HUU NDIYO UNABII SASA!! MUNGU ALISEMA NA AMETENDA KAMA ALIVYOSEMA!! Jina la Bwana Libarikiwe!! Mungu Ninakuomba Umtunze Mtumishi wako Mwalimu Christopher Mwakasege na Mke wake Diana na Huduma Ya MANA!
@goodluckngowi76643 ай бұрын
Hakika Mungu ni mwaminifu. Unabii huu ulitimia katika awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Hayati Dr. John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Ahsante Mazaltov
@nancydenis.92313 ай бұрын
Am trembling,am shaking ooh🙌🙌 God.Neno lake ni kweli na hakika,akisema amesema.❤🙏🙏🙏
@janemabada335715 сағат бұрын
Though it was then i can feel God presence now 1/8/2024 when am listening God u reign be glorified forever LET UR WILL BE DONE WE LOVE U OOH GOD IN JESUS NAME
@rahabsuleiman66313 ай бұрын
Mungu kama ulivyo ikumbuka Didoma ni kumbuke na mimi😢
@oprahpelle25313 ай бұрын
Amen KATIKA JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO
@angelkwesi3 ай бұрын
Ni kweli kabisa, NENO LA MUNGU ni kweli na amina. Sifa na utukufu kwake YESU KRISTO, aliyejidhihirisha kupitia kinywa cha mtumishi wake, mwalimu Christopher Mwakasege.
@gerrymainmunisi66773 ай бұрын
Mungu huwa hasemi uongo wala hana ahadi za uongo... Angalia Dodoma ilivyo sasa hivi. HALELUJAH HALELUJAH...
@user-hb5om3sk6g3 ай бұрын
MUNGU hakika wewe ni baba kwangu kumbuka mdogo wangu anayeumwa wengine wamemkataaa yesu tukumbuke familia yetu
@emmanuelfari89243 ай бұрын
Mdogo wako sio mgonjwa tena ila MZIMA +MUNGU+ alie HAI amponye na kumpa nguvu tena katika mifupa yake🙏🙌 ninamtukuza +MUNGU+ alie HAI kwa ajili ya uponyaji kwake YOHANA 14:14, 1 WAKORINTO 1:9.🙌🙌🙌🙌🙏 amini sasa amemponya na uwe SHUKRANI pekee kwa +MUNGU+ MWAMINIFU. UBARIKIWE san.
@abelshija92653 ай бұрын
Mungu akutie Nguvu na amponye kwa jina la Yesu
@oprahpelle25313 ай бұрын
BWANA YESU ATUKUZWE KAMA ALIVYO HUDHUNIKA NYAKATI ZA KIFO CHA LAZARO HATA SASA HUDHUNIKA BWANA JUU YA HUYO MDOGO WAKE MTUMISHI WAKO AMEN
@heavenlight50843 ай бұрын
Neno lako ni kweli na amina MUNGU wangu.,haya yoote leo yametimia. MUNGU AKUBARIKI sana mtumishi wa MUNGU. MUNGU azidi KUKUINUA zaidi na zaidi. Amen.
@12FOREIGNERS3 ай бұрын
Very true,Mungu ni Bwana wa majira na wakati.
@SamsonMtangi3 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mwalimu Chrisopher Mwakasege,,,,,,,
@oprahpelle25313 ай бұрын
AMEN SAWASAWA NA MWANZO 6:3
@mariamwamsojo67203 ай бұрын
Mungu katika zawadi uliyotupa Sisi watanzania ni baba yetu mwlm Mwakasege nasi tunakurudishia sifa na utukufu pia tupe kuitumia hii nafasi na tunu hii tuliyonayo🙏🙏
@petrokiula27033 ай бұрын
Na ahimidiwe yeye, maana ni mchungaji mwema akiwatuma watumishi wake watendao mapenzi yake kwa kundi lake
@mcback43843 ай бұрын
Glory glory glory to most high God juzi ubalozi wa Uingereza ulifungua ubalozi wao Dodoma, NENO LA MUNGU haliendi bure
@jenivakayanda66113 ай бұрын
Ni Raha sana kuona maneno ambayo Mungu ameyasema mwenyewe yanatimia Darling Jesus I Love You ❤️
@annasuday1592Ай бұрын
AMEN MTUMISHI MIMI NI WA DODOMA KIJIJI MEMBE EILAYA YA CHAMWONO, MIAKA MINGI KULIKUWA NA UKAME SANA, LAKINI MWAKA 2020 TULIFANYA MAOMBO MAJI YALITOKA MLIMANI YANATIRIRIKA MPAKA LEO, KWENYE SHAMBA LANGU,, KUNAMENGI AMEFANYA WILAYANI SANA NI MEMGI. MENGI MENGI HAYAELEZEKI
@willygidion34043 ай бұрын
Siku zote huwa sina shaka na mjoli wa Mungu wa mbinguni mwl Christopher Mwakasege, baraka za Mungu wa mbinguni zikumiminikie mwl
@EtinaNdewesi3 ай бұрын
Neno la MUNGU limethibitishwa.hallelujah🙌🙏
@user-hb5om3sk6g3 ай бұрын
Amen baba MUNGU amekuchagua hakika yupo na wewe daima tukumbuke hata siku ya unyakuo MUNGU
@tullyibrahim80983 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu.. damu ya Yesu izidi kukufuniks mwalimu Christopher Mwakasege
@fadhilibarnabas34383 ай бұрын
Miezi michache tu alifundisha kuhusu msimu mpya na akasema mambo ambayo yote yanaonekana. Huyu baba Moyo wa Mungu kwetu tanzania Nampenda mnoo Mungu akutunze tu.
@EtinaNdewesi3 ай бұрын
Naishi dodoma na sijawahi hudhuria kongamano😢🙆 eeh Mungu nisaidie mwaka huu nifike hatakama sijui kuomba maadam Pana kitichako Cha Enzi ninahakika sintarudi Kama nilivyokwenda na mimi nitachota upako
@joelmwanyanga49553 ай бұрын
Ayub 22:28Hongera na nenda uyaishi maneno yako itakua kwako kamaulivyoamini.Amina
@NENO_UZIMA903 ай бұрын
Imani kubwa Sanaa hiyo...nenda ukakutana na Mungu...Roho MTAKATIFU atakuhudumia
@esthermchiwa78963 ай бұрын
Japokuwa walikudharau Dodoma,Mungu amekuvika vazi la utukufu, Ameen Ameen.
@sarahgaula22203 ай бұрын
Wamemdharau sijaelewa?
@danielkamala24453 ай бұрын
namshangaa Mungu kwa miujiza yake hata mimi leo ukiniuliza nawaza kuishi ni DODOMA na sijawai kujutia na nimeona hii video namtukuza Mungu kwasababu kuna kusudi la Mungu katika Tanzania na Dodoma tangu mwanzo 🙏🙏, Groly To God Amen
@AliyHamsin3 ай бұрын
Hakika wew nimtumishi was mungu alohai mungu uloikumbuka dodoma nikumbuke namie
@user-qt6dc3sc1e3 ай бұрын
Nimeogopaaaaaa mimi❤😢😢
@SarahShao-jw1up3 ай бұрын
ASANTE BWANA YESU KWA AJILI YA MTUMISHI WAKO CHRISTOPHER MWAKASEGE. I ❤ JESUS 🙏
@annasuday1592Ай бұрын
AMEN AMEN AMEN NAIMEKUWA HAKIKA WEWE NI MTUMISHI WA KWELI"*******"+.
@dismasmlingi73213 ай бұрын
DAH UNABII wa MWAKA 2012 na kweli MUNGU ameikumbuka dodoma 🙏🏾🙏🏾
@lilianskawa10803 ай бұрын
Neno la Bwana halitamrudia bure bali hutimiza mapenzi yake, kama mvua ishukavyo toka mbinguni kweny ardhi 🙏🙏🙏🙏
@mathewmassawe59823 ай бұрын
Amina Baba MUNGU aendelee kukutunza, akupe maisha marefu katika huu utumishi katika Jina la YESU KRISTO 🙏🙏
@dorothymmbaga47983 ай бұрын
BWANA YESU aendelee kukutunza sana Baba na Mwalimu Mwakasege tunamshukuru MUNGU kwaajili yako Baba.
@batwelkamnyukatv3 ай бұрын
Ninajivunia kuwa na Mungu wa namna hii. Hakika anatenda, nilikuwa hapa siku hiyo. Haya yametimia. Mungu ambariki na kumwongeza Mwl. Mwakasege baba yetu.
@nicolasnzema083 ай бұрын
Mbona Tangu Nyerere -Kikwete walikuwa na mawazo ya kuhamia Dodoma ila walishindwa unatoaje unabii katika wazo ambalo lilikuwepo vichwani mwa watu...unaonaje akitoa unabii wewe utakuwa Raisi awamu ya 9.[Hapo hakuna aliyetoa wazo kukuhusu wewe kuwa Rais naona atoe unabii huo,bibilia inasema Danieli alitabiri mambo aliyoambiwa na Mungu ambayo hakuna mtu aliyeyajua hata kuwa na wazo na yote yalilenga KUFA NA KUFUFUKA KWA KRISTO haikuwa Miji wala Mikoa]
@Mobmob20133 ай бұрын
Kazi ya Roho mtakatifu ni kutukumbusha pia
@IvanSedekia-bv8ep3 ай бұрын
@@nicolasnzema08 ebu sikiliza vizuli ndugu utaelewa na hiyo ilikua 2012 na tumeanza kuyaona 2015 alipo ingia JPM ndo Mungu kamtumia kuiinua Dodoma Usidhihaki watumishi mpendwa
@nicolasnzema083 ай бұрын
@@IvanSedekia-bv8ep Mt 22:29 SUV [29] Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu. Angalia USIPOTEE sababu maandiko kiini chake ni KRISTO sio mkoa wala mataifa unabii wowote au njozi au maoni yote YANABEBA UJUMBE WA INJILI sio miji au mikoa hata asingema au kutoa unabii BADO WAZO LILIKUWEPO la makao makuu ya nchi iwe DODOMA.
@nicolasnzema083 ай бұрын
@@Mobmob2013 Roho Mtakatifu anakukumbusha yale yatokayo kwa Kristo Yn 16:13-15 SUV [13] Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. [14] Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari. [15] Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari. Yn14:26 [26] Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia. KUWAKUMBUSHA YOTE NILIYOAAMBIA KUTOKA KWA YESU ...NI YAPI HAYO....? Lk 24:46-47 SUV [46] Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; [47] na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. KUFA NA KUFUFUKA NDICHO KITU ROHO WA KWELI ALIWAKUMBUSHA BAADA YA UFUFUO UNAKUMBUKA KRISTO SIO KITU KINGINE
@majigeedward9553 ай бұрын
Nachoamini ni kua ardhi na anga lilikubali nakutii,,ndiomaana hata maamuzi ya hovyo huayakitolewa hayafanikiwi kwa watu wake Mungu,, asante sana Mungu kwa mtumishi huyu aombye juu ya taifa lake,,
@paulpeter72443 ай бұрын
Ni upako gani huu ooh Yesu nami nijalie angalau nifike kama hivi katika utumishi wako😢😢😢
@lydiavegula76413 ай бұрын
Ni maombi yangu ufikie kule Bwana amekukusudia.....mana upako una garama....njia iliyomfikisha hapo....Ata yeye angeoneshwa kabla angesema Bwana siwezi mpe.mwingine.....ubarikiwe
@oprahpelle25313 ай бұрын
AMEN ATUJALIE SOTE
@donathasimon92923 ай бұрын
Mungu mwenyezi utendae kazi na Mtumishi wako MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE kutana na haja kuu ya moyo wangu ukanitendee sawasawa na AHADI YAKO🙏
@esthermliga48753 ай бұрын
Hakika neno la Mungu ni kweli na amin!! Mungu si mwanadamu hata aseme uongo! Ahadi zake ni za kweli! Asante Mungu kwa unabii huu kutimia,
@danielbugalama35253 ай бұрын
Mungu atukuzwe ..Mungu awabariki mwalimu Mwakasege family
@jehovahshammahevangelicalm7322 ай бұрын
Neno la MUNGU ni Amina
@mariakabonga23 ай бұрын
Asante mungu kwa ajili ya mtumishi wako chirstopher mwakasege uweza nguvu na mamlaka yako mungu vizid kumwatamia, na ulinzi wa kimungu usimwache ee bwana
@zawadipaul3043 ай бұрын
Hakika Mungu anaishi. Glory to God in the highest. 🙏🏿🙏🏿 Tupe masikio ya rohoni panapokuwa na unabii wa kutusikizisha na kutendea kazi kutoka kwa watumishi wako. Mhuishe mtumishi wako na huduma uliyowapa katika kuujenga ufalme wako. Amen
@julianakamendu93253 ай бұрын
Hakika wewe ni mwaminifu Mungu wetu tunaona neno lako lifetime pokea sifa na utukufu Mungu wetu
@pjp51643 ай бұрын
Dodoma Dodoma Dodoma take all the Glory JESUS
@timothymwaluko41893 ай бұрын
Hallelujah, utukufu kwa Mungu,chapa kazi Baba,ulinihubiri kwa njia ya ndoto hadi kuokoka, Mungu akubariki Sana,Mungu akanipa neema ya ualimu pia.Naimani iko siku mafuta uliyonayo utaniwekea mikono,Amina.
@laizerlusiana92153 ай бұрын
Asante Yesu kwa uaminufu Wako,Wewe Ni Mungu peke Yako Wala Hauna mpinzani,Ukisema Unatenda,,Unastahili Heshima Bwana
@barakaedom38283 ай бұрын
Hii ilikuwa kongamano la maomba 2012. I was there. Huu Sasa ndio unabiii.
@lilianchacha55763 ай бұрын
Kusudi la Mungu hakuna wa kuzuia, hakika maombi ni silaha.. Ameen
@kasangagregory57473 ай бұрын
Nashindwa kusema chochote Mi nimeenda kongamano la 14 Mwalimu yuko vile vile Nimewaona watanzania wenzangu Asante Yesu kwa kutupenda sisi na Taifa letu
@brendaluvanda32893 ай бұрын
My powerful God I worship you❤
@user-rm3fj3rp1i3 ай бұрын
Shalom mawimbi ya sauti hayako vizuri mturekebishie kidogo Mungu awabariki
@sarahpaul37913 ай бұрын
Nakumbuka nilikuwepo hapo siku hiyo na Mungu hakika amelitimiza nilikuwa naitamani sana kuipata hii clip
@hedwigjohn62763 ай бұрын
Mungu akuweke kwa ajili yetu mtumishi
@mariamtega41393 ай бұрын
Hakika wewe ni Baba wa wanyonge,waloonewa asante Yesu nakutukuza amen
@donathasimon92923 ай бұрын
Groly 2 God
@meshackmtambulo65803 ай бұрын
Amen amen dodoma ubarikiwe
@evelinamalima86453 ай бұрын
Mmmhh....nakuogopa Yesu. Utukufu na heshima narudisha kwako.❤
@dianambise50063 ай бұрын
Ooh my God!! Glory to God🙌🔥
@JDNewseason3 ай бұрын
Namshukuru Mungu nilikuwepo na hakika Mungu ametenda, bwala la umeme., reli pia alisema, kuachiliwa kibaha pwani etc yote yametimia. Utukufu kwa Mungu Mkuu
@tuombemwakyusa56503 ай бұрын
Tunakushukuru MUNGU unaetimiza Maono ya watumishi wako 🙏🙏🙏 MUNGU hata tusipokutukuza Unajitukuza Mwenyewe.
@mercyulomi74053 ай бұрын
Amen MUNGU aendelee kuwatunza Baba & Mama yetu mwakasege kama MUNGU alivyoikumbuka Dodoma anikumbuke na mimi & wahitaji wote ktk kila nililomwomba
@emmanuelsanturi66103 ай бұрын
Kristo Yesu ubarikiwe Sana.
@prosperjohn65723 ай бұрын
Glory to Jesus❤
@EdnaErnest-ub4xi3 ай бұрын
Asante Yesu kwa ajili ya ujumbe mzito
@paulsibu57703 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu Mwl Christopher Mwakasege, Mungu akuweke mpaka siku ya Unyakuo.
@jescarwegoshola17543 ай бұрын
Ooo Asante Yesu ndio Kongamano langu la kwanza mwaka huo dah, Mungu ni mwaminifu 🙏🙏
@AgustineTendwa-nx5qi3 ай бұрын
Lango la nchi dodoma ubarikiwe mtumishi
@user-xh4ui2lv4s3 ай бұрын
Namshukuru Mungu nilikuwepo kwenye hili kongamano. Hakika Mungu ni mwema sana
@christinewomanoffaith54793 ай бұрын
Duh hapa ht sijaokoka,ht mwalim sijaanza kumfuatilia Glory be to God
@nathanniel97163 ай бұрын
Glory to Jesus 🙌🙌
@user-nn8qr5vf9e3 ай бұрын
Amina ubarikiwe Sana mtumish
@emilianazumbe55213 ай бұрын
Ameen asante Yesu mi mwanadodoma unisaidie nisimamie kusudi lako Dodoma
@dorisgolden34723 ай бұрын
Mungu ninayekuamini ikumbuke familia yetu tuponye na magonjwa yote ree baba tukumbuke
@PhilipaChoma3 ай бұрын
Ahadi zako ni kamilifu hakika Mungu wewe haufananishwi na kitu chochote pokea sifa na Utukufu Bwana wangu
@protasdmassawe3 ай бұрын
Amina Baba Ubarikiwe
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi pia Mungu akupe miaka mingi uishi
@JoshuaHilgath3 ай бұрын
Amina Amina 👏
@aksasalatiel42993 ай бұрын
God is Real 🙌🙌
@pilimsangi8143 ай бұрын
Ameen sifa na utukufu ni Kwa Bwana
@adelinaerrobee66153 ай бұрын
Amina nilikuwepo na mm na watumishi wengi wanatarajia kufungua huduma Ddm kwakweli ufalme umeshuka Ddm
@ashalupola73653 ай бұрын
Utukufu kwa BWANA YOUR MA dady MWAKASEGE NAKUPENDA MNO
@12FOREIGNERS3 ай бұрын
Kweli kabisa..❤
@MadilishaSimon-sb9kk3 ай бұрын
Jehova jire 😢😢😢😢nakupenda MUNGU
@yasinthatemba13363 ай бұрын
Neno lako huwa haliendi bure Mungu wangu ❤
@user-zq8fn7jx7e3 ай бұрын
Ameeen glory to lord Jesus
@lizyliz53573 ай бұрын
Thank you Jesus Christ
@Dr.Modesta3 ай бұрын
Ni maono na maamuzi magumu sana ya the late JPM. Mungu anatimia watu wake Atukuzwe Mungu
@amosnnko77923 ай бұрын
Yesu aendelee kukulinda na kukutunza baba
@falijiubamba41553 ай бұрын
Utabaki kuwa Mungu wangu
@ZawadielNyau3 ай бұрын
Hakika Mungu ni Mungu tu. Anasema na Watumishi wake kabla jambo halijafika bado.
@noelamilambo95953 ай бұрын
Mungu akutunze baba uetu mwakasege
@Eliwanzita3 ай бұрын
Kwa kweli Mungu huwa anasema na watumishi wake tusiache kuwaombea
@jescaedwardkurumela43333 ай бұрын
Glory to God, glory to God
@yasinthatemba13363 ай бұрын
Kwa Mungu hakuna kuwah wala kuchelewa 😢❤
@samwelerasto71383 ай бұрын
Wow, Jesus is good
@YohanaYoramu-nl6bw3 ай бұрын
AMEN wewe MUNGU NI BWANA
@willygidion34043 ай бұрын
Neno la Mungu wa mbinguni ni kweli na hakika
@protasdmassawe3 ай бұрын
Utukufu kwa Bwana
@selestineumela25433 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wake
@janetshuma46053 ай бұрын
Ni Mungu asiyesema uongo, tumeona takitimia
@wendebange85803 ай бұрын
Neno la MUNGU ni kweli na limehakikishwa , MUNGU uzidi kumtia nguvu mtumishi wako Christopher Mwakasege na familia yake ili umtumie upendavyo Bwana
@rizikipyuzza34113 ай бұрын
😢😢😢 thank you JESUS
@DominataBenjamin3 ай бұрын
Apana mwangalie mungu sio sisi wanadamu umebamba sana