UNAMPENDAJE MUMEO BILA KUMPENDA MZAA CHEMA?

  Рет қаралды 7,893

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

10 ай бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 30
@idrisaabdillahibpxkijykbs4162
@idrisaabdillahibpxkijykbs4162 10 ай бұрын
Mashallah, hichi kipindi sio kizuri kwa mada zake tu lkn pia watangazaji wapo vizuri sana, namna wanavyo zungumza zamu kwa zamu, namna wanavyo wasilisha hoja zao, Mwenyezi mungu awaongezee
@rahmagobz9230
@rahmagobz9230 2 ай бұрын
Mama your communication skills on top m a
@hassanharuna1519
@hassanharuna1519 10 ай бұрын
Wa alaykum ssalaam warahmatullah wabarakatuh Masha Allah mini moja mwahawo sipitwi nipo inchi jiran Rwanda lakin Alhamdulillah kwa kujua swaili na wafatiriya kila kipind pongezi Allah atujaliye kuya fanyia kazi❤
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 9 ай бұрын
Mm sina mkwe lkn nawaona ma wakwe wa siku hzi walivyo wengi wao watapitapi na wapenda kuingilia mambo ya wtto wao. Kweli huezi kumpenda mumeo bila ya kumpenda mzaa chema lkn na wakwe nao wajitahidi kwassbu huezi kuulazimisha moyo wa mtu unaemfanyia maudhi kukupenda. Inabidi jirekebishe uusaidie moyo wa mke wa mwanao kukupenda❤
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 9 ай бұрын
W’me wajitahidi hata km Allah hajawapa uwezo wa kununua banda japo chumba akodi. Maisha ya siku hzi mahasidi wengi sana na mahasidi wakubwa wa ndoa ni mawifi/wakwe. Allah awape wepesi wenye kupambana na viumbe hvyo, amiin.
@firdaus7428
@firdaus7428 9 ай бұрын
‏ما شاء الله وجزاكم الله خير
@asha1122
@asha1122 10 ай бұрын
Mashallah kwa somo 😘Allah ajaalie mazuri tuyafuate na mabaya tuyaache
@maryammohamed5312
@maryammohamed5312 10 ай бұрын
Wallah wema hauozi na ubaya hausahauliki tatizo la mda tu
@mamamamam4723
@mamamamam4723 10 ай бұрын
Mashaallah kipind ni kizur hongera kwa somo mtoto👏👏
@Dalilahothaman
@Dalilahothaman 5 ай бұрын
Mimi sijaolewa lakini napata faida nampenda huyu dada
@DirectorOne.t
@DirectorOne.t 9 ай бұрын
MI NAPONGEZA SANA HICHI KIPINDI MASHLLAH.. ila natoa ushauri tu kuw jitahidini sn kubana maneno icwe mnaeka wazi kimatamshi km ivo
@biubwazahir782
@biubwazahir782 10 ай бұрын
Mashaallah 🌹
@user-vp5zi2xe3m
@user-vp5zi2xe3m 4 ай бұрын
Somo nimependa Hilo vazi la kanga
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 10 ай бұрын
Wanawake jitahidini mkiwa kwenye media msidhihirishi mapambo ni haram hinna mk up namengineo tujitahidini saana Kwasababu wafwatiliyaji ni wengi 🙏
@runam906
@runam906 9 ай бұрын
Assalamualaikum alaykum kipindi kizuri sana lakini muda mchache,tujitahidi kuongeza muda inshallah ili tuendelee kustafidi na mafundisho haya
@AttiyaHassan_somomtoto
@AttiyaHassan_somomtoto 9 ай бұрын
Moyo wenye shukran huongezewa zaid kutoka chini ya dkk 20 kwenda 30 ni jambo la kushkuru 🙏 sio kila siku kukosoa mara moja moja shkuru ili Allah akuongezee 😊 Ahsante kwa kuangalia kipindi endelea kujifunza 🥰
@Dalilahothaman
@Dalilahothaman 5 ай бұрын
Alie kuwa mwari nivizuri kuskiliza inafaa
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 10 ай бұрын
Tupeni vituuu👌👌👌👌kungwi jike na kungwi dumeeee
@kulthum8335
@kulthum8335 10 ай бұрын
Mashallah
@user-qi3su8zh6m
@user-qi3su8zh6m 9 ай бұрын
ﷲﷲ
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 9 ай бұрын
Nyumba haikai Nyumba Kipindi kimenitouch Wakwe Allah awaongoze yarabby Unakuta anasema mpaka unasikia kama Mim Simpend fulan Imagine Muhim Subra Kwel Somo mtoto umenena😭😭😭😭Nimecheka ulipoigiza et unkuja naye shetan😂😂😂😂Napenda wanavyoongea watu wakenya😍😂😂😂😂😂
@amour8802
@amour8802 9 ай бұрын
Lakini hawa ni wazanzibar
@amour8802
@amour8802 9 ай бұрын
@ bintsalimalbimany ni wa znz
@user-qi3su8zh6m
@user-qi3su8zh6m 9 ай бұрын
@maryammkubwa465
@maryammkubwa465 9 ай бұрын
Ni kweli huwezi kumpenda mume bila ya mamamkwe nae kumpenda
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 10 ай бұрын
Chukueni mauwa yenu, leo kusukimegusa mfupa. Lamsingi mtu akitaka kuoa ajitosheleze habari yakwenda kukaa kwa wakwe ni mtihani. Kapange hata chumba ki 1 tu.
@asha1122
@asha1122 10 ай бұрын
Somo la leo cjui nieleze nn kwakwel maana kama mlikuepo yalipotendeka kwa upande wangu ,Allah atawalipa kwa yote
@AttiyaHassan_somomtoto
@AttiyaHassan_somomtoto 10 ай бұрын
Pole Allah atakupa nguvu hatuna story za uongo wala hatuzitungi ni uhalisia wa maisha yetu. Endelea kujifunza kipenzi 😊
@alimau7939
@alimau7939 2 ай бұрын
Ni haramu mwanamke kuonesha mapambo kwa mtu anaeweza kumuoa, sheikh rashid ww huzioni hizo hina
@user-rn6rr8cw5v
@user-rn6rr8cw5v 6 күн бұрын
Nalo neno 😂👌
Spoken English Complete Course in Malayalam | 3 Hours|
3:06:12
English With Jintesh
Рет қаралды 397 М.
Orientalism for Beginners (and non-beginners) With Dr. Nagihan Haliloglu الاستشراق للمبتدئين
1:08:50
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 23 МЛН
USITEGEMEE KUPATA MAPENZI KWA MWANAMKE BILA KUYATENGENEZA
22:47
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
HUU NDIO MWAROBAINI WA KUMKAMATA MUME
21:18
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
MKE KAZIZAKE NI MBILI TU //SHEIKH OTHMAN MAALIM
32:34
arkas online tv
Рет қаралды 260 М.
JE, KUGOMBANA WANANDOA KUNAONGEZA RAHA KATIKA TENDO?
19:20
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 8 М.
KIDANI EP 47:-SIRI YA KUISHI NA MKE MWENZA MWENYE HEKAHEKA
56:31
Kidani Show
Рет қаралды 15 М.
NDOA IMARA YA WENYE KUSAMEHEANA NA KUSAHAU
18:43
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 4,4 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН