi nimekubaliana na mafundisho yako God bless you soo much May God cover you, protect you guite you etc, mimi Ninaulizaa njia moja ya wokofu no kubatiswa Ma kuna ubatuso Aina mingi WA kikombe, pendera, kujorwa musalaba kichwani, kutumbukiswa Kwa kisima, kumuakiliwa maji ya kikombe kichwani, ebu nisaidie mahali hapa madhibao Haya yote ni mzuri, ata Ukitoa sadaka zako katika madhibao Haya inapokelewa Ma Mungu
@pastorbenpenuelchurchesmin63062 жыл бұрын
Asante Mchungaji kwa kuhudumu huko kwetu tulibarikiwa Sana.
@emmanuekabamanya63632 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Yesu kiukweli nakukubali. Asiyekubali maneno Yako hata Yesu akirudi hawatamkubali. Barikiwa sana.
@janetnzai98662 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu azidi kukuinua
@tatumluv60542 жыл бұрын
Amen Barikiwa mchungaji wetu Amiel na watumishi wengine
@nangongolukundula93672 жыл бұрын
Tunashukuru MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU kweli kuokokani neema
@judithbett420 Жыл бұрын
Amen 🙏
@fezakabala65892 жыл бұрын
Ubarikiwe saana baba yetu 🇨🇩🇨🇩🇨🇵🇨🇵🇨🇵
@VicentYMtwe2 жыл бұрын
Hongera kwa huduma
@saramss72622 жыл бұрын
SEMA ukwelii mtumishii barikiwaa SANA usiogope YESU yupo naweee
@happykajeli54532 жыл бұрын
Amina amina Yesu ni Jina lipitalo majina yote mfalme wa wafalme
@epifaniakilawe3292 жыл бұрын
Barikiwa sasa sana mtumishi wa Mungu wengi tuta funguliwa na kuwa huru kwlikweli
@zitashio79202 жыл бұрын
Tumtafute Bwana atatusaidia,nisaidie Yesu wokovu wako ndani yangu ukatukuzwe wewe Hadi mwisho,nifiche Yesu ndani ya Damu Yako.
@henryosoro76962 жыл бұрын
Watching from kenya, am blessed thanks
@lightness97562 жыл бұрын
JESUS your Name is above everything I bless you LORD
@isabellkingori61612 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri Mtumishi Katekela na Jacktan kwa Promover TV. Wakenya tuna elewa kiswahili vizuri, no need for mkalimani. Watching from U.S
@mchopaluka43192 жыл бұрын
Wokovu nimzuri sana
@janetnzai98662 жыл бұрын
Yooo Mungu wangu
@maggyirene1102 жыл бұрын
Blessed blessed. Mungu na akubariki mno
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Hakuna Cha MAANA DUNIANI zaidi ya KUOKOKA haya ya duniani Ni shida tu
@paulwambua49562 жыл бұрын
Mungu Atukuzwe kwa yote...ila tutambue tumeokolewa kwa neema ili kuyafanya mapenzi ya Mungu na kufuata Amri Zake kwa njia ya imani katika Kristo Yesu
@irenek72802 жыл бұрын
Yaani wachawi walikukujia vile tunaonanga Kwa movie za kanumba ,😭😭🤔then people think it's just a movie ...wah thanks promover team plus our MCH Amiel nimebarikiwaaa barikiweni pia
@lilianluhasi50532 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo
@saramss72622 жыл бұрын
Barikiwaa SANA mtumishii barikiwaa SANA Mungu asimamiye
@marifaadolphine35712 жыл бұрын
Ameeen, kumjua yesu ni neema.
@ibrahimmburingi80432 жыл бұрын
Ongera mchunganii Katengela
@user-ef6nt4fb6c4 ай бұрын
Amina
@mandyaltrfawi69862 жыл бұрын
Amen Amen
@mirakeniya171210 ай бұрын
Amen man of GOD please, uko kenya sehem gani? Ili niwaambie wanangu wawili wako tu hapo Nairobi wahudhurie mkutano wako
@peninahkariuki11362 жыл бұрын
Ameen mtumishi wa Mungu.Yesu ndio kimbilio letu🙏🙏
@lucymataka16522 жыл бұрын
Yesu Ni mokozi
@lucymataka16522 жыл бұрын
Yesu tusaidie tumjue adui wetu na tukujue wewe mokozi wetu VEMA Amen
@silyvianekesa46892 жыл бұрын
Thank you so much for teaching
@josephmutemi74942 жыл бұрын
Ameeeeen mtumishi nakupata vyema barikiwa sana
@ayetafatuu87152 жыл бұрын
Amina amina amina yesu ni bwana
@felixniyungeko12842 жыл бұрын
Mungu nimwema
@janetnzai98662 жыл бұрын
Nalibariki jina lako YESU maana ni kuu kuliko majina yote
@sarahsoso72022 жыл бұрын
Chapa ingili kanisa lipone barikiweni sana
@maryandason18152 жыл бұрын
Jmn haki schok kuisikiliza hi shuhuda nacheka najikumbuka mwenyew aisee dah
@Shalom20182 жыл бұрын
Amen
@hildegardchafwila50762 жыл бұрын
Mmmm jamani ! ni kweli au bado unatumika.
@josephmutemi74942 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeen
@hildegardchafwila50762 жыл бұрын
Wokovu wa Roho yako baada ya kifo cha Kwanza.
@peninahmwaniah97552 жыл бұрын
Amen. Amen. Ameen. Je mutumishi watu wazee huchukuliwa misukule??? Na je misukule huchukuliwa hadi umri upi??
@user-ni7ke3hp1q2 ай бұрын
Ni mtoto wa mhubiri lakini ni Malaya hahaaa, kumbi mashetani wanao mastaka, amiel usikome huku bwani tunakuitaji huku machakos county, ushuhuda wako ni wokovu Kwa jamii kubwa, jamii kubwa inasikia mambo yakusimu lakini hawajui vile inaendanga ila wewe ni jibu, karibu sana .....
@saeedalharthi41282 жыл бұрын
Ukweli kabisaa,,maisha ni kukaa holy
@johnmkama80742 жыл бұрын
Matwi au mad fish ?waha tuneteswa sana na sasa kupitia Amiel yared katekera umekuwa mtume kwetu na kwawatuwote unatueudishia heshima mtumishi wa MUNGU ubarikiwe
HONGERENI Kwa kufika salama. MUNGU BABA HATA waacha WAOVU wakushambulie Kwa KILA ufanyalo....
@sophiamakani61332 жыл бұрын
Amen and Amen Asante sana mutumishi wa mungu kutembelea inchi yangu..yaani nabarikiwa nikiwa saudi barikiwa nawe pia
@araead47852 жыл бұрын
Amen Yesu ni Bwana nimebarikiwa, barikiweni pia nyinyi Wachungaji 🙏
@user-fu6fx8if6w5 ай бұрын
Kama haujaokoka na kumjua Yesu Kristo kama Mwokozi wa maisha yako then you are just wasting your time.njoo Kwa Yesu Kristo kama Bado uko na uhai,ukifa utashangaa.😢
@mindenlightenment2 жыл бұрын
✨✨✨🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@agnethpaul35962 жыл бұрын
Nilitaka kuandika NDOTO na si neno ndiyo.
@conkfabrimendaking70932 жыл бұрын
Lakini sijui kama utanielewa vibaya au vip
@dianaatieno6432 жыл бұрын
amen wat about the ones who took the corona vaccine and are born again what will happen to them
@sarahsonny92402 жыл бұрын
How can someone be added in his whastpp groups please
@irenek72802 жыл бұрын
My twinny kumbe unatembeanga huku🤔🤩mimi huku n mwenyezi sijui nahamia Tz
@sarahsonny92402 жыл бұрын
@@irenek7280 for few days of following him have absolutely get my answers of all my visions since ever young the Best things I don't forget, and more teachings and more deeper revelation as well,,,,, this is God ,,,for sure
@irenek72802 жыл бұрын
@sarah Sony that's me too twinny Niko kwã GRP ya watsap but Sina link nitaomba link ama jacktan if he happens to see this comment can help you na link ... meanwhile will forward some of PST Amiel voice notes testimony Kwa watsap
@PromovertvTz2 жыл бұрын
Group limejaa kwa sasa,tutafungua lingine no.3.Endelea kufatilia PROMOVER Tv
@irenek72802 жыл бұрын
@promover tv thanks Kwa kureply tunangoja link
@agnethpaul35962 жыл бұрын
Mchungaji, ninakuomba ufafanue juu ya ndiyo za mtu hasa zile za kutosha. Na Kuna madhara gani kuvaa au kumtumia basdhi ya ishara zinotumiwa makanisani, mfano rozari, maji ya baraka na mafuta ya upako?
@trophywilson72112 жыл бұрын
Rozari ni kama kauungu fulani,Maana bila hako husali kwa Imani,Maji ya Baraka yametamkiwa maneno hivyo yale maneno yanaumbika moyoni mwako na Si Yesu
@trophywilson72112 жыл бұрын
Moyo wako Ukiamini Kuwa Yesu ni Vyote huhitaji Rozari wala Mafuta kupona au kuwa salama
@@castorykapinga6425 Rozari siyo Kitabu usitufanye vipofu,Unaisoma wapi ilipoandikwa??au umekaririshwa kuwa Ni Kitabu??Hapo hakun kitu ni muungu tu,Biblia imeandikwa na Waliovuviwa Roho Mtakatifu sasa hiyo Rozari mbona Hakuna Ilipoandikwa kuwa Mungu kaivuvia Tuisome??Huo ni muungu wa wawakatoliki,ukubali tu,Kama ni kitabu basi msikivae mkiweke ndani mnipe na mimi nikisome
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@castorykapinga6425 ndugu tafakari saaana tena saana,Ila elewa tu hiyo ni sanamu kama Mdoli tu ule mwanangu anaochezea,Haikusaidii lolote kumuona Mungu au kufika Mbinguni,Nikueleze Ukweli naijua Rozari saana tuu ,Hata ukitaka nikwambie wanavyosali naweza ila hiyo miungu nilishaicha,Pole Roho Mtakatifu Akufumbue Macho usiendelee na salamu Maria umejaa Neema,Ni upuuzi mtupu
@morrismgendi42092 жыл бұрын
Dungu jacktan Niko Kenya Mko wapi ?
@PromovertvTz2 жыл бұрын
Tuko Tanzania
@conkfabrimendaking70932 жыл бұрын
Alafu mbona nakusikia ukisema Bwana yesu Asipiwe badala ya Asifiwe kwann??
@elizabethopere27842 жыл бұрын
Jamani kwani sio binadamu? Anaweza Kosea we muombee mtumishi
Mafundisho yako mazuri na ukweli kabisa. Sasa swali ni bw.Aston Mbaya walipokuwa TZ walisema kuna "sadaka " lazima iTunes ndio maombi specific yanfanywe kumkomboa mtu kama anasubuliwa na mapepo ya mahaba..so swali ni kama Mwenyezi Mungu anakuokoa bure hio sadaka ni ya nini? Kusaidia kanisa ni sawa lakini kuunganisha sadaka na kuponya je sio mushkili?.ni swali waumini. Sifa na utukufu kwake Mfalme Yesu Kristu
@katekelatv2 жыл бұрын
Ndio. Sadaka hiyo inaitwa sadaka ya ukombozi. Hii husimama kuitangua hati ya mashtaka ya kishetani inayoish kwa kafara ili kudhoofisha maisha ya mtu. Damu ya yesu inatutakasa na kutuponya. Lakini sadaka yako huimarisha nguvu ya madhabahu ya Mungu na kufuta nguvu ya kafara za wanadamu kupitia madhabahu zao
@bonifasemmanuel47002 жыл бұрын
We gone
@kacerawamami12092 жыл бұрын
@@katekelatv Asante. Damu ya Mfalme wetu Yesu Kristu yatosha kutukomboa kwa nini sasa kuwe tena na sadaka ya "Ukombozi".kwani kuna sadaka za kila aina mbalimbali sijawahi kuzisikia?
@preciousgrayson20212 жыл бұрын
Sadaka ni sadaka isipokuwa katika ulimwengu wa roho mara nyingi huwa wanatoa sadaka huenda ikawa ya damu kwa maana ya kafara fulani au sadaka kitu chochote, sasa wewe ukiona umeomba kitu hakijafunguka au hujafanikiwa mfano unaota ndoto ya uzinifu ni vyema utoe sadaka yako binafsi ambayo utaongea na Mungu wako kwa kuinenea mfano natoa sadaka hii ikavunje sadaka zote za kipepo nilizotolewa kwenye ulimwengu wa roho, kupitia sadaka hii naomba Mungu unifarakanishe na ndoto za uzinifu nk. Tofauti ya sadaka hii sio kwamba unampa mchungaji ili akufungue no badala yake ni wewe unaongea na Mungu wako kabla hujaitoa na baada ya kumaliza kuinenea ndo unatoa kawaida kwenye chombo cha sadaka
@mercysimba35692 жыл бұрын
Sasa mnarudi Tz lini jamani..
@PromovertvTz2 жыл бұрын
Tumerudi sasa
@mercysimba35692 жыл бұрын
Jamani Hallelujah!mbarikiwe na Bwana Yesu kwa huduma
@pastorbenpenuelchurchesmin63062 жыл бұрын
Asante Mchungaji kwa kuhudumu huko kwetu tulibarikiwa Sana.
@maryandason18152 жыл бұрын
Amen blessed pastor.semina bdo inaendleaa woooow jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 na mataifa yote 🤔