Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 30
@idrisaabdillahibpxkijykbs416210 ай бұрын
Mashallah, hichi kipindi sio kizuri kwa mada zake tu lkn pia watangazaji wapo vizuri sana, namna wanavyo zungumza zamu kwa zamu, namna wanavyo wasilisha hoja zao, Mwenyezi mungu awaongezee
@rahmagobz92302 ай бұрын
Mama your communication skills on top m a
@hassanharuna151910 ай бұрын
Wa alaykum ssalaam warahmatullah wabarakatuh Masha Allah mini moja mwahawo sipitwi nipo inchi jiran Rwanda lakin Alhamdulillah kwa kujua swaili na wafatiriya kila kipind pongezi Allah atujaliye kuya fanyia kazi❤
@Fear_Allah3949 ай бұрын
Mm sina mkwe lkn nawaona ma wakwe wa siku hzi walivyo wengi wao watapitapi na wapenda kuingilia mambo ya wtto wao. Kweli huezi kumpenda mumeo bila ya kumpenda mzaa chema lkn na wakwe nao wajitahidi kwassbu huezi kuulazimisha moyo wa mtu unaemfanyia maudhi kukupenda. Inabidi jirekebishe uusaidie moyo wa mke wa mwanao kukupenda❤
@Fear_Allah3949 ай бұрын
W’me wajitahidi hata km Allah hajawapa uwezo wa kununua banda japo chumba akodi. Maisha ya siku hzi mahasidi wengi sana na mahasidi wakubwa wa ndoa ni mawifi/wakwe. Allah awape wepesi wenye kupambana na viumbe hvyo, amiin.
@firdaus74289 ай бұрын
ما شاء الله وجزاكم الله خير
@asha112210 ай бұрын
Mashallah kwa somo 😘Allah ajaalie mazuri tuyafuate na mabaya tuyaache
@maryammohamed531210 ай бұрын
Wallah wema hauozi na ubaya hausahauliki tatizo la mda tu
@mamamamam472310 ай бұрын
Mashaallah kipind ni kizur hongera kwa somo mtoto👏👏
@Dalilahothaman5 ай бұрын
Mimi sijaolewa lakini napata faida nampenda huyu dada
@DirectorOne.t9 ай бұрын
MI NAPONGEZA SANA HICHI KIPINDI MASHLLAH.. ila natoa ushauri tu kuw jitahidini sn kubana maneno icwe mnaeka wazi kimatamshi km ivo
@biubwazahir78210 ай бұрын
Mashaallah 🌹
@user-vp5zi2xe3m4 ай бұрын
Somo nimependa Hilo vazi la kanga
@khadidjasuleiman800610 ай бұрын
Wanawake jitahidini mkiwa kwenye media msidhihirishi mapambo ni haram hinna mk up namengineo tujitahidini saana Kwasababu wafwatiliyaji ni wengi 🙏
@runam9069 ай бұрын
Assalamualaikum alaykum kipindi kizuri sana lakini muda mchache,tujitahidi kuongeza muda inshallah ili tuendelee kustafidi na mafundisho haya
@AttiyaHassan_somomtoto9 ай бұрын
Moyo wenye shukran huongezewa zaid kutoka chini ya dkk 20 kwenda 30 ni jambo la kushkuru 🙏 sio kila siku kukosoa mara moja moja shkuru ili Allah akuongezee 😊 Ahsante kwa kuangalia kipindi endelea kujifunza 🥰
@Dalilahothaman5 ай бұрын
Alie kuwa mwari nivizuri kuskiliza inafaa
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Tupeni vituuu👌👌👌👌kungwi jike na kungwi dumeeee
@kulthum833510 ай бұрын
Mashallah
@user-qi3su8zh6m9 ай бұрын
ﷲﷲ
@bintsalimalbimany2879 ай бұрын
Nyumba haikai Nyumba Kipindi kimenitouch Wakwe Allah awaongoze yarabby Unakuta anasema mpaka unasikia kama Mim Simpend fulan Imagine Muhim Subra Kwel Somo mtoto umenena😭😭😭😭Nimecheka ulipoigiza et unkuja naye shetan😂😂😂😂Napenda wanavyoongea watu wakenya😍😂😂😂😂😂
@amour88029 ай бұрын
Lakini hawa ni wazanzibar
@amour88029 ай бұрын
@ bintsalimalbimany ni wa znz
@user-qi3su8zh6m9 ай бұрын
❤
@maryammkubwa4659 ай бұрын
Ni kweli huwezi kumpenda mume bila ya mamamkwe nae kumpenda
@myunaniniahmad646310 ай бұрын
Chukueni mauwa yenu, leo kusukimegusa mfupa. Lamsingi mtu akitaka kuoa ajitosheleze habari yakwenda kukaa kwa wakwe ni mtihani. Kapange hata chumba ki 1 tu.
@asha112210 ай бұрын
Somo la leo cjui nieleze nn kwakwel maana kama mlikuepo yalipotendeka kwa upande wangu ,Allah atawalipa kwa yote
@AttiyaHassan_somomtoto10 ай бұрын
Pole Allah atakupa nguvu hatuna story za uongo wala hatuzitungi ni uhalisia wa maisha yetu. Endelea kujifunza kipenzi 😊
@alimau79392 ай бұрын
Ni haramu mwanamke kuonesha mapambo kwa mtu anaeweza kumuoa, sheikh rashid ww huzioni hizo hina