Subuhanallah Allah atuongoze njia ilionyoka atukinge nakila shari
@mamawa3mamawa3214 жыл бұрын
Amiin Amiin
@daudwilliam23262 жыл бұрын
i like it
@mysalhasadala19854 жыл бұрын
Jadhaqa rakher shukran sheik othumani ALLAH akupe nguvu,afya na umri mlefu uzidi kutuelimisha🙏❤
@mahatahussein41293 жыл бұрын
بارك الله فيك شيخنا, ليس إمام دار الهجرة أنس بن مالك ولكن هو مالك بن أنس.هدانا الله!!!
@shabanimiraji7934 жыл бұрын
Swadakta..❤
@osamashakeeb71944 жыл бұрын
Masha Allah ❤
@afric014 жыл бұрын
Mashallah!!!! Jazakallahu kheir. Tumeelimika kiasi kikubwa. Shukran sanaaa Sheikh
@abubakarihamissi41782 жыл бұрын
shukrani sana sheikh.
@a.8564 жыл бұрын
Jazakallah khayran
@fardosaibrahim42404 жыл бұрын
ichalaaaalaakulipekilalaheri
@JumaRashid-o7e Жыл бұрын
34:04
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah. Shukran kweli kabisa.
@rehemamdemu4594 жыл бұрын
Asante kwa Elimu nzuri Allah akulipe kheriy IN shaa Allah
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
aleyhi sallallahi
@zayyatiyussuf95664 жыл бұрын
Shukran sheikh kwa mafuzo mazuri
@maryammdoe58014 жыл бұрын
Shukran yaa sheikh ALLAH atuhifadhi
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Marhallah marhallah
@jasminjuma63904 жыл бұрын
Jazzakallahu kher
@mename60204 жыл бұрын
Mashaalla
@azemasoud21714 жыл бұрын
Yupo lakn mwanamke asie na tabia hata moja hapo
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum shekh
@PatrickSigei-rg8ul10 ай бұрын
Ukweli usemwe😂
@lauraabass10774 жыл бұрын
Na hili funzo la mke kumtii mume muzidi kulisomesha vizuri maana wanaume hapo wamegeuza utumwa wa wanawake na kufanya yoote imekuwa juu ya mwanamke bila wao kuwaheshimu wake zao
@aishaabdullah2334 жыл бұрын
As salaam alaykum , shukran sheikh kwa mada nzuri lkn mm nachangia kidogo kuna wanaume wengine wao wenyewe ndio wanapenda sifa wanataka wakikunulia kitu bac anataka kujishow off na km hukufanya hivo anakuona ww mshamba na ndio anaenda kuchipuka. Allah atufanyie wepesi
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
aleyhi sallallahi
@ahz69073 жыл бұрын
Innalillahi
@mamawa3mamawa3214 жыл бұрын
Na kuishi kiubabe wanaume wanapenda ubabe,,anaona ndio sifa
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
assalamaleyhi warahmatullahi
@mamawa3mamawa3213 жыл бұрын
@@aliidrisahmadhuvavaruu4918 walaykum salaam
@yassinkimolo29432 жыл бұрын
As salam alaikum Shekhe naotwa Yassin nipo Moçambique. Nimeiskliza klip yako kuhusu mwanamke Shekhe mimi namtihani mkubwa kuhusu mke wangu huyu ni kibri jeuri tena hata napo mkanya nakumwambia mke wangu kibri si kitu kizuri yeye ndio anasema kibri kwake nibora nakinamsaidia yaani najiona nipo motoni hata haki zangu sizipati sasa nichukue hatua gani maana nakaribia hata kuingia ktk zina?