No video

Ukiyaona Haya Ujue Mpenzi Wako Hana Mwengine By Mr.Kadili

  Рет қаралды 135,700

Zetuflix

Zetuflix

Күн бұрын

Пікірлер: 118
@zulhatmsakuz1137
@zulhatmsakuz1137 4 жыл бұрын
Jmn nashukuru mungu wangu anavyo vyote cm 2nabadilishana cku nzima then god
@melianaleba5387
@melianaleba5387 4 жыл бұрын
Mwanaume anaeza akakutimizia kila kitu na bado anamahusiano mengine tena permanent
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Siyo chaguo lako huyo tupa kuleee
@priscalyimo5804
@priscalyimo5804 4 жыл бұрын
Anaweza akakuweka wazi kila kitu lakini akawa na wengine kibao
@nyangigenyabitwano1180
@nyangigenyabitwano1180 3 жыл бұрын
Wanawake tuvumilie tu hawa watu
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 4 жыл бұрын
I like this lesson everything you said is so true thanks a lot 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😍🥰💓♥️
@danielemaseemase6217
@danielemaseemase6217 2 жыл бұрын
Mafunzo poa
@hdhjdh775
@hdhjdh775 Жыл бұрын
Mafuzo mazur ❤
@Devilinintungwawc2vk
@Devilinintungwawc2vk 2 ай бұрын
Nimeikubali sana hi
@mnassogang2398
@mnassogang2398 3 жыл бұрын
Ndugu yangu big up sana
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Kwa kweli kaka Mungu akubariki sana
@witnesskigonja9151
@witnesskigonja9151 4 жыл бұрын
Ni kweri lakini mmmmh!!! Wanaume ni pasua kichwa kwenye mshahara hapo wengi wagumu anakwambia si unakula na ninakujari shida nini
@taturajabu5977
@taturajabu5977 3 жыл бұрын
Kumi kwa mmoja kwa wanaume wanaokosa vibanda umiza nje!lakni imekuwa ni destuli ya wanaume kuwa na kidumu nje
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 4 жыл бұрын
Yaani umeongea ukweli mtupuu 👍👍
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
Ila kumbkeni hao wanawake ni maprofesa ipo sku..... 😂😂😂😂😂
@blessedggithinji6192
@blessedggithinji6192 Ай бұрын
Mume wangu haji nyumbani tangu aajiliwe kazi nairobi the year 2020 anamaliza miezi miine bila kumuona from nairobi to Nakuru nikimuuliza ananijibu nikazi inamfunga kazi ya hotel nairobi akija nyumbani baada ya miezi miine,anaishi siku tatu tuu nyumbani kisha anarudi naorobi nitamuona tena baada ya miezi miine nikimpigia ananijibu ako busy
@Zetuflix
@Zetuflix Ай бұрын
Pole sana upendo hamna hapo
@Kitumainimauwa08
@Kitumainimauwa08 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 4 жыл бұрын
yan kila mada unayotoa mr jusam yote yananihusu mimi jomon dah asante bro
@janethjackson374
@janethjackson374 4 жыл бұрын
Suala la simu liacheni jamani! Wanajua wenyewe wanavyo set kuwasiliana na hutaelewa chchte
@festofrank6506
@festofrank6506 3 жыл бұрын
Opo saf kaka nichek waphap kw Namba hiyo hiyo
@arafaabdul5181
@arafaabdul5181 4 жыл бұрын
Sim yake n kama yangu masaa 24 Yaani wew kaka ww doooh mungu akubariki
@hasaniramadhani7470
@hasaniramadhani7470 2 жыл бұрын
Yan wewe hauna hakili ndie mungu
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
naombeni unijuze mapenz ni nini kwani naona yanachukua muda mingi kwa akini za watu
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
@@monyojr8001 Asante
@nyangigenyabitwano1180
@nyangigenyabitwano1180 3 жыл бұрын
Mimi siujui mshahara wake
@twilumbakabelege3426
@twilumbakabelege3426 4 жыл бұрын
MUNGU Nisaidie nimpate kama anaesema Mr jusam
@hafsajuma902
@hafsajuma902 2 жыл бұрын
Amiiin
@dancangichabasaka3369
@dancangichabasaka3369 3 жыл бұрын
Love it
@priscillandungi3958
@priscillandungi3958 3 жыл бұрын
Unaelezea wazo moja kwa muda mrefu🤦
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Mbona ulipotea
@user-tw8qg3uv7z
@user-tw8qg3uv7z 3 ай бұрын
Amen
@veronicamagesa8486
@veronicamagesa8486 4 жыл бұрын
Aisee nimenote kitu
@salmaqueenhamisi9295
@salmaqueenhamisi9295 2 жыл бұрын
Siamin mm mwenzngy
@faithnyaboke499
@faithnyaboke499 3 жыл бұрын
God bless you more
@ashleystarqueen8780
@ashleystarqueen8780 Жыл бұрын
Lkn vyote hvyo naviona lkn nikimkosea alfu anitukane inamaanisha nin
@emmilianazephaniah1223
@emmilianazephaniah1223 4 жыл бұрын
N kwel
@aishakassim2926
@aishakassim2926 2 жыл бұрын
Good
@juniourv.timothy2851
@juniourv.timothy2851 4 жыл бұрын
Uko good
@hassansinani6684
@hassansinani6684 4 жыл бұрын
Mm mpenz wang shida kila cku anaumwa alaf nipo nae mbali
@sarashaibu2645
@sarashaibu2645 3 жыл бұрын
Haaaaaaahhh pole sana panda gari mfte et
@ahmadsalimu8605
@ahmadsalimu8605 4 жыл бұрын
Kiukweli hata wanawake ni pasua kichwa
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 жыл бұрын
😳😳 kuwazidi nyie wanaume loooh puka wanaume nyie mungu anawaona wallah 😂😂😂😂🙌
@hawaramadhan6385
@hawaramadhan6385 3 жыл бұрын
😃😃😃😯😯
@duhhammad7230
@duhhammad7230 4 жыл бұрын
Hata uwatimizie washenz tu wanaume
@fatmaabdalla1196
@fatmaabdalla1196 4 жыл бұрын
Kweli wanaume washenz tu hata uwafanyie kitu gani hawajali
@asinatikarim5401
@asinatikarim5401 3 жыл бұрын
Nasapoti kwakweli hawana shukurani wanaume
@alshakizmwongesh8624
@alshakizmwongesh8624 3 жыл бұрын
Ata ssi pia wanawake tunakuanga na shida, utapata mwanamke anafanyiwa kila kitu lakni atahanya tuh
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 7 ай бұрын
​@@asinatikarim5401naona ni Mme wenu
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 7 ай бұрын
​@@fatmaabdalla1196lakini Fatma kuoa wengi luksa
@joycekasakisya7755
@joycekasakisya7755 4 жыл бұрын
Ahsante sn kwa mafunzo mazuri.
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 2 жыл бұрын
👍👍✌️✌️
@masterkey536
@masterkey536 Жыл бұрын
ni kweli
@mauwasafi4126
@mauwasafi4126 4 жыл бұрын
thank you so much my brother god bless you
@raphaelemmanuel2242
@raphaelemmanuel2242 3 жыл бұрын
Ttn
@raphaelemmanuel2242
@raphaelemmanuel2242 3 жыл бұрын
Nn
@mariammartine5574
@mariammartine5574 4 жыл бұрын
Mmmh me wangu anasifa zoteee
@salimogbossmtototz1743
@salimogbossmtototz1743 4 жыл бұрын
💯
@sophiahassan4869
@sophiahassan4869 4 жыл бұрын
Mm yt ayo yuwayafanya lkn chakushangqza mukikosana kidogo tu matus ambayo mmko mwenyew aliekuzaa ajawai kukutus ivyo jaman mitian kweli
@lucymweni8391
@lucymweni8391 4 жыл бұрын
Pia mmi aki
@zulhatmsakuz1137
@zulhatmsakuz1137 4 жыл бұрын
Mwanaume waivo akikuowa apo ndan uta2kanwa majiran wasikie
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 жыл бұрын
@@zulhatmsakuz1137 😳😳😂😂😂😂
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 жыл бұрын
Mie jamani nikifikilia mahusiano wallah naishiwa nguvu bora nitafute tuuuh pesa mapenzi baadae maana kwangu ayana faida zaidi ya kuzeeshana tuuuuh basi
@carzolaalone3126
@carzolaalone3126 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 жыл бұрын
Mmh hapo kwenye mshahara hapo 😂😂😂
@geasonkonja3797
@geasonkonja3797 4 жыл бұрын
kwel
@geasonkonja3797
@geasonkonja3797 4 жыл бұрын
balaka
@alshakizmwongesh8624
@alshakizmwongesh8624 3 жыл бұрын
Joyce na wengi huficha apo kwa mshahara
@jesuslovesme5317
@jesuslovesme5317 4 жыл бұрын
Hapo pa simu waah
@bahatihadijabahati7456
@bahatihadijabahati7456 4 жыл бұрын
Cim ndo shida kabisa😂😂😂
@noorkmab2005
@noorkmab2005 4 жыл бұрын
Asante sana
@samsongabriel155
@samsongabriel155 4 жыл бұрын
Nice
@mald6998
@mald6998 4 жыл бұрын
😂😂mm wang hv vyote ananishirikish lkn kwenye sim kawek fingerprint 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🤣🤣🙌
@wemaomarywema6852
@wemaomarywema6852 3 жыл бұрын
Tatizo hilo
@magynzioka1122
@magynzioka1122 3 жыл бұрын
kilala chukua kidole ufugue
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@zinazena7545
@zinazena7545 4 жыл бұрын
Mm ameniambia kila kitu na ywanitekelezea kila kitu bali usiku ukimuhitaji ywakwambia amechoka umuache apumzike hio nayo nini
@johnmagubo4269
@johnmagubo4269 Жыл бұрын
Je Kam anapokea ila anakwambia nimechoka kesho please. Shda nn
@ashleystarqueen8780
@ashleystarqueen8780 Жыл бұрын
Lkn pia nimegundua aliniendea kwa mganga ili nimpende na nisimuache je naez pata madhara?maaana vyote ulivyotaja nimeviona kwake lkn tatizo n mambo ya kuniendea kwa mshrikina nishauri tafadhali
@Zetuflix
@Zetuflix Жыл бұрын
Hapo changamoto
@shemimajumanne1462
@shemimajumanne1462 4 жыл бұрын
kaka kunawengine wanapokea cmu muda wote na anafamilia kabisa.
@huktydomo6459
@huktydomo6459 4 жыл бұрын
Mm mpenz wang kaniambia kazi anayofanya lkn hakuniambia kiasi anachopata inakuwaj apo
@carzolaalone3126
@carzolaalone3126 3 жыл бұрын
Anaogopa utamuomba sana Pesa😂😂😂😂
@dorcerenatus7425
@dorcerenatus7425 4 жыл бұрын
Wanaume awana shuklan ata uwafanyie nn wajing tu
@Zetuflix
@Zetuflix 4 жыл бұрын
hahahaha,sio wotee bhanaa mjinga ni yule aliekuumiza sio wote
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 4 жыл бұрын
@@Zetuflix ohh Mr jusam aisee na swali la private Sana namba zako please
@Mohabmts
@Mohabmts 4 жыл бұрын
Yaani nahisi nawachukia
@duaalfelisi4582
@duaalfelisi4582 4 жыл бұрын
Mjinga ndoyule alie kufanyia
@kuruthumomary3533
@kuruthumomary3533 4 жыл бұрын
Mi ananiambia kitu au kuniomba ushaur lkn Cha ajabu ajawahi kuniambia Kaz yake na hata nikiimuliza anasema cpaswi kujua,, Ila nikitaka kitu ananipa Ila mtihani ni huo tu cjui Kaz yake
@Zetuflix
@Zetuflix 4 жыл бұрын
Kuwa makini usije kuishi na jambazii
@kuruthumomary3533
@kuruthumomary3533 4 жыл бұрын
@@Zetuflix mamaaaaaa mi mwenyew namhofia sometime coz mwaka wa 3 Sasa cjui Kaz yake na watu wanaish tu sema nipo kwangu na yeye kwake
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 3 жыл бұрын
@@kuruthumomary3533 Wapo wengi hawasemi kazi zao, sijui huwa akili zao zinawatuma nn, huwa nashangaa!!!!!???
@kuruthumomary3533
@kuruthumomary3533 3 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 Mtihani kwakweli cjui wanawazaga ukute tunaishi na majambazi
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 3 жыл бұрын
@@kuruthumomary3533 Kabisaaa, ukute mijambazi au wauza madawa mtu hujui!!! Ndo maana mi najishauri kweli kuishi nae 😅😅nisijejidumbukiza nisikokujua loh
@mbungulanga6729
@mbungulanga6729 4 жыл бұрын
Umeyaongea yote hayo lkn mm kama mm,namfraisha saana miss wangu na haya yote nnayo kiasi chakua yuaniamini,lkn nnamademu kama 20,minaona hata wakiwa kumi lkn kuna mmoja atapata kila kitu ulichosema
@salimogbossmtototz1743
@salimogbossmtototz1743 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@janethjackson374
@janethjackson374 4 жыл бұрын
Sio vema kumhangaikia mtu mzima. Kwani utakapogundua kuna mwenzio utamfanya nini? Stak stress
@beatricehoman8446
@beatricehoman8446 4 жыл бұрын
Mm kote sifuri naona cn mpenzi asee
@monyojr8001
@monyojr8001 4 жыл бұрын
@@beatricehoman8446 duuh !!!! Labda wa kwako yupo temporary 2
@Mohabmts
@Mohabmts 4 жыл бұрын
@@beatricehoman8446 hijampenda kwa dhati
@sarahally2303
@sarahally2303 3 жыл бұрын
Mim wakwangu anapigiwa cm na Dem ukimwambia apokee atak kunani Apo jaman
@taturajabu5977
@taturajabu5977 3 жыл бұрын
Hujui mshahara ni kweli
@jamilayasini6666
@jamilayasini6666 3 жыл бұрын
naomb no ya watsap
@Zetuflix
@Zetuflix 3 жыл бұрын
+255 711 735 111
@nuriabinthamisi8206
@nuriabinthamisi8206 4 жыл бұрын
Wanaume washenzi tu hata ujitahidi vip unajisumbua tu
@Zetuflix
@Zetuflix 4 жыл бұрын
polee shda hujakutana na mwenye akili bado, ila ukipata mme bora utajua tofaut ya mme bora na mvua chupi ni ipi
@rehemashomari2578
@rehemashomari2578 4 жыл бұрын
Yani semeni nyie mimi nilimuwamini sana zahidi ya sana lakini sasa ivi nimekuwa mtu wa kulia tu
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 жыл бұрын
@@rehemashomari2578 tupo wengi dada mie ndio sina ata amu kla mwanaume akinitongoza naishia kutukqnq tuuuh kma chizi wallah 😪😪
@carzolaalone3126
@carzolaalone3126 3 жыл бұрын
@@sukariyao6537 tulogen tu😂😂😂
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 жыл бұрын
@@carzolaalone3126 ngoja nimpate atafurahi mbona 🤣🤣🤣👌
@ramlataayat9999
@ramlataayat9999 4 жыл бұрын
Asante
@womanofgod2217
@womanofgod2217 Жыл бұрын
Amen
Dr. Chris Mauki: Je mpenzi wako ana wivu? Jiulize haya matano!
9:13
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 20 МЛН
الذرة أنقذت حياتي🌽😱
00:27
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 24 МЛН
Dr.Chris Mauki: Maneno haya 6 yatakufanya upendwe Zaidi.
8:11
Chris Mauki
Рет қаралды 411 М.
Dr Chris Mauki - Utajuaje penzi la mpenzi wako limeisha?
12:39
Chris Mauki
Рет қаралды 348 М.
Dr. Chris Mauki: Sababu 5 kwanini mnagombana hovyo
11:45
Chris Mauki
Рет қаралды 124 М.
UKIONA HIVI UJUE ANAKUPENDA SAANA ILA ANAOGOPA KUKWAMBIA
11:54
FAFANUO MEDIA
Рет қаралды 219 М.
Ukiona Haya Kakuchoka Sio Mpaka Uambiwe,JIONGEZE TU
9:53
Zetuflix
Рет қаралды 52 М.
NJIA RAHISI YA KUMVUTA MPENZI UNAYEMTAKA (SEHEMU YA KWANZA)
9:42
OPTIMIST: Maalim Abalhasan
Рет қаралды 132 М.
KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII
31:50
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 569 М.
FANYA HAYA KWA MTU ASIYE JALI HISIA/UPENDO WAKO
8:41
Liza Media
Рет қаралды 9 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10