Nimekuelewa Wewe kama mama unaona vyema wanyama kuzalia huko na watalii wanadamu wenzako wamalizwe kwasababu ya raslimali hizi ,kuwa na huruma kama mama acha kuwa kama mnyama basi
@mzalihalisi43572 жыл бұрын
uko very clear mama tulilijua hili, wanaojifanya hawaelewi pamoja na hao wakenya wao,, sisi ni kuwaacha tu , wajiburudishe kwa ujinga wao wa kukurupia mambo. wanaongea tu bila facts. hamieni uko kenya kwa wanao wadanganya muone kama hio acre tatu utapewa!!
@petersaitotilaizar91762 жыл бұрын
Maasaini atuhami uyo mama achane na loliondo ni maasai akafadha kwake si kwetu
@stephensapp83752 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀 MTZ Akikamatwa Nchi Zingine Anapelekwa Gerezani Moja Kwa Moja Du!
@rithaurassaАй бұрын
Wewe mama ndie mpotoshaji wa wawatu kuna nini hapo ngorongor mnatumika vibaya hivyo bila kumwogopa Mungu? Mnalipwa ngap? Mnataka kuwahamisha wamasai bila uoga?.
@johnchanzi6102 жыл бұрын
Wewe mama uelewi unacho ongea nendazako
@alaanjumali88772 жыл бұрын
Kweli we mjinga ndio maana mnataka kutuonda hapaniujinga yen mnajuaje kwamba ardhi so yetu na we sii msaliwa ngoro2 na kama tunaishi na maisha mangumu nn yanakuhusu we stop
@petersaitotilaizar91762 жыл бұрын
Uyo mama ni mwango kabisa sitoriya yetu ujui
@bibliakitabukitamu60152 жыл бұрын
Kwaiyo mwekezaji ndio kwakeeeeeeeee
@ramseyhusseinkhamis82582 жыл бұрын
Huyo muwekezaji amewekeza nini kwa myaka yote hiyo na nchi inanufaika vipi na huyo muwekezaji
@barakamisilaАй бұрын
Kawaamishe wazaziwako
@ismailmasoud60012 жыл бұрын
Hamisha hao..!
@PeterKisiongoАй бұрын
Kweli Kuma ni Kuma tu peleka nyege Yako Uko Malaya hi
@KaburuKimath-eu5nfАй бұрын
Hiyo habari yako wamasai WA huko hawataki kusikiya
@KaburuKimath-eu5nfАй бұрын
Mbona Kuna mahoteli hayo sii majengoo
@LekuleKipuyo-gk4rqАй бұрын
Wewe umeombwua nini wacha ushabiki nyie ndio mnauza ngorongoro
@godfreysamson30692 жыл бұрын
Kuwen wakweli semeni tunajambo letyuu shenzii nyiny miaka yote mulikuwa wap mmbwa nyiny Kaz kuonea wananchi na kutaka maslay binafsii nanyiny mnaoshadadia hli swala mnafungu lenu tayar mumesha ahidiwaa Kwan hatujuw au iko hvyoo✍️
@barakamisilaАй бұрын
Wewe hakuna unachoongea
@johnchanzi6102 жыл бұрын
Uyuwekezaji anatembea kwamiguu Hana mahalo wanataka wapi
@alaanjumali88772 жыл бұрын
Hapana nawe ujui
@johnchanzi6102 жыл бұрын
Anasema kituambacho haelewi unachokiongeea unalolote mamauyo muwekezaji hanawafanyakazi nawafanyakazi zaidi ya 800 mbonaawambiwi wahame
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Uongo mtupu Kwa nini mmesubiri miaka yote na huyo mwarabu hicho kitalu anafanyia nini kama sio kuwinda na kusafirisha wanyama wetu, na Kwa nini miaka yote hiyo yeye tu awe anashinda hizo tenda za kumiliki kitalu. Mwinyi si ndio awamu yake walikuwa wanasafirisha twiga wazima wazima kwenda Uarabuni . Huyu Samia anataka kuwapa ngorongoro ndugu zake Waarabu ndio maana safari za Oman huko
@LekuleKipuyo-gk4rqАй бұрын
Kwenu ni wapi wewe sio mtanzania ndio mnae msabishia raisi matatizo rudia maelezo yako vizuri
@afmabeat95672 жыл бұрын
Huyo OBC kapewa kitalu afanyie nini kama siyo mwindaji?
@mitikasitv73262 жыл бұрын
Hapo nimeelewa ila kuwahamisha wahadzabe huko uwapeleke mjini ni kama kumtoa samaki majini na kumuweka nchi kavu
@johnchanzi6102 жыл бұрын
Tokalini ulisikiasimba kalamtu
@kayangismaili99462 жыл бұрын
Ungekuwa na uchungu na watoto wa watanzania ungewachukuwa hawa wa dar ambao wanalala barabarani na kuwasomesha
@gracethomas6832 жыл бұрын
Yeye analea wa ndugu zake pia Mungu yeye bado hajampa
@stevenmwenda30052 жыл бұрын
Ivi mpaka lini tutaongea maandiko yanasema kutii mamlaka yaliyomo ifike mwisho mbona serikali imeshatoa ardhi nyingine handeni eneo kubwa kuliko hiyo ya hekari 2300 embu serikali fanyeni maamuzi magumu tu waondoeni nchi hii kubwa sana
@godfreysamson30692 жыл бұрын
Ety fanyeni maamuz magumu 😂 broo unachekeshaaa😂
@gracethomas6832 жыл бұрын
Na wewe utukatie eneo lenu morogoro
@barakamisilaАй бұрын
Kwani ngorongoro wewe ndio unalindaga au niwamasai
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
wapiga kelele ni Wakenya ambao wao sheria ya ardhi na yetu ni tofauti, Kenya nchi yao bado inamilikiwa na koo nne tu Moi, kibaki, uhuru na Raila, hawa jamaa wanamiliki karibu 30% ya ardhi ya Kenya mbona hawaandamani? hiyo sehem wamasai wengi ni wa kutoka nchi jirani , masai wa Tanzania wanaunga mkono juhudi, Majirani wanafanya kila hila ili wajikulie ardhi kirahisi hapa kwetu na wanajipenyeza polepole, na Serikali iko macho, sasa kuna mijitu kazi kula chips tu mjini huku kuna wanaume wanakagua hadi chupi wanazovaa kama zina sumu au lah, kwa mtu makini anatakiwa awe mpole tu Serikali ifanye kazi yake , watu wa idara ya Usalama Tanzania wako makini mnooo, tunakubali wanyama kuhama lakini sio Masai , Masai wa Kenya wabaki huko huko kwao , kwa miaka mingi tumefanya ujirani mwema naona sasa washaanza kuona wana hati miliki, maana hata kuhamia Handeni sio kirahisi hivyo wameona kuna ukaguzi wa Uraia sasa wanaanza kuleta fujo
@kayangismaili99462 жыл бұрын
Acha kuongelea vitu ambazo hauzijui
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Wewe jamaa nimekukubali, umechambua kisomi mpaka nikatamani nikukute sehemu nikununulie bia mbili na nyama choma. Umesema ukweli, tatizo watanzania baadhi wanakurupukia mambo bila kufuatilia kwa kina. Kati ya serikali ambazo ziko makini na zinazowajali watu wake barani Africa … Tanzania ipo tatu bora. Kwenye uhamisho wa watu, kuna majirani wamegundua imekula kwao … sasa wanatafuta mbinu za kuleta fujo, naona hawaijui vizuri serikali ya Tanzania na idara yake ya usalama
@lucasmako37632 жыл бұрын
Huyu mama Hana Lolote Acha ujinga
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Natamani ningekuwa Masai nihamie huko Handeni! 🤗🤗
@sambekekimani81402 жыл бұрын
Kwahiyo wasomi wa ngorongoro umewasomesha wewe?
@barakamisilaАй бұрын
Umelaaniwa wewe unawazazikweli pepomchafu wewe
@zackyisaacs73862 жыл бұрын
Pelekanjaa uko mlavii
@manchalijob96002 жыл бұрын
Uriona wap fisi aue mtu
@barakamisilaАй бұрын
Kwani ngorongoro wewe ndio unalindaga au niwamasai