ULINZI WA RAIS SAMIA NOMA! TAZAMA ALIVYOFIKA NYUMBANI KWAO KIZIMKAZI NA NDEGE ZA KIJESHI UTAPENDA..

  Рет қаралды 264,894

MACHINGA TV

MACHINGA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 80
@LamerkWarwo-cq7qr
@LamerkWarwo-cq7qr Ай бұрын
Ulinzi mdogo haiwezekani helicopter inatua kienyeji namna hivi bila kutangulia ulinzi wa rais ase sema uzuri nchi yetu imejaa Aman Ila ulinzi inabidi uongenzweee na umakini uwe mkubwaa God bless mama 💚💚🇹🇿✔️
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi
@AugustinoGidamara-z6b
@AugustinoGidamara-z6b 25 күн бұрын
Kizii mkazii hoyeee bwejuuu safiii makunduchii mpoooo kazi ienderee suruu raising wetu
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI Жыл бұрын
Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz
@AugustinoGidamara-z6b
@AugustinoGidamara-z6b 25 күн бұрын
Karibu samia salimia paje tuko nyuma yako
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??
@pendonathan7735
@pendonathan7735 Ай бұрын
Mfano achujue Kwa Ibrahimu traore Tumechoka na ujinga wa viongozi wa Africa. Muungeni mkono raisi mwenzenu
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda
@salimothmanhoza
@salimothmanhoza Жыл бұрын
Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya
@iddihassan2677
@iddihassan2677 Жыл бұрын
Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Safi mama fanya kazi tuki pamoja
@PhilipoMussa-kd6nw
@PhilipoMussa-kd6nw 4 ай бұрын
Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI Жыл бұрын
Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.
@SalimAbdalah-i1q
@SalimAbdalah-i1q 6 ай бұрын
Honger mam Samia unaupig mwing
@FabianTebeka
@FabianTebeka 4 ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu
@sadakombo-li7yi
@sadakombo-li7yi Жыл бұрын
Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione
@HamadHamad-oy7mp
@HamadHamad-oy7mp Жыл бұрын
Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia
@SeveriniTemu
@SeveriniTemu 3 ай бұрын
Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah
@ally0thmanfundikira463
@ally0thmanfundikira463 Жыл бұрын
Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Жыл бұрын
Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???
@ally0thmanfundikira463
@ally0thmanfundikira463 Жыл бұрын
Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын
Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn
@abdul-rahmanal-sis7097
@abdul-rahmanal-sis7097 Ай бұрын
Mtangazaji at mkuu wa mkoa wa kusini anaitwa nani
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.
@DadialiDadi
@DadialiDadi Жыл бұрын
Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅
@VenaEliki
@VenaEliki Жыл бұрын
Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Mashallah
@kassimiddi5294
@kassimiddi5294 Ай бұрын
😂😂😂
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 Жыл бұрын
Helcopter mmezionaaa😂😂😂
@rahma6189
@rahma6189 Жыл бұрын
Kwani huyo ni raisi wa zanziba
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын
Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 Жыл бұрын
Wacha aponde raha
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын
Wakati wake
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Yuko.kazini.hapo.sio raha
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op Жыл бұрын
Mbona anashukia porin jmn
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын
M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.
@deusurio9056
@deusurio9056 Жыл бұрын
Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu
@mariammalendeja370
@mariammalendeja370 Жыл бұрын
maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 Жыл бұрын
Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Жыл бұрын
Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika
@muzneali4747
@muzneali4747 Жыл бұрын
Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd Жыл бұрын
Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Жыл бұрын
​@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa
@PauloMassawe-py6eb
@PauloMassawe-py6eb Ай бұрын
Mamanyumbanininyumbanipelekamaendeleokwenu
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤
@FabianTebeka
@FabianTebeka 4 ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa Жыл бұрын
Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato
@PauloMassawe-py6eb
@PauloMassawe-py6eb Ай бұрын
Mamanyumbanininyumbanipelekamaendeleokwenuhatakamanyumbaniyaudongo
@zuberymwenge6780
@zuberymwenge6780 Жыл бұрын
Kudadeki tutakutana kaburinj
@rahma6189
@rahma6189 Жыл бұрын
Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka
@TimothyAlex-it2lm
@TimothyAlex-it2lm 3 ай бұрын
Kazikazi
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS Жыл бұрын
Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao
@chankamba
@chankamba Жыл бұрын
Herocopita 😂😂 wameziona
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS Жыл бұрын
TUKUTANE 2025
@sponsor7882
@sponsor7882 Жыл бұрын
gabon niger
@solomonwanjala9351
@solomonwanjala9351 6 ай бұрын
Unaongea sana
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS Жыл бұрын
SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa
@onelovetz7935
@onelovetz7935 Жыл бұрын
Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын
Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS Жыл бұрын
Hahahaha
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Жыл бұрын
Vitu vya kitoto
@onelovetz7935
@onelovetz7935 Жыл бұрын
Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Жыл бұрын
Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu
@AllyMsafiri-kw2ne
@AllyMsafiri-kw2ne Жыл бұрын
Hiyo damu ikiwa niyakwako nanduguzako itakuwa sawa tu.
@Anuarmustafa4128
@Anuarmustafa4128 Жыл бұрын
Nyinyi mbwa wengine hamjielewi
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Tutakuzika mjinga mmoja wewe
@suleimanmwita-oh1up
@suleimanmwita-oh1up Жыл бұрын
kisa nini huna akili ww
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Na wewe mwehu haswaaa
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Mama yenu huyoo abaki hukohuko
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Sina.mama
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤
@FabianTebeka
@FabianTebeka 4 ай бұрын
Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.
Kisii residents talk about Gachagua impeachment
13:34
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 7 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 12 МЛН
ASKARI MZEMBE ALIVYO ANGUKA MBELE YA RAISI, UTACHEKA UFE
8:52
Mbengo Tv
Рет қаралды 188 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 651 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 4,6 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12