TUMEPATA WASAA WA KUONGEA NA USTADH KONDOBUNGO KUHUSIANA NA MATUMIZI YA PETE NA MAJINI KATIKA UISLAMU NA KUPINGA KWA MUJIBU WA MTUME
Пікірлер: 40
@jamilaathumani54815 күн бұрын
Mashalah mashalah mashalah tunajifunza
@ismailsoud36344 күн бұрын
Uislamu haumrazishi mtu ila kwa hiyari yake mwenyewe. Uislamu ameushika Mwenyezi Mungu mwenyewe, akishirikuana na wanaoutaka uislamu., na anaye uchafua uiskamu ni sawa anajichafua yeye mwenyewe, uislamu wenyewe upo safi.
@ismailsoud36345 күн бұрын
Sheikh ni wa kwanza katika masheikh ambayye anampwekesha Mwenyezi Mungu katika ufalme na uweza wake Mwenyezi Mungu. Na ndio nilipata kummwambia Dr. Sule kuwa unapotosha imani za watu ole usipojieousha utasujudu kuzimu. Huko kuna UJI WA CHUMA. Nikasema hakuna jinni mwema kwa mwanadamu.
@pammymoraamoraa67026 күн бұрын
Tunataka watu wa eliminate kama hii anaweka kilakitu hatharani kuelewesha watu, ameogea kama watu mia na Mia , Asante nauendelee Mutugi fish’s zaidi kwawale hawaelewi waelewi zaidi
@zuberkasim71506 күн бұрын
Ukosawa kabisa ustadh uNaeleweka
@Abdulrahmanhassan18Күн бұрын
Kwenye hii video amechemka upande wa Pete mara anakataa kuhusu pete kuwa na nguvu lakini muda huwo huwo anakubali kwamba wachawi na freemason wanapete za kishirikina hapo maana yake Pete yenye nguvu zipo bila kujali za kishirikina au sio za kishirikina ila zipo kukubali au kukataa ni utashi wa mtu binafsi. Pete ikipata mtaalam anayeweza kuifanya mambo na ikatenda miujiza, swala inafaa au haifai ni swala lingine. DR SULE yupo mbele ya muda amewazidi maarifa upande wa elimu hii ya pete na majini
@jamilaathumani54815 күн бұрын
Uyo mtangazaji maswali yake yakujiludia ludia muda wote na haelew
@keidykudrat25337 күн бұрын
Dr sule kazimguwa
@IdrissaMoussa-tx7jy6 күн бұрын
Allah akibaru Dr sulle ni nja tu
@user-oh1cy6iv2r6 күн бұрын
100%
@user-fu3cg3gv9g7 күн бұрын
Bas itabidi mkubaliane kama pete ni uchawi mchawi wa kwanza suleman
@FridayMwassa6 күн бұрын
Suleman mwarabu ndiyo alikuwa na mapete ya kichawi lakini suleman mwana wa David myahudi hakuwa na upumbavu huo
@user-hi8le2vb7z7 күн бұрын
Darsa imenyooka sana...
@Chrisblaze-beats7 күн бұрын
ME NI MKRISTO NA NIMEKUELEWA VIZURI SANA NA UMEONGEA SAHIHI. Mwenye anaetumia majini ndio lazima akupinge na asikuelewe. Ila tunawaelewa WANAKAZAVICHWA KUMKUBALI MUNGU.😅
@Chrisblaze-beats7 күн бұрын
Me ni mkristo mkatoliki ila huyu shekhe ameongea vizuri sana. Sule anapotosha UISLAM unakua uchawi.
@prochesernest54397 күн бұрын
Wewe mkristo unatetea Nini kuhusu uislamu wakati majini ni ndungu zao mashetani mapepo wachafu mkristo autakiwi kuwatetea majini ju ya mwanadamu Yesu aliamlisha kuyafukuza mapepo wachafu majini
@FridayMwassa6 күн бұрын
Wewe ni mpinga kristo maana hakuna mkristo wa hivyo
@prochesernest54396 күн бұрын
@@FridayMwassa mpinga kristo ni yoyote anayeamini Kuwa Kuna majini wazuri mapepo wachafu wakati Yesu alituambia tuwafukuze mapepo wachafu majini Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@prochesernest54396 күн бұрын
@@FridayMwassa wewe mkristo Gani mpenda mapepo wachafu majini wewe hao unaowatetea wanakupinga Kuwa Yesu Sio mwana WA Mungu na hakufa hachana nao
@Chrisblaze-beats6 күн бұрын
@@FridayMwassa Hoja ipi inapingana na ukristo kaongea au sababu ni muislam sitakiwi kumuunga mkono? Me naona yupo sawa juu ya majini . Hakuna jini anaepaswa kuabudiwa. Ni uchawi. Me naamini kutakua na waislam safi tu hawaamini kama sule.
@GodenBMDaniel7 күн бұрын
Majini siyo wakushirikiyana nao, maana adhabu ya Moto imeshatolewa kwao, hakuna msamaha tena kwamajini. Nikama mwizi ukishirikiana naye na wewe ni mwizi
@msemakweli2437 күн бұрын
Huyu sheh amejitahidi kueleza lakn bado ukweli anauficha
@ramadhanimandoa7166 күн бұрын
We inaonekan ni mjinga na km sio shoga wew sijui
@msemakweli2436 күн бұрын
@@ramadhanimandoa716 upo sahihi kwa ulichofikili, njia ya mpumbavu ni safi kwa macho na moyo wake mwenyewe kama wewe
@kdloon20305 күн бұрын
Sheikh kamaliza,ila wewe uelewa wako ndiyo mdogo!Kama huna bando za mawazo,tazama tena utang'amua wapi ume miss
@RashidiMwanongo7 күн бұрын
Huyu bado hajielewi anatafuta umarufu
@saidisaidi45027 күн бұрын
Yah wewe inaonyesha ujielewi huyu sheikh kondo ni sheikh mkubwa maarufu Hao kina sulle waulize wakufahamishe
@Chrisblaze-beats7 күн бұрын
We utakua unamajini ndio lazima umpinge😂😂😂 Hahiitaji D mbili kukuelewa mtu kama wewe.
@@RashidiMwanongo wewe na yeye nani maarufu hasa,au ndiyo mara yako ya kwanza kumuona!Mtoto mdogo
@chaco14667 күн бұрын
Yaani bado sija Helewa wakina nani wako sahihi
@user-hv4px1dh4l7 күн бұрын
Waislam na dini yenu woote ni washirikina ,hamna lolote😮😮😮😮😮
@saidnaggy52096 күн бұрын
Usitukane tu sikiliza elimu iliotolewa hapo.kwa kweli waislamu ni wasomi sana na wako na elimu kubwa sana..ambazo wewe mwenyewe niko na imani hapo ulipo unashangaa
@saidnaggy52096 күн бұрын
Nyinyi hamna hata wanachuoni ndio maana hamuelewi mambo mengi munadanganywa na wazungu ambao hao wazungu wenyewe wanatumia qur'an kufanyia tafiti zao